Boko haram
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 3,256
- 1,231
Na Yakobo alikuwa dini gani baba askofu naomba unijibu ukiamka mtumishi.Yesu hakuwa mkristu alikuwa KRISTU mwenyewe,wengine ni wakristu au wasio wakristu....huwezi sema TIMU YA MACHESTER SI MWANACHAMA WA MANCHESTER......HEMBU TUMIA UBONGO HUO WEWE AU HAUNA GREY MATTER..
Sijadharau kazi yake, ukisoma maoni yangu mwisho nilimpongeza. Naye alitambua makosa ndo maana akarekebisha na hujaona akilalamika. Tazama hiyo sehemu kwenye andishi halafu ulinganishe na tarakimu za awali utabaini ukweli.
Sehemu husika awali ilisomeka:
Kipande kilichorekebishwa sasa kinasomeka:
yesu ndo hakuwa subira,we unadhani kwanini alipenda sana kwenda pale bethania?.
Alikua akienda kwa kina martha,hao walikua mabinti ambao wakiishi na kaka yao lazaro.
Licha ya yesu kuwa karibu sana na lazaro baada ya kile kinachodaiwa kumfufua.
Pia yesu alikua karibu sana na mary kiasi cha martha kusikia wivu na kumlalamikia yesu ambae aliendelea kumtetea mary.
Ilifikia hatua yesu akienda pale kwao,mary alikua habanduki pembeni ya yesu kiasi cha kumwachia kazi zote za kuandaa chakula martha.
Huo ukaribu wa yesu na mary unaonyesha yesu hakua na subira hata kidogo.
Kama vile haitoshi yesu pia alimpenda sana mwanafunzi mmojawapo kiasi cha kupakatana kila wanapokua wamerelax,huyu ndie mwanafunzi aliekua akimwegemea yesu kifuani always.
Huo ndio mwisho wa nyakati. Inaogopesesha na kutisha sana. Maana vita hii sio ndogo.
muendelezo gani?luke yuko very clear kwamba yesu alipaa siku hiyohiyo wakati matendo inadai alikaa siku 40 kabla hajapaa,au wewe umeelewaje?Ukiambiwa ww na wenzako mna tabia ya kukurupuka mnaona mnadharauliwa soma luka 24 toka mwanzo utaelewa muendelezo wa matukio yote itakusaidia, mwana mfuga mapepo
Yawezekana hata wewe ni pepo mwambie mleta mada ampige stop NicholasMimi naona kama hoja imevamiwa na mapepo!
i didnt write the bible,neither did jesus,so why would it matter what it say?afterall all most writer of bible were not even jesus disciple,like Luke,paul,mark etc.Huo ndio mwisho wa nyakati. Inaogopesesha na kutisha sana. Maana vita hii sio ndogo.
Ukijumlisha na viroba vya Vodka na Banana saizi atakuwa anakoroma tu, akishamka anazimua tena viroba na supu ya ulimi anaingia jamvini.Ha ha haa saa za kazi yeye ndio muda wake wa kulala
Mimi naona kama hoja imevamiwa na mapepo!
yawezekana hata wewe ni pepo mwambie mleta mada ampige stop nicholas
sio anaona upande wa pili ndio unaharibu uzi.
kumbe ana tabia ya kufuata watu pm,hata mimi alinifuata,duh,jamaa ni mkereketwa sana.huyo anayejiita nicholas niachieni mimi maana baada ya kushindwa hoja alikuwa akiniandikia private na kuniwekea matusi na kashifa zisizo idadi
kumbe ana tabia ya kufuata watu pm,hata mimi alinifuata,duh,jamaa ni mkereketwa sana.
Mtanzania yeyote anaweza kufanya jambo lolote ambalo serikali inaweza kufanya,
Nenda OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU,halafu useme yoyote aweza fanya kazi hiyo YA TAKWIMU,kama hukupelekwa kwa pilato,muulize Trafiki fake,yalimkuta yapi.
Mtanzania yeyote anaweza kufanya jambo lolote ambalo serikali inaweza kufanya,
Nenda OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU,halafu useme yoyote aweza fanya kazi hiyo YA TAKWIMU,kama hukupelekwa kwa pilato,muulize Trafiki fake,yalimkuta yapi.
Trafiki bandia nae alifanya utafiti kama huu?
Yaani huu utafiti nadhani uliufanya ukiwa kitandani unaota,idadi ulotoa ya wahitimu wa kidato cha nne zanzibar na mwanza ni takwimu za uongo na unataka kupotosha jamii,hebu rejea tena kwa watakwimu wa elimu wakupatie takwimu iliyo sahihi,maana nilitaka nikupe udokta(PhD) lkn hupo sahihi na takwimu,sijui lengo lako ni nini,hao wanaokupa hongera nadhani nao wanakurupuka km ulivyokurupuka wewe,hawajui lkn wamekubali,sio kila tafiti uziunge mkono kabla nawe kufuatilia angalau asilimia 20 ya kilichotafitiwa,kwa upande wangu huwezi kunipa takwimu ya wahitimu wa kidato cha 4 kwa zanzibar na mwanza ambazo nina uhakika nazo nikazipokea na kukupa hongera,jaribuni kufuatilia ukweli ndipo mtoe tafiti zenu(za kitandani )mm nahusika sana mambo ya elimu na ndio maana nikawa mbogo kwa hili.