Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] tena ukisema uchungulie na huko utakutana na viumbe wa ajabuNa ule mfereji wa makalio haujawahi oshwa vyema.
Jamani amesema yeye ni nesi, kwenye kuchoma sindano ndio hukutana na hizo hali za watu walio kakamaa makalioWw kila ME unayekutana nae unampapasa makalio?, yaani hao wanaume wanaokuwa tayar kupapaswa makalio sio riziki pole yako.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah umenichekesha sanaoh my God! sikumbuki lini nilipaka makalio yangu mafuta. na sio makalio tu, mgongo,tumbo,mapaja,naniliu(mjomba) etc. nilijaribu kwenda kwenye massage palour fulani, walinipaka hayo mafuta lakini niliishia tu kufanya ngono zembe Mungu akaniokoa na ukimwi siku hiyo, ila nikioga nyumbani sehemu pekee ninayopata mafuta ni usoni na mikononi na kichwani mara chache. na kwa jinsi nilivyo busy kufukuzana na muda hata mke wangu anapata shida kunikumbusha umepaka mafuta usoni?hahahaha, manake anajua ninaweza nikaondoka hata usoni sijapaka. sioni umuhimu kupaka paka mafuta. ilitokea siku moja nipo mkoani, si nikajua niko dsm, nikaoga vizuri sijui kama nimebabuka usoni kwa baridi...nikaulamba nikatoka mbio kwenye shughuli zangu, sasa kila ninayekutana naye naona ananiangalia sana usoni nikajua wamenifananisha, ilikuwa asubuhiasubuhi, kesho yake nikasema nijiangalie usoni kwenye kioo cha kulekule gesti pengine nitakuwa na mwonekano mbaya au nina ngeu mbona wananiangalia sana...dah? kuja kugundua, kumbe kwasababu ya joto la dsm na vipelepele vya joto usoni sometimes, ukienda mkoani vile vipele vinafanya kama mabakamabaka usoni....watu wanaweza kufikiri una ugonjwa wa ngosi...hahahahaha.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah jamani mtuhurumie mbavu zetu,.....Una kalio kubwa sana hadi kuhitaji staili ya kupaka wese?
Anazingua huyu amwambie bwana yake awe anapaka.Unapaka ili kulainisha nini sasa?
Angalia nduguuu! Kuwa makini!!!Ni hobby tu wala sio ushoga
Mtoa mada hajaweka wazi huko wapi?
Hakuna haja yoyote, kwa mwanaume kupaka makalio mafuta.Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.
Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?
Naomba niwape multiple choices
a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
Umesahau kituHuu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.
Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?
Naomba niwape multiple choices
a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
[emoji3]Duh....dume zima unaanzaje kupaka mafuta kwenye 'maketio'? Na vile yamejaa manywele!😀😀