Utachukua uamuzi gani ukigundua watoto uliowalea na kuamini ni wako kumbe sio wako?

Maisha yanasonga tu,ivi mfano unamwacha unaenda OA alonawatoto 4 wamijamaa! Unasolve au?

Kama ni mwazoni mwa Ndoa hapohapo nafukuza wote navuta chomboo mpya. Cha msingi nikuishi ukijua Sasa kwamba hauko na watu salama sana yaani mke na hao watoto.
Kwa kesi ya jamaa kusema unaendelea nae ni kujipunguzia siku za kuishi duniani, mwanamke alionesha kumdharau na drama nyingine nyingi.
 
Ni kuachana na mama yao waende kwa baba yao halisi, ni simple tu.

Na vile watoto washakua wakubwa basi hata wao itabidi waujue ukweli kua mama yao alicheza rafu.
 
wewe hapo ulipo haujawahi kuchepuka? haujawahi kumkosea Mungu? ukikosea usingependa mkeo akusamehe? ukifanya dhambi usingependa Mungu akusamehe? au mnajitoa ufahamu tu.
Kazi ya kumsamehe mwanamke mzinzi ni ya Mungu si ya mwanaume.
 
Kazi ya kumsamehe mwanamke mzinzi ni ya Mungu si ya mwanaume.
Well said, huyu mwanamke na wengine wote wenye akili kama hii, ni wa kuwapiga chini tu mara moja. Ni muhimu sana kuoa mwanamke mwenye muelekeo wa maisha si kiruna njia kama hawa waśanii wetu wa Kibongo ama mke wa Jeremy. Kuweni makini sana na wanawake wanaojichubua na kufuga ndevu.
 
Kwann huwa hawashitaki mahakamani maana hapo kuna kesi ya kujibu mbona. Kwann huwa wanaume wanapotezea hizi issue, me nampeleka mahakamani atalipa kila senti niliyotoa na nitaleta ushahidi.
 
Jinai haifi hata kama makosa yalifanyika miaka 15 iliopita, lazima mwanamke awajibike kwa makosa yake!!
 
Weak mind
 
Kwann huwa hawashitaki mahakamani maana hapo kuna kesi ya kujibu mbona. Kwann huwa wanaume wanapotezea hizi issue, me nampeleka mahakamani atalipa kila senti niliyotoa na nitaleta ushahidi.
Lazima kuna fidia haiwezi tu kuisha bure bure labda mwanaume aamue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…