UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.

Haha.... waliosilimishwa ni laana ktk Ukristu na superstitious Hindus waliofuta uchawi ktk uislam....wengine ndio hao mnaowabaka huko pakistani na kuwalazimisha wawe waislam..huku wengine mkiwasingizia kukufuru Qurani ili wawaue.

Infact hujasoma data ni waislamw angapi wanauacha uislam, hujasoma wangapi wanarudi ktk Ukrirtu baada ya kukutana na wendawazimu wa kuchamba na mawe, kupandwa majinn, kulala na maiti, kunywa mikojo....kuchoma udi wa mashetani...upuuzi wa wanaume wa kiislam..kila mwanamke ktk nyumba zao humtaka kingono....kukumbatoa majinn....right now nina waislam 6 hapa wameshamalizana na allah..hana ch akuwadai.
 

Matatizo yako ya kuelewa ni mengi mno!
Moja wapo ni lugha!

Huyo ndugu yangu alipukuelekeza kuhusu quraan na kukwambia kuwa ni mjumuiko wa vitabu vyote!

Maana yake ni kuwa !

QURAAN IMETAJA SHERIA NA MATUKIO YOTE YA TAURATI, ZABURI, NA INJILI.
LAKINI HIO QURAAN IMETAJA HIVI VITABU KAMA KUMBUKUMBU TU NA SIO SPECIFIC KWA WAISLAMU WA SASA!

kwa mfano quraan imesema kuhusu watu wa injili kama ifuatavyo!

QURAN 5:72-7372. Hakika-wamekufuru-walio sema: Mwenyezi Mungu ni Masihi mwana wa Maryamu!-

AU

73. Kwa hakika-wamekufuru-walio sema: Mwenyezi Mungu ni wa tatu wa Utatu. Hali hakuna mungu ila Mungu Mmoja.-Na ikiwa hawaachi hayo wanayo yasema, kwa yakini itawakamata adhabu chungu wale-wanao kufuru.

SASA HAPA UTAONA WAISLAMU HAWASEMI HIZI HABARI ISPOKUWA NI WAGALATIA NA WAKRISTO.

Quraan pia inaongelea watu wa moses kwa kusema;-

وَإِذْ قَالَ مُوسَىٰ لِقَوْمِهِ يَا قَوْمِ إِنَّكُمْ ظَلَمْتُمْ أَنْفُسَكُمْ بِاتِّخَاذِكُمُ الْعِجْلَ فَتُوبُوا إِلَىٰ بَارِئِكُمْ فَاقْتُلُوا أَنْفُسَكُمْ ذَٰلِكُمْ خَيْرٌ لَكُمْ عِنْدَ بَارِئِكُمْ فَتَابَ عَلَيْكُمْ ۚ إِنَّهُ هُوَ التَّوَّابُ الرَّحِيمُ

And when Moses said unto his people: O my people! Ye have wronged yourselves by your choosing of the calf (for worship) so turn in penitence to your Creator, and kill (the guilty) yourselves. That will be best for you with your Creator and He will relent toward you. Lo! He is the Relenting, the Merciful.

Sasa hapa utaona kuwa sisi waislamu wa sasa hatuabudu sanamu ya dhahabu ya ndama kama walivyofanya watu wa MOSES!

Hizi ni kumbukumbu tu zimewekwa ambazo zilikuwa ktk vitabu vya manabii waliotangulia!

Sasa kama hujaelewa mpaka hapa!
Inabidi urudi hospitali wakakubadilishie dozi!
 

maandiko niliyoweka yanataosha kabisa km mngekuwa mna akili hata ya Nyumbu.....
 
Huu uzi hauwezi kufungwa kwasababu za kipuuzi,

Hapa mtakesha hata iwe mwaka, huu haufungwi!

Utafiti utasimama hivyo na sasa historia ya Tanzania imebadilika rasmi

Teh teh teh teh!

Historia ibadilishwe na mpiga ripu!
Hebu mkuu Ritz tuletee ile picha ya huyu Yericko Nyerere wakati anafanya huu utafiti!

Kwa hisani yako!
 
Last edited by a moderator:
Mbona ueleweki maneno mengi tu bila maandiko.

Tueleze maana yake nini.

Biblia kwani zipo ngapi? hii hapa chini nini?

Ndiyo hii biblia mnayoifuta?

Inawezekana ukawa umedandia treni kwa mbele
Lakini pia sitarajii mtu kama wewe kunielewa

Nilimuuliza huyo jamaa yako kama anaelewa maana ya neno Biblia!!!
 

Alishatoa hiyo doubt alipohitisha thread yake dhidi ya uongo na upotoshaji wa Mohamed Said..na wewe ulikuwa mchangiaji ktk wachagiaji wenye ghadhabu..mohamed saidi hakupata pa kujishikia..aliishia dai kuwa katukanwa, sijui ana uzoefu, mara kaweza ushairi.

Big show tunajua linapokuja sula la dini huwa akili inakutoka,likija la mtwara huwa unakuwa na akili timamu..kwanini usitene haki ya kuongea kweli hapa km utakavyohitajika pia hat akwenye dini hiyo akili pi auitumie.

Haujawa muungwana kabisa hapa kwani hata kule hii ndio ilikuwa kete yako..na alipojibu mkachekcheka sana nyie na yule jamaa mwenye ubongo mdogo kuliko wa nyumbu Ritz.
 

Ushahidi huu hapa:

'Hakika Mwenyezi Mungu alimteua Adam na Nuhu (Noah wa Safina) na Ukoo wa Ibrahim (Ismael na Is'haq) na Ukoo wa Imran (Babu yake Yesu, aliyemzaa Bikira Maryam) juu ya walimwengu wote.

Ni wazao wao kwa wao: na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusikia, Mwenye kujua.
Qur'an: 3:33-43.

Kwa 'aya' hiyo (hapo bold) ametajwa kila nabii unaemjua na aliyemo kwenye Vitabu vyote Vinne.(Zaburi, Tourat, Injil na Qur'an)

Malizia na Ushahidi huu:

'Hakika Sisi tumekuletea wahyi (ufunuo) wewe (Muhammad) kama tulivyo wapelekea wahyi (ufunuo) Nuhu (Noah) na Manabii waliokuwa kabla yake. Na tulimpelekea wahyi Ibrahim na Ismael na Is'haq (Isaack au Isaya) na Yakuub (Yakobo) na wajukuu zake, na Isah (Yesu) na Ayub na Yunus (Yona) na Harun na Suleiman (King Solomon) na Daud tulimpa Zaburi.

Na Mitume tuliokwisha kukuhadithia kabla yake, na Mitum,e wengine hatukukuhadithia (anawajua Yeye mwenyewe Mwenyezi Mungu). Na Mwenyezi Mungu alinena na Musa kwa maneno.

Qur'an: 4:163-164.
 
Uislam raha amani, nitangazo tu,
ndani yenu hamna raha wala amani mnatoa raha wapi wakati mmefiwa.

si tuu wamefiwa..ila dini nzima ni ya Mnungu wa Kifo..ndio maana hakuna waislam waislma ktk sektor za kuokoa watu, zaidi ya za kuua watu...sanasana wawe mortuary, na ktk kuchinja......
 
Ahhhhhhhhh kamanda ndio umeamka hivi wewe kilaza mbona unapenda sana habari za majin
mara kulala na maiti,kunywa mkojo ushahidi huna kazi :kev: lete ushahidi kamanda hatutaki ujanja ujanja
wa church hapa
 

Mi nakupa ushahidi!
Wewe umebaki bla..bla..bla..!
Teh teh teh teh!

Andiko limeshasema!

Proverbs 31:6

As-a dog returns to its vomit, so a fo.ol repeats his folly.!
 

Hivi wewe unajua wenzako walichosema?
Hebu angalia haya maelezo hapa chini


Sasa mwenzako anasema HIYO NI INJILI wewe unasema ni kumbukumbu
Mwenza ko anasema HII NI TAURATI wewe unasema ni kumbukumbu

Uongo unapotolewa kutetea uongo mnajizamisha shimoni!!!!!!!!!


Halafu unajua maana ya mjumuiko wewe au unataka kujifanya hamnazo?
 

Chamtemamoto,nitakuwa mchoyo kama sijakupongeza na kukushukuru kwa mtiririko wako wa ufafanuzi ulioutoa hapo juu kuhusu Yesu Kristo na issa,umenifungua sana akili nashangaa kuna tofauti kubwa sana kuhusu kusudio la Yesu Kristo duniani na huyo anayeitwa issa....watu tofauti hizo hawazioni hadi kulazimisha watu wafuate imani yao!!?ajabu sana kuelewa haya mambo..BTY..Ubarikiwe sana Mkuu
 

Teh teh teh teh!
Hicho kinaitwa kipigo cha mbwa aliyeingia msikitini halafu akatapikia ndani!

Waswahili wanasema "ukitaka kuwa muongo basi usisahau neno"

Bahati mbaya huyu mpiga ripu Yericko Nyerere ana kale ka ugonjwa ka AMNESIA!
Anasahau kila baada ya dakika 2!
 
Last edited by a moderator:
Katika wajinga nimeamini wewe ndio mjinga mnene injili ni mjumuko wa wa Torati na Zaburi,
na Quran ni mjumuiko wa Torati,Zaburi na Injil sasa unaposema tunataka Quran iitwe biblia
una maana gani kweli wehu hawaishi!

Haha..ni udogo tuu wa akili unaowafanya vile vimisrati vilivyopotoshwa ktk Quran vinaweza Meza Biblia...?Huji kwanini mnaambiwa hakuna muislam kamili km hatosoma Injil ,tourat, zaburi........ingawa bado kuna vitabu vingine ktk Biblia (Agano Jipya) mohamed hakuweza vijua kwani wakristu walimkwepa sana..hadi ikashuka aya ikiwalaumu kwa kuficha maandiko...na majivuno..Wayahudi akawalaumu kwa kupidisha Torati..


Hadi muhamad anakufa laikuwa akiisikia Biblia ktk story za kijiweni tuu...alikuwa busy zaidi yenu akilazimisha wtau wakubali kuwa alikuwa mtume za allah......hata wake zake hawakuwa na hiyo nae.Mkewe mtumwa wa Coptic Christian naye alimu influence kumuongezea mustari..aisha alishangaa pia kwanini allaha nakimbilia sana kumpa muhamad mistari yenye kufuta tamaa za muhamad(ngono ,chakula, vita etc).


labda tuu niwaachie kitu..Hivi mnafahamu kwanini wanawake wanavalishwa manguo km mnvayofanya sasa?Hizo ayat zilikuja baada ya mama kijana kabisa wa waumini kuliwa overnight, na wake wengine wa muhamad nao walikchapwa sana......allaha kashusha aya..siku zote allaha hupata maono kwa muhamad kushuhudia kitu..Hadith zina vipande vya kutosha kuelezea hii skendo..


Kwa ujumla uislam ni frustrations-msiba -giza....poor and miserable muslims.
 

haha...kwa bahati mbaya sana ..waliotoa primary data ni hao wasomi unaowataka.Yericko kachukua data ktk hizo primary source....pengine ungajadili ..conclusion aliyofikia au uweke yako.
 
Huu uzi hauwezi kufungwa kwasababu za kipuuzi,

Hapa mtakesha hata iwe mwaka, huu haufungwi!

Utafiti utasimama hivyo na sasa historia ya Tanzania imebadilika rasmi
Yani mambo ya dini kwako ni upuuzi mmhhhhhh mpuuzi ni wewe binadamu uliyeumbwa kwa tone dhaifu la manii
hala umefumbua macho unaona dunia ni mahali bora pa kuishi kajipange usitafutie watu Ban bwana mdogo.
 
Huu uzi hauwezi kufungwa kwasababu za kipuuzi,

Hapa mtakesha hata iwe mwaka, huu haufungwi!

Utafiti utasimama hivyo na sasa historia ya Tanzania imebadilika rasmi

Kuna siku Redio Clouds walimkaribisha Mtaalam wa Mambo ya Freemason Studio kutoa somo !..........kumbe yule jamaa chizi .........wacha awapagawishe. Mwisho wakamzimia Microphone.

Sasa nina wasi wasi JF imekaribisha Chizi humu !
 
Mimi nimespecilise kwenye bible contradiction.here come the mother of all contradiction we find in bible.
Samweli24:1>and again the anger of the LORD was kindled agaisnt israel and he moved David agaisnt them to say,GO NUMBER ISRAEL AND JUDAH.

1chronicles21....and SATAN stoodupagaisnt israel and provoke david to NUMBER ISRAEL.

Look like bible god is a SATAN.
 

pitia post yangu No. 1488 kwa ufafanuzi zaidi !
 

Wacha longalonga yoooote hii!
We tuchukulie maneno yako yoooote ni kweli!
Nakuuliza kidogo tu hapa!
Umetoa ushahidi mwenyewe ktk biblia ya kuwa YESU NI MWANA WA ADAMU!;-

Tizama hapo juu ume quote-:

Luka 24:30-31 “ ndipo itakapoonekana ishara ya mwana wa Adamu mbinguni;

SASA UNAKUBALI KABISA WEWE MWENYEWE KUWA KWA MUJIBU WA ANDIKO YESU NI MWANA WA ADAMU! (mwanaadamu)!

SASA VIPI MWANAADAMU MNAMUITA MUNGU?? AU MWANA WA MUNGU??

Au hayo maandishi pia utayakataa kuwa sio wewe uliyo yanukuu!?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…