Utabiri wangu: Rais Samia awe makini na sakata la Mbowe, litamaliza kabisa kibali kidogo alichobakiwa nacho kwa Watanzania

Utabiri wangu: Rais Samia awe makini na sakata la Mbowe, litamaliza kabisa kibali kidogo alichobakiwa nacho kwa Watanzania

Mwaka 2017 niliandika mada hii Viongozi wa kisiasa kumbeukeni maneno haya; Mene, mene, tekeli, na peresi baada ya kuona kinachoendelea nchini.

Ujio wa Mama uliamsha matumaini makubwa sana ndani ya mioyo ya watanzania, na matamanio makubwa yalikuwa si kuona uchumi unakuwa kwa asilimia 7 wala si kuona ndege na madaraja bali ilikuwa ni kuona utawala wa haki, utawala wa sheria unarejea nchini.

Binafsi naona kibali cha Mama ndani ya mioyo ya watanzania kinaporomoka kwa kasi sana, hasa baada ya kuibuka issue ya miamala, machinga kuanza kusumbuliwa bila kusahau bodaboda.

Kama sakata la mbowe ni la kubambikiza basi Mama ajiandae kubeba lawama zote na kibali kidogo kilichobaki kuporomoka zaidi na simuoni akitoboa katika uchaguzi wa muhula wa pili japo tunajua yawezekana si yeye bali ni utashi wa jeshi la polisi lenyewe.

Sakata hili linaweza kuwa ni last nail on the coffin. Ila kama mashtaka ni ya kweli hiyo inabaki kuwa story ya wakati mwingine.

Yeye muache tu mama aendelee tu "Kuupiga Mwingi" siku watu wakianza kumjazia nzi asije kukasirika.
 
Mwaka 2017 niliandika mada hii Viongozi wa kisiasa kumbeukeni maneno haya; Mene, mene, tekeli, na peresi baada ya kuona kinachoendelea nchini.

Ujio wa Mama uliamsha matumaini makubwa sana ndani ya mioyo ya watanzania, na matamanio makubwa yalikuwa si kuona uchumi unakuwa kwa asilimia 7 wala si kuona ndege na madaraja bali ilikuwa ni kuona utawala wa haki, utawala wa sheria unarejea nchini.

Binafsi naona kibali cha Mama ndani ya mioyo ya watanzania kinaporomoka kwa kasi sana, hasa baada ya kuibuka issue ya miamala, machinga kuanza kusumbuliwa bila kusahau bodaboda.

Kama sakata la mbowe ni la kubambikiza basi Mama ajiandae kubeba lawama zote na kibali kidogo kilichobaki kuporomoka zaidi na simuoni akitoboa katika uchaguzi wa muhula wa pili japo tunajua yawezekana si yeye bali ni utashi wa jeshi la polisi lenyewe.

Sakata hili linaweza kuwa ni last nail on the coffin. Ila kama mashtaka ni ya kweli hiyo inabaki kuwa story ya wakati mwingine.
Unazungumzia issue ya mbowel au sabaya
 
Namuomba mama asiyumbishwe na hizi habar za kwenye kanga na vijiwe vya kahawa. Safari hii Sabaya na Mbowe kila mtu anavuna alichopanda. Acha sheria ichukue mkondo wake ili ukweli wa madai yao ujulikane. Kuhusisha watanzania wote kwenye swala linalohusu uhalifu wa kiongozi au viongozi wa chama fulan ni ujinga uliopitiliza. Laiti kama watanzania wangehusika na hili swala basi ingebidi serikali ikodishe polisi wengine zaidi kutoka nje maana wa hapa wasingetosha. Lkn kwa vile kesi inasomwa na watanzania wanaendelea na shughuli zao za kujitafutia riziki zao za kila siku kana kwamba hakuna kilichotokea, basi mleta mada hakutakiwa kulihusisha swala hili na watanzania maana anajivua nguo mchana kweupe.
Mama hata hajamaliza kupaka wanja kule,Nyie mnasumbua akirudi ni teuzi zingine msilalame kazi inaendelea.
 
Mwaka 2017 niliandika mada hii Viongozi wa kisiasa kumbeukeni maneno haya; Mene, mene, tekeli, na peresi baada ya kuona kinachoendelea nchini.

Ujio wa Mama uliamsha matumaini makubwa sana ndani ya mioyo ya watanzania, na matamanio makubwa yalikuwa si kuona uchumi unakuwa kwa asilimia 7 wala si kuona ndege na madaraja bali ilikuwa ni kuona utawala wa haki, utawala wa sheria unarejea nchini.

Binafsi naona kibali cha Mama ndani ya mioyo ya watanzania kinaporomoka kwa kasi sana, hasa baada ya kuibuka issue ya miamala, machinga kuanza kusumbuliwa bila kusahau bodaboda.

Kama sakata la mbowe ni la kubambikiza basi Mama ajiandae kubeba lawama zote na kibali kidogo kilichobaki kuporomoka zaidi na simuoni akitoboa katika uchaguzi wa muhula wa pili japo tunajua yawezekana si yeye bali ni utashi wa jeshi la polisi lenyewe.

Sakata hili linaweza kuwa ni last nail on the coffin. Ila kama mashtaka ni ya kweli hiyo inabaki kuwa story ya wakati mwingine.
Umeandika vizuri ila ,pale uliposema, WENDA au sio yeye ni jeshi la police , how ? Kwamba Amiri jeshi mkuu wa vyombo vyote vya usalama, ndo useme sio yeye ,!!!

Leo Kuna maala nimepita kwenye mitandao ya kimii , site MOJA ina idadi ya watu 3000, na ushee ,Kuna kura zinaendelea kupigwa kule,

Swali likilenga ufanisi wa mtwaja,
Yapo maswali mengi ila mojawapo Lina sema hafai kabisa,lugha Kama ile ndo imetumika kwenye swali husika


Ila Mpaka napiga kura ,swali tajwa hapo juu ilikua ni asilimia 64% ,anafanya vizuri ilikua asilimia Kama 3au 4, sikumbuki,


Tafasili nyepesi mpaka mda huu, mama anaongoza KWa 0 vs 10

Ila huyu mama kaniumiza Sana moyo , binafsi nilimkubali Sana mwanzo, ila Sasa kilanga changu koma,binafsi ni Chadema vizuri ,ila mwanzo nilimkubali Sana, CCM wanemroga huyu mama, sio bure ,

Ccm mnamloga mpaka Rais wa nchi sio poa, check Rais, hataki hata kuongea, KILA akijisikia kuongea anapatwa na uchovu ,kwamba nitaongea kesho,

SSH, RAIS PATA RIKIZO YA WIKI KAA NA WAZAEE FROM ZANZIBAR AND TANGANYIKA ,NAFIKILI UMEELEWA, UKIRUDI UTASHANGAA KWAMBA HAYA MENGINE ALIE YAUNGA MKONO NI SSH WA MWANZO AU ALIKUA MWINGINE


UKILIGUDUA , NA UKATULIA SASA ,LAZIMA UNIPE ZAWADI, NAYO NI MOJA,


YA KUSEMA ASANTE WATANZANIA
 
Mkuu nimeoenda Paragraph ya Mwisho!
Kama ni ya Kubambikiza lawama atazibeba
Natamani Uongee kidogo kama Ni ya Kweli Itakuwaje kwa wanaimtetea?
Mimi hapa Nacheka tuu natamani Kujua ukweli ndio maana sitaki kutetea Au Kuulaumu Upande wowote ili nisije kuumbuka Mbeleni!
Ni ngumu kuwa ya kweli ukizingatia namna polisi wa Tanzania wanavyofanya kazi.

Polisi hawana credibility wala trustworthy kwasababu hawajawahi kutoa ushahidi wa kweli hasa huyu Sirro ni muongo sana rejea tukio la kutekwa kwa MO, Roma Mkatoliki, kushikiliwa kwa Kakobe, Gwajima na Mdude kesi zote hizi zilikuwa za uongo na mashitaka yasiyo na tija.

Polisi chini ya Sirro hakuna kesi waliyowahi kutoa ushahidi wa kweli na kwa uwazi waliwahi kusema Mzee Mangula amelishwa sumu mpaka leo hawakuwahi kumtaja wala kumshitaki aliyemlisha sumu.

Aliyempiga risasi Lissu mpaka leo hawamjui kifupi Sirro ndio IGP wa hovyo kuwahi kuongoza jeshi la polisi Tanzania.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Haijawahi tokea Makamu wa raisi kuwa Smart,Rais akifa turudi kwenye uchaguzi tumpate mtu qualified kwa Kazi ya uraisi.
Hakuna mitano tena.
 
Nchi hakika ina watu fulaniwachache wanaishi kwenye fikra za tofauti sana. Huyu anaamini kwamba mbowe anaweza geuza mstakabali kisiasa wa samia wakati mbowe hana uungwaji mkono na watanzania isipokua wachache wenye kasumba ya ubwanyenye na ukabila.
Mabadiliko huwa hayakwepeki, wakati wa katiba mpya umefika hata asipokuwepo Mbowe.Kizazi cha sasa hatuwezi ongozwa na katiba mfu.
 
Nasikia shinikizo ni kubwa sana kutoka mataifa mbalimbali wakitaka kesi ya Sabaya ifutwe
IMG-20210107-WA0025.jpg
 
Nchi hakika ina watu fulaniwachache wanaishi kwenye fikra za tofauti sana. Huyu anaamini kwamba mbowe anaweza geuza mstakabali kisiasa wa samia wakati mbowe hana uungwaji mkono na watanzania isipokua wachache wenye kasumba ya ubwanyenye na ukabila.
Umejuaje? Wait and see
 
Mwaka 2017 niliandika mada hii Viongozi wa kisiasa kumbeukeni maneno haya; Mene, mene, tekeli, na peresi baada ya kuona kinachoendelea nchini.

Ujio wa Mama uliamsha matumaini makubwa sana ndani ya mioyo ya watanzania, na matamanio makubwa yalikuwa si kuona uchumi unakuwa kwa asilimia 7 wala si kuona ndege na madaraja bali ilikuwa ni kuona utawala wa haki, utawala wa sheria unarejea nchini.

Binafsi naona kibali cha Mama ndani ya mioyo ya watanzania kinaporomoka kwa kasi sana, hasa baada ya kuibuka issue ya miamala, machinga kuanza kusumbuliwa bila kusahau bodaboda.

Kama sakata la mbowe ni la kubambikiza basi Mama ajiandae kubeba lawama zote na kibali kidogo kilichobaki kuporomoka zaidi na simuoni akitoboa katika uchaguzi wa muhula wa pili japo tunajua yawezekana si yeye bali ni utashi wa jeshi la polisi lenyewe.

Sakata hili linaweza kuwa ni last nail on the coffin. Ila kama mashtaka ni ya kweli hiyo inabaki kuwa story ya wakati mwingine.
Kweli mama anavurunda mno sijui amelewa nini?
 
Namuomba mama asiyumbishwe na hizi habar za kwenye kanga na vijiwe vya kahawa. Safari hii Sabaya na Mbowe kila mtu anavuna alichopanda. Acha sheria ichukue mkondo wake ili ukweli wa madai yao ujulikane. Kuhusisha watanzania wote kwenye swala linalohusu uhalifu wa kiongozi au viongozi wa chama fulan ni ujinga uliopitiliza. Laiti kama watanzania wangehusika na hili swala basi ingebidi serikali ikodishe polisi wengine zaidi kutoka nje maana wa hapa wasingetosha. Lkn kwa vile kesi inasomwa na watanzania wanaendelea na shughuli zao za kujitafutia riziki zao za kila siku kana kwamba hakuna kilichotokea, basi mleta mada hakutakiwa kulihusisha swala hili na watanzania maana anajivua nguo mchana kweupe.
Watanzania ni silent protestants, kujifanya huoni mtazamo wao ni kujitia upofu. Kwa sasa hakuna chochote anachofanya Samia kikaonekana cha maana kama ilivyokuwa mwanzo. Amekwenda Burundi ni kama alikuwa chooni, amekwenda Rwanda ndo kabisaa watu hawajali utafikiri kaaga anakwenda kulala. Anafanya teuzi kwa sasa utadhani Monitor wa darasa anayeandika wapiga kelele, yaani hata darasa la jirani kimya hayawahusu. Kumbuka ziara ya Kenya, kumbuka Uganda, kumbuka teuzi za Wakuu wa taasisi, japo alichemka Bandari lakini bado alibeba uungwaji mkono na ujosoaji mdogo. Jana kateua watu muhimu Kiuchumi lakini hakuna anayejali. Vyombo vya habari vinavyojitambua vimeanza kuchuja habari za "Kiccm". UTV waliwahi kuonesha Waigizaji wa CCM wanaojifanya wanachama wa CHADEMA wakaikatisha ghafla habari hiyo, siku hizi wakiionesha wanaandika, " Wanaodai ni". Kusema hakuna uungwaji mkono ni kujilisha upepo. Usiombe watu wakudharau hata kama ni wachache Kama unavyojidanganya ingawaje hata wewe unajua ni wengi.
 
Mabadiliko huwa hayakwepeki, wakati wa katiba mpya umefika hata asipokuwepo Mbowe.Kizazi cha sasa hatuwezi ongozwa na katiba mfu.
Kabisa yaani
 
Nchi hakika ina watu fulaniwachache wanaishi kwenye fikra za tofauti sana. Huyu anaamini kwamba mbowe anaweza geuza mstakabali kisiasa wa samia wakati mbowe hana uungwaji mkono na watanzania isipokua wachache wenye kasumba ya ubwanyenye na ukabila.
Mbowe angekuwa hana uungwaji mkono wewe Polisiccm CCM na wajinga wenzako msingekuwa mnahaha kuwabambikia kesi za ugaidi kwa njia haramu za kishetani
 
Ni ngumu kuwa ya kweli ukizingatia namna polisi wa Tanzania wanavyofanya kazi.

Polisi hawana credibility wala trustworthy kwasababu hawajawahi kutoa ushahidi wa kweli hasa huyu Sirro ni muongo sana rejea tukio la kutekwa kwa MO, Roma Mkatoliki, kushikiliwa kwa Kakobe, Gwajima na Mdude kesi zote hizi zilikuwa za uongo na mashitaka yasiyo na tija.

Polisi chini ya Sirro hakuna kesi waliyowahi kutoa ushahidi wa kweli na kwa uwazi waliwahi kusema Mzee Mangula amelishwa sumu mpaka leo hawakuwahi kumtaja wala kumshitaki aliyemlisha sumu.

Aliyempiga risasi Lissu mpaka leo hawamjui kifupi Sirro ndio IGP wa hovyo kuwahi kuongoza jeshi la polisi Tanzania.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Siro ni kada wa CCM sasa anaitwa siroccm akiwatuma Polisiccm kuwabambikia kesi wapinzani
 
Watanzania ni silent protestants, kujifanya huoni mtazamo wao ni kujitia upofu. Kwa sasa hakuna chochote anachofanya Samia kikaonekana cha maana kama ilivyokuwa mwanzo. Amekwenda Burundi ni kama alikuwa chooni, amekwenda Rwanda ndo kabisaa watu hawajali utafikiri kaaga anakwenda kulala. Anafanya teuzi kwa sasa utadhani Monitor wa darasa anayeandika wapiga kelele, yaani hata darasa la jirani kimya hayawahusu. Kumbuka ziara ya Kenya, kumbuka Uganda, kumbuka teuzi za Wakuu wa taasisi, japo alichemka Bandari lakini bado alibeba uungwaji mkono na ujosoaji mdogo. Jana kateua watu muhimu Kiuchumi lakini hakuna anayejali. Vyombo vya habari vinavyojitambua vimeanza kuchuja habari za "Kiccm". UTV waliwahi kuonesha Waigizaji wa CCM wanaojifanya wanachama wa CHADEMA wakaikatisha ghafla habari hiyo, siku hizi wakiionesha wanaandika, " Wanaodai ni". Kusema hakuna uungwaji mkono ni kujilisha upepo. Usiombe watu wakudharau hata kama ni wachache Kama unavyojidanganya ingawaje hata wewe unajua ni wengi.
Mama ametekwa Akili na wanufaika wa manyanyaso kwa wapinzani kwani hujinufaisha kupitia Rushwa bajeti za kudidimiza demokrasia kuwabambikia kesi wapinzani
 
Polisiccm na task force walinufaika na kutajirika sana kipindi cha magufuli kupitia miradi mingi ya kuwabambikia kesi wapinzani na wafanyabiashara kwa njia haramu za kishetani, lakini mama alipoingia ikulu akasimamisha miradi yote haramu ambayo imeanza kuchanua sasa
 
Back
Top Bottom