UTAFITI: 99% ya wanaume tangu waache kuogeshwa na mama zao hawajapaka makalio yao mafuta

UTAFITI: 99% ya wanaume tangu waache kuogeshwa na mama zao hawajapaka makalio yao mafuta

Mara ya mwisho kuchoma sindano ilikuwa mwaka 99,tena kwenye chumba cha upasuaji na baada ya kuvutishwa ile nusu kaputi,mpaka leo,staki kabisa kusikia hiyo kitu.kama ni dawa nipewe nimeze/ninywe au nipake kwan kunaulazima gani dawa ipitie matakoni?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hata mimi mkuu, wanichome tu hata sindano ya kichwani lakini sio mambo ya kushikana makalio
 
ili iweje
bandidu.jpg
 
Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.

Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?

Naomba niwape multiple choices

a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Ngoja nicheke kwanza halafu nitasema lolote baadae
 
Jaman sioni ajabu ni hulka ya MTU ila sio dhambi kujipaka mafuta makalioni maana ni sehemu ya mwili
 
Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.

Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?

Naomba niwape multiple choices

a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta

Upake mafuta makalio ili iweje [emoji15]
Maana kazi ya mafuta ni kuranisha na ngozi iwe nyororo [emoji28]
Mi sitaki hiyo [emoji28][emoji28]
 
Manesi chomeni sindano mikononi tuu uko ketioni hataa... na mafuta sijawahi pakaa nikiwa na akili zangu toka utoto na sipaki dadeq, huo unyororo kwa ketio auone nani labda na akiwa anatafuta nini? Labda kama anatafuta kwa kufia.
 
Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.

Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?

Naomba niwape multiple choices

a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
Sie wagumu bn na ni moja ya tabia kutofautixha kati ya mwanaume na mwanamke tn km mm hata usoni hua sipakai lbd nikienda mkoan
 
Hahaha!! Nikweli kabisa hata mie sijui kama niliwahi kupaka. Hahahaaaa! Lakini huyu mtafiti alitaka kujua nini hasa au lengo la utafiti ni lipi?
 
Back
Top Bottom