UTAFITI: 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli 2018 toka 96% ya 2016

UTAFITI: 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli 2018 toka 96% ya 2016

Mungu mbariki Dr Shule
Maneno ya kutia moyo kama haya ndio yanayotakiwa, ingawa wengi tushangaa ujasiri wa huyu Mwalimu hasa kipindi hiki, ila pia tunatakiwa tumpe moyo kwa ujasiri huu wa kipekee.
 
mwanamke msomi na jasiri, wangekua wengi sizonje asingejua aanze na yupi amwache yupi.
nimependa sana UKWELI aliouongea
 
Dr aanze kutafuta ajira vyuo binafsi tu,maana ataundiwa zengwe.

Nakumbuka [HASHTAG]#KibokoYaMashangazi[/HASHTAG] aliwahi kusema kuna Dr mmoja UDOM alikuwa anamsemasema akafukuzia mbali.
 
Aisee yupo uraiani kama Mwigulu Nchemba? Kweli Mungu hanywi chai!
teh teh ee.. Alipata wadhamini wawili wakazi wa iringa na mfanyakazi wa serikali wote watatu wakasaini bond ya mil 5 jamaa akawa huru ila kesi yake bado haijaisha!
 
Maneno ya kutia moyo kama haya ndio yanayotakiwa, ingawa wengi tushangaa ujasiri wa huyu Mwalimu hasa kipindi hiki, ila pia tunatakiwa tumpe moyo kwa ujasiri huu wa kipekee.
Tusisikie ameuawa tu , maana kila anayekosoa hawi salama , Hivi sasa viongozi wa TWAWEZA wanaishi mapangoni !
 
Uwa najiuliza pale wanapokuwa wamewekwa kati na watu wasiojulikana, wanakuwa na ujasiri huu huu au reality inawa hit?
 
Baada ya muda atatumbuliwa
Kwanzia leo mpaka mwezi wa 8 mwishoni ata trend
Mwezi wa9>>>> 2019 tushamsahau
HASARA KWA NANI?
 
Zao la UFIPA unafikiri atampongeza mheshimiwa rais?
 
Back
Top Bottom