Inategemea nahaya.
[emoji117]Umri wako Mwanaume.
[emoji117]Uwezo wako wa kuzalisha.
Ikiwa Umri umeenda sana yaan mtoto wa mwisho yupo lasaba huko...Kausha ..... Hapa kuanza Upya ni sawa na UJINGA ,ukizingatia hao watoto wangekua wakijua wewe ni Baba.
Ikiwa ndo kwanza una 25--35 ,ACHANA NAYE.
Ikiwa umri umeenda au hujaenda lakini Unajijua huzalishi, hujawah kua hata na wkausingiziwa,zaidi ya yote umezunguka sana nakila mahal unaambiwa huwez kuzalisha ......Kausha tu, Mkeo kaamua kukufichia aibu , nakama mkeo alikua unaenda kujitegesha, na hawaambii wanaomtunga mimba kua nizao.
Wee Kausha tu , Lea ,watoto wakutambue kama baba...
HATA IVO, KATIKA UAMUZI WOWOTE ULE, WEE CHAGUA AMBAO UNAKUPENDELEA WEWE, UNAOKUPA FAIDA KWANZA WEWE, ALAFU WATOTO. WAMWISHO AWE MWANAMKE.