Tumeshaufanyia utafiti utafiti huu hakuna sehemu wananchi walihojiwa, au wewe towa ushuhuda ni lini umehojiwa?
Halafu methodology yao watakwambia ni ya watu 2000 tu pumbavu kabisa hawa.
Mkuu kuna mahali nimeandika jana kwamba huyu JPM kwasasa kukubalika kwake ni 30% kwenda chini..
Tanzania ya leo haiwezi kuwa na kiasi kikubwa cha wajinga wengi wa kufikia hiyo asilimia 55%..
Hakuna.
Nini kifanyike?Hizi takwimu mbona mbaya sana, sasa ikifika 2020 si itakua hatari kabisa
Ni wapi na lini utaamini kuwa kila uzi uuonao ni wa kweli mkuu, pole sana kwa mtizamo wako maana haohao huwa wanafanya huo utafiti wao sasa usitegemee kila siku watakuletea majibu ya ndio mweshimiwa.
Ndugu tz watu wazima ni zaidi ya milion 40 sasa TWAWEZA wanahoji takribani watu 1500 unategemea nini hapo kama sio utumbo haiwezekani ikakupa jibu sahihi hata siku moja.mmi sizishabikii tafiti kama hii hata kama Magu angepata %80 nisingeafiki.Hahahaaaa,mwaka 2016 utafuti ulipoonyesha Jiwe anakubalika kwa 96% mliufagilia,Leo kashuka mpaka 55% mnaona ni utumbo mpaka uahoji kibali cha utafiti!
Chanzo chako cha kufikiria kwamba habari ni kuwa chati imeshuka ni batili. Utafiti wala hautaji sampling error ni kiasi gani na ulifanywa kwa watu 1,242 tu ambapo Tanzania ina watu zaidi ya milioni 30 wenye umri wa miaka 18 na zaidi. Katika kuchukua sample kuna formula nyingi (kwa mfano ya Yamane) lakini zote zinahitaji utaje confidence level, reliabity na estimate of the proportion with the quality you are researching on (which we take to be 50% since that is the proportion that maximises the value). Baada ya kupata ukubwa wa sample muafaka unahitaji kueleza sampling plan (hapa unahitaji probability sampling) na siyo non-probability sampling (kwa mfano convenience sampling ambayo ndiyo nahisi ilitumika hapa). Kutokana na mapungufu yote niliyoyataja hapa sikubaliani na matokeo ya udadisi uliofanywa.Habari ndiyo hiyo .... chart inazidi kushuka ............!!
Tusubiri utafiti wa serikali tuone kama unafanania na huu kabla ya kunyoosheana vidole nani mchawi. Yangu macho na masikio.Bawacha hawataki kabisa kusikia....hiii hahahaha
Jamaa huwa ni li-zuzu fulani hivi. Samahe. [emoji12] [emoji12] [emoji12]Unajua lkn kutafsiri takwimu au mwalimu wako wa hesabu ni polepole.
we ccm unawajua ww yan kesho inaeza panda had 150%Umaarufu umeshuka hiyo ni fact, just swallow it Mkuu, umeshuka kwa 41% ndani ya miaka 2 na nusu. kwa kasi hiyo ya kushuka mpaka ikifika 2020 nadhani unajua itakua asilimia ngapi?
Hujui maana ya sampling,so sio makosa yako!Halafu unaposema watu wazima ni zaidi ya mil 40,unamaana gani?Ndugu tz watu wazima ni zaidi ya milion 40 sasa TWAWEZA wanahoji takribani watu 1500 unategemea nini hapo kama sio utumbo haiwezekani ikakupa jibu sahihi hata siku moja.mmi sizishabikii tafiti kama hii hata kama Magu angepata %80 nisingeafiki.
Hehe we ndo utajiju, nipo nje nakula maisha sio kukaa mnapigwa jua na huyo mnunua ndege ambazo hazina wateja huku watu mnalia njaa.Utajiju!!
Dah! Nikiangalia majibu ya watu kwenye nyuzi hizi mbili na majibu yao leo, unaelewa kwa nini binadamu niwakuogopwa:
TWAWEZA: Idadi ya wanaomkubali rais Magufuli yashuka kutoka asilimia 96 hadi 71 mwaka huu
Utafiti wa Twaweza: Watanzania 96% wanampongeza Rais Magufuli
Mimi matokeo ya utafiti huu hayanishangazi kabisa.Watanzania tulifika mahali tukaona kwamba upigaji,utapeli,corner corner na madili ya kila aina ndiyo style ya maisha.Magufuli amekuwa shock to most Tanzanians.
Watanzania tuliowengi tuliamini mwanzoni kwamba he wouldn't go this far,and hence the high ranking initially!Hata hivyo ukweli umekuwa tofauti kabisa na expectations za wengi.Watu wengi upigaji, utapeli,corners na madili yao yamekatiliwa mbali to their surprise and hence the change of heart towards him.Frankly to me Magufuli anafanya vizuri sana,tatizo ni Watanzania.Kiukweli
Watanzania
tunahitaji kubadilisha our mindset, so that we can clearly perceive what is good for us.Kwa sasa most of us do not know what is best for us.Very sad indeed.
Mmm,kwa kiasi fulani uko sahihi, ila nadhani tuhuma zako hazihusu wasomi wote.Mimi huwa naamini kwamba wasomi wameliletea taifa hili maendeleo makubwa.Hawa unaosema hawajasoma na wameliletea taifa maendeleo kumbuka kwamba wanatumia tekinolojia za wasomi!Na hata hivyo sidhani pia kwa upande mwingine kamai agree with you: Binafsi pia usomi mwingi nao unakuaga tabu kwa watu, nchi hii imejaa wasomi wanaojua kupost matatizo mitandaoni kila siku na sio kuleta masuluhisho: Wananchi wa kawaida ndo wamekua wakifanya mambo makubwa nchi hii, wakati ambao wanaonekana hawajasoma waeshaenda kupiga kazi zao wasomi wetu wamekua mstari wa mbele kwenye uchochezi sana tunaelekea pabaya
watu wazima waliopiga kuraHujui maana ya sampling,so sio makosa yako!Halafu unaposema watu wazima ni zaidi ya mil 40,unamaana gani?
Sasa kama uko nje pilipili usiyoila yakuwashia nini?? Tuache tupigwe jua na wewe uendelee kubeba mabox na kusafisha vizee vya kizungu!!!Hehe we ndo utajiju, nipo nje nakula maisha sio kukaa mnapigwa jua na huyo mnunua ndege ambazo hazina wateja huku watu mnalia njaa.