UTAFITI: 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli 2018 toka 96% ya 2016

UTAFITI: 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli 2018 toka 96% ya 2016

Tatu tunaangalia ushirikiano na mabeberu
 
Nne muhakikishe kodi documents hazijakosewa hata kuchanganywa herufi kubwa na ndogo
 
.............Hawatafungiwa kweli hawa maana wapo watu kuusikia ukweli hawataki!!!

Au Lumumba Buku7 mnasemaje?
 
Inaweza kuwa kweli maana kwa maisha haya miaka 60 unakuta mtu anashabikia hicho chama
 
Tutawanyoosha siyo kwa kudhalilisha jezi huko
 
Vijana wenye mahaba na upinzani 49%.
Kwenye hii 49% ni vijana wa vyama vyote wapo humo. Cuf,Cdm,Act,Nccr n.k.
 
Mtaji wa CCM ni ujinga wa wananchi(wasio na elimu) Singida, Dodoma, Morogoro, Tabora, Kigoma, Rukwa, Katavi, Shinyanga, Simiyu, Geita, Pwani, Songwe, Njombe, Lindi, Ruvuma, Mtwara na Tanga.
 
Mpaka Simiyu wameelimika basi tunafanya kazi si haba 😍
Yaani wewe acha tu.Simiyu enzi hizo hawakusita kumpigia John Cheyo kura. Ila hiyo ilikuwa ni Bariadi tu na vile aliwaahidi kuwajaza mapesa.
 
Back
Top Bottom