Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Mtoto akijua wewe sio baba yake kuna namna tu hatokuwa kama mwanzo hasa wa kizazi cha sasa.
Furaha yangu inategemea yeye, kama yeye hajali that's their problem. Mzazi inabidi umpende mtoto unconditionally ila yeye sio lazima akupende.