Utafiti Binafsi: 85% ya Wanawake ( hasa Masista Duu ) wa Dar wanalala Sakafuni Walikopanga na hawana kabisa Vitanda

Utafiti Binafsi: 85% ya Wanawake ( hasa Masista Duu ) wa Dar wanalala Sakafuni Walikopanga na hawana kabisa Vitanda

Anzisha

Uzi wa English
Ili Umkodi Mtu anayejua Kiingereza ambacho hukijui na awe anajibizana na Wordsmith Mimi GENTAMYCINE?

Pimbi kweli kweli Wewe. Hujui Kiingereza.
 
Hizo pesa za kumantain uzuri ndio shida ya wanawake ....Tena wanaoa wanawake hawa wakuweka kucha bandia mara mawigi kila wiki wanapata cha moto .

Honestly ,wanatumia pesa kujiweka sokoni mfano kununua vipodozi na mapambo na kingine kwenda kweny mahotels kula na kupiga picha ili waonekane wa hadhi za juu kuvutia watu weny pesa.
 
Huyu sister duu wangu yeye yuko tofauti yeye ana kitanda ila godoro hana anatupia mabox na manguonguo,picha za vitanda anapost akienda kukazwa gest,ila maisha yake kwa nje ni mazuri

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Alafu wao kikubwa wawe na sim kali basi

Ova
 
Muheshimu sana mtu aliyepanga chumba na kuna kitanda na godoro na mashuka na neti yani heshimu sana maaan huwa ndio Kimbolton la kijana wa gheto anapopqta shida huwaza kuuza godoro na kitanda
 
Back
Top Bottom