Utafanya nini kuleta uwajibikaji ikiwa jimboni kwako kuna mwanasiasa kama huyu?

Utafanya nini kuleta uwajibikaji ikiwa jimboni kwako kuna mwanasiasa kama huyu?

JF Toons

Digital Art by JF
Joined
Feb 19, 2024
Posts
33
Reaction score
73
Utafanya nini kuleta uwajibikaji ikiwa jimboni kwako kuna mwanasiasa kama huyu?

IMG_1592.PNG
 
Watu kama hao ukiwagundua unawatumbua alafu unawafilisi... Kiufupi alichokuwa anafanya JPM ndo kinawapasa.
 
Watu kama hao ukiwagundua unawatumbua alafu unawafilisi... Kiufupi alichokuwa anafanya JPM ndo kinawapasa.
Hakuna njia nyingine ya kudeal nao kisheria? Maana yale ni mabavu, mimi na wewe mabavu hayo hatuna! Asipokuwepo mtu kama Magu, ina maana hawawezi kushughulikiwa?
 
Hakuna njia nyingine ya kudeal nao kisheria? Maana yale ni mabavu, mimi na wewe mabavu hayo hatuna! Asipokuwepo mtu kama Magu, ina maana hawawezi kushughulikiwa?
kila mtu na njia zake mzee, ila kwa mtu mweusi ili akuelewe vizuri inabidi ukipiga unapiga kweli tena pale kwenye mshono.... Mabavu ndo yanapaswa kwa watu wasio wazalendo
 
Back
Top Bottom