YangaSC vs Mameloud
SimbaSC vs Petro Atletico
Hapo kwa YangaSC atakuwa mwendo ameumaliza.
Hivi wewe hao petro atletico unawachukulia poa au sio ngoja tuone muda utaongea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YangaSC vs Mameloud
SimbaSC vs Petro Atletico
Hapo kwa YangaSC atakuwa mwendo ameumaliza.
Petro Atletico na Al Ahly ndio timu hazijafungwa mechi hata Moja hatua hii ya makundi
Mimi ni shabiki wa Yanga na huu ndio utabiri wangu katika droo itayochezwa hivi karibuni katika kupanga mechi za Robo Fainali.
Droo ikiwa hivi, basi si Simba wala Yanga ataefuzu. Hata hivyo, ataepangiwa mpinzani tofauto na hao niliowataja, atakuwa na nafasi ya kutinga nusu fainali hasa Yanga.
Muda utaongea, ila msije kusema sikuwaambia.
Group ni batili Petro Luanda hawezi kucheza na Es Tunis kwasababu wote wametoka kundi moja.YANGA -ASEC
SIMBA -MAMELOD
TP MAZEMBE- AL AHLY
P LUANDA -ES TUNIS
Balaa laja.Mimi ni shabiki wa Yanga na huu ndio utabiri wangu katika droo itayochezwa hivi karibuni katika kupanga mechi za Robo Fainali.
Droo ikiwa hivi, basi si Simba wala Yanga ataefuzu. Hata hivyo, ataepangiwa mpinzani tofauto na hao niliowataja, atakuwa na nafasi ya kutinga nusu fainali hasa Yanga.
Muda utaongea, ila msije kusema sikuwaambia.
J5.Droo ya robo final CAF ni lini
Luanda na Es Tunis hawawezi kutana, walikuwa kundi 1YANGA -ASEC
SIMBA -MAMELOD
TP MAZEMBE- AL AHLY
P LUANDA -ES TUNIS
YametimiaSawa sawa
Kwani Al ahly ni Coastal union? [emoji2957]yanga kazeni kalio haswa mamelod si ehefu
Hapa kazi tunayo.yanga kazeni kalio haswa mamelod si ehefu