ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Umepatia Mkuu, yaani ungebeti hii ilikuwa ni jackpot kabisa 😆😆Mimi ni shabiki wa Yanga na huu ndio utabiri wangu katika droo itayochezwa hivi karibuni katika kupanga mechi za Robo Fainali.
Droo ikiwa hivi, basi si Simba wala Yanga ataefuzu. Hata hivyo, ataepangiwa mpinzani tofauto na hao niliowataja, atakuwa na nafasi ya kutinga nusu fainali hasa Yanga.
Muda utaongea, ila msije kusema sikuwaambia.
Hahaha hahaha kwahiyo Simba mwaka huu nusu fainali?Simba Sc anatoboa nusu fainali, Ahly tunawajuà nje ndani wale...
Vyura poleni safari yenu ya matumaini ndio imefika kikomo..
Naam naamSimba akipangiwa Al Ahly kuna uwezekano wakavuka. Al Ahly sio wazuri kivile. Simba kumtoa Al Ahly sio ajabu.
Ndiyo tayari ishapangwa mkuu!.Sio rahisi Mamelod kupangiwa timu kutoka Tanzania kwa hatua hii.
Muda ni mwalimu mzuri sana.Umepatia Mkuu, yaani ungebeti hii ilikuwa ni jackpot kabisa 😆😆
View: https://www.instagram.com/p/C4ankdItPCY/?igsh=MXR2NXIya2dwaTRobQ==
simba kukutana na ahly ni kawaida rekodi zina jionyesha wamekutana michezo 8 sare 2 huku simba akishinda michezo 3 na ahaly akishinda michezo 3 hii ni ishara ya kutoshana nguvuKwani Al ahly ni Coastal union? [emoji2957]
Umetisha baba, yani kama mchungaji mashimo.Mimi ni shabiki wa Yanga na huu ndio utabiri wangu katika droo itayochezwa hivi karibuni katika kupanga mechi za Robo Fainali.
Droo ikiwa hivi, basi si Simba wala Yanga ataefuzu. Hata hivyo, ataepangiwa mpinzani tofauto na hao niliowataja, atakuwa na nafasi ya kutinga nusu fainali hasa Yanga.
Muda utaongea, ila msije kusema sikuwaambia.
Hongera sana, umepiga mle mlsMimi ni shabiki wa Yanga na huu ndio utabiri wangu katika droo itayochezwa hivi karibuni katika kupanga mechi za Robo Fainali.
Droo ikiwa hivi, basi si Simba wala Yanga ataefuzu. Hata hivyo, ataepangiwa mpinzani tofauto na hao niliowataja, atakuwa na nafasi ya kutinga nusu fainali hasa Yanga.
Muda utaongea, ila msije kusema sikuwaambia.
AaghhMimi nasema Yanga tutakutana na Petro Atletico, Simba na Mamelody.
Nakusalimu mkuu u hali gani??Mimi nasema Yanga tutakutana na Petro Atletico, Simba na Mamelody.
SawaSio rahisi Mamelod kupangiwa timu kutoka Tanzania kwa hatua hii.
SawaNatamani Simba apewe Mamelod, haki ya nani nitakuwa pale kwa Mkapa kuwashabikia Mamelod.
Mzuka unacheza mpira?Haina shida ikiwa hivi. Kwa mzuka wa timu za Tanzania naimani kuna moja itafika nusu fainali. Ushabiki pembeni, tuitakie Tanzania mafanikio mema
Mzuka ni morale kaka, kama hujui significance ya morale kwenye mpira sina la kukusaidiaMzuka unacheza mpira?
Mzuka ni mbinu?
Simba hii hii ya Bulcheka iende nusu fainali? Haitatokea hata wakichoma tunguri uwanjaniHahaha hahaha kwahiyo Simba mwaka huu nusu fainali?
Basi peleka ukoo wako na mkeo wakacheza maan naona nyuma mwiko unajichetua kam baba levoSimba hii hii ya Bulcheka iende nusu fainali? Haitatokea hata wakichoma tunguri uwanjani
Tengeneza timu ya ukoo wako ikacheze.Simba hii hii ya Bulcheka iende nusu fainali? Haitatokea hata wakichoma tunguri uwanjani