Ningependa nikuulize swali eti Mwanamke akijifungua muda gani anatakiwa akae mpaka aje kufanya tendo la ndoa? Maana kuna kauli tunasikia kwamba Mwanamke akishajifungua anatakiwa akae angalau miezi 3 mpaka 6 ndio hamu ya kufanya mapenzi inakuja je kuna ukweli wowote kwenye hili au kama sio kweli ebu tudadavulieNdivyo ilivyo kwangu Mimi binafsi
Ni kweli mwanamke akitoka kujifungua hamu hupotea, zile purukushani za uzazi jumlisha hormones zimevurugika huwa hamu haipo kabisa.Samahani nina swali baada ya mwanamke kujifungua muda gani akae mpaka aje kufanya tendo la ndoa? nimekuuliza hili swali kwasababu kumekuwa na kauli kwamba Mwanamke akishajifungua hamu ya kufanya mapenzi inapotea so anatakiwa akae angalau miezi 3-6 ndio hamu ya mapenzi inamjia je hili lina ukweli?
Asante kwa maelezo mazuri ulionipaNi kweli mwanamke akitoka kujifungua hamu hupotea, zile purukushani za uzazi jumlisha hormones zimevurugika huwa hamu haipo kabisa.
Wakulungwa wengine wanashauri baada ya siku 40 mechi zipigwe, wengine wanashauri miezi mitatu, wengine 6, wazee wa zamani Kwa hofu ya kubeba mimba nyingine walishauri Hadi mtoto atembee....
Ushauri wangu ni wenza wenyewe kujadiliana lini warudi pitch...Kama 40 imeisha, vidonda vimepona ni kujadili tu lini ligi ianze π
Mawazo yangu ni ya mrengo wa kushoto ila nitayawekaje hapa na heading inasema wanawake waje wapinge πWew unachangiaje mkuu??
Weka uthibithisho...Ndivyo ilivyo kwangu Mimi binafsi
Yangu macho kwenye comments...Changia uzi
Ukweli ni upi?ππππππ Urongo mtupu
Kwenye comments..Mwil na mbususu unaviacha wap ??
Me bado mtoto, sina majibu πUkweli ni upi?
Ila usiku unakuaga na majibu...Me bado mtoto, sina majibu π