Utabiri wa Droo Robo Fainali: Yanga vs Mamelodi; Simba vs Al Ahyl

Utabiri wa Droo Robo Fainali: Yanga vs Mamelodi; Simba vs Al Ahyl

Mimi ni shabiki wa Yanga na huu ndio utabiri wangu katika droo itayochezwa hivi karibuni katika kupanga mechi za Robo Fainali.

Droo ikiwa hivi, basi si Simba wala Yanga ataefuzu. Hata hivyo, ataepangiwa mpinzani tofauto na hao niliowataja, atakuwa na nafasi ya kutinga nusu fainali hasa Yanga.

Muda utaongea, ila msije kusema sikuwaambia.
Umepatia Mkuu, yaani ungebeti hii ilikuwa ni jackpot kabisa 😆😆

View: https://www.instagram.com/p/C4ankdItPCY/?igsh=MXR2NXIya2dwaTRobQ==
 
Sio rahisi Mamelod kupangiwa timu kutoka Tanzania kwa hatua hii.
Ndiyo tayari ishapangwa mkuu!.
IMG_20240312_162223.jpg
 
Mimi ni shabiki wa Yanga na huu ndio utabiri wangu katika droo itayochezwa hivi karibuni katika kupanga mechi za Robo Fainali.

Droo ikiwa hivi, basi si Simba wala Yanga ataefuzu. Hata hivyo, ataepangiwa mpinzani tofauto na hao niliowataja, atakuwa na nafasi ya kutinga nusu fainali hasa Yanga.

Muda utaongea, ila msije kusema sikuwaambia.
Umetisha baba, yani kama mchungaji mashimo.
 
Mimi ni shabiki wa Yanga na huu ndio utabiri wangu katika droo itayochezwa hivi karibuni katika kupanga mechi za Robo Fainali.

Droo ikiwa hivi, basi si Simba wala Yanga ataefuzu. Hata hivyo, ataepangiwa mpinzani tofauto na hao niliowataja, atakuwa na nafasi ya kutinga nusu fainali hasa Yanga.

Muda utaongea, ila msije kusema sikuwaambia.
Hongera sana, umepiga mle mls
 
Mechi ya kwanza ya Yanga ni fainali na itaamua endapo ana matumaini au habari itaishia hapo.

Simba ni 50/50 Dsm na Cairo. Lkn Mechi ya Cairo ndiyo itaamua.
 
Haina shida ikiwa hivi. Kwa mzuka wa timu za Tanzania naimani kuna moja itafika nusu fainali. Ushabiki pembeni, tuitakie Tanzania mafanikio mema
Mzuka unacheza mpira?

Mzuka ni mbinu?
 
Back
Top Bottom