UTAFITI: 99% ya wanaume tangu waache kuogeshwa na mama zao hawajapaka makalio yao mafuta

Hahaa ..na mwili huo mpaka umalize kupaka umeshamaliza dakika 45 nzima kwenye kupaka mafuta tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
lakini wanaume wa Dar wanapaka sana mafuta kwenye makalio yao
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚..nimecheka kama mazuri jmn,khaa
 

🀣🀣🀣🀣dah nimecheka wese ni jingi sana duh
 

🀣🀣🀣🀣jf ni tatizo
 
Kwa namna hii sina uhakika kama uchumi wa viwanda utafikiwa. Mafuta kwenye makalio ili nini? au huwa kuna maonesho ya hayo maeneo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…