ndoze
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 1,187
- 1,108
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hata mimi mkuu, wanichome tu hata sindano ya kichwani lakini sio mambo ya kushikana makalioMara ya mwisho kuchoma sindano ilikuwa mwaka 99,tena kwenye chumba cha upasuaji na baada ya kuvutishwa ile nusu kaputi,mpaka leo,staki kabisa kusikia hiyo kitu.kama ni dawa nipewe nimeze/ninywe au nipake kwan kunaulazima gani dawa ipitie matakoni?