UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Nasali kwa lugha niijuayo kwani kila kitu kuanzaia step ni zilezile tuu..timetable ni ileile..wala sihitaji onge akichina popote.NI protocol tuu.....sijui kwanini Allah sasa asiwaumbe wote mkiongea kiarabu?
Eeeehhh kumbe kuna step makubwa na kwanini Yesu ambae ni mungu asiwaangamize wale waliokuwa wamemtundika
pale msabani wakati yeye mwenyewe amewaumba? huyu mungu atakuwa mzembe sana kiumbe amuumbe mwenyewe halafu
huyo huyo kiumbe amuadhibu aibu"shame on you"
 
Hata kama profesa mkristo hujuwe hana hoja za msingi juu ya uungu wa yesu ukimuliza baada kufa yesu dunia ilibaki na nani muda wa siku 3
 
kama neno lilikua limeandikwa lingetimia tu,hakukuwepo ulazima wa kujifichaficha,binadamu hangeweza kuzuia mipango ya mungu,kwanini ajifiche?.

Hata baada ya kusemekana kafufuka alikua anaonekana kwa machale sana,akìhofia kuonekana whyyyyy?.
Yesu akifundisha kwenye sinagogi,sinagogi wanaabudi judaism sio christian,ndo kusema alishindwa hata kuanzisha kanisa la maturubai la kuabudia wafuasi wake.?jibu ni kuwa hakua mkirsto,ndo maana hata wakristo wakaja kuitwa hivyo pale antiokia kwa juhudi za paul.
 

Mbona yote uliyoandika ni ya kukaririshwa tuu.....ungesona na mistari kdhaa inayofuatia....mpo desperate sana ,kutete ujinga wenu..mpo tayari hata kukufuru kwa vile nyie si wa Mungu wetu..Mnadanganya kuwa hivyo il sivyo.Ndio maana hamna ch akupoteza linapokuja suala la kufuru.

So km alikataaliwa na wewe unataka nasi tumkatae?
 

Tumeshawapa maana ya kristo!
NARUDIA TENA!
kwa mujibu wa andiko!

MAANA YA KRISTO NA MPAKWA MAFUTA!

SASA UKISEMA KRISTO (MPAKWA MAFUTA ) KAFUNDISHA UKRISTO!

HUJATOA JIBU BADO!
NA KAMA JIBU NDILO HILO INAMAANA UNATAFSIRI UKRISTO KAMA UPAKWAJI WA MAFUTA??
au unaweza kutupa maana halisi ya UKRISTO!
AU PIA NA HILO HULIJUI??
 
Walikua wapi siku zote hizo?

Mkuu tukiwapeleka mbio sana watapata sababu, acha twende nao taratibu tu, ndio maana nimeuliza, kama wanataka muda wa kutosha, malalamiko ya awali yalitokana na tafiti ipi? Njia ya Muongo fupi, acha wajikanyage tu
 
unayo shida..unaandika pumba ,halafu unajipa conclusion mwenyewe.

Wewe usieandika pumba mbona hujibu hoja zaidi ya ku criticize hoja za wenzako??
Au leo mbege imezidi ukali??
 
Sasa mkuu we hujui kuwa hawa wagalatia Eiyer na mwenzake Nicholas wanajiita ni waisraeli kiroho!
Japo mmoja ni msukuma na mwingine mchaga?
Hapa utakesha!

Teh teh teh!

kwa taarifa yenu uislam ndio unayotaka shawishi hapa....hapo juu wenyewe mmekomaa kuwa Kiarabu ndio lugha yenu , muhamad naye alisem Quraysh ndio the choosen....sijui umetoka wapi km allah alikulete ukiongea lugha nyingine ,haalfu kakuletea maandishi kwa lugha nyingine huku akijua hata yako mwenyewe tuu usingekaa uulewe uislam.

Waislam wangeulewa uislam ungekuwa umefutika, wangefanya wise decision....wengi hawaelewi na,wanaoelewa wengi wanafaidika na matambiko kwa majinn....wewe unayo mangapi?
 

Aisee mkuu boko haram utaua namna hii!
Huyo mungu wao anatakiwa kuwa ni mwenye huruma! Sasa ukiwatolea siri zao namna hii utawanya waende kunywa tena ile damu ya bwana! Matokeo yake wanaweza pata ajali brbrni!
Taratiba baba! Watakimbia hawa tukose wa kuwapiga daawa!
 
Kwahiyo huyu mungu aliyetoa neno na huyu aliyepigiliwa msalabani na kudhalilishwa ni waungu wawili tofauti
baba mtumishi?

Huwezi pata picture kwa fikra za kiislam...mohamed alicopy tuu sifa za Jehovah ila hakuwa hata na clue maana yake nini....ndio maana si yeye wala nyingi mnaweza tambua ktk sifa za Mungu za kuwefa fanya mamabo mengi, ktk sehemu tofauti kwa pamoja.
 
Hivi akili hii uliyonayo wewe ndio umesoma? Hujui kama hakuna mtu yoyote ambaye halipi kodi? Ukinunua chochote,unga, sukari,mchele,mafuta nk.unalipa kodi,ukilipia huduma yoyote,ukilipa nauli,ukilipa bili ya maji,umeme,ukinunua vocha ya simu nk,unalipa kodi.Hakuna mtu asiyelipa kodi.Hata hizo kodi kubwa zinazolipwa na makampuni,viwanda na biashara binafsi,wa mwisho kubeba mzigo wa kodi ni mlaji,ambaye ndiye huyo unayesema wewe halipi kodi.Someni,acheni kununua vyeti.
 

udhalimu wapi sasa..km watu wanafanya mamabo yao kwa faida zao na wengine mayatima ktk uzalishaji km nyie nin kinawauma?We all know islam is jealousy and has a strong feelings of rejection,,tangu ishmaele alipoondoloa na mamaye ili kutomzonga mtoto halali,kilimuuma sana,ndipo shetani akamchukua kumpa hifadhi.

NI hiyo spirit zinazofanya islma ikose "self esteem"..kazi ni kuua watu wati kwa vile hawajasema kuwa dini yenu ni nzuri...imagine mwanamume anayekataliwa na wanawake kwa sababu sura yake haivutii..huku akijiona ana hela, akijiona kuwa al-maaruf ,reaction yake kwa waliomzidi..


Islam imeipa dunia kitu gani cha kujivunia?hata Tanzania tuu hamjaweza toa hospital moja mzuri, shule moja nzuri na chuo kikuu kimoja kizuri.Shame on you bado mnawea kwa watu huku mkitumia nguvu.
 
Na wewe unaona umeandika kitu chenye maana kumbe wewe ndio -------- mnene
samahani lakini ila wewe ni mpuuuuuziiiiiiiiii

Mi siwezi kuendelea kubishana na wewe maana wakati wewe na wenzako mnasubiri tende za bure na nyama za ngamia (ule msimu wenu ukifika) ili mchakachue, wale mnaowalalamikia wanajenga mashule na mahospitali!

Wakati nyie mnagombana kumuondoa mufti, na kutuhumu wenzenu kuwa waliuza viwanja ambavyo inasemekana vilikua mali yenu, wenzenu wananunua viwanja kule mnakoona ni maporini na kuvipima ili kuvimilliki kihalali!
..btw,hivi ulishajiuliza kwa nini viwanja vingi vya makanisa havina migogoro?!

Wakati 'mkikomaa' na Baraza la Mitihani eti ili kumuondoa Katibu kwa madai kuwa elimu ya kiislamu imehujumiwa kwa wanafunzi ambao wamefeli masomo mengine pia hadi lugha yao ya taifa, wenzenu wanafanya mikakati ya ufaulu kwa kuajiri walimu zaidi na wanajenga maabara za masomo ya sayansi ili kuwezesha kujifunza kwa vitendo.

Sasa katika hali kama hii kutegemea mlingane utakua ni muujiza wa tisa wa dunia!!
 

Sasa hapa imeongea nini!?
Ai basi tu kwa sababu hakuna kulipia humu. Unaamua kujaza kurasa tu!

Hebu nionyeshe kwenye encyclopedia yoyote duniani inayosema KUNA LUGHA INAYOITWA KIKUREISHI!!
Basi kwa sababu mdomo mali yako ndio unaamua kuropoka tu!?
 
Huwezi pata picture kwa fikra za kiislam...mohamed alicopy tuu sifa za Jehovah ila hakuwa hata na clue maana yake nini....ndio maana si yeye wala nyingi mnaweza tambua ktk sifa za Mungu za kuwefa fanya mamabo mengi, ktk sehemu tofauti kwa pamoja.
Kama amekopi,mbona,hakupigiliwa misumari,na akatandikwa mijeledi,ila yeye Muhammad,alikuja kukanusha tendo hili la Yesu kudhalilishwa,na kusema hakufanyiwa tendo ovu hilo.Someni,acheni tabia ya kutafuta vyeti fake,halafu mwasema mumesoma.
 
mkuu sijakaririshwa,ngoja sasa nikuambie,mimi nimeanza kusoma mambo ya yesu nikiwa bado kinda,niko la kwanza,tukiishi kotasi,kipindi hicho mashirika ya kikristo bado yanagawa bible na vijitabu vidogovidogo vya michoro ya yesu bure.mamangu was a christian na pale kotas kulikua kuna rotate ya maombi leo kwa fulan kesho kwa fulani.mzee wangu kuwa mtu wa masafa mother alikua free kuwainvite wana maombi kuja kusifu na kuomba.

As for me i liked reading,so nilikua nasoma kila kitu including majarida ya yesu.so najua naongea nini.
 
Mchungaji eti kwenye biblia inasema Mungu alipokuwa anaumba dunia siku ya sita alipumzika kwa uchovu?

Hujui usemalo kachambe uwape majinn mavi..ukiingia usisahau wapigia hodi majinn....uwaombe kuingia...


Nimekuambia wachungaji hawana sanamu ya Bikira Maria..hujaelewa kwa vile umekaririshwa usivyovijua....Na hta nilivyokujibu hukujua.CUF walichemka hivyo na nilikuwa mtu wa kwanza kuweka hap JK uhuni wa CUF kuweka mchungaji bandia....

BY the way Wakristu wana nguvu ya kifikra na kiroho ambayo waislam hawana....Ndio maan waislam wanaweza washa na kutumwa kwa maneno tuu wakageuka kuwa wanyama waharibifu.....Kudhalilishwa na kukashfiwa alikofanyiwa Yesu ,Mohamed na wafuasi wake hawawezi withstand........

Ndio maana mnaona raha kudhalilisha,kufanyia mizaha wengine.......ila katuni moja ya Mohamed..dunia itawaka moto...kind of funny...
 

We kijana huna shukarani kabisa!
Rejea hutuba za yule muasisi wa MFUMO KRISTO! utamsikia yeye mwenyewe akikubali kuwa bila waislamu nchi hii hadhani kama ingepata uhuru!
We inadhani back in 1960s Kulikuwa na wagalatia wangapi??
Yaani ukiwapakia wa nchi nzima hata mabasi mawili hawafiki!!

Halafu kuhusiana na waislamu kuwa jealous!
Nadhani jealous ni nyie ambao mnatumia vyeo na nyadhifa za serikali kufelisha waislamu na kuwadhalilisha waislamu ktk masuala ya ajira na promosheni mnapeana kwa upendeleo!
Imefikia kipindi mnauwa waislamu kwa visingizio tofauti! Tumeyaona mwembechai na kule zenji!
Sasa na sisi tukianza kurivenji msije sema sisi wabaya! Mnaanza wenyewe na hivi karibuni tu na sisi tutamalizia!
Nyie endeleeni kuua ndugu zetu tu!
 

Acha wehu wewe, ..unataka mdanganya nani hapa wewe kilaza.......mbona mpo low sana?Sasa wewe ufnaya bishara usilipe kodi , hadi ukienda nunua vitu vy amatumizi njiani ndio useme umelipia kodi huko?

ooops.....mnayo shida ktk hiyo dunia yenu.
 
mi nauliza,kwani hizo maabara hufundisha wanafunzi wa kikristo peke yake?.

Unataka tuamini kuwa mashule na vyuo vya wakristo huwa yanabagua kudahili,kwamba ukiwa mwislamu hawakuchagui.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…