Wazee (76%) wana uwezekano mkubwa wa kusema wapo karibu na CCM kuliko vijana (49%);
Wanawake (63%) wapo karibu zaidi na CCM kuliko wanaume (53%); na wasio na elimu (66%) wapo karibu zaida na chama tawala kuliko wenye elimu ya juu (46%).
View attachment 1543983
Hiyo asilimia imepatikanaje? Hao wazee ni wangapi na sampling zimechukuliwa wapi? /isije kuwa ni kutoka Kolomije?Wazee (76%) wana uwezekano mkubwa wa kusema wapo karibu na CCM kuliko vijana (49%);
Wanawake (63%) wapo karibu zaidi na CCM kuliko wanaume (53%); na wasio na elimu (66%) wapo karibu zaida na chama tawala kuliko wenye elimu ya juu (46%).
View attachment 1543983
safari hii wameshikikaBuku 7 hawa, wapuuzi hawa ni tatizo kubwa sana Nchi hii.
Tumechoka na hadithi zenu sisi tunaangalia takwimu tukumbuka huyu huyu twaweza alisakamwa kwa kusema magufuli hakubaliki! Hivyo safari hii kaunga juhudi kama gwajiporn
Nenda ofisi za twaweza watakusaidia kuelewaHiyo asilimia imepatikanaje? Hao wazee ni wangapi na sampling zimechukuliwa wapi? /isije kuwa ni kutoka Kolomije?
Mimi baba yangu ana miaka 78 anakaa Masaki amesema hawezi kumchagua Gwajima bora awape Chadema kura.
Niwe nisiwe haijalishina wewe utakua miongoni mwa hao 66%. Nani kakwambia ni 66% ya wapiga kura.
Ndo maana JPM amerelax sana uchaguzi huu.kwa kuwa anajua kabisa akuna kisiki ni tambarale tu.Hapo Sasa
Kweli kabisa mkuuNdo maana JPM amerelax sana uchaguzi huu.kwa kuwa anajua kabisa akuna kisiki ni tambarale tu.
1995 Mrema Alibeba kura nyingi kanda ya ziwa kuliko Mzee Mkapa.Yaani wewe acha tu.Simiyu enzi hizo hawakusita kumpigia John Cheyo kura. Ila hiyo ilikuwa ni Bariadi tu na vile aliwaahidi kuwajaza mapesa.
🤣 🤣 🤣Only mental disordered youth will vote for CCM candidate
Nadhani mazwazwa ndio wanaunga mkono upinzani, kwa kigezo kimoja tu demokrasia ndani ya vyama iko vizuri zaidi CCM kuliko vyama vingine, na vipo vingine mpaka leo ni vyama mtuinshort Mazwazwa ndiyo wanaunga mkono CCM
I will convince my community both educated and uneducated to cast their votes on kwa TALWazee (76%) wana uwezekano mkubwa wa kusema wapo karibu na CCM kuliko vijana (49%);
Wanawake (63%) wapo karibu zaidi na CCM kuliko wanaume (53%); na wasio na elimu (66%) wapo karibu zaida na chama tawala kuliko wenye elimu ya juu (46%).
View attachment 1543983
Mapunguani,au tuwaite Nincompoopinshort Mazwazwa ndiyo wanaunga mkono CCM