UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
16)(a) MIMBA YA ISA ILIKUWA NI YA SIKU MOJA Qur’an Suratul Maryam,19:21-22 “ (Malaika) akasema: “ Nikama hivyo (unavyosema; lakini) Mola wako amesema ‘Haya ni sahali Kwangu, na ili Tumfanye muujiza kwa wanaasamu na rehema itokayo Kwetu (ndiyo Tumefanya hivi);’ Na hili ni jambo lililokwisha kuhukumiwa.” Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali” b) MIMBA YA YESU SIKU ZILITIMIA. Luka 2:6-7 “ ikawa, katika kukaa huko, siku zake za kuzaa zikatimia, akamzaa mwanawe, kifungua mimba, akamvika nguo za kitoto, akamlaza katika hori ya kulia ng’ombe kwa sababu hawakupata nafasi katika nyumba ya wageni” NB: Mwezi wa sita uliotajwa katika Luka 1:26 ni mwezi wenye kuelezea umri wa mimba ya Yohana ndani ya tumbo la Elizabethi. Luka 1: 36 “ Tena tazama jamaa yako Elizabeti naye amechukua mimba ya mtoto mwanamume katika uzee wake; na mwezi huu ni wa sita kwake yeye aliyeitwa tasa” NB: Hori iliyotajwa hapa,ina maana ya chombo cha kulishia wanyama kinachokuwa ndani ya zizi. Kwa Kiyunani (Kigiriki) ambayo ndiyo lugha iliyotumika kuandikia Agano Jipya ,chombo hicho kinaitwa “Fatne” kwa Kiingereza kinaitwa “a manger” 17)ISA (A.S) ATAKAPORUDI ATAKUJA KUVUNJA MISALABA NA KUUA NGURUWE Mkweli Mwaminifu, Juzuu 3-4, uk.20, Hadithi na. 753 “ Haisimami saa ya (kiyama) mpaka akuteremkieni nabii Isa (a.s) mwana wa Maryamu atahukumu (kwa sheria ya Kiislamu) (na) muadilifu, basi atavunja misalaba (ya Wakristo Makanisani) na ataua nguruwe, na ataondosha fedheha au (aibu), na mali itazidi kuwa nyingi sana mpaka hataikubali (ataikataa) mtu (kwa kuogopa kiyama)” .Soma pia katika Sahihi Bukhar, vol. 3, Hadithi na 425,. Al-Lu’lu’war-Marjan, juzuu ya 1,Hadithi na 95 uk.51. The Noble Qur’an uk.757 b)YESU KRISTO ATAKAPORUDI ATAWATUMA MALAIKA ZAKE KUWAKUSANYA WATAKATIFU Luka 24:30-31 “ ndipo itakapoonekana ishara ya mwana wa Adamu mbinguni; ndipo mataifa yote ya ulimwengu watakapoomboleza, nao watamwona mwana wa Adamu akija juu ya mawingu ya mbinguni pamoja na nguvu na utukufu mwingi, naye atawatuma malaika zake pamoja na sauti kuu ya parapanda, nao watawakusanya wateule wake toka pepo nne toka mwisho huu wa mbingu mpaka mwisho huu.” ONYO LA YESU KRISTO WA NAZARETH Math 24:24 “ kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini hata walio wateule.” (Angalia pia Marko 13:22) Yoh 8:24 “ Kwa hiyo naliwambieni ya kwamba mtakufa katika dhambi zenu; kwa sababu msiposadiki ya kuwa mimi ndiye mtakufa katika dhambi zenu.” WEWE MTEULE JE UTADANGANYWA NA KUDANGANYIKA KUWA KWELI ISA A.S NDIYE YESU KRISTO? UKIAMINI HIVYO UTAKUWA UMEDANGANYIKA NA UTAKOSA WOKOVU WA MWENYEZI MUNGU!!!!!!!!!! YESU KRISTO, YEYE NI IMMANUEL, MSHAURI WA AJABU, MUNGU MWENYE NGUVU, BABA WA MILELE, MFALME WA AMANI!!!! (ISAYA 9:6, MATH 1:23)
 
Mkuu Ally Kombo,

Nakusoma na miwani ya 3D jinsi unavyotoa darsa humu ukumbini.

Cc; THE BIG SHOW, crabat, Sideeq,
 
Last edited by a moderator:
wewe unafikiri kila dini wana style ya.

Fungua matayo mbili tatu.
Soma.funika bible,tusari. Etc.
Huitaji kufundishwa jitahidi ujifunze wewe mwenyewe bila kutegemea wachungaji.yesu hajajitoa kafara pale msalabani kwa mujibu wa maandiko yenu.
 
Chamtemamoto kabla kujadili hicho ulicho copy and paste hebu nieleze sifa za uungu halafu tuendelee
na huu mjadala
 
Prophet Jesus spoke Aramaic so what is his name in Aramaic?
It' "Eesho M'sheekha" meaning "Jesus the Messiah".Thus,Jesus would have called himself "Eesho" or more specifically "Eesa",the pronuanciation of the Northern Palestianian Jews.
This proves that Quran's historical accuracy when it says Jesus' name is "Eesaa"....His name will be al-MaseeHu Eesaa the son og mary ...(Qur'aan 3:45)
 
.......waliomchafua ni wale waliomuwamba msalabani bila nguo huku wakimkejeli na kumtemea mate !

Sisi Waislaam, tunamtetea Yesu kuwa aibu ile haikumfika !

:nono:

YESU HUWA HACHAFUKI KWA ZIHAKA KAMA ZAKO:
NAJUWA KINACHO KUUMA KUHUSU YESU KUFA NA KUFUFUKA

ALLAH NA MTUME WAKO WALISHIDWA KUCOPY
KUFA NA KUFUFUKA,
ALLAH YEYE ANAUWEZO WAKUUWA MWILI TU LAKINI HANA UWEZO WA KUUWA roho,
WALA HANA HUWEZO WA KUFUFUWA,
NA NDIO MANA ANAPINGA VIKALI ISHU YA KUFA NA KUFUFIKA

YESU MWENYEWE ALITABIRI KUFA NA KUFUFUKA KWAKE
NA WALIOKUWA WAKIPINGA KUFA NA KUFUFUKA KWAKE ALIWAITA NI SHETANI NA KWAMBA MAWAZO WALIYONAYO SI YA MUNGU BALI NI YA WANADAM KAMA WEWE NA MTUME WAKO.
MAWAZO MLIYONAYO WAISLAMU SI YA MUNGU ALIYEUMBA ULIMWENGU NA VITU VYOTE VILIVYOMO
BALI NI YA SHETANI KWA MUJIBU WA BWANA YESU.
Kungekuwa na injili kwenye quran haya msingeyapinga maana yapo wazi ndani ya injili,
 
Chamtemamoto kabla kujadili hicho ulicho copy and paste hebu nieleze sifa za uungu halafu tuendelee
na huu mjadala

Huwa sina tabia yakutoka nje ya mada.
Na wala sina tabia ya kukimbia mjadala kwa kuleta mwingine.
Hiyo tabia nawaachia nyie.
 
wewe unafikiri kila dini wana style ya.

Fungua matayo mbili tatu.
Soma.funika bible,tusari. Etc.
Huitaji kufundishwa jitahidi ujifunze wewe mwenyewe bila kutegemea wachungaji.yesu hajajitoa kafara pale msalabani kwa mujibu wa maandiko yenu.

Umeelewa ndio maana umeleta mada nyingine.
 
Na huyo mmoja alipokufa kwa siku tatu!
Huo utatu bado ulikuwepo??

Ulikufa mwili aliokuwa ameuvaa na sio YEYE!
Wewe hapo hautakufa sembuse Mungu?

Ninaposema WEWE simaanishi huo mwili uliouazima ili uutumie hapa duniani!
 

Duh!!!!!!!!!!kweli Imani nyengine ni zaidi ya upofu,kunywa mkojo!!?alooo...mkuu hujanukuu vibaya kweli?
 
Nani kakudanganya kuwa mimi ni mtoto wa Mwalimu?

cc MKUU MwanaDiwani

HEBU njoo huku uone Mtu anavoweweseka kukanusha na kukubali nasaba yake,haki ya mungu sijapata kuona mtu mnonge kama huyu,

HEBU lete lile bandiko lake alilosema ya kwamba JULIUS NYERERE NI BABA YAKE MZAZI,KILA MTU AJIONEE,MAANA HAPA ANAKANUSHA ILI HALI JF inatunza kumbu kumbu kibao kabisa,

cc Ritz..

Huyu JAMAA NI
 
Last edited by a moderator:
God did choose Adm and Noah,the family of Abraham,and the family of Amram above all people
-Qur'an,sura 3(The house of imran)ayah 33

Hiki ndicho ulichokisema?

Lakini pia hapa umeleta tena tatizo lingine
Hapa quran inasema "god didi choose Adam and Noah,the family of Abraham"
Sasa Adam alichaguliwa kutoka kwa akina nani?
 

Mtume alijua fika kwa kipindi alichokuja mafundisho ya Yesu yalishasambaa na ISINGEINGIA akilini kukataa uwepo wake hasa ukizingatia kaizari wote kuanzia Constantine walikua wakristo. alichofanya mtume ni kugeuza mafundisho ya Yesu. Kwa miaka yote niliyoisoma bible iko vey clear. Yesu ni mwana wa Mungu na ni Mungu na kuna maandiko lukuki kusupport hilo. Haiwezekani aje mtu miaka 400 mbele abadilishe alichokisema yesu mwenyewe na kimeshuhudiwa na wanafunzi wake na dunia yote ikaamini. Kama unamwanini mtume msubiri yeye kama ndiye alama ya kihama. Kama unataka kupona na kihama msikilize Yesu.

Umeishawahi jiuliza kwanini mtume anampa compliments Yesu mara zote. Wakati Yesu hana habari naye wala hajampa big up zozote.
 

Unajua maana ya neno DINI?
 
---------
Its obvious Jesus did not come to start a religion but to found his church.
---------
— Matthew-16:18, KJV

And I say also unto thee, that thou art Peter [Greek, Petros, rock],[5] and upon this rock [Greek, petra, rock][6] I will build my church; and the gates of hell shall not prevail against it.

------------------------------------------

Thats why its perfectly legal to have denominations in christianity so long as they confess christ : wakorintho, warumi, waefeso n.k haikujalisha wanaitwaje. Leo wakristo, waroma, walokole, waluthery nk. Thats because Jesus was wise enough to know the difference and he knew better than to start a denomination.
Sasa hapo unapoelekezwa dini ya kuifuata mbona leo kuna wa-shia, wa-Ahmadiah, wa-suni n.k
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…