Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Hata mikoani wapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau kumeza Azuma[emoji3][emoji2][emoji3][emoji2][emoji23] Mapema kabla haijachanganya.Sasa hizo Hela mnazohongwa huwa mnazipeleka wapi Dada zetu hadi mnatutesa hivi tukija Kulala nanyi Mlikopanga?
Kumbe ndiyo maana hata tukiwaombeni Kuwatembeleeni mlikopanga mnakataa?
Nimesikitika mno kwani unakutana na Mdada Mremho, Kavalia vyema na Kajipulizia Pafyumu Kali kumbe akirejea Kwake analala Sakafuni na Godoro lake huku akiwa hana Kitanda.
Yafuatayo ni Maeneo ambayo Wadada ( Wanawake ) Wengi Watanashati ( Masista Duu ) wanaishi ila Wanalala chini na hawana Vitanda.....
1. Tabata
2. Goba
3. Mbezi Lois
4. Bunju
5. Ubungo
6. Mbagala
7. Kawe
8. Tegeta
9. Yombo
10. Mwananyamala
11. Tandika
Naomba niishie hapa Kwanza nikatafute Dawa ya Kuchua Maumivu ya Mgongo kwa Kulala Sakafuni Godoroni Usiku Kucha na kuyapumzisha Magoti yangu yaliyosumbuana mno na Godoro lililokuwa linakaribia tu kuwa kama Sakafu wakati nikiitafuta Hat Trick ya Kibaiolojia ya Mayele na Zengeli kwa Mwenye Chumba chake.
Ila siyo Mikoa ya Mara ( Musoma ) kwa Wazanaki na Mtwara ( Masasi ) kwa Wamakuwa iliko Asili yangu GENTAMYCINE.Hata mikoani wapo
Yeah.....!!Genta katika Moja na mbili
Yaani kwenye u-short tempered, GENTAMYCINE anaongoza humu JF..!! Na ana mitusi ya ndani na nje ya nguo, ya ndani na nje ya ukoo..!!Hahaa short tempered
Kumbe mla panya..!!Ila siyo Mikoa ya Mara ( Musoma ) kwa Wazanaki na Mtwara ( Masasi ) kwa Wamakuwa iliko Asili yangu GENTAMYCINE.
Kwanini isiwe huko?Ila siyo Mikoa ya Mara ( Musoma ) kwa Wazanaki na Mtwara ( Masasi ) kwa Wamakuwa iliko Asili yangu GENTAMYCINE.
Kwaki hukusikia kauli ya watu wa daslama kuwa kwao cha muhimu ni kuvaa vizuri(kupendeza) na luwa na simu kali??
Hawatoki Mapopoma kama Wewe.Kwanini isiwe huko?
Kumbe mla panya..!!
Kwanini mpaka leo Ombi langu la Mimi na Wewe kuwa tunajibizana ( hapa JamiiForums ) kwa Lugha ya Kiingereza usiyoijua bado hujalijibu?Hawezi kuelewa maisha ya Dar kwa sababu yeye ni bushman anaishi mkoani.
Kama ni mwalimu basi ni hatari
Na wakati MASASI unafanya kujiokotea tu..!! Mke wa mtu akipelekwa kwenye kesi ya kutoka nje ya ndoa, utamsikia..NDUGU NJUMBE, KUNNYIMA NTU NA KITU NNACHO, NNAONA HAYA MIEE..!!Kwanini isiwe huko?
Kama kawaida yako, kwa kutwist mambo hujambo..!! Hapa ushahamisha magoli tayari..!Kwanini mpaka leo Ombi langu la Mimi na Wewe kuwa tunajibizana ( hapa JamiiForums ) kwa Lugha ya Kiingereza usiyoijua bado hujalijibu?
Uzi wa EnglishKwanini mpaka leo Ombi langu la Mimi na Wewe kuwa tunajibizana ( hapa JamiiForums ) kwa Lugha ya Kiingereza usiyoijua bado hujalijibu?
Bila kuwataja wadada wa keko ya magurumbasi wanaokula bata hapo King palace daily , naamua kusema haujawatendea hakiSasa hizo Hela mnazohongwa huwa mnazipeleka wapi Dada zetu hadi mnatutesa hivi tukija Kulala nanyi Mlikopanga?
Kumbe ndiyo maana hata tukiwaombeni Kuwatembeleeni mlikopanga mnakataa?
Nimesikitika mno kwani unakutana na Mdada Mremho, Kavalia vyema na Kajipulizia Pafyumu Kali kumbe akirejea Kwake analala Sakafuni na Godoro lake huku akiwa hana Kitanda.
Yafuatayo ni Maeneo ambayo Wadada ( Wanawake ) Wengi Watanashati ( Masista Duu ) wanaishi ila Wanalala chini na hawana Vitanda.....
1. Tabata
2. Goba
3. Mbezi Lois
4. Bunju
5. Ubungo
6. Mbagala
7. Kawe
8. Tegeta
9. Yombo
10. Mwananyamala
11. Tandika
Naomba niishie hapa Kwanza nikatafute Dawa ya Kuchua Maumivu ya Mgongo kwa Kulala Sakafuni Godoroni Usiku Kucha na kuyapumzisha Magoti yangu yaliyosumbuana mno na Godoro lililokuwa linakaribia tu kuwa kama Sakafu wakati nikiitafuta Hat Trick ya Kibaiolojia ya Mayele na Zengeli kwa Mwenye Chumba chake.
Cha muhimu wote wamepata usingizi, wakaamka salamaSasa hizo Hela mnazohongwa huwa mnazipeleka wapi Dada zetu hadi mnatutesa hivi tukija Kulala nanyi Mlikopanga?
Kumbe ndiyo maana hata tukiwaombeni Kuwatembeleeni mlikopanga mnakataa?
Nimesikitika mno kwani unakutana na Mdada Mremho, Kavalia vyema na Kajipulizia Pafyumu Kali kumbe akirejea Kwake analala Sakafuni na Godoro lake huku akiwa hana Kitanda.
Yafuatayo ni Maeneo ambayo Wadada ( Wanawake ) Wengi Watanashati ( Masista Duu ) wanaishi ila Wanalala chini na hawana Vitanda.....
1. Tabata
2. Goba
3. Mbezi Lois
4. Bunju
5. Ubungo
6. Mbagala
7. Kawe
8. Tegeta
9. Yombo
10. Mwananyamala
11. Tandika
Naomba niishie hapa Kwanza nikatafute Dawa ya Kuchua Maumivu ya Mgongo kwa Kulala Sakafuni Godoroni Usiku Kucha na kuyapumzisha Magoti yangu yaliyosumbuana mno na Godoro lililokuwa linakaribia tu kuwa kama Sakafu wakati nikiitafuta Hat Trick ya Kibaiolojia ya Mayele na Zengeli kwa Mwenye Chumba chake.
Majanga tupuNakazia
Sasa hizo Hela mnazohongwa huwa mnazipeleka wapi Dada zetu hadi mnatutesa hivi tukija Kulala nanyi Mlikopanga?
Kumbe ndiyo maana hata tukiwaombeni Kuwatembeleeni mlikopanga mnakataa?
Nimesikitika mno kwani unakutana na Mdada Mremho, Kavalia vyema na Kajipulizia Pafyumu Kali kumbe akirejea Kwake analala Sakafuni na Godoro lake huku akiwa hana Kitanda.
Yafuatayo ni Maeneo ambayo Wadada ( Wanawake ) Wengi Watanashati ( Masista Duu ) wanaishi ila Wanalala chini na hawana Vitanda.....
1. Tabata
2. Goba
3. Mbezi Lois
4. Bunju
5. Ubungo
6. Mbagala
7. Kawe
8. Tegeta
9. Yombo
10. Mwananyamala
11. Tandika
Naomba niishie hapa Kwanza nikatafute Dawa ya Kuchua Maumivu ya Mgongo kwa Kulala Sakafuni Godoroni Usiku Kucha na kuyapumzisha Magoti yangu yaliyosumbuana mno na Godoro lililokuwa linakaribia tu kuwa kama Sakafu wakati nikiitafuta Hat Trick ya Kibaiolojia ya Mayele na Zengeli kwa Mwenye Chumba chake.