Utafiti Binafsi: 85% ya Wanawake ( hasa Masista Duu ) wa Dar wanalala Sakafuni Walikopanga na hawana kabisa Vitanda

Usisahau kumeza Azuma[emoji3][emoji2][emoji3][emoji2][emoji23] Mapema kabla haijachanganya.
Madem wa uswahil ndio wenye hayo machangamoto
 
Hawezi kuelewa maisha ya Dar kwa sababu yeye ni bushman anaishi mkoani.
Kwanini mpaka leo Ombi langu la Mimi na Wewe kuwa tunajibizana ( hapa JamiiForums ) kwa Lugha ya Kiingereza usiyoijua bado hujalijibu?
 
Bila kuwataja wadada wa keko ya magurumbasi wanaokula bata hapo King palace daily , naamua kusema haujawatendea haki

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Cha muhimu wote wamepata usingizi, wakaamka salama
 

Sasa si uwanunulie,acha kuwananga mana usingizi ni ule ule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…