Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
1. Hii iliyopata Ajali Haina Logo Nyekundu
2. Haijakatika vipande viwili
2. Haijakatika vipande viwili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🥺🥺🥺Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Anatoaje taarifa wakati no mhusika wa kilichopangwaAlfu watu anakuja wanasema utabiri sawa hata kama ni utabiri na alijua utabiri wake hua ni maridadi ilikuaje alishindwa nin kwenda kuripoti sehem husika. Alafu na kifo cha Magufuli alikitabiri 2016
Lakini umetimia 90%
Hakuna vifo?Ndge ya rangi nyekundu
Iatakatika katikati
Majeruhi na vifo
Taarifa kamili inasema hakuna vifo wala majeruhi
Na wewe ni mpumbavu kama mleta mada?
🤣🤣🤣🤣🤣Anatoaje taarifa wakati no mhusika wa kilichopangwa
Hahaha ni wa kuchungwa2016 alitabiri magufuli atakufa au hatoendelea na urais mods wakaufuta na kweli magu alikufa huyu tumwangalie sana huyu
Imekatika mbeleUtabiri haujatimia , labda tutegemee ajali nyingine , haina logo nyekundu , na haijakatika ....!!
Kwenye vipande viwili inaweza kuwa kweli, kuna mvuvi alionekena akiwa amebeba kipande cha ndege ambacho ni pua ya mbele, kwenye maono kuna vitu vingine havionekenagi clear ila mwenyewe tu ndo unajiongeza kutafisiri.Utabiri ulitimia kwa 80% kwa sababu
1. Siku chache zijazo
2. Kuna ajali...
Imekatika pua mkuuUtabiri haujatimia , labda tutegemee ajali nyingine , haina logo nyekundu , na haijakatika ....!!
Basi mtoa mada aulizwe vizur , huenda yupo kwenye kamati ya roho mbayaImekatika pua mkuu
Vipi damu haikutosha mkuu!Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Mkuu vipi umeona?Ngoja tuone...
Nimeona...Mkuu vipi umeona?
Sawa mkuuNimeona...