UTAFITI: 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli 2018 toka 96% ya 2016

UTAFITI: 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli 2018 toka 96% ya 2016

Tumeshaufanyia utafiti utafiti huu hakuna sehemu wananchi walihojiwa, au wewe towa ushuhuda ni lini umehojiwa?

Halafu methodology yao watakwambia ni ya watu 2000 tu pumbavu kabisa hawa.

Mkuu kuna mahali nimeandika jana kwamba huyu JPM kwasasa kukubalika kwake ni 30% kwenda chini..
Tanzania ya leo haiwezi kuwa na kiasi kikubwa cha wajinga wengi wa kufikia hiyo asilimia 55%..
Hakuna.

UHURU WA MAWAZO...unao uhuru wa kufikiri hivyo, na hata kuyaweka hadharani mawazo yako kama ulivyofanya, lakini....
 
Nahisi hata waliofanya huu utafiti wameufanya kiuoga kwa kuogopa ufutwa kwa ngo yao ila wakifanya utafiti bila uoga itakuwa more horrible
 
Mod One Mod Two Moderator futeni huu uzi maana hauna ukweli wowote. Ni kipande tu mtu kakaa na kukitengeneza maana hakuna pahala huu utafiti ulipofafanua njia waliyotumia kufanya utafiti, hakuna validity wala reliability ya variable/data zao. Huu ni upotoshaji mkubwa sana, futeni haraka sana!
Ni wapi na lini utaamini kuwa kila uzi uuonao ni wa kweli mkuu, pole sana kwa mtizamo wako maana haohao huwa wanafanya huo utafiti wao sasa usitegemee kila siku watakuletea majibu ya ndio mweshimiwa.
 
Watanzania wenyewe ni wale wanaoulizwa SEPTEMBER ni mwezi wa ngapi na wanashindwa kujibu..

Nchi hii haitakaa iendelee mpaka tukifuta wajinga wanaoshindwa kusimama na kuhoji..
 
Hahahaaaa,mwaka 2016 utafuti ulipoonyesha Jiwe anakubalika kwa 96% mliufagilia,Leo kashuka mpaka 55% mnaona ni utumbo mpaka uahoji kibali cha utafiti!
Ndugu tz watu wazima ni zaidi ya milion 40 sasa TWAWEZA wanahoji takribani watu 1500 unategemea nini hapo kama sio utumbo haiwezekani ikakupa jibu sahihi hata siku moja.mmi sizishabikii tafiti kama hii hata kama Magu angepata %80 nisingeafiki.
 
Habari ndiyo hiyo .... chart inazidi kushuka ............!!
Chanzo chako cha kufikiria kwamba habari ni kuwa chati imeshuka ni batili. Utafiti wala hautaji sampling error ni kiasi gani na ulifanywa kwa watu 1,242 tu ambapo Tanzania ina watu zaidi ya milioni 30 wenye umri wa miaka 18 na zaidi. Katika kuchukua sample kuna formula nyingi (kwa mfano ya Yamane) lakini zote zinahitaji utaje confidence level, reliabity na estimate of the proportion with the quality you are researching on (which we take to be 50% since that is the proportion that maximises the value). Baada ya kupata ukubwa wa sample muafaka unahitaji kueleza sampling plan (hapa unahitaji probability sampling) na siyo non-probability sampling (kwa mfano convenience sampling ambayo ndiyo nahisi ilitumika hapa). Kutokana na mapungufu yote niliyoyataja hapa sikubaliani na matokeo ya udadisi uliofanywa.
 
Mod One Mod Two Moderator futeni huu uzi maana hauna ukweli wowote. Ni kipande tu mtu kakaa na kukitengeneza maana hakuna pahala huu utafiti ulipofafanua njia waliyotumia kufanya utafiti, hakuna validity wala reliability ya variable/data zao. Huu ni upotoshaji mkubwa sana, futeni haraka sana!


profile yako si umeandika hivi

"Rais Wangu Dkt. J.P.Magufuli
2015–2025" "Upinzani ulikufa
2015" "CCM inapendwa kwa
100%"


means ww ni mwanachama wa ccm afu mod sio ccm jarbu kwngne
 
Umaarufu umeshuka hiyo ni fact, just swallow it Mkuu, umeshuka kwa 41% ndani ya miaka 2 na nusu. kwa kasi hiyo ya kushuka mpaka ikifika 2020 nadhani unajua itakua asilimia ngapi?
we ccm unawajua ww yan kesho inaeza panda had 150%
 
Ndugu tz watu wazima ni zaidi ya milion 40 sasa TWAWEZA wanahoji takribani watu 1500 unategemea nini hapo kama sio utumbo haiwezekani ikakupa jibu sahihi hata siku moja.mmi sizishabikii tafiti kama hii hata kama Magu angepata %80 nisingeafiki.
Hujui maana ya sampling,so sio makosa yako!Halafu unaposema watu wazima ni zaidi ya mil 40,unamaana gani?
 
Mimi matokeo ya utafiti huu hayanishangazi kabisa.Watanzania tulifika mahali tukaona kwamba upigaji,utapeli,corner corner na madili ya kila aina ndiyo style ya maisha.Magufuli amekuwa shock to most Tanzanians.
Watanzania tuliowengi tuliamini mwanzoni kwamba he wouldn't go this far,and hence the high ranking initially!Hata hivyo ukweli umekuwa tofauti kabisa na expectations za wengi.Watu wengi upigaji, utapeli,corners na madili yao yamekatiliwa mbali to their surprise and hence the change of heart towards him.Frankly to me Magufuli anafanya vizuri sana,tatizo ni Watanzania.Kiukweli
Watanzania
tunahitaji kubadilisha our mindset, so that we can clearly perceive what is good for us.Kwa sasa most of us do not know what is best for us.Very sad indeed.

i agree with you: Binafsi pia usomi mwingi nao unakuaga tabu kwa watu, nchi hii imejaa wasomi wanaojua kupost matatizo mitandaoni kila siku na sio kuleta masuluhisho: Wananchi wa kawaida ndo wamekua wakifanya mambo makubwa nchi hii, wakat ambao wanaonekana hawajasoma waeshaenda kupiga kazi zao wasomi wetu wamekua mstari wa mbele kwenye uchochezi sana tunaelekea pabaya
 
i agree with you: Binafsi pia usomi mwingi nao unakuaga tabu kwa watu, nchi hii imejaa wasomi wanaojua kupost matatizo mitandaoni kila siku na sio kuleta masuluhisho: Wananchi wa kawaida ndo wamekua wakifanya mambo makubwa nchi hii, wakati ambao wanaonekana hawajasoma waeshaenda kupiga kazi zao wasomi wetu wamekua mstari wa mbele kwenye uchochezi sana tunaelekea pabaya
Mmm,kwa kiasi fulani uko sahihi, ila nadhani tuhuma zako hazihusu wasomi wote.Mimi huwa naamini kwamba wasomi wameliletea taifa hili maendeleo makubwa.Hawa unaosema hawajasoma na wameliletea taifa maendeleo kumbuka kwamba wanatumia tekinolojia za wasomi!Na hata hivyo sidhani pia kwa upande mwingine kama
commment yako ni sahihi sana,vingenevyo kusingekuwa na haja ya kusoma.Sasa sijui bila shule madaktari,mainjinia,
wafamasia,wahasibu,wataalam wa kilimo,
tehama,mawasiliano nk.nk.tungepata wapi.

Na kuhusu wasomi wanaoleta uchochezi,aah,sijui kwako uchochezi ni nini,mawazo mbadala?Maana isije ikawa mawazo mbadala kwako ndio uchochezi.Najua wapo wasomi wanaotoa mawazo chonganishi,na nikiri kwamba hiyo ni tabia ya mtu mwenye ufahamu mkubwa!Hata hivyo hawa sio wengi na wangeweza kudhibitiwa kwa matunda ya kiutendaji yaliyo wazi na yenye tija kwa wananchi.Matumizi ya nguvu hayasaidii sana,na yatawaongezea tu nguvu na umaarufu.

Labda nizungumzie hawa wanaojiita wasomi waliojiingiza kwenye siasa.Hawa si wawakilishi wa wasomi hasa.Hawa either ni opportunists wenye nia tu ya kujineemesha au wana "kazi maalum." Msomi hasa hana maneno mengi,he deals with mostly experimentation and data.
 
Hehe we ndo utajiju, nipo nje nakula maisha sio kukaa mnapigwa jua na huyo mnunua ndege ambazo hazina wateja huku watu mnalia njaa.
Sasa kama uko nje pilipili usiyoila yakuwashia nini?? Tuache tupigwe jua na wewe uendelee kubeba mabox na kusafisha vizee vya kizungu!!!
 
Back
Top Bottom