Incredible
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,031
- 1,603
Wewe achana na hizo tafiti hewa. Hizo kila kipindi cha uchaguzi uandaliwa ili kushusha tension na ili tume iweze massage results. Second term ya JK ziliwekwa na bado Slaa alishinda. First term ya jiwe hivyo hivyo na bado mamvi akashindaUjinga, upumbavu wetu ndio mtaji wa ccm. lkn safari hii miaka 5 tumeungua matako, tumejitambua