UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
niletee ushahidi Yesu alikuwa mkristo au alileta ukristo.

Soma Mathayo 16: 13-20

"Yesu aliingia sehemu ya Kaisari Filipi. Akawauliza wafuasi wake, "watu wanasema Mwana wa Mtu ni nani?" Wakasema, "wengine Yohane Mbatizaji, wengine Eliya, tena wengine Yeremia au mmojawapo wa manabii". Akawaambia, na "Ninyi mwasema kuwa mimi ni nani?" Simoni Petro akajibu, "Wewe u Kristo, Mwana wa Mungu Mzima".

Yesu akamjibu, "Mwenye heri wewe Simoni mwana wa Yona, kwa maana si mwili na damu vilivyokufunulia hayo, isipokuwa Baba yangu aliye mbinguni. Nami nakuambia, wewe u Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, na milango ya Jehenamu haitalishinda. Na wewe nitakupa funguo za ufalme wa mbingu. Lolote utakalofunga duniani, litafungwa mbinguni pia; na lolote utakalofungua duniani, litafunguliwa mbinguni pia. Kisha akawaonya wafuasi wake wasimwambie mtu ya kuwa yeye ni Kristo".

Soma pia Marko 8: 27-29

"Toka huko Yesu na wafuasi wake walienda katika vijiji vya Kaisari Filipi. Njiani aliwauliza wafuasi wake, "Watu wanasema mimi kuwa nani?" Wakamjibu, "Yohane Mbatizaji, wengine Eliya, wengine mmojawapo wa manabii". Naye akawauliza, "Na ninyi mnasema mimi kuwa nani?" Petro akamjibu akisema, "Wewe ndiwe Kristo". Akawaonya wasimwambie mtu habari zake".

Soma pia Yohane 10: 22-29.

"Kulikuwa na Sikukuu ya Kutabaruku Hekalu iliyoadhimishwa Yerusalemu. Ilikuwa majira ya baridi. Yesu alitembea hekaluni, katika ukumbi wa Sulemani. Hapo Wayahudi walimzunguka, wakamwambia, "Hadi lini utatuhangaisha? Kama wewe u Kristo, utuambie wazi wazi". Yesu akawajibu, "Niliwaambia, lakini hamsadiki. Matendo niyafanyayo kwa jina la Baba yangu, ndiyo yanayonishuhudia. Lakini ninyi hamsadiki, kwa sababu ninyi si kati ya kondoo wangu. Kondoo wangu husikia sauti yangu, nami nawajua, nao wananifuata. Nawapa uzima wa milele, hawataangamia milele. Hakuna awezaye kuwapokonya katika mkono wangu. Baba yangu aliyenipa hao, ni mkubwa kuliko wote, na hakuna awezaye kuwapokonya katika mkono wa Baba yangu.
 
Yaani siku zate hizo mlikuwa hamjafanya utafiti?

Sasa kelele zote za nini?
Wazima kweli nyie?
nyie akina nani?.what do you mean by nyie?au ulitaka thread ijibiwe na bakwata au balukta?

Si mgempelekea shehe simba basi kama mnataka official response.
Which means kumbe hii research iko officially?
Tuambie ni research ya kanisa gani?
 
Mkuu elungata hapa utakesha!
Huyu mparokia wa mwanza sasa hivi ataanza kukuita sijui kilaza. Mbulula. Huna akili. Una majini!
Yaani adabu yake ktk mahojiano ni ndogo sana!
Halafu unapojaribu kumregebisha anajifanya kukwepa!
Mi zamani nilikuwa namuona ana maana! Lkn nilifanya makosa kudhani hivyo!

Kwi,kwi,kwi,kwiiiiiiiiiii
Tayari mtu atalipuliwa soon

Hizi hasira za ki-mwamedi zitawamaliza nyie maamuma!!!!!!!
 
Soma Mathayo 16: 13-20

"Yesu aliingia sehemu ya Kaisari Filipi. Akawauliza wafuasi wake, "watu wanasema Mwana wa Mtu ni nani?" Wakasema, "wengine Yohane Mbatizaji, wengine Eliya, tena wengine Yeremia au mmojawapo wa manabii". Akawaambia, na "Ninyi mwasema kuwa mimi ni nani?" Simoni Petro akajibu, "Wewe u Kristo, Mwana wa Mungu Mzima".

Yesu akamjibu, "Mwenye heri wewe Simoni mwana wa Yona, kwa maana si mwili na damu vilivyokufunulia hayo, isipokuwa Baba yangu aliye mbinguni. Nami nakuambia, wewe u Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, na milango ya Jehenamu haitalishinda. Na wewe nitakupa funguo za ufalme wa mbingu. Lolote utakalofunga duniani, litafungwa mbinguni pia; na lolote utakalofungua duniani, litafunguliwa mbinguni pia. Kisha akawaonya wafuasi wake wasimwambie mtu ya kuwa yeye ni Kristo".

Soma pia Marko 8: 27-29

"Toka huko Yesu na wafuasi wake walienda katika vijiji vya Kaisari Filipi. Njiani aliwauliza wafuasi wake, "Watu wanasema mimi kuwa nani?" Wakamjibu, "Yohane Mbatizaji, wengine Eliya, wengine mmojawapo wa manabii". Naye akawauliza, "Na ninyi mnasema mimi kuwa nani?" Petro akamjibu akisema, "Wewe ndiwe Kristo". Akawaonya wasimwambie mtu habari zake".

Soma pia Yohane 10: 22-29.

"Kulikuwa na Sikukuu ya Kutabaruku Hekalu iliyoadhimishwa Yerusalemu. Ilikuwa majira ya baridi. Yesu alitembea hekaluni, katika ukumbi wa Sulemani. Hapo Wayahudi walimzunguka, wakamwambia, "Hadi lini utatuhangaisha? Kama wewe u Kristo, utuambie wazi wazi". Yesu akawajibu, "Niliwaambia, lakini hamsadiki. Matendo niyafanyayo kwa jina la Baba yangu, ndiyo yanayonishuhudia. Lakini ninyi hamsadiki, kwa sababu ninyi si kati ya kondoo wangu. Kondoo wangu husikia sauti yangu, nami nawajua, nao wananifuata. Nawapa uzima wa milele, hawataangamia milele. Hakuna awezaye kuwapokonya katika mkono wangu. Baba yangu aliyenipa hao, ni mkubwa kuliko wote, na hakuna awezaye kuwapokonya katika mkono wa Baba yangu.
kwanini yesu aliwakataza wanafunzi wake wasiwambie watu kua YEYE NI KRISTO?
 
research haifanywi siku moja..inachukua hata ten years,tuombe hii thread isifutwe watakuja tu na majibu watu.

Hii kali kuliko, yani miaka yote ya kelele mlikuwa hamna utafiti wowote mpaka nilipofanya utafiti mimi ndio nanyi mnajiandaa kufanya utafiti tena unasema wazi kuwa mtachukua zaidi ya miaka kumi???
 
Yaani siku zate hizo mlikuwa hamjafanya utafiti?

Sasa kelele zote za nini?
Wazima kweli nyie?

Huu utauita utafiti??
Hebu tizama hizo namba za huyo unaemuita mtafiti!
Anakwambia wanafunzi wa dhehabu lenu waliomaliza kidato cha nne 2011 hapo Daresalam kt ya 100 % wao ni less than 10% na waislamu over 90%!!

Huu utumbo atawadanganya nyinyi ambao hamna data! Mnaosomewa maandiko halafu hamruhusiwi kuuliza maswali!
Na ukiuliza unaambiwa una pepo mbaya!

Anakwambia MADUKA kariakoo yanafika almost nusu millioni!!
Nimesema hata ahesabu na vile viosk pia havifiki laki !!
We unadhani sisi woote wa kuja hapa mjini??

Labda nyie watu wa bara msiojua kariakoo ni wapi! Ndio mnakuja hapa kusema eti hii huu ni utafiti!!

Anasema zanzibar kuna wakristo wakazi 205 na makampuni 9 ya wakristo!

Halafu anasema mwanafunzi mkiristo aliyehitimu 2011 ni MMOJA TU!

Mwambie huo utafiti wake apeleke kanisani! Hapa kuna watu wameenda shule. Huo mfumo wake KRISTO! tunaufanyia kazi ya kuutokomeza.
Wala msikonde.

Cc Tayeb
 
Last edited by a moderator:
Soma Mathayo 16: 13-20

"Yesu aliingia sehemu ya Kaisari Filipi. Akawauliza wafuasi wake, "watu wanasema Mwana wa Mtu ni nani?" Wakasema, "wengine Yohane Mbatizaji, wengine Eliya, tena wengine Yeremia au mmojawapo wa manabii". Akawaambia, na "Ninyi mwasema kuwa mimi ni nani?" Simoni Petro akajibu, "Wewe u Kristo, Mwana wa Mungu Mzima".

Yesu akamjibu, "Mwenye heri wewe Simoni mwana wa Yona, kwa maana si mwili na damu vilivyokufunulia hayo, isipokuwa Baba yangu aliye mbinguni. Nami nakuambia, wewe u Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu, na milango ya Jehenamu haitalishinda. Na wewe nitakupa funguo za ufalme wa mbingu. Lolote utakalofunga duniani, litafungwa mbinguni pia; na lolote utakalofungua duniani, litafunguliwa mbinguni pia. Kisha akawaonya wafuasi wake wasimwambie mtu ya kuwa yeye ni Kristo".


Kwisha habari yake!!!!
 
Mkuu elungata hapa utakesha!
Huyu mparokia wa mwanza sasa hivi ataanza kukuita sijui kilaza. Mbulula. Huna akili. Una majini!
Yaani adabu yake ktk mahojiano ni ndogo sana!
Halafu unapojaribu kumregebisha anajifanya kukwepa!
Mi zamani nilikuwa namuona ana maana! Lkn nilifanya makosa kudhani hivyo!
hahaha,najua lakini ndilo lengo langu,nataka niwakeep busy wasiende thread zingine .infact niko tayari kwenda nao hata week non stop.
 
Bado...vijana bado..mnazunguka katika duara ambalo hamjui mtendalo...hamjui historia..hamjui..mind programming....
 
Hawa ndio waliandika biblia?

Vipi kuhusu people of the book?
Hawa ni watu gani?
Mbona wametajwa kwenye Quran?
Au nayo ni ya warumi?

Wewe quraan inakuta "hypocrite"
Maana yake una sura mbili!
Sura moja unakataa katakata kuwa quraan huiamini!
Sura ya pili unapenda sana ku quote maneno yake!

Watu wenye sura mbili ni hatari kuliko simba na nyoka!
Si afadhali uwe kama sisi!
Tunakubali kuwa biblia ina maneno ya mungu lkn imechakachuliwa!
Yaani maneno ya kweli yamebaki km 10% hivi ile 90% yoote ni mchakachuo mtupu!
 
Utafiti unachukua muda mrefu kwa hiyo tuwe wavumilivu na kuwapa nafasi na upande mwingine waje na matokeo ya utafiti wao, ila ninachojiuliza malalamiko yao yalitokana na utafiti upi? ilikuwa ni rahisi kwao ku-copy na ku-paste tu
 
kama ni superior inakuaje ulikoanzia waliukataa?hata antiokia ambako ndo ulipoanzia leo wakristo ni wa kuhesabu.wazungu wana opt kuwa wapagani kuliko kuendelea kuwa wakristo.

Ukristo ulianzia Yerusalemu; na kuenea Antiokia, Korintho, Efeso na hatimaye Roma. Kitabu cha Matendo ya Mitume kimeeleza hivyo; jinsi yalivyoandikwa na Luka.

Yerusalemu ni mahala ambapo jumuiya ya Kikristo ilianzia.

Soma Matendo ya Mitume 1: 9-14

"Baada ya maneno hayo, akainuliwa, mbele ya macho yao, na wingu likampokea wasimwone tena. Walipokazia bado macho juu mbinguni alikoenda yeye, watu wawili wenye mavazi meupe walisimama ghafula pembeni mwao. Wakasema, "Enyi watu wa Galilaya, mbona mmesimama na kutazama juu mbinguni? Huyu Yesu aliyechukuliwa mbinguni kutoka kwenu atakuja tena jinsi hiyo hiyo mlivyomwona akipaa mbinguni".

Kisha wakarudi Yerusalemu kutoka mlima uitwao Mlima wa Mizeituni; jirani na Yerusalemu, kwa miguu mwendo wa Sabato. Walipofika mjini walipanda ghorofani walipopanga, walikuwa Petro, Yohane, Yakobo, Andrea, Filipo na Thomasi, Bartholomayo na Mathayo, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni Zelote na Yuda mwana wa Yakobo. Hao wote waliendelea kusali kwa moyo mmoja, pamoja nao wakiwemo wanawake, Maria, mama wa Yesu, na ndugu zake".
 
Naomba data zako uziweke hapa!

sina wakati wa kurudiarudia.
Rejea hapo nyuma nimeonyesha na kuchambua data zoote alizozionyesha huyo mgalatia, anaejiita rastafari!

Kama huwezi kurejea, wachana na mimi!
Nyie kila kiti kinachoandikwa mna tabia ya kubeba nzima! Kama mnavyobeba andiko lililo chakachuliwa!
Unaambiwa mungu watatu kwa mmoja!
Hata huulizi!!? Unabeba tu!
Unaambiwa mungu wako alipigwa na viumbe wake mpaka akafa! Unabeba tu!?
Unaambiwa yesu alikuja kw wanakondoo wa nyumba ya israel! Na wewe msukuma pia unaambiwa ni muisraeli kiroho!! Na wewe umabeba tu!!? Na unawaambia wanao pia kuwa "nyie sio wasukuma" nyie ni waisraeli!! Na wao maskini wanabeba tu!

Sisi ni tofauti kabisa na nyie!
 
kwanini yesu aliwakataza wanafunzi wake wasiwambie watu kua YEYE NI KRISTO?

Kwa sababu alikuwa hajakamilisha kazi yake iliyomleta; kumwokoa Mwana wa Adamu kutoka dhambini. Kazi aliyoikamilisha baada ya kufa msalabani; kupaa mbinguni; na kumwachia Mwana wa Adamu Roho Mtakatifu. Hapo ndipo Ukristo ukaanza; kwani Kristo akawa amekamilisha kazi yake.
 
Huu utauita utafiti??
Hebu tizama hizo namba za huyo unaemuita mtafiti!
Anakwambia wanafunzi wa dhehabu lenu waliomaliza kidato cha nne 2011 hapo Daresalam kt ya 100 % wao ni less than 10% na waislamu over 90%!!

Huu utumbo atawadanganya nyinyi ambao hamna data! Mnaosomewa maandiko halafu hamruhusiwi kuuliza maswali!
Na ukiuliza unaambiwa una pepo mbaya!

Anakwambia MADUKA kariakoo yanafika almost nusu millioni!!
Nimesema hata ahesabu na vile viosk pia havifiki laki !!
We unadhani sisi woote wa kuja hapa mjini??

Labda nyie watu wa bara msiojua kariakoo ni wapi! Ndio mnakuja hapa kusema eti hii huu ni utafiti!!

Anasema zanzibar kuna wakristo wakazi 205 na makampuni 9 ya wakristo!

Halafu anasema mwanafunzi mkiristo aliyehitimu 2011 ni MMOJA TU!

Mwambie huo utafiti wake apeleke kanisani! Hapa kuna watu wameenda shule. Huo mfumo wake KRISTO! tunaufanyia kazi ya kuutokomeza.
Wala msikonde.

Cc Tayeb
halafu wanakuja kifua mbele kwa majigambo,sisi wasomi bana,phew...kama ndo usomi wenyewe wa kutoa data ambazo haziendani kabisa kumbe swaga tu.

Mtu mwenyewe nasikia fundi lipu.
 
Last edited by a moderator:
Wewe quraan inakuta "hypocrite"
Maana yake una sura mbili!
Sura moja unakataa katakata kuwa quraan huiamini!
Sura ya pili unapenda sana ku quote maneno yake!

Watu wenye sura mbili ni hatari kuliko simba na nyoka!
Si afadhali uwe kama sisi!
Tunakubali kuwa biblia ina maneno ya mungu lkn imechakachuliwa!
Yaani maneno ya kweli yamebaki km 10% hivi ile 90% yoote ni mchakachuo mtupu!

Ninaiquote pale ninapothibitisha uongo wenu au uongo wa Quran yenyewe
Hapo niliposema kuwa kwenye Quran kuna watu wanoitwa people of the book nilikuwa namwambia huyo mfuasi mwenzako wa mwamedi kutokana na madai yake kuwa Warumi ndio walianzasha ukristo

Mimi sio kama nyie ambao mnaiquote biblia pale mnapotaka ushahidi kuwa inasema kweli lakini pale inapowaruka mnadai eti imechakachuliwa!
 
Kiukwel nimefanya kazi katika taasisi mbali mbali na pia hata kusoma..takwimu ya iman fulan pamoja na utendaji kazi wao wa haki na ukweli na wakukubalika still ni wa chache mno...

Mimi ninacho amini ni kwamba kwa hakika mungu anawapenda viumbe wake wate na pia anawahurumia...na kwa vile mafunzo ya uislam yapo katika kuhakikisha kuwa haki za binadamu zina fuatwa basi always katika social evaluations yule ambaye ni muislam watu wengi watamkubali...
Nsha wahi fanya kazi hospital...nsha wahi kuwa mtafiti...nk..so bila ubishi every thing is clear however tutabisha tu kutokana na propaganda za bad attitude ambazo mlilishwa since the age of egos..but if...only if you will read and learn sure youl will understand something that is truth...
Mwisho..kumbukeni kuwa unaeza spell maneno mbele za watu ukipinga haki ila katika nafsi/moyo wako ni dhahiri kuwa ukweli utauona tu...bisha dhahir au gizani that is my point..
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom