kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,760
- 11,343
Unajua maana ya kanisa wewe au unazungumza vitu usivyovijua?
Mh!!!!!
Wewe umetumia kipimo gani kujua kama mimi naweza kufanya huu utumbo?
Mwenye mamlaka ya kusamehe dhambi zangu na zako ni Yesu Krosto pekee!!!!!!
Wacha kuniuliza maswali ya kitoto wewe!
Unajifanya eti ya wewe myahudi!!
Myahudi anafanana hivyo??
Manake hata wale mafalasha wa ethiopia wana pua kidogo ina afadhali!
We hebu jitazame kwenye kioo halafu uone kama utaona myahudi hapo!
Teh teh teh teh!
Myahudi anaongea kiskuma!