Utabiri wangu: Rais Samia awe makini na sakata la Mbowe, litamaliza kabisa kibali kidogo alichobakiwa nacho kwa Watanzania

Umeshamuuliza mbowe kama hakupanga hiyo njama na kuifadhili?
Kama unahisi anaonewa basi subili mahakama iamue.
Mahakamaccm ikiamua kwa nguvu za mungu lazima haki itapatikana lakini mahakamaccm ikiamua kufanya kazi kwa mujibu wa zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM lakini uonevu utawale kupita kiasi
 
Halafu mama kadanganya dunia. Mwaka jana September Mbowe hakuwahi kufunguliwa kesi yoyote ile.
 
Hii Tabia mbovu ya kutumia Polisiccm kwenda kuwapekua wapinzani itaishia lini? Mbona Gwajima na polepole wapo kinyume na fikra za mwenyekiti wa CCM lakini Polisiccm hawajaenda kuwapekua?
 
Halafu mama kadanganya dunia. Mwaka jana September Mbowe hakuwahi kufunguliwa kesi yoyote ile.
Kadanganya ulimwengu kuwa wapo watuhumiwa ambao tayari wamehukumiwa ni Aibu kubwa
 
Jiwe vs Mbowe jiwe chali, sabaya vs Mbowe sabaya chali,samia vs Mbowe tunasubiria majibu.
 
Bahati mbaya ameamua kutofikiri na amekubali kupelekeshwa na kundi la wahafidhina ndani ya chama chake sambamba na wale wenye dahamana ya yombo vya mabavu (cohesive instruments) ambao siku zote bima ya maisha yao ni kuishi kwa ubabe ili waendelee kuwepo. Mungu anawaona na yana mwisho.
 
Mama anaupiga mwingi sana, haangalia kibendara cha line man wala hasikii kipenga cha refarii
 
Kaaa kimya
 
Yawezekana ni swali la ghafla hakulitegemea
 
Chukua Chako Mapema hiki chama au ni kauli niliisikia 2012
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…