Hakuna njia nyingine ya kudeal nao kisheria? Maana yale ni mabavu, mimi na wewe mabavu hayo hatuna! Asipokuwepo mtu kama Magu, ina maana hawawezi kushughulikiwa?
Hakuna njia nyingine ya kudeal nao kisheria? Maana yale ni mabavu, mimi na wewe mabavu hayo hatuna! Asipokuwepo mtu kama Magu, ina maana hawawezi kushughulikiwa?
kila mtu na njia zake mzee, ila kwa mtu mweusi ili akuelewe vizuri inabidi ukipiga unapiga kweli tena pale kwenye mshono.... Mabavu ndo yanapaswa kwa watu wasio wazalendo