UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Yaani nyie sijui ni lini mwamedi atawarudishia akili zenu
Unaquote kitu kingine unajibu kitu kingine!!!!!!!
hahaha,

''WEWE NDIYE PETERO NA JUU YA MWAMBA HUU,NTALIJENGA KANISA LANGU''.
Kanisa limejengwa juu ya petero.
Yesu alimfokea petero,''ONDOKA MBELE YANGU SHETANI MKUBWA.Mathew 16:23.
Ndo kusema kanisa limejengwa juu ya shetani?
 
quote_icon.png
By mjasiria
Mkuu kuna kipindi mimi pia nilidhani Eiyer ni mtu ambaye anaweza kuangalia mambo objectively, kumbe wapi mule mule tu. Sasa mtu anapewa link hata kabla ya kusoma anatoa lugha za ajabu. Well hata kama link ni za hovyo jibu hoja basi waaaaapi povu tu.

Mtu makini hadhani anatumia akili yake kujua
Wewe kwenye hili umeonesha namna unavyofanya mambo kwa kubahatisha

Ndio maana hata haya majibu yako nayo ni ya kudhani tu
Nimemuambia huyo kilaza mwenzako kuwa kabla hajanipa hiyo link nilishawahi kuipitia na nimejua hayo baada ya kuifungua

Nilimuambia kuwa hiyo link inahusiana na mambo yua NWO
Au hujui Nwo ni kitu gani?
 
Ngoja sasa nianze wapiga ngumi za nyeti:
-Haya tuseme ni feki ,ila waliochagu ahiyo feki ni wengine kwa hiari yao..Hembi nimabie ukweli wa Muhamad kupanda kwa farasi hadi mbiguni kwenda burgain swala zipunguzwe,eti waislam walikuwa wakiswali swala haziishi..walikuwa wakifany akazi gani za kiuchumi ili waweze jikidhi kwa majitaji ya lazima?


-Hembu tuambie muhamad aanaposema alikwenda mwezini kwa farsi yenu ile yenye kichwa cha mwanammke akaenda ukata nusu kwa Jambia hembu tuambia iliwezekana vipi?

naomba majibu au mkubali na kukimbia km mlivyokimbia issue ya majinn...

Hopo sasa!
 
quote_icon.png
By mjasiria
Mkuu kuna kipindi mimi pia nilidhani Eiyer ni mtu ambaye anaweza kuangalia mambo objectively, kumbe wapi mule mule tu. Sasa mtu anapewa link hata kabla ya kusoma anatoa lugha za ajabu. Well hata kama link ni za hovyo jibu hoja basi waaaaapi povu tu.

Mtu makini hadhani anatumia akili yake kujua
Wewe kwenye hili umeonesha namna unavyofanya mambo kwa kubahatisha

Ndio maana hata haya majibu yako nayo ni ya kudhani tu
Nimemuambia huyo kilaza mwenzako kuwa kabla hajanipa hiyo link nilishawahi kuipitia na nimejua hayo baada ya kuifungua

Nilimuambia kuwa hiyo link inahusiana na mambo yua NWO
Au hujui Nwo ni kitu gani?
hiyo link iko well researched,justbecause imetaja mambo ya new world order haifanyi wewe usiifatile,kwani mfumo kristo lengo lake nini kama sio kuzicontrol serikali dunia nzima,ndo maana ikaiitwa ALL ROADS LEADS TO ROME.

Kwa maana kuwa kila ukifuata chanzo cha haya mambo yanakurudisha rome,na rome ndo palipo na holy see,vatican church.
 
hahaha,

''WEWE NDIYE PETERO NA JUU YA MWAMBA HUU,NTALIJENGA KANISA LANGU''.
Kanisa limejengwa juu ya petero.
Yesu alimfokea petero,''ONDOKA MBELE YANGU SHETANI MKUBWA.Mathew 16:23.
Ndo kusema kanisa limejengwa juu ya shetani?

Hebu tuambie na kilichomfanya Yesu afoke?
 
hahaha,

''WEWE NDIYE PETERO NA JUU YA MWAMBA HUU,NTALIJENGA KANISA LANGU''.
Kanisa limejengwa juu ya petero.
Yesu alimfokea petero,''ONDOKA MBELE YANGU SHETANI MKUBWA.Mathew 16:23.
Ndo kusema kanisa limejengwa juu ya shetani?

Yaani nyie hamjui hata mnataka kujua nini
Kabla jambo moja halijaisha mnaleta lingine

Hapa tena umeibuka na jambo lingine
Hapa tunajaza tu sever za JF bila sababu yoyote ile
Nyie watu ni wa ajabu sana!!
 
hiyo link iko well researched,justbecause imetaja mambo ya new world order haifanyi wewe usiifatile,

Sijakuambia sijaifuatilia!

kwani mfumo kristo lengo lake nini kama sio kuzicontrol serikali dunia nzima,

Hebu niambie mfumo kristo ni kitu gani kwa ufahamu wako!

ndo maana ikaiitwa ALL ROADS LEADS TO ROME.

Nani amekuambia kuwa Rome ndio inawakilisha Wakristo wote?
Hivi unajua kama Wasabato wanaamini kuwa taasisi ya Upapa ndio mpinga Kristo?
Sasa kwa mtazamo huo wa ki-Sabato mpinga Kristo atawakilishaje Ukristo?
Ndio maana nakuambia wewe na wenzako hamjui mnaandika nini!


Kwa maana kuwa kila ukifuata chanzo cha haya mambo yanakurudisha rome,na rome ndo palipo na holy see,vatican church.

Hoja ya hovyo kabisa hii!
 
Hebu tuambie na kilichomfanya Yesu afoke?

Hao watu watakuchosha tu

Wao hawajui kwanza ni kitu gani kilichomfanya Yesu aseme hayo na hawajui alikua anamwambia nani
Wenyewe wanaangalia mwili tu
Ndio maana wameahidiwa wanawake 70 mabikra wenye macho kama vikombe vya chai
Halafu mtu unajiita una akili timamu kuifuata dini ya namna hii!!
 
Luke5:8,peter admitted that he was a sinfull man.
Mathew14:31,peter was rebuked by jesus for doubting and having so little faith.
Mathew16:22,peter rebuked jesus accussing jesus of lying.
Mathew16:23.peter was called satan by jesus.
Does this gualify peter for sainthood.
Mathew26:70-75,peter had said he would never desert jesus.he then denied jesus 3 times.
Peter alleged that Lot was RIGHTEOUS 2peter2:7-8.although Lot offered his 2 virgin daughter to a mob.genesis19:8.
Then lot himself had sex with both his virgin daughter.
Genesis 19:30-38,and even made them pregnent with his very sperm...this setup is good and righteous and proper to peter.
Then this peter become ''THE ROCK'' THE 1st pope,the cornerstone of the holy catholic church.
 
Irrelevant comments... no correlation with topic. Mkuu yericko hii thread imeingia virusi tofauti na ile ya uchochezi na ngano za mzee mudi side.
Hivyo ni kheri ukawaomba mods wafunge tu.

Tuwaache waseme mpaka nyongo ziwatoke mwisho watakosa chakuongea na watarejea kwenye mada husika,

Mada ipo inasubiri challenge zao
 
yesu ndo hakuwa subira,we unadhani kwanini alipenda sana kwenda pale bethania?.

Alikua akienda kwa kina martha,hao walikua mabinti ambao wakiishi na kaka yao lazaro.
Licha ya yesu kuwa karibu sana na lazaro baada ya kile kinachodaiwa kumfufua.
Pia yesu alikua karibu sana na mary kiasi cha martha kusikia wivu na kumlalamikia yesu ambae aliendelea kumtetea mary.
Ilifikia hatua yesu akienda pale kwao,mary alikua habanduki pembeni ya yesu kiasi cha kumwachia kazi zote za kuandaa chakula martha.
Huo ukaribu wa yesu na mary unaonyesha yesu hakua na subira hata kidogo.
Kama vile haitoshi yesu pia alimpenda sana mwanafunzi mmojawapo kiasi cha kupakatana kila wanapokua wamerelax,huyu ndie mwanafunzi aliekua akimwegemea yesu kifuani always.

Sasa naona mmeishiwa na hoja hamnatena cha kuokota.
Mmeaza vya kutunga.
 
Sijakuambia sijaifuatilia!



Hebu niambie mfumo kristo ni kitu gani kwa ufahamu wako!



Nani amekuambia kuwa Rome ndio inawakilisha Wakristo wote?
Hivi unajua kama Wasabato wanaamini kuwa taasisi ya Upapa ndio mpinga Kristo?
Sasa kwa mtazamo huo wa ki-Sabato mpinga Kristo atawakilishaje Ukristo?
Ndio maana nakuambia wewe na wenzako hamjui mnaandika nini!




Hoja ya hovyo kabisa hii!
mfumo kristo umeelezwa vizuri kwenye hiyo link.

Usinambie kuhusu wasabato nawajua vyema nimesomea BUSECO,kama uko usukumani unajua kuwa ni shule ya wasabato.
Punguza pressure utapata stroke bure.
 
Teh teh teh teh! Mkuu wangu Ritz unanivunja mbavu na uzito wa hizo bongo zao!
Yaani kila nikifikiri 0.10g naona kama panya kapita sasa hivi!
Kwi kwi kwi kwi!

Wanaitwa akili kuambiwa!
Hata andiko limeshasema!

Proverbs 29:20-27

There is more hope for a fool than for someone who speaks without thinking.

Hili andiko linawachapa wote. Kina Yericko Nyerere Nicholas Eiyer na waparokia woote wanaoropoka bila andiko!
Huyu hapa kazi ni kibarua wa kupiga zege naye anajiita mtafiti, teh teh teh...



Yericko Nyerere,
198151_208841859127721_407456_n.jpg


190472_208842835794290_7369612_n.jpg


Hapa yupo mzigoni baada ya kufanya utafiti wake feki!!
 
Kama sina lolote ni kitu gani kimekufanya ukaniquote?



Mpiasho ni kitu gani?
Ni quote gani nimekata?





Huwa unanisaidia kufikiri?
Na umetumia kipimo gani kujua hayo?


Povu la nini yakhe?
Nimefuata maono ya nani?
Huna jaza page bure na hizo QUOTE zako.
Kama sina lolote ni kitu gani kimekufanya ukaniquote?
Ubongo wako kama wa tembo 0.15g.
Mpiasho ni kitu gani?
Ni quote gani nimekata?
Hii hapa chini...
He!
Hawa watu kweli ni wagonjwa wa akili
Hivi kusema kweli yamekua matusi siku hizi?
Mbona hujasema hayo matusi ni yapi?
Hayo ndio maisha ya mtume wako
Na ndivyo alivyojipatia utajiri
Nakufahmisha tu tumechoka na hizo QUOTE zako za kitoto sawa kijana nakuachia mpini huu chini cheza nao.
[h=2]Roman Catholic chapel in Poland with 24.000 skulls and skeletons[/h] Hundreds of skulls have been put up around this alter with a crucifix. This place is a Vatican approved chapel.

This Roman Catholic chapel is full of bones and skulls.

The present Pope only adore one skeleton at the time. This picture was taken during the Pontiffs visit to the Church which has kept the bones of St. Augustine for “veneration”.
The Pope pray in front of a box full of a dead mans bones.

But in the Skull Chapel in Czermana in Poland, the Pontiff get a chance to adore 3.000 “Holy skulls” inside this Church property.
Hundreds of them has been put up for display around the alter, where a Roman Catholic Crucifix also has been put up for veneration.
The Papist priests in this city were surely solid bone collectors. Since the visual walls of the chapel could not contain all the skulls and bones they had collected, remains of another 21.000 people have been hidden in the cellar of the chapel. That is the almost mind blowing number of 24.000 headless people stored up in one “holy place”.
This Catholic chapel in Poland holds a cruel and evil secret of thousands of skulls and bones.

Who are all these people, hanging around this crucifix.
The Catholic Church claim they died of cholera, epidemics and hunger.
The diseased bodies are remains from the Thirty Years war from 1618 to 1648. But the chapel was built in 1776 by the local parish priest Wacław Tomaszek. The official explanation behind this chapel, is more than bizarre: A Roman Catholic priest that used most of his life to collect bones from mass graves.
For a dozen years, the priest collected them, disinfected and stored. In 1804, the skull of the priest was also placed in the altar.
If you think this is a joke, please read from the website of the Government of Poland.
For people who have read European history, it might be striking that the grave yards that were opened in Poland, held the remains of people who died during the wars of the Reformation. In hundreds of thousands Christians who refused to call the Pope “Holy Father” were slaughtered by Papal sent butchers.
Skulls of 21.000 Christian protestant martyrs slaughtered by Rome might be hidden in this cellar.

This is a more likely explanation behind this extraordinary collection of skull and bones:
The blood of these Christians martyrs in Poland are gone, and their souls are with Father God and His Son in Heaven.
They lost their life when Papal butchers chopped their head off. These cruel men even denied these followers of Jesus a grave.
Why else, would anyone collect so many skulls and skeleton, put them up for display next to the Roman Catholic copy of the Messiah?
What is this crucifix all about. but a piece of stone or wood that can neither speak, nor will survive the flames that shall burn all falsehood on the Face of the Earth.
Unfortunately, for a billion Catholics or more, they have shared in the sins of this lawless and evil Church.
The final judgment for the city of Rome is mentioned in the book of revelation:

Revelation 18:17-22

In one hour such great wealth has been brought to ruin!’
“Every sea captain, and all who travel by ship, the sailors, and all who earn their living from the sea, will stand far off. When they see the smoke of her burning, they will exclaim, ‘
Was there ever a city like this great city?’ They will throw dust on their heads, and with weeping and mourning cry out: ”
‘Woe! Woe, O great city, 
 where all who had ships on the sea 
 became rich through her wealth! 
 In one hour she has been brought to ruin! 
Rejoice over her, O heaven!
Rejoice, saints and apostles and prophets! 
 God has judged her for the way she treated you.’

Wadau Link hii............

[h=3]skeleton church.com[/h]
 
Christian blood is more precious ktk madhabahu....christianity ndio inaset standards...ndio dira ya kupima ukweli na uongo ndio maana lazima waingizwe hata km hawataki....ukiinginza elements za ukritu ktk bisahra lazima ifanikiwe...Ni rahisi kuona wapi wanatafutwa kuuwawa, unaweza ona shule isipowahusisha wakristu hata wachache jinsi inakuwa zero,...ndio maana hata taasisi za kiislam za jamii za kihindi, waturuki au wengine zinafanikiwa kw akuchukua western ways....hata akina JK km hawakua absorb christian leadership wangebaki km wazenj..wazenj walioingi aktk muungano wanatofauti sana na wenzao..kule ktk misitu ya mikarafuu.
Always christian radical cleric


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Sasa naona mmeishiwa na hoja hamnatena cha kuokota.
Mmeaza vya kutunga.
Burudika na huu mpini...
[h=2]The Bone Church[/h] Czech Republic, Featured, Mongol Rally / Tags: blogsherpa, Bone church, Czech Republic, Mongol Rally, prague

The Bone Church is roughly an hour outside of Prague to the east, which was great for us since east is the general direction of Mongolia. The caravan now had about five cars, and once we finally reached the Bone Church we found a few other rally cars already parked outside. We paid our minimal sum to get in and then all stopped as our jaws dropped open. The bone church was erected prior to the black death (plague). As people were dying off at an extremely quick rate the general feeling towards death was altered to be a casual and inevitable occurrence. People started to think about their own deaths and what they wanted done with their bodies. Its all a bit morbid, really. Cemeteries were filling up quickly and there simply wasn't room or time to deal with everyone. People paid to have their bodies kept in crypts under the churches, essentially mass graves in dark cellars. Long after the actual plague ended, a private family bought the church and discovered the crypt full of human bones. They hired a designer and allowed him to renovate the church using human bones as decoration. From the center of the room dangles a chandelier that the artist boasts has every bone in the human body. The family crest hangs on wall, made entirely of bones as well. Strings of bones, like one would make with popcorn for the Christmas tree, hung from the ceiling in all directions and in all four corners of the room stood huge piles of human skulls that were about nine feet tall and ten feet wide, and not hallow. The ralliers filled the church and started walking around quietly at first. Eventually, people just get used to being around strange things regardless of what they be. A room full of bones becomes simply the room you happen to be standing in at that moment and ralliers gathered in small groups to talk about their routes, or tell stories about what had happened to far to them on the trip. At one point I watched a young woman not associated with the rally put her finger into an eye socket while her friend took her picture. Later, one of the ralliers said it was hard for him to imagine they were ever real people, which explained why he could take pictures of himself smiling in front of a pile of skulls. Humans are a strange animal. After the bone church we stopped at a local supermarket to fill up the trunk with food for the long haul ahead. One of my favorite things about traveling is shopping for food in foreign countries. Whole chicken heads in a jar, or even boiled eggs mixed with mostly-developed chicken fetus line the shelves in some places we've shopped. Czech had fairly normal food, but it was still fun to look around. I bought a tub of meat paste which ended up being gross (who knew?) while most people bought ramen, soda and water. It was a strange thing for the teller to see a whole row of dusty, disgusting ralliers holding food like precious cargo. We set off with two other cars in convoy to Vienna, having said our goodbyes to the Aussies and a few others.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom