UTAFITI: 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli 2018 toka 96% ya 2016

UTAFITI: 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli 2018 toka 96% ya 2016

Utafiti wa Sauti za Wananchi, Awamu ya 27 wa Aprili 2018 umebaini 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli tangu alipoingia madarakani 2015.

Ado Shaibu kutoka ACT Wazalendo

Napenda kwanza kusema tu Magufuli ndio rais ambaye ni 'Unpopular' kuliko Marais wote, kwa mujibu wa tafiti hizi za Twaweza Mkapa alianza na asilimia 93 na akaondoka na 90, Kikwete asilimia zilipungua kidogo sana ila sasa Magufuli ameanza na 96% kwa sasa yupo 55%

Sasa hili linatokana na Magufuli kutengeneza ugomvi na Wakulima, Wavuvi, Mashangazi, Wafanyakazi na wananchi wote kwa ujumla

Anachokifanya Magufuli ni sawa na kucheza mpira halafu umewafunga kamba wapinzani sasa anacheza mwenyewe maana hakuna uhuru wa vyombo ya habari, vyama vya siasa havipo huru. Je, angeachia huru vitu hivi ingekuwaje?

Mimi nasema Rais Magufuli hizo asilimia zilitakiwa zifike 20
Hazifiki hata 20. ni chini ya 10%
 
Zitapanda mpaku kufikia 100% kasha kutana na wastafu maoni yao anayafanyia kazi kwahiyo mtapata tabu sana
 
Kwa trend hii ya downward spiral ya (2016) 96%; (2017) 71%; (2018) 55%; we can safely project kwamba (2019) itakuwa 40% na (2020); yaani mwaka wa uchaguzi approval rating itafikia 20%! Anguko la kishindo no wonder Costech wameanza kuwakemea TWAWEZA! Hakika hiki ni kipigo cha Mbwa koko! Kweli "Watapata tabu sana, nasema WATAPATA TAABU SAANA!!!!
 
Hi Taasisi itapigwa marufuku hapa nchini kwa uchochezi!

Hii ni kuongoza watu kibabe kwa kuwalazimisha waimbe, waseme na wacheze ngoma unayoitaka wewe....Huu siyo utawala baali ni UDHALIMU...!!!1
Kwanini kama Serikali au Rais wakatae maoni ya Taasisi zingine?Nini hofu yao na wanaogopa nini?Hayo si maoni tu ya Wananchi wanaowaongoza yanaweza kuwa na ukweli wa asilimia kadha pungufu au ziadi ya kile kilichowasilishwa....!!
Hili swala la kulazimisha Takwimu kuwa lazima ziwe sawa na TBS au COSTECH katika nchi yenye raia zaidi ya milino 50 ni uendwazimu na ukichaa....!!!
 
Kwa trend hii ya downward spiral ya (2016) 96%; (2017) 71%; (2018) 55%; we can safely project kwamba (2019) itakuwa 40% na (2020); yaani mwaka wa uchaguzi approval rating itafikia 20%! Anguko la kishindo no wonder Costech wameanza kuwakemea TWAWEZA! Hakika hiki ni kipigo cha Mbwa koko! Kweli "Watapata tabu sana, nasema WATAPATA TAABU SAANA!!!!

Unachosema ni kweli. Ila kitakachotokea ni KUPIKA MATOKEO YA KUFA MTU.....Utashangaa TUME TEULE YA UCHAGUZI WA CCM(NEC) itakuja na matokeo ya kama ifuatavyo JPM: 70% na UKAWA: 28% na 2% zikiharibika.....!!!
Huu utawala wa CCM ni sawa na ukaburu wa enzi za kupigania Uhuru waliokuwa wakifanyiwa ndugu zetu wa Sauz!!!
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Hii ni kuongoza watu kibabe kwa kuwalazimisha waimbe, waseme na wacheze ngoma unayoitaka wewe....Huu siyo utawala baali ni UDHALIMU...!!!1
Kwanini kama Serikali au Rais wakatae maoni ya Taasisi zingine?Nini hofu yao na wanaogopa nini?Hayo si maoni tu ya Wananchi wanaowaongoza yanaweza kuwa na ukweli wa asilimia kadha pungufu au ziadi ya kile kilichowasilishwa....!!
Hili swala la kulazimisha Takwimu kuwa lazima ziwe sawa na TBS au COSTECH katika nchi yenye raia zaidi ya milino 50 ni uendwazimu na ukichaa....!!!
Watahangaika kutisha watu lakini ukweli utabaki kuwa ukweli kuwa CCM watu wameichoka.
 
Unachosema ni kweli. Ila kitakachotokea ni KUPIKA MATOKEO YA KUFA MTU.....Utashangaa TUME TEULE YA UCHAGUZI WA CCM(NEC) itakuja na matokeo ya kama ifuatavyo JPM: 70% na UKAWA: 28% na 2% zikiharibika.....!!!
Huu utawala wa CCM ni sawa na ukaburu wa enzi za kupigania Uhuru waliokuwa wakifanyiwa ndugu zetu wa Sauz!!!
Ni mawakala wa shetani! Lakini Mungu anawaona na hawataishi kututawala hovyo kiasi hichi milele.
 
Wameandikiwa barua tayari twaweza maana utafiti wao haukubaliki na jiwe
 
Serikali imeanza kuupitia kama alivyosuggest Kamanda wetu mtiifu Lema
 
Mimi nimejua ni za kupika kwa lengo fulani, ningeona ni chini y 30% kidogo ningeshawishika kuamini huo utafiti. Wao Twaweza waweke kwamba anakubalika kwa 99% tu. Tunajua kilicho kwenye tafiti zao ni mapishi kwa lengo fulani.
Mkuu mapishi yao bado yanaendelea?
 
Hivi jiulize wewe tangu uwasikie hao Twaweza je uliwahi kuhojiwa? Au hata angalau ulipita sehemu ukawakuta vijana wao wanaendesha zoezi hili la kuhoji watu?

Mimi kinachonishangaza nchini Uingereza na South Africa nimewahi kukutana na group za research na nikahojiwa lakibi nchini mwangu sijawahi kumsikia mtu akitowa ushuhuda wa kuhojiwa na hawa researchers uchwara

Mimi kwa dhati kabisa naamini tafiti hizi huwa zinaandaliwa mezani na kwenye mtandao tu na kinachotengenezwa hapa ni kutafuta uhalali wa kumpandisha Rais kukubalika kwake muda sahihi ukifika ili hizi tafiti magumashi ziwe kama reference.

Tunakubali sisi ni wajinga lakini si kiwangi hicho wanachorudhania, tunaelewa sana malengo yao ni nini.

Nchi ambayo bunge limetiwa mfukoni hakuna taasisi nyingine yenye ubavu wa kufurukuta.

Haya ni maagizo maalum ya kuwalaghai watu na wafadhili kwamba Tanzania kuna uhuru wa kutoa maoni.
mkuu ulifunguka sana
 
Sasa we tume ina aliyekuwa katibu mwenezi wa ccm unategemea washinde kihalali
Ni wizi tu
Twaweza wenyewe ni ccm tafiti zao sijawahi kuziamini
 
Hilo lingekuwa kipimo maridhawa kama lingeheshimiwa, lakini huko ndio upuuzi wa muafrika unapodhihirika. Unakuta ccm wanatoka na mabox ya kura vituoni kibabe kisha wanayajaza na kuyarudisha yakiwa na kura za chama chao. Kisha bila aibu unakuta wanashangilia ile mbaya eti wanakubalika na wananchi! Kibaya zaidi unakuta kwenye wanaoshangilia huo ushindi wa kipuuzi wako mpaka ma professor, PhD holders nk. Katika mazingira hayo wazungu wakituita manyani watu wanakasirika.
Hahaaaa!!! Unasema????? Kwa hiyo nani,noninino ni nyani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom