[emoji23] [emoji23] [emoji23] hata mimi mkuu, wanichome tu hata sindano ya kichwani lakini sio mambo ya kushikana makalioMara ya mwisho kuchoma sindano ilikuwa mwaka 99,tena kwenye chumba cha upasuaji na baada ya kuvutishwa ile nusu kaputi,mpaka leo,staki kabisa kusikia hiyo kitu.kama ni dawa nipewe nimeze/ninywe au nipake kwan kunaulazima gani dawa ipitie matakoni?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ngoja nicheke kwanza halafu nitasema lolote baadaeHuu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.
Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?
Naomba niwape multiple choices
a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.
Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?
Naomba niwape multiple choices
a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
Mtoto wa kiumeni Na mafuta wapinawapi wee kama umezoea kupaka kiboga mafuta pakatuuAcha kutudhalilisha bana...
Napata sanaa tena sanaaMtoto wa kiumeni Na mafuta wapinawapi wee kama umezoea kupaka kiboga mafuta pakatuu
Sie wagumu bn na ni moja ya tabia kutofautixha kati ya mwanaume na mwanamke tn km mm hata usoni hua sipakai lbd nikienda mkoanHuu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.
Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?
Naomba niwape multiple choices
a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
Haloo kupakatwa mbona kawaidaPakaa tuu upakatwe