tunatofautiana kwa hoja ingawa saa ingine wengine wanapanic sana.Nadhani dizaini hii ya malumbano ambayo mmeanza kuyafanya; mwishowe mtaanza kutukanana na mwishowe mtakula ban! au uzi utafungiwa. Ni bora tukajikita kwenye mantiki ya uzi wenyewe.Wakati fulani ukiona mtu anakupeleka kwenye sehemu itakayoleta shida; usikubali kwenda.
Unamaoni yoyote kwa mada husika nje ya hayo unayohubiri?Hivi Yericko mimi naona una ugonjwa unaoitwa"AMNESIA" wewe si ulikuwa unamsapoti kamanda mwenzako
na kumpa kichwa wakati anamwaga injili unafiki unakusaidia nini dogo shetani analo Nicholas sisi ukitoka nje
ya mada na sisi tunatoka hivyo hivyo tutafika tu.
Unashindwa predict muhamad atakuw wapi saa hii....angalia matendo yake, halafu ifikirie kauli yake.....ANAJIITA MFANO BORA KABISA WA MANKIND, HALAFU PIA NASEMA HAJUI HUKUMU YAKE ITAKUWEJE.Kiongozi asiyejua njia wala mwishow a safari...halafu anasema kuwa mfano bora..sijui alikuwa kichaaa au mnaomfuta ndio vichaa?
hamna mimi sileti kejeli,nachoshangaa hapa ni kuwa,kumbe kupaka mafuta wenye mamlaka ilikua ni desturi.hata samwel akampaka king david.Kristo Yesu aliyejifanya Mwanadamu ili neno litimie, alikuwa mpakwa mafuta kabla na baada na hata milele. Hakuhitaji kupakwa mafuta na mwanadamu yeyote ili neno litimie.
Nafikiri ungekuwa mtu wa kuelewa na unayetaka kujifunza, ungekuwa umeshaelewa. Lakini kwa sababu unaleta kejeli sasa, kwa heri.
Nimecheka sana kusoma kuwa kariakoo kuna madukani 489,125 fanya kila duka lina wafanyakazi 3, kariakoo peke yake tumepata ajira za watu 1,467,375.
Wewe tena unasema Dar es Salaam kuna ajira 876,981 kwa hiyo kariakoo peke yake imezidi ajira za serikali Dar es Salaam.
Cha kuchekesha unasema utafiti wako umeufanya 2011 lakini unaweka data za 2012.
Nimecheka sana kusoma kuwa kariakoo kuna madukani 489,125 fanya kila duka lina wafanyakazi 3, kariakoo peke yake tumepata ajira za watu 1,467,375.
Wewe tena unasema Dar es Salaam kuna ajira 876,981 kwa hiyo kariakoo peke yake imezidi ajira za serikali Dar es Salaam.
Cha kuchekesha unasema utafiti wako umeufanya 2011 lakini unaweka data za 2012.
Fact??!Yericko Nyerere anaonekana ameanzisha uzi huu kwa nia nzuri, kwa fact nzuri, na kwa namna bora kabisa. Katika bango lake; hakuna mahali alipoidhalilisha wala kuichafua wala kuwatukana watu wa dini yeyote. Hata hivyo kwa jinsi mjadala unavyoendelea, naona kuna watu washaubadilisha na kuufanya ni wakuchafuliana dini na kutukanana na kwa kiasi unaanza kupoteza muelekeo. Sioni kama ipo sababu ya mtu Kumchafua Mtume katika uzi huu, sioni kama ipo sababu ya mtu kumchafua yesu katika uzi huu, sioni kama ipo sababu ya kuwachafua waislam au wakristo katika uzi huu.Wakati fulani tujaribuni kutumia busara za kawaida tu.Ambao mnachafuana humu mnajijua.Ni bora mkiacha. Hakuna mtu anayefurahishwa na mnachokifanya humu hata mmoja.Ni bora mkatoa michango yenu kistaarabu kama uzi wenyewe ulivyo.
Unamaoni yoyote kwa mada husika nje ya hayo unayohubiri?
Kumbe Yesu alikufae.......!!!!!!!!!!
Waislam hawaoni aibu kusema uongo mbele ya hadhara kubwa kama hii ya hapa JF
Eli sio ALLAH
Eli ni sifa kama ilivyo Mungu sio jina la Mungu
Allah kwa upande mwingine haina tafsiri hata wao wanajua hili na huwa wanasema hivyo
Tatizo lao ni vilaza wanapostaka kujifananisha na Ukristo wanasahau wanachokuwa wanasema
Uongo huu nimeshausema hapo juu
Eli kwa kiarabu ni ilah sio Allah!
At this wanakubali kuwa Emanu-Eli ni Mungu pamoja nasi lakini kwenye suala la Yesu wanakataa,labda nikuulize wewe ulieandoka hapa
Hili jina alipewa nani na kwanini?
Acha uongo wewe mbona mnasemaga Allah haina tafsiri?
Unajua kuwa allah ilitoka wapi?
Usichokijua wewe kilaza ni kuwa hujui tofauti kati ya jina na sifa
El ni sifa sio jina
Jehova ni jina la Mungu
Hakuna mungu mwingine anaitwa Jehova
Allah ni jina la mungu wa waarabu wa kabila la ki-quresh
mungu huyu yupo makah hadi leo
Wahindu wana mungu wao
Waarabu wana mungu wao
Waisraeli wana Mungu wao
Budha wana mungu wao n.k
Kila kinachoabudiwa kupewa sifa ya uungu haijalishi ni kitu gani au ni Mungukweli ama la
Mungu wa waarabu anaitwa Allah
Mungu wa Waisraeli anaitwa Jehova
Leo wakipatikana watu wanakuabudu wewe watakuita mungu
Jina la Mungu wa Waisraeli ni Jehova maana yako ni NIKO AMBAE NIKO
Allah kwa upande wa pili haina tafsiri
Kwa waisraeli sifa ya Mungu inajulikana kama El na jina la Mungu ni Jehova
Sasa namuuliza huyu alieandika huu uha.ro hapa Kama Allah tafsiri yake ni mungu je jina la mungu kwa kiarabu ni nini?
Kma wapo ni kutokujua tu ndiko kunawafanya kumuita Mungu hivyo!
Uislam unaenezwa kwa njia kuu 2
1:Uongo
2:Ugaidi
Watu wakikataa kukubaliana na uongo wanatumia ugaidi kuwalazimisha!
Je mnayo ripoti yoyote mnayoweza kuja nayo hapa ili nami niwasome?Mkuu mi si nimemueleza huyu jamaa kuwa, wakati anaupanga huu uongo wake huko chumbani kwake alisahau kupiga hesabu au huenda hesabu hajui kabisa!
Teh teh teh teh!
Anasema wtt wa wakristo waliohitimu 2011 ktk 100% ya wtt wote walio hitimu kidato cha nne hapo Dar!
Eti watt wa kigalatia ni 20% tu!! Walibaki woote waislamu!!
Muongo mkubwa huyu! We nenda shule yyt ya serikali moja tu Dar uone ratio ya wagalatia na waislam.
Teh teh teh! Lbd ajaribu siku ingine! Leo kaumbuka!!
Yaliandikwa na yalipaswa kutimizwa.
Maoni ni kuwa anae kulipa kuja kudanganya watu hapa!
Akiona hayo mapungufu ya huo uongo wako mshahara hatoi!
Siku nyingine kama huna calculator basi azima upigie hesabu!!
Na kabla huja post huo utumbo. Omba msaada kwa wale wagalatia wenzako mpate kuandika uongo unaofanana na ukweli!
Unisaidie tena mie au wewe ndiyo usaidiwe.Ndio, kariakoo kuna madukani 489,125, lakini kufanya kila duka lina wafanyakazi 3 huo ni mtazamo tu hata ungefanya 1,2, au 6 bado nisehemu ya mtazamo na matokeo ya namba tu,
Kwamba utafiti unataja kuwa ulianza 2011 huku takwimu ni za 2012, hilo halina mantiki,
Labda nikusaidie tu, tunaposema utafiti haihusu kuamka asubuhi na kuingia kariakoo kuhesabu duka hadi duka,
Ni kuwa tunahitaji maadandalizi na hatua za awali za kiutafiti huhusika,!
Kama utakuwa umesoma tena upya hiyo ripoti utaona zipo takwimu za 2013 nk!
Mkuu wangu huyu jamaaa ni kituko, umejaribu kumsahihisha lakini bado anakomaa na utafiti wake feki.Mkuu mi si nimemueleza huyu jamaa kuwa, wakati anaupanga huu uongo wake huko chumbani kwake alisahau kupiga hesabu au huenda hesabu hajui kabisa!
Teh teh teh teh!
Anasema wtt wa wakristo waliohitimu 2011 ktk 100% ya wtt wote walio hitimu kidato cha nne hapo Dar!
Eti watt wa kigalatia ni 20% tu!! Walibaki woote waislamu!!
Muongo mkubwa huyu! We nenda shule yyt ya serikali moja tu Dar uone ratio ya wagalatia na waislam.
Teh teh teh! Lbd ajaribu siku ingine! Leo kaumbuka!!
1) Sawa Tanzania sio nchi ya kidini je Uganda ni nchi ya kidini?Nashukuru sana kwa swali lako!
Najibu kama ifuatavyo:
1) Kwakuwa tumekubaliana kuwa Tanzania sio nchi ya mfumo wa KIDINI,
A. Katiba yetu imesimamia vema matakwa yetu kama taifa,
B. Taasisi zote za kidini zinayo ruhusa ya kufanya kazi nchini kwa manufaa ya waamini wake bila kuathiri katiba wala kuvunja miiko yetu kama taifa,
C. OIC kama zilivyo taasi zingine za kiroho duniani, iendelee kufanya shughuli zake nchini na kuwashirikisha waamini wake bila kuvunja katiba yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na miiko na tamaduni zetu wa Tanzania.
D. Serikali iepuke kuingilia/kushiri shughuli za Waislamu wa Tanzania hasa katika kujiunga "kwao" na OIC na mashirika mengine yenye malengo kama hayo.
E. Serikali iache waislamu wenyewe wajiunge na jumuia hizo na isingilie uhuru wao wakuabudu kama unavyotambuliwa na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Sasa:
Kwakufanya hayo serikali itakuwa imelinda na kuheshimu haki za watu wake katika kuabudi kwao, vivyo hivyo hakutakuwa na lawama za waamini wowote kwa madai ya kukandamizwa dini yao!
si inferiority complex per se bali ni uchochezi wa kutafuta kuungwa mkono ili kufanikisha malengo binafsiUnadhani ni waislamu kweli ama ni wanasiasa ndio wanawatumia hao waislamu?
Unisaidie tena mie au wewe ndiyo usaidiwe.
Tufahamishe kariakoo umepata ajira ngapi?
1) Sawa Tanzania sio nchi ya kidini je Uganda ni nchi ya kidini?
A.Kwani Uganda wao hawasimamii matakwa ya katiba yao?
B. unaposema serikali iepuke kushiriki shughuli za waislamu wa Tanzania mbona hiyo hiyo serikali
ilishiriki katika makubaliano kati ya Kanisa na Ujerumani (MOU) na hawakushirikishwa wananchi
kutoa maoni yao kukubali au kukataa?
1)
B. unaposema serikali iepuke kushiriki shughuli za waislamu wa Tanzania mbona hiyo hiyo serikali
ilishiriki katika makubaliano kati ya Kanisa na Ujerumani (MOU) na hawakushirikishwa wananchi
kutoa maoni yao kukubali au kukataa?
si inferiority complex per se bali ni uchochezi wa kutafuta kuungwa mkono ili kufanikisha malengo binafsi