UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

UTAFITI: Dhana ya Mfumo Kristu Tanzania na Ukweli wake

Status
Not open for further replies.
Ritz sasa ni zamu yenu kujibu mungu muhamed hapa:Sijui mtauita uwili muovu au utatu muovu kwa kuongeza mmojawapo wa majinn Iblis km roho muovu?Kuran imejaa muhamad na mshirika wake allah..na mara zote kuran inasema SISI/TU

The fact that mention of the Prophet is directly connected to mention of Allah also shows that obedience to the Prophet is connected to obedience to Allah and his name to Allah's name. Allah says, "Obey Allah and His Messenger" (2:32) and "Believe in Allah and His Messenger." (4:136) Allah joins them together using the conjunction wa WHICH IS THE CONJUNCTION OF PARTNERSHIP. IT IS NOT PERMITTED TO USE THIS CONJUNCTION IN CONNECTION WITH ALLAH IN THE CASE OF ANYONE EXCEPT THE PROPHET.

 'Umar bin Al-Khattab said, "Verily he has betrayed Allah, His Apostle, and the believers! Allow me to chop his neck off!" The Prophet said, "O 'Umar! What do you know? Perhaps Allah looked upon the Badr warriors and said, Do whatever you like, for I have ordained that you will be in Paradise." On that 'Umar wept and said, "Allah AND His Apostle know best." (Sahih al-Bukhari, Volume 8, Book 74, Number 276, *)Finally:
Narrated Mu'adh bin Jabal:
The Prophet said, "O Mu'adh! Do you know what Allah's Right upon His slaves is?" I said, "Allah AND His Apostle know best." The Prophet said, "To worship Him (Allah) Alone and to join none in worship with Him (Allah). Do you know what their right upon Him is?" I replied, "Allah AND His Apostle know best." The Prophet said, "Not to punish them (if they do so)." (Sahih al-Bukhari, Volume 9, Book 93, Number 470, *)

Doesnt the use of the conjunction in all of the above narratives imply that Muhammad knows whatever Allah knows thereby making him a co-equal partner with Allah in knowledge? Yet wouldnt this clearly contradict the explicit testimony of the Quran that Muhammad doesnt know what Allah knows and is ignorant of the unseen?
Say (O Muhammad): "I possess no power of benefit or hurt to myself except as Allah wills. If I had the knowledge of the Ghaib (unseen), I should have secured for myself an abundance of wealth, and no evil should have touched me. I am but a warner, and a bringer of glad tidings unto people who believe." S. 7:188 Hilali-Khan

If so, then doesnt this conclusively show that the so-called sound narratives are contradicting the Quran?

And obey Allah AND the Messenger, that you may be shown mercy. S. 3:132

The response of the believers, when they are invited to Allah AND His Messenger that he may judge between them, is only to say: We hear and we obey; and these it is that are the successful. S. 24:51


In fact, ones entire salvation is determined by ones obedience and devotion to Muhammad:
Say, (O Muhammad, to mankind): If ye love Allah, follow me; Allah will love you and forgive you your sins. Allah is Forgiving, Merciful. S. 3:31 Pickthall


CXLII: "O you who believe! Respond to Allah, AND to the Messenger, when He calls you to what will bring you to life! Know that Allah intervenes between a man and his heart and that you will be gathered to Him." (8:24)
4370. It is related that Sa'id b. al-Mu'alla said, "I was praying and the Messenger of Allah, may Allah bless him and grant him peace, passed by called me, but I did not answer until I had finished praying. Then I went to him and he said, 'What kept you from coming to me? Does not Allah say, "Respond to Allah, AND to the Messenger, when He calls you to what will bring you to life!" (8:24)?' Then he said to me, 'I will teach you a sura which is the greatest of the suras in the Qur'an before you leave.' The Prophet, may Allah bless him and grant him peace, was about to leave, so I reminded him."


Lest Muslims accuse of us distorting the meaning of this specific citation here is how some of Islams renowned commentators interpreted this reference:
But no, (fa-la, the la is extra) by your Lord! They will not believe until they make you judge over what has broken out, has become mixed up, between them and find in themselves no inhibition, [no] constraint or doubt, regarding what you decide, but submit, [but] comply with your ruling, in full submission, without objection. (Tafsir al-Jalalayn; bold and underline emphasis ours)

And:
(But nay, by your lord) Allah swore by Himself and by the age of Muhammad, (they will not believe) in secret nor deserve to be called believers when alone (until they make thee judge of what is in dispute between them and find within themselves) in their hearts (no dislike) no doubt (of that which thou decidest) between them, (and submit with full submission) totally submit to you. (Tanwîr al-Miqbâs min Tafsîr Ibn Abbâs; bold and underline emphasis ours)



Naomba majibu hapa:
Crackpot...
 
Haha..by the way Hata km Yesu angehitaji kuoa bado isngekuwa shida ktk Ukristu...na sioni wapi roho inakuuma wakati mohamed alikuwa 11+ yeti bado alikuwa na vimada na Majinn mahaba kibao..nini kipo embarassing zaidi..?Mbona upo obsessed sana Yesu?Ulitaka mohamed aongezee ili pate 30 kufikia speed limit yake?Au uliambiwa Martha alikuwa mzuri sana hukutaka Yesu achukue akipenda?

AU NDIO UNATAKA KIRI KUWA YESU ALIKUWA MUNGU NA HIVYO HAKUHITAJI NGONO KM MLIVYOTAFSIRI..NILIONA UKALIW ENU MLIPOAMBIWA KUWA YESU NI MWANA WA MUNGU.NI KWA VILE MNAHUSISHA KILA KITU NA NGONO.

nadhani wewe ni mhuni uliyejifunza mambo kijuu juu au ndio unafungua unafiki wa waislam ktk habari za Yesu...ni km CCM kusema issue za CDM ....Yaani uislam umeweka Yesu wa version yao ili kuwapromote ila si Yesu si wa Spirit yenu.Ndio maana Mnamtukama kuliko hata ambao hawamtambui..
Ubongo 0.15g umechoka umeamua kuleta mambo ya CCM na Chadema.
 
Mkuu kuna kipindi mimi pia nilidhani Eiyer ni mtu ambaye anaweza kuangalia mambo objectively, kumbe wapi mule mule tu. Sasa mtu anapewa link hata kabla ya kusoma anatoa lugha za ajabu. Well hata kama link ni za hovyo jibu hoja basi waaaaapi povu tu.

Mkuu Eiyer nilikuwa nakuona wa maana sana lakini nimeanza kugundua kwa nini kuna watu wanaamini dini zinafunga akili za watu, obviously ni kwa sababu ya watu kama wewe.

Matatizo mkuu!
Kama utagundua Huyu Eiyer na wagalatia wote, ufahamu wao unafanana!
Tofauti zao ni kwenye kujibu! Wengine wanaleta hoja za maana! Na wengi wao hawana walijualo zaidi ya kashfa na matusi!
We ukitoa andiko ndani ya kitabu chao linaloonyesha wazi kabisaa kuwa YESU SI MUNGU! baaas! Umewasha moto!
Lkn ukitoa andiko la PAULO! linalo muita yesu mungu! Utaona haleluyah kibaao!
Teh teh teh teh!
Halafu hebu jiulize kitu kimoja mkuu!
Wewe ktk huu ulimwengu umeshawahi kukutana na mtu mwenye jina moja tu!?
La baba wala la babu halijulikani!

HAKUNA KTK HISTORIA AU VITABU AU HADITHI DUNIANI KUKAWA NA WATU WANA JINA MOJA TU! YAANI LA BABA HALIPO WALA LA UKOO! ISPOKUWA KWENYE BIBLIA TU!

WE MUULIZE MKRISTO YOYOTE DUNIANI HAWA WAANDISHI WA BIBLIA MAJINA YA BABA ZAO NI NANI??

MATTHEW WHO?
MARK WHO?
LUKE WHO?
JOHN WHO?

Sasa hapo tu! Ukiwauliza hilo! Hakuna wa kukujibu zaidi ni matusi na kashfa!

Nakwambia ugalatia ni kazi ya ziada!
Tuwaombee Mungu tu!
 
Last edited by a moderator:
Nahisi hapo kwenye rangi kutakuwa na makosa!

Ehee! haiwezekani. Tunawezaje kuthibitisha Utafiti binafsi?

Hongera kwa kutafiti
Utamtendea haki mtoa hoja na wasomaji kama utatoa mawazo yako pale unapodhani amekosea. Vinginevyo tutaelewa ni ushabiki tu. Mwenzio katumia takwimu, leta za kwako tulinganishe.
 
Ngoja sasa nianze wapiga ngumi za nyeti:
-Haya tuseme ni feki ,ila waliochagu ahiyo feki ni wengine kwa hiari yao..Hembi nimabie ukweli wa Muhamad kupanda kwa farasi hadi mbiguni kwenda burgain swala zipunguzwe,eti waislam walikuwa wakiswali swala haziishi..walikuwa wakifany akazi gani za kiuchumi ili waweze jikidhi kwa majitaji ya lazima?


-Hembu tuambie muhamad aanaposema alikwenda mwezini kwa farsi yenu ile yenye kichwa cha mwanammke akaenda ukata nusu kwa Jambia hembu tuambia iliwezekana vipi?

naomba majibu au mkubali na kukimbia km mlivyokimbia issue ya majinn...

Majini ndio nini kwani kwenye hio biblia uongo hakutajwa suleiman au solomon na majini wake
 
If you notice,someone who is christian like nicholas always telling peoples they will die a horrible death one day(lots of christian think that way)I CANT HELP TO SEE HOW SICK THE THINKING IS,i think christian who think a burning hell to other who dont beliave a finctional book like bible,THAT IS SICK.
I also beliave preacher who put idea in children head that ,'they will burn in hell' is a child abuse.
Why are people being blackmailed into accepting jesus.
IT IS THE SAME KIND OF ABUSE THAT TERRORIST USE ON HOSTAGE....It is criminal plain and simple even if it is pyschological with no physical abuse.IT VIOLATE THE VERY FREE WILL we are supposed to have.
 
Matatizo mkuu!
Kama utagundua Huyu Eiyer na wagalatia wote, ufahamu wao unafanana!
Tofauti zao ni kwenye kujibu! Wengine wanaleta hoja za maana! Na wengi wao hawana walijualo zaidi ya kashfa na matusi!
We ukitoa andiko ndani ya kitabu chao linaloonyesha wazi kabisaa kuwa YESU SI MUNGU! baaas! Umewasha moto!
Lkn ukitoa andiko la PAULO! linalo muita yesu mungu! Utaona haleluyah kibaao!
Teh teh teh teh!
Halafu hebu jiulize kitu kimoja mkuu!
Wewe ktk huu ulimwengu umeshawahi kukutana na mtu mwenye jina moja tu!?
La baba wala la babu halijulikani!

HAKUNA KTK HISTORIA AU VITABU AU HADITHI DUNIANI KUKAWA NA WATU WANA JINA MOJA TU! YAANI LA BABA HALIPO WALA LA UKOO! ISPOKUWA KWENYE BIBLIA TU!

WE MUULIZE MKRISTO YOYOTE DUNIANI HAWA WAANDISHI WA BIBLIA MAJINA YA BABA ZAO NI NANI??

MATTHEW WHO?
MARK WHO?
LUKE WHO?
JOHN WHO?

Sasa hapo tu! Ukiwauliza hilo! Hakuna wa kukujibu zaidi ni matusi na kashfa!

Nakwambia ugalatia ni kazi ya ziada!
Tuwaombee Mungu tu!

mbokaleo, ndugu yangu huyo jamaa huwa ana analolifahamu zaidi ya kukata kata mabandiko na kuyajibu kitoto.

Huwa anatokwa na povu nakushangilia upuuzi naye ubongo wake ni 0.10g.
 
Last edited by a moderator:
The trinity dogma claims that jesus christ is god and that jesus is also'the holy spirit'.IF THAT IS CORRECT,THEN JESUS CHRIST IMPREGNATED HIS OWN MOTHER TO PRODUCE HIMSELF.
 
Wale wanaodaikuwaYesu alikuwa Mungu, wanashikilia kuwa yeye hakuwa Mungu aliyetengeka, bali ni mmoja na ni Mungu yule yule mwenye mwili. Wao wanaunga mkono imani hii kutokana na mstari wa 30 wa Injili kwa mujibu wa Yohana, sura 10, ambayo ndani yake Yesu anaripotiwa kuwa amesema, "Mimi na Baba ni kitu kimoja." Nje ya muktadha, mstari huu unaashiria uungu wa Yesu. Hata hivyo, pale Wayahudi walipomtuhumu kwa kudai uungu, kwa kutegemea sentesi hiyo, Yohana 10:34 "Yesu akawajibu, Je, haikuandikwa katika Torati yenu ya kwamba, Mimi nimesema, Ndinyi miungu? Ikiwa aliwaita miungu wale waliojiliwa na neno la Mungu;"[1] Amewabainishia, kwa mfano wa maandiko unaojulikana sana kwao, kuwa yeye alikuwa anatumia lugha ya kistiari ya manabii ambayo haipaswi kufasiriwa kwa kujipachika uungu yeye mwenyewe au kwa mtu mwingine yoyote. Ushahidi zaidi unachukuliwa kutoka katika mstari wa kumi na wa kumi na moja wa Injili kwa mujibu wa Yohana, sura ya 14, pale watu walipomtaka Yesu awaonyeshe Baba, naye inaaminiwa alisema: "Husadiki ya kwambi mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake. Mnisadiki ya kwambi mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; la! Hamsadiki hivyo, sadikini kwa sababu ya kazi zenyewe." Ibara hizi zingeashiria uungu wa Yesu, kama sehemu iliyobakia ya Injili hiyo hiyo inapuuzwa. Hata hivyo, aya tisa baadaye, katika Yohana 14:20, pia Yesu anarekodiwa akiwaambia wanafunzi wake, "Siku ile mtatambua ya kuwa mimi ni ndani ya Baba yangu, nanyi ndani yangu, nami ndani yenu." Kwa hiyo, kama maelezo ya Yesu "Mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; yanamaanisha kuwa yeye ni Mungu, basi vivyo hivyo iwe kwa wanafunzi wa Yesu. Hii sentensi ya kiishara inamaanisha umoja wa lengo na sio umoja wa asili. Tafsiri ya kiishara inasisitizwa zaidi katika Yohana 17:20-21, pale Yesu aliposema, "Wala si hao tu ninaowaombea; lakini na wale watakaoniamini kwa sababu ya neno lao. Wote wawe na umoja; kama wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, nami ndani yako; hao nao wawe ndani yetu; ili ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma."[2] [h=3]5. Amekubali kusujudiwa[/h] Inadaiwa kuwa Yesu tangu aliporipotiwa kuwa amekubali kusujudiwa na baadhi ya wafuasi zake, lazima atakuwa ni Mungu. Hata hivyo, uchunguzi makini kuhusu andiko hilo unaashiria mambo mawili; tafsiri wasiwasi, na tafsiri potofu. Istilahi "kusujudu" inaweza kupatikana katika King Jemes Version na The Revised Standard Version yakielezea watu watatu wenye busara waliokuja kutokea mashariki. Wameripotiwa katika Mathayo 2:2, wakisema, "Yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tuliiona nyota yake mashariki, nasi tumekuja kumsujudia."[3] Hata hivyo, katika Biblia ya The New American Bible (Catholic Press, 1970), hilo andiko linasomeka: "Yu wapi mfalme wa Wayahudi aliyezaliwa sasa? Tumeona nyota yake ikichomoza na tumekuja kutoa heshima kwake." Katika The Revised Standard Version, Yohana 9:37-38, "Yesu akawaambia, Umemwona, naye anayesema nawe ndiye. Akasema, Naamini, Bwana. Akamsujudia. [4] Hata hivyo, katika The American Biblke, wafasiri wasomi wameongeza tanbibihi inayosomeka: 9:38. Mstari huu, imefutwa kwa umuhimu wa MSS [miswada], unaweza kuwa ni nyongeza kwa liturujia ya ubatizo. Mistari hii haipatikani katika miswada muhimu ya kale yenye Injili hii. Huenda ni nyongeza ya baadaye iliyowekwa na waandishi wa kanisa ili yatumike katika huduma ya ubatizo. Zaidi, kama alivyofafanua, mwenye mamlaka makuu na adhima katika Biblia na lugha zake za asili, George M. Lamsa, "Neno la Kiarama sagad, sujudu, pia lina maana ya kuinama au kupiga goti kwa watu wa mashariki wakati wa kusalimiana kwa kawaida ya kuinamisha kichwa au kuinama chini.[5] "Alimsujudia" haiashirii kuwa yeye alimwabudu Yesu kama vile mtu alivyomwabudu Mungu. Tendo kama hilo lilitakiwa lichukuliwe ni la kukufuru na la uvunjaji wa Amri ya kwanza mbele ya macho ya Wayahudi, na huyo mtu angepigwa mawe. Lakini yeye alipiga magoti mbele yake kwa kutoa heshima na shukurani."[6] Kitabu cha mwisho, Quran, kinaeleza tukio la kuabudiwa au kutoabudiwa kwa Yesu, kwa kunukuu mazungumzo yatakayotokea baina ya Yesu na Mungu siku ya Kiama. Allah anaeleza katika Sura Al-Maa`idah, 5:116-117 "وَإِذْ قَالَ اللّهُ يَا عِيسَى ابْنَ مَرْيَمَ أَأَنتَ قُلتَ لِلنَّاسِ اتَّخِذُونِي وَأُمِّيَ إِلَـهَيْنِ مِن دُونِ اللّهِ...، مَا قُلْتُ لَهُمْ إِلاَّ مَا أَمَرْتَنِي بِهِ أَنِ اعْبُدُواْ اللّهَ رَبِّي وَرَبَّكُمْ..." "Na pale Mwenyezi Mungu atakaposema: Ewe Isa bin Maryamu! Ati wewe uliwaambia watu: Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu?..., (Na Isa) atasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hainifalii mimi kusema ambayo si haki yangu…, Sikuwaambia lolote ila uliyoniamrisha, nayo ni: Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi…" Al-Maa`idah, 5:116-117 [h=3]6. "Hapo mwanzo kulikuwa na Neno"[/h] Huenda ‘ushahidi' wa uungu wa Yesu ulionukuliwa sana ni Yohana 1:1 na 14, "Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, na Neno alikuwa Mungu… Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli." Hata hivyo, maelezo haya hayakutolewa na Yesu Kristo, wala hayakuhusishwa naye na mtunzi wa Injili kwa mujibu wa Yohana. Hivyo, mistari hii haiundi ushahidi wa uungu wa Yesu, hasa hasa kuzingatia shaka inayoshikiliwa na wasomi wa Kikristo juu ya Injili ya Nne. Wasomi wa Biblia waliotunga Injili tano: "Picha mbili zilizochorwa na Yohana na muhtasari wa injili (yaani Injili ya Mathayo, Marko na Luka) zote mbili haziwezi kuwa ubainifu wa kihistoria.[7] Neno lilohusishwa na Yesu katika Injili ya Nne limeundwa na wainjilisti kwa sehemu kubwa, na linaakisi mwendelezo wa lugha ya jamii ya Wakristo wa Kiyohana.[8] Neno la Kigiriki lilotumiwa na mtunzi wa Injili ya Nne asiyejulikana kwa "neno" ni logos.[9] Kwa kufanya hivyo, huyo mtunzi anamtambulisha Yesu kwa logos la wanafalsa wapagani wa Kigiriki, neno ambalo lilikuwa na lengo takatifu na thabiti lililojitokeza ulimwenguni, huyo mtunzi akalipangilia neno hilo na kulipa mfumo na maana.[10] Wazo la logos katika fikra za Kigiriki huenda linarejea nyuma, kwa uchache hadi kwa mwanafalsafa wa karne ya sita BC, Heracleitus, aliyependekeza kuwa, kulikuwa na logos ulimwenguni anayetenda kwa mwanadamu kulingana na nguvu ya hoja. Baadaye, Stoics[11] analitambulisha logos kuwa ni tendo, mantiki, na kanuni ya kiroho inayosambaa katika ukweli wote.[12] Mwanafalsafa wa Kiyahudi anayeongea Kigiriki, Judaeus Philo wa Alexandria (15 BC -45 CE), amefundisha kuwa logos alikuwa ni mpatanishi baina ya Mungu na ulimwengu, kwa kuwa na sifa mbili za uwakala wa Mungu na ulimwengu, na kuwa na sifa mbili za uwakala wa viumbe na wakala wa ambaye kupitia kwake akili ya mwanadamu inaweza kumfahamu Mungu.[13] Maandiko ya Philo yalihifadhiwa na kutunzwa na kanisa, na kueneza ufunuo kwa mafundisho ya kistaarabu ya tiolojia ya kifalsafa ya Kikristo. Aliacha mafundisho ya fikra za Kipilato wakichukulia logos (Neno) na kuliita "mtoto wa kwanza wa kuzaliwa na Mungu."[14] Utambulisho wa Yesu kwa logos, uliendelezwa katika kanisa la kwanza ikiwa ni tokeo la majaribio yaliyofanywa na wanatiolojia wa kwanza wa Kikristo pamoja na watetezi kuielezea imani ya Kikristo kwa istilahi ambayo ingekuwa wazi kwa ulimwengu wa Wayunani. Zaidi ya hayo, ilikuwa ni kuwavutia wasikilizaji wao na mtazamo wao kuwa Ukristo ulikuwa unashinda, au mrithi wa wale wote waliokuwa wanafalsafa bora wa kipagani. Kwa hiyo, katika kazi zao za utetezi na ubishani, Mapadri wa Kikristo wa kwanza wameeleza kuwa Yesu alikuwa ni logos aliyekuwepo hapo kabla.[15] Neno la Kigiriki lililotumika kwa maana ya ‘Mungu' katika hiyo ibara ni "na Neno lilikuwa kwa Mungu," lipo katika mtindo wa "definite form- yaani mtindo uliowazi, au unaofahamika" batheos, Linalomaanisha "Huyo Mungu, au Mungu maalum". Hata hivyo, katika ibara ya pili "na Neno alikuwa Mungu", neno la Kigiriki lililotumika kwa maana ya ‘Mungu' katika ibaralipo katika mtindo wa "indefinite form- yaani mtindo usiowazi, au usiofahamika" tontheos, Linalomaanisha ‘mungu yoyote, yaani mungu asiyejulikana, au mungu yoyote asiye maalumu'.[16] Kwa hiyo, Yohana 1:1, kwa uwazi zaidi ilipaswa itafsiriwe, "Hapo Mwanzo kulikuwa na Neno, na hilo Neno lilikuwa kwa Mungu, na hilo Neno lilikuwa mungu mwingine." Kwa hiyo, kama hilo neno lilikuwa mungu mwingine kwa ufahamu wa kifasihi, itamaanisha kuwa kulikuwa na miungu miwili na sio mmoja. Hata hivyo, katika lugha ya Kibiblia, neno ‘mungu – asiyefahamika' linatumika kwa maana ya istiari ili kuashiria nguvu. Kwa mfano, Paulo alimtaja shetani kuwa ni ‘mungu – asiyefahamika' katika 2 Wakorintho 4:4, "ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu." Pia, Musa alitajwa kama ni ‘mungu – asiyefahamika' katika Kutoka 7:1, "BWANA akamwambia Musa, Angalia, nimekufanya wewe kuwa Mungu kwa Farao; na huyo ndugu yako Haruna atakuwa nabii wako.[17] [h=3]Mawazo ya kale[/h] Kulikuwa na mgogoro mkubwa kati ya tafsiri ya Pauline na ya Jerusalem kuhusu Yesu na ujumbe wake. Mgogoro huo, baada ya kutokea pole pole kwa miaka mingi, hatimaye ulipelekea mpasuko kabisa, katika mpasuko huo, ulipelekea kuundwa Kanisa la Wakristo wa Pauline, kwa athari hiyo, dini mpya iliyojitenga kutoka Uyahudi. Kwa upande mwingine, Wanazareti wa Jerusalem hawakukata uhusiano wao na Uyahudi, bali walijizingatia kuwa wao ndio kiini cha kuutekeleza Uyahudi, watiifu wa Torati, pia walimwamini Yesu, umbo la Masihi mwanadamu.[18] Wakati uasi wa Kiyahudi ulipopondwa pondwa na Warumi na mahekalu yao kuharibiwa mwaka 70 CE, Wakristo wa Kiyahudi walitawanyika, nguvu yao na mvuto wao wa kuwa wao ndio Kanisa Mama na kituo cha vuguvugu la Yesu zilifikia kikomo.[19] Vuguvugu la Wakristo wa Kipauline, vuguvugu ambalo mpaka mwaka 66 CE. Lilikuwa linapigania liendelee kuishi, dhidi ya kutokubaliwa huko Jerusalem, sasa lilianza kusonga mbele. Kanisa la Jerusalem, chini ya uongozi wa James, kiasili lilijulikana kuwa ni la Wanazareti, baadaye likajulikana kwa jina la kupanga na la kuaibisha la Ebionites (Kwa kiyahudi evyonium, "watu maskini"), jina ambalo baadhi ya Wanazareti walilitwaa kwa ufahari wakilichukulia kuwa ni kikumbusho cha maneno ya Yesu yasemayo, "Wabarikiwe maskini." Baada ya Kanisa la Graeco-Roman kushika hatamu, Wanazareti wakawa wanadharauliwa na kuonwa kuwa ni waasi, kwa sababu ya kukataa kwao mafundisho ya Paulo.[20] Kwa mujibu wa historia ya kanisa la wahenga, Irenaeus (c. 185 CE,) hao watu maskini walimwamini Mungu mmoja, Muumba, aliyefundisha kuwa Yesu alikuwa ni masihi, kwa mujibu wa Mathayo, walitumia Injili tu, na kumpinga Paulo kwa kumwona kuwa ni muasi aliyeasi Sheria ya Kiyahudi.[21] Hao watu maskini walijulikana kuwa waliishi mpaka katika karne ya nne. Baadhi yao walihama Palestina na wakaishi huko Transjordan na Syria na baadaye sehemu hiyo ikajulikana kuwa ni Asia ndogo, Misri na Roma [22]. Kwa mfumo wa kifalme,[23] vuguvugu la Wakristo wa Mataifa lilioendelezwa kipindi cha karne ya pili na ya tatu liliendelea kuwakilisha mtazamo wa kuamini Mungu mmoja uliokithiri na ule wa Waibionia ‘watu maskini'. Mtazamo huo ulishikilia kuwa Kristo alikuwa ni mtu, mimba yake ni ya kimuujiza, lakini alikuwa ni "mwana wa Mungu" wa pekee kwa kuwa amejazwa busara takatifu na nguvu. Mtazamo huu ulifundishwa huko Roma takriban mwishoni mwa karne ya pili na Theodotus, aliyetengwa na Papa Victor, na ulifundishwa sehemu Fulani hapo baadaye na Artemon, aliyetengwa na Papa Zephyrinus. Takriban mwaka 260 CE mtazamo huo ulifundishwa tena na Paulo wa Samosata,[24] Askofu mkuu wa Antokia huko Syria, ambaye alihubiri kiwazi wazi kuwa Yesu alikuwa ni mtu na kupitia kwake Mungu ameongea maneno yake (Logos), naye kwa nguvu kabisa amethibitisha upweke wa Mungu. Kati ya mwaka 263 na 268 kwa uchache vikao vitatu vya baraza la kanisa viliitishwa huko Antokia ili kujadili usahihi wa Paulo. Kikao cha tatu kililaani mafundisho yake na kumvua madaraka. Hata hivyo, Paulo alifaidika na ulinzi wa Zenobia, malkia wa Palmyra, ambaye kwake yeye, Antokia ilikuwa ndio mada, na haikuwa ila mpaka mwaka 272 pale mfalme Aurelian alipomshinda Zenobia kwa kiwango ambacho madaraka halisi yakanyakuliwa.[25] Mwishoni mwa karne ya tatu na mwanzoni mwa karne ya nne, Arius (b.c 250, Libya – 336 CE), kasisi wa Alexandria, Misri, pia amefundisha maumbile yenye mipaka ya Kristo upweke kabisa wa Mungu, jambo lililowavutia idadi kubwa ya wafuasi, mpaka alipotangazwa kuwa ni mzandiki na baraza la Nicaea mnamo Mei mwaka 325 CE. Wakati wa baraza hilo, alipinga kutia saini mfumo wa imani unaoeleza kuwa Kristo alikuwa na tabia ile ile kama Mungu. Hata hivyo, akiwa ameshawishiwa na wenzake wa Asia ndogo na kutoka Constantia, binti wa mfalme Constantine, alifanikiwa kushawishi kurejea kwa Arius kutoka uhamishoni na kurudi kanisani.[26] Vuguvugu alilodhaniwa kuwa amelianzisha, lakini kwa hakika lilikuwa ni kupanua imani ya Wakristo wa kiyahudi Wanazareti wa Jerusalem, Vuguvugu hilo lilijulikana kama Arianism na kuunda tisho kubwa ndani ya imani ya itikadi ya Wakristo wa Kipauline juu ya uungu wa Yesu. Kutoka mwaka 337 hadi 350 CE, mfalme wa Magharibi, Constans, alionyesha huruma kwa Wakristo waoksodoksi, na Constantius wa pili, aliyekuwa mfalme wa Mashariki, aliwahurumia Waarians. Ushawaishi wa Arian ulikuwa mkubwa mno kiasi ambacho katika baraza la kanisa lililofanyika Antokia (341 CE), uthibitisho wa imani ulikuwa ndio jambo lililoondoa kifungu cha kuwa Yesu alikuwa na maumbile yale yale ya uungu kama Mungu". Mwaka 350 CE Constantius wa pili akawa mtawala wa pekee wa himaya yote, na chini ya uongozi wake sehemu ya Nicene (Wakristo Waoksodoksi) waliangamizwa kwa kiasi kikubwa. Baada ya kifo cha Constantius wa pili mwaka 361 CE, Wakristo Waoksodoksi walio na wingi mkubwa huko Magharibi waliimarisha nafasi yao. Hata hivyo, utetezi wa kuwa na Mungu mpweke kabisa, na kukandamizwa kwa Wakristo Waoksodoksi, imani ya utatu iliendelea huko Mashariki chini ya mfalme Arian Valens (364-383 CE). Haikuwa ila mpaka pale Mfalme Theodosius wa kwanza (379-395 CE) alipotwaa ulinzi wa imani ya Arius, hata hivyo, imani hiyo iliendelea miongoni mwa makabila ya Kijerumani hadi mwishoni mwa karne ya saba.[27] [h=3]Mawazo ya kisasa[/h] Leo hii, kuna wasomi wengi katika Ukristo wanaoshikilia kuwa Yesu Kristo hakuwa Mungu. Mwaka 1977, kikundi cha wasomi saba wa Biblia, akiwemo mwanatiolojia kiongozi wa Kianglikana na wasomi wengine wa Agano Jipya, walichapisha kitabu kiitwacho The Myth of God Icarnate, (Kisa cha kubuni cha Mungu mwenye mwili) kilichosababisha fujo kubwa kwa makutano makuu ya Kanisa la Uingereza. Katika utangulizi, mwandishi, John Hick, ameandika yafuatayo: "Waandishi wa kitabu hiki wamekinaishwa kuwa mwendelezo mkubwa wa kitiolojia uitishwe katika muda huu wa karne ya ishirini. Dai linaibuka kutokana na kukuwa kwa maarifa ya asili ya Ukristo, na kuhusisha kutambua kuwa Yesu alikuwa ni (kama alivyowasilishwa katika matendo 2:21) ‘mtu aliyethibitishwa na Mungu' kwa kazi maalum kwa lengo la kiungu, na kuwa dhana ya baadaye juu kumhusu yeye kama ni Mungu mwenye mwili, Nafsi ya Pili ya Utatu Mtakatifu inayoishi katika maisha ya kibinadamu, ni ngano ya kubuni au njia ya kishairi ya kuelezea umuhimu wake kwetu."[28] Kuna makubaliano makubwa miongoni mwa wasomi wa Agano Jipya kuwa, kihistoria Yesu hajadai uungu ambao fikra ya Kikristo ilimfanyia; yeye hajajielewa kuwa yeye ni Mungu, wala Mungu Mwana, mwenye mwili [katika mwili].[29] Askofu mkuu wa hivi mwishoni Michael Ramsy, ambaye alikuwa ni msomi wa Agano Jipya, ameandika kuwa "Yesu hajadai uungu."[30] Mwenzake wa zama moja, msomi wa Agano Jipya C.F.D. Moule. Amesema kuwa, "Kwa hali yeyote ile ya Elimu ya Ukristo ya hali ya juu inayotegemea usahihi wa madai ya Yesu mwenyewe, hasa hasa katika Injili ya Nne, kwa hakika atakuwa hatarini."[31] Katika utafiti mkubwa juu ya asili ya imani ya kuwa na mwili, James Dunn, anayethibitisha Elimu ya Ukristo wa Kioksodoksi, anahitimisha kuwa "hakuna ushahidi wa hakika katika mapokeo ya mwanzo ya Yesu kwa kile ambacho kwa uadilifu, kitaitwa ufahamu wa uungu."[32] Tena, Brian Hebblethwaite, mtetezi kwa nguvu wa Elimu ya Ukristo ya mapokeo ya Nicene-Calcedonian, anakiri kuwa "haiwezekani tena kutetea uungu wa Yesu kwa kurejea katika madai ya Yesu."[33] Hebblethwaite na Dunn, na wasomi wengine kama wao wanaoendelea kuamini uungu wa Yesu, wanadai kuwa licha ya kuwa Yesu hakujijua kuwa Yeye alikuwa Mungu mwenye mwili. Haya yalijulikana baada ya kufufuka kwake tu. Wengine wengi miongoni mwa Maaskofu wakuu mashuhuri wa Kanisa la Uingereza, wanoshuku uungu wa Yesu, ni Kasisi asemaye wazi wazi Profesa David Jenkins, Askofu mkuu wa Durham Uingereza, ambaye anaeleza kwa uwazi kuwa Yesu hakuwa Mungu.[34] Makala ifuatayo, ilitokoea katika The Daily News miaka iliyopita, kwa uwazi kabisa inaonyesha kiasi gani cha shaka miongoni mwa wakuu wa kidini kuhusu uungu wa Yesu. [TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="width: 540"]
Uchunguzi wa kushtusha wa Maaskofu wa Kianglikana
LONDON: Zaidi ya nusu ya Maaskofu Waingereza wa Kianglikana wanasema kuwa: "Wakristo hawalazimiki kuamini kuwa Yesu Kristo ni Mungu, kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa leo.​
Kura za maoni za Maaskofu Waingereza 31, miongoni mwa Maaskofu 39, zinaonesha kuwa, wengi wao wanaona kuwa, Miujiza ya Kristo, kuzaliwa na bikira na kufufuka huenda hayo hayajatokea kama ilivyoelezwa katika Biblia. Ni Maaskofu 11 tu, ndio waliosisitiza kuwa "Wakristo lazima wamchukulie Yesu Kristo kuwa ni Mungu mtu, huku 19 wakisema kuwa inatosha kumchukulia Yesu kama ni "Mwakilishi mkuu wa Mungu". Na mmoja alijizuia kutoa maoni yake. Hiyo kura ya maoni iliendeshwa na London Weekend Television's weekly religion show, Credo. "DAILY NEWS" 25/6/84 [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[h=3] [/h]
[h=3]Sura ya Tatu: Ujumbe[/h] Suala la pili ni, ‘Ujumbe wa Yesu', huenda ni nukta muhimu zaidi kuizingatia. Kwa kuwa, kama Yesu hakuwa Mungu mwenye mwili, ila ni nabii wa Mungu, ujumbe aliouleta kutoka kwa Mungu ni kiini cha kazi yake. [h=3]Utiifu [/h] Msingi wa ujumbe wa Yesu ulikuwa ni utiifu wa kutii matakwa ya Mungu, kwa kuwa huo ndio msingi wa dini uliofanywa sheria na Mwenyezi Mungu kwa mwanadamu tangu mwanzo. Mungu anasema katika Sura ya Al-Imraan, sura ya tatu ya Quran, aya 19:
"إِنَّ الدِّينَ عِندَ اللّهِ الإِسْلاَمُ ..."​
"Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu…" Kwa kiarabu kutii matakwa ya Mungu kunaelezwa na neno 'Uislamu'. Katika Injili kwa mujibu wa Mathayo 7:21, Yesu ananukuliwa akisema: "Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni." Katika maelezo haya, Yesu anaweka mkazo juu ya "matakwa ya Baba", utiifu wa matakwa ya mwanadamu kwa matakwa ya Mungu. Katika Yohana 5:30, imesimuliwa kuwa Yesu vilevile amesema: "Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka." [h=3]Taurati (Torati)[/h] "Matakwa ya Mungu" yamejumuishwa katika sheria za ufunuo mtakatifu ziliofundishwa na manabii kwa wafuasi wao. Kwa hiyo, utiifu kwa sheria ya Mungu ni msingi wa kuabudu. Quran inathibitisha haja ya utiifu kwa sheria ya ufunuo mtakatifu katika sura ya Al-Maaidah, aya 44. "إِنَّا أَنزَلْنَا التَّوْرَاةَ فِيهَا هُدًى وَنُورٌ يَحْكُمُ بِهَا النَّبِيُّونَ الَّذِينَ أَسْلَمُواْ...، وَمَن لَّمْ يَحْكُم بِمَا أَنزَلَ اللّهُ فَأُوْلَـئِكَ هُمُ الْكَافِرُونَ" "Hakika Sisi tuliteremsha Taurati yenye uwongofu na nuru, ambayo kwayo Manabii walionyenyekea Kiislamu…, Na wasiohukumu kwa aliyoteremsha Mwenyezi Mungu, basi hao ndio makafiri." Al-Maaidah, aya 44. Pia, Yesu ameripoti katika Injili kwa mujibu wa Mathayo 19:16-17, kuwa alifanya utiifu kwa sheria ya ufunuo mtakatifu ambayo ndio ufunguo wa Peponi: "Na tazama, mtu mmoja akamwendea akawaambia, Mwalimu, nitende jambo gani jema, ili nipate uzima wa milele?Akamwambia, Kwani kuniuliza habari ya wema? Aliye mwema ni mmoja. Lakini ukitaka kuingia katika uzima, zishike amri.".[35] Pia katika Mathayo 5:19, Yesu Kristo ameripotiwa kuwa amesisitiza utiifu mkali wa kuzitii amri kwa kusema, "Basi mtu ye yote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atakayezitenda na kuzifundisha, huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbingubi." Sheria ya Mungu inawakilisha mwongozo kwa wanadamu katika pande zote za maisha. Inafafanua zuri na baya kwa wanadamu na kuwapa wanadamu mfumo kamili unaosimamia mambo yao yote. Muumba pekee ndiye ajuaye vizuri kipi kina manufaa kwa viumbe wake na kipi hakina. Kwa hiyo, sheria ya Mungu inaamuru na kukataza matendo na vitu mbali mbali ili kuikinga roho ya mwanadamu, mwili wa mwanadamu, na jamii ya wanadamu isidhurike. Ili wanadamu watimize uwezo wa kuishi kwa wema, wanahitaji kumwabudu Mungu kwa kutii amri Zake.[36] Hii ndio iliyokuwa dini iliyoletwa katika ujumbe wa Yesu; kutii matakwa ya Mungu mmoja wa kweli kwa kutii amri zake. Yesu aliwasisitizia wafuasi zake kuwa kazi yake haikuwa kutangua Sheria (Taurati) iliyopokelewa na Nabii Musa. Akiwa kama Mitume iliyokuja baada ya Musa iliyoimarisha sheria, Yesu alifanya hivyo hivyo. Sura ya al-Maaidah, aya ya 46 ya Quran inaashiria kuwa Yesu ameimarisha Sheria ya Taurati katika ujumbe wake. "وَقَفَّيْنَا عَلَى آثَارِهِم بِعَيسَى ابْنِ مَرْيَمَ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ التَّوْرَاةِ وَآتَيْنَاهُ الإِنجِيلَ فِيهِ هُدًى وَنُورٌ وَمُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ التَّوْرَاةِ..." "Na tukawafuatishia hao Isa bin Maryamu kuyahakikisha yaliyokuwa kabla yake katika Taurati, na tukampa Injili iliyomo ndani yake uwongofu, na nuru na inayosadikisha yaliyokuwa kabla yake katika Taurati…" Al-Maaidah, aya 44. Katika Mathayo 5:17-18, Yesu ameeleza: "Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua Torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie." Hata hivyo, Paulo, aliyedai kuwa ni mwanafunzi wa Yesu, kimsingi ametangua sheria. Katika waraka wake kwa Warumi, sura 7:6, ameeleza, "Bali sasa tumefunguliwa katika Torati, tumeifia hali ile iliyotupinga, ili sisi tupate kutumika katika hali mpya ya roho, si katika hali ya zamani ya andiko." [h=3]Upwekesahaji[/h] Yesu amekuja akiwa ni Nabii, akiwaita watu wamwabudu Mungu peke yake. Kama walivyofanya manabii wa kabla yake. Mungu anasema katika sura An-Nahli 16:36 ya Quran: "وَلَقَدْ بَعَثْنَا فِي كُلِّ أُمَّةٍ رَّسُولاً أَنِ اعْبُدُواْ اللّهَ وَاجْتَنِبُواْ الطَّاغُوتَ..." "Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani…" An-Nahli 16:36[37] Katika Luka 4:8, Shetani anamtaka Yesu amwabudu yeye, kwa kumuahidi mamlaka na utukufu wa ufalme wa dunia nzima, "Yesu akajibu akamwambia, Imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake." Kwa hiyo kiini cha ujumbe wa Yesu kilikuwa ni kuwa Mungu pekee ndiye anayestahiki kuabudiwa na kuwa kumwabudu yeyote au chochote kandoni au pamoja na Mungu ni kosa. Yesu sio tu, amewaita watu katika ujumbe wake lakini pia uliutekeleza na kuuonesha kwao kwa kusujudu katika sala na kumwabudu Mungu mwenyewe. Katika Marko 14:32, inaeleza: "Kisha wakaja mpaka bustani iitwayo Gethsemane; akawaambia wanafunzi wake, Ketini hapa muda niombapo." Na katika Luka 5:16, "Lakini yeye alikuwa akijiepua, akaenda mahali pasipokuwa na watu, akaomba." Yesu aliwaita wamwabudu Mungu mmoja wa kweli ambaye ni wa kipekee katika sifa zake. Mungu hana sifa za viumbe zake, na hakuna kiumbe yeyote anayeshirikiana naye kwa sifa yoyote ile. Katika Mathayo 19:16-17, pale mtu mmoja alipomwita Nabii Yesu ‘mwema', akisema "Na tazama, mtu mmoja akamwendea akawaambia, Mwalimu, nitende jambo gani jema, ili nipate uzima wa milele? Akawaambia, Kwani kuniuliza habari ya wema? Aliye mwema ni mmoja…" Yesu alikana sifa ya ‘uungu wenye mipaka' au ‘wema kamilifu' kwa nafsi yake, na kuthibitisha kuwa sifa hii inamilikiwa na Allah peke yake. Idadi kubwa mno ya Wakristo duniani leo hii wanamwabudu Yesu, wakidai kuwa yeye ni Mungu. Wanafalsafa miongoni mwao wanadai kuwa wao hawamwabudu Yesu mtu, ila Mungu aliyejidhihirisha kwa Yesu mtu. Hii vilevile ndio akili ya wapagani wanaosujudia masanamu. Mwanafalsafa wa kipagani alipoulizwa kwa nini anaabudu sanamu lililotengenezwa na mikono ya mwanadamu, alijibu kuwa kwa hakika yeye haabudu sanamu. Zaidi, anaweza kudai kuwa sanamu ni nukta ya kuunganisha kwa kuwepo kwa Mungu, na kwa hiyo ni kudai kuwa anamwabudu Mungu anayejidhihirisha kwa sanamu, na wala sio umbo la sanamu lenyewe. Kuna tofauti ndogo au hakuna tofauti kati ya ufafanuzi na jibu lililotolewa na Wakristo kwa kumwabudu Yesu. Asili ya kupotoka huku ipo katika imani ya uongo ya kuwa Mungu yupo katika Viumbe vyake. Imani kama hiyo inahalalisha kuabudu viumbe wa Mungu. Ujumbe wa Yesu, unaowataka wanadamu wamwabudu Mungu mmoja peke yake, uliharibiwa baada ya kuondoka kwake. Baadaye, wafuasi wakianzia na Paulo, waliubadilisha ujumbe mtakatifu na mwepesi na kuwa falsafa ya utatu yenye utata inayohalalisha kumwabudu Yesu, kisha kumwabudu Mama yake Yesu, Mariamu,[38] na kuabudu malaika[39] na watakatifu wengine. Wakatoliki wana orodha ndefu ya wale wanaowaendea wakati wa shida. Kama kitu kimepotea, Mtakatifu Anthony wa Thebes anaombwa ili asaidie kipatikane.[40] Mtakatifu Jude Thaddaeus ni mlinzi mtakatifu wa yasiyowezekana na anaabudiwa kwa maombezi ya magonjwa yasioponyeka, kinyume na ndoa au kitu kama hicho.[41] Mlinzi mtakatifu wa wasafiri alikuwa ni Mtakatifu Christopher, ambaye aliabudiwa na wasafiri ili awape ulinzi hadi mwaka 1969, pale alipofutwa rasmi na kuwa nje ya orodha ya watakatifu kwa mujibu wa amri ya kipapa, baada ya kuthibitishwa kwamba alikuwa ni[42] wa uongo. Ingawa alifutwa rasmi na kuwa nje ya orodha ya watakatifu, kuna Wakatoliki wengi duniani leo hii wanaomwabudu Mtakatifu Christopher. Kuwaabudu ‘watakatifu' kunapingana na kufisidi kumwabudu Mungu Mmoja; na ni kazi bure, kwa sababu si aliye hai wala mfu awezaye kujibu maombi ya wanadamu. Kumwabudu Mungu hakutakiwi kuwe na kumshirikisha na viumbe vyake kwa njia, umbo au mfumo wowote ule, kwa mazingatio haya, Allah amesema yafuatayo katika Sura Al-Aaraaf 7:194:
"إِنَّ الَّذِينَ تَدْعُونَ مِن دُونِ اللّهِ عِبَادٌ أَمْثَالُكُمْ..."​
"Hakika hao mnaowaomba kinyume na Mwenyezi Mungu ni waja mfano wenu nyinyi..." Al-Aaraaf 7:194 Huu ndio uliokuwa ujumbe wa Yesu Kristo na mitume yote wa kabla yake. Vilevile ulikuwa ndio ujumbe wa mtume wa mwisho, Muhammad - Rehema na amani ziwe juu yao wote. Kwa hiyo, kama Mwislamu au mtu anayejiita Mwislamu atamwabudu mtakatifu, atakuwa ashatoka nje ya mipaka ya Uislamu. Uislamu si imani tu, ambapo mtu anatakiwa aeleze kuwa yeye anaamini kuwa hakuna Mola anayestahiki kuabudiwa ispokuwa Allah, na Muhammad alikuwa ni mtume wa mwisho, ili kuingia peponi. Hili tangazo la imani linamruhusu mtu anayelitangaza kuingia mlango wa Uislamu, lakini kuna matendo yanayoweza kupingana na tangazo hilo na kumwondosha mtendaji kutoka katika Uislamu punde tu anapolitenda. Tendo hatari mno miongoni mwa hayo ni kuabudu kitu kingine zaidi ya Mungu. [h=3]Mwislamu sio "Mmuhammadi"[/h] Kwa kuwa dini ya Yesu, na hivyo hivyo kwa mitume yote ya mwanzo, ilikuwa ni dini ya kumtii Mungu, ijulikanayo kwa Kiarabu kama Uislamu, wafuasi wake wa kweli wanapaswa waitwe watiifu wa Mungu, wakijulikana kwa Kiarabu kama Waislamu. Katika Uislamu, sala-dua inazingatiwa kuwa ni tendo la kuabudu. Mtume Muhammad (SAW) ameripotiwa akisema, "Dua ni ibada".[43] Kwa hiyo, Waislamu hawakubali kuitwa Wamuhammadi, kama ilivyo kwa wafuasi wa Kristo wanavyoitwa Wakristo na wafuasi wa Budha wanaitwa Mabudha. Wakristo wanamwabudu Kristo na Mabudha wanamwabudu Budha. Neno Wamuhammadi linaashiria kuwa Waislamu wanamwabudu Muhammadi, kitu sicho kabisa. Katika Quran, Mungu amelichagua jina Mwislamu kwa kila anayemfuta mtume kikweli kweli. Jina Mwislamu kwa Kiarabu linamaanisha "anayetii matakwa ya Mungu."
"... هُوَ سَمَّاكُمُ الْمُسْلِمينَ مِن قَبْلُ وَفِي هَذَا..."​
"Yeye (Mwenyezi Mungu) alikuiteni Waislamu tangu zamani, na katika hii (Qur'ani) pia." Al-Hajj 22:78.
Kwa hiyo, kiini cha ujumbe wa Yesu kilikuwa hivi, mtu anatakiwa amwabudu Mungu peke yake. Hapaswi kuabudiwa kwa kupitia viumbe wake kwa njia yoyote ile. Hivyo, picha yake isichapishwe, isichongwe wala kuchorwa. Yeye yupo nje ya ufahamu wa binadamu. [h=3]Masanamu[/h] Yesu hakufumbia macho matendo ya wapagani ya kujiundia masanamu ya Mungu. Yeye alisisitiza katazo lililotajwa katika Torati, Kutoka 20 mstari wa 4: "Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia." Hivyo, matumizi ya masanamu ya kidini, alama za kuombwa,[44] yalipingwa vikali na kizazi cha kwanza cha wasomi Wakristo. Hata hivyo, katika kipindi cha, tamaduni za Kigiriki na Kirumi za kuunda sanamu na picha za Mungu kwa mfumo wa mwanadamu, hatimaye ulishinda. Katazo ni la kuzuia hatima ya kuzorota kumwabudu Mungu na kuwaabudu viumbe vyake. Mwanadamu akiweka picha ya Mungu akilini mwake, huyo mtu, kwa hakika, anajaribu kumfanya Mungu awe kama viumbe wake, kwa sababu akili ya mwanadamu inaweza kuvuta taswira vitu ilivyoviona, na Mungu haonekani katika maisha haya. Wakristo wakiwa na utamaduni wa kuabudu kwa kupitia masanamu mara nyingi wanauliza vipi Mungu aweze kuabudiwa bila ya kumuona. Mungu anapaswa kuabudiwa kwa kuegemea elimu ya kujua sifa zake alizozifunua katika vitabu sahihi. Kwa mfano, Allah anajieleza yeye mwenyewe katika Quran kuwa yeye ni Mwenye rehema, kwa hiyo, Wanaomwabudu wanatakiwa waonyeshe rehema nyingi za Mungu na kumshukuru Mungu kwa rehema hizo. Pia wanapaswa kutafakari juu ya tabia ya rehema zake kwao na kuonyesha rehema kwa watu wengine. Hivyo hivyo, Mungu anajitambulisha kuwa yeye ni Msamehevu, kwa hiyo wanaomwabudu wanatakiwa wamgeukie na kutubu na wasikate tamaa wanapofanya madhambi. Pia wanatakiwa waheshimu msamaha wa Mungu kwa kuwa wasamehevu kwa watu wengine. [h=3]Utabiri [/h] Sehemu mojawapo ya ujumbe wa Nabii Yesu ilikuwa ni kuwafahamisha wafuasi wake juu ya nabii atakayekuja baada yake. Kama vile Yohana Mbatizaji alipobashiri ujio wa Yesu Kristo, naye Yesu alitabiri kuja kwa nabii wa mwisho wa Mungu, Muhammad. Katika Quran, Sura ya As-Swaff 61:6, Mungu ananukuu utabiri wa Yesu juu ya Muhammad (SAW). "وَإِذْ قَالَ عِيسَى ابْنُ مَرْيَمَ يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ إِنِّي رَسُولُ اللَّهِ إِلَيْكُم مُّصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيَّ مِنَ التَّوْرَاةِ وَمُبَشِّرًا بِرَسُولٍ يَأْتِي مِن بَعْدِي اسْمُهُ أَحْمَدُ..." "Na Isa bin Mariamu aliposema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, ninayethibitisha yaliyokuwa kabla yangu katika Taurati, na mwenye kubashiria kuja Mtume atakayekuja baada yangu; jina lake ni Ahmad…" As-Swaff 61:6[45] Pia kuna baadhi ya marejeo katika Injili yanayoonekana kuwa yanaonyesha kuja kwa Mtume Muhammad – Rehema na amani ziwe kwa mitume wote. Katika Injili, kwa mujibu wa Yohana 14:16, Yesu ananukuliwa akisema, "Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele.".[46] Walei wa Kikristo kikawaida wanamfasiri "Msaidizi" aliyetajwa katika Yohana 14:16 kuwa ni Roho Mtakatifu.[47] Hata hivyo, ibara "Msaidizi mwingine" inadokeza kuwa huyo atakuwa ni mtu mwingine aliye kama Yesu na sio Roho Mtakatifu, [48] hasa hasa ukizingatia Yohana 16:7, pale Yesu anaporipotiwa kuwa amesema, "Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke; kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda zangu, nitampeleka kwenu." Neno "Msaidizi" haliwezi kumwonyesha Roho Mtakatifu kwa hapa, kwa sababu – kwa mujibu wa Injili - Roho Mtakatifu tayari ameshakuwepo duniani kabla ya Kuzaliwa Yesu,[49] pia wakati wa unabii wake.[50] Mstari huu unaashiria kuwa "Msaidizi" bado hajaja. Tangazo la Yesu ni kuwa mtume "Msaidizi" atakuwa nanyi milele" lingepaswa kutafsiriwa na kumaanisha kuwa kutakuwa hakuna haja ya mitume ya ziada ili kumfanya afanikiwe huyo Msaidizi. Naye atakuwa Mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu, na ujumbe wake utalindwa mpaka mwisho wa Dunia.[51] Utabiri wa Yesu kwa ujio wa Muhammad – Mungu awarehemu wote wawili – unauthibitisha utabiri wa Muhammad (SAW) katika Torati. Katika Kumbukumbu la Torati 18:18 na 19, imeandikwa kuwa Bwana alimwambia Musa, "Mimi nitawaondokeshea nabii miongoni mwa ndugu zao[52] mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake,[53] naye atawaambia yote nitakayomwamuru. Hata itakuwa, mtu asiyesikiliza maneno yangu atakayosema yule kwa jina langu,[54] nitalitaka kwake." Katika Isaya 42:1, Isaya anatabiri juu ya mteule "Mtumishi wa Bwana" ambaye kazi yake ya utume itakuwa kwa watu wote, kinyume na manabii wa Kiisraeli ambao kazi zao zilifungika kwa waisraeli tu. "Tazama mtumishi wangu nimtegemezaye; mteule wangu, ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake; naye atawatolea mataifa hukumu… Hatazimia, wala hatakata tama, hata atakapoweka hukumu duniani; na visiwa vitaingojea sheria yake… Jangwa na miji yake na ipaze sauti zao, Vijiji vinavyokaliwa na Kedari…" Huyu mtumishi wa kipekee wa Bwana ni yule aliyetambulishwa kuwa ni Kedar,[55] yaani Warabu.
[h=3]Sura ya Nne: Njia[/h] Kipengele kingine cha ujumbe wa Nabii Yesu kilikuwa ni mwaliko wake wa kuwaalika watu wafuate njia yake. Mitume ilileta sheria au kuendeleza zile zilizoletwa na mitume iliyopita, na kuwaalika watu wamwabudu Mungu kwa kutii sheria takatifu zilizofunuliwa. Wao, pia wanafafanua kimatendo kwa wafuasi wao vipi mtu ataishi kisheria. Hivyo, hao mitume, vilevile wanawaalika wale wote wanaowamini wao wafuate njia zao zikiwa ndio njia sahihi za kumkaribia Mungu. Msingi huu umewekwa katika Injili kwa mujibu wa Yohana 14:6: "Yesu akawaambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi." Ingawa wale wanaomwabudu Yesu kwa kawaida wananukuu mstari huu ukiwa ni sehemu ya ushahidi ya uungu wake, lakini Yesu hajawaita watu wamwabudu yeye badala ya Mungu, au kama Mungu. Kama maneno haya kwa ukweli kabisa yametamkwa na Yesu, yanamaanisha kuwa mtu haruhusiwi kumwabudu Mungu ispokuwa kwa kutumia njia iliyofafanuliwa na manabii wa Mungu. Yesu ametia mkazo kwa wanafunzi wake kuwa wanatakiwa wamwabudu Mungu kwa njia ile aliyowafundisha. Katika Quran, Sura Al-Imran 3:31, Mungu anamwelekeza Mtume Muhammad (SAW) awafundishe wanadamu wamfuate kama kweli wanampenda Mungu:
"قُلْ إِن كُنتُمْ تُحِبُّونَ اللّهَ فَاتَّبِعُونِي يُحْبِبْكُمُ اللّهُ وَيَغْفِرْ لَكُمْ ذُنُوبَكُمْ وَاللّهُ غَفُورٌ رَّحِيمٌ"​
"Sema: Ikiwa nyinyi mnampenda Mwenyezi Mungu basi nifuateni mimi, Mwenyezi Mungu atakupendeni na atakufutieni madhambi yenu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kufuta madhambi na Mwenye kurehemu." Al-Imran 3:31 Njia ya manabii ni njia ya pekee kuelekea kwa Mungu, kwa sababu Mungu Mwenyewe ameifanya iwe sheria, na lengo la mitume lilikuwa ni kufikisha mafundisho ya Allah kwa wanadamu. Bila ya manabii, watu wasingejua namna ya kumwabudu Allah. Hivyo, mitume yote iliwafahamisha wafuasi zao namna ya kumwabudu Mungu. Kinyume chake, kuongeza chochote katika dini iliyoletwa na mitume ni makosa. Badiliko lolote litakalofanywa katika dini baada ya kipindi cha mitume litamaanisha kupotoka kulikofunuliwa na Shetani. Kwa mazingatio haya, Mtume Muhammad (SAW) ameripotiwa akisema: "Atakayezusha kitu katika dini yetu, kitu ambacho sio katika dini yetu, basi kitu hicho kinarudishwa." Imepokewa na Bukharin na Muslim."[56] Zaidi, mtu yeyote anayemwabudu Allah kinyume na mafundisho ya Yesu, atakuwa anaabudu bure. [h=3]Njia ya Yesu[/h] Kwanza na kabla ya yote, lazima itambulike kuwa Yesu Kristo, mwana wa Mariamu, alikuwa ni wa mwisho katika orodha ya manabii wa Kiisraeli. Aliishi kwa mujibu wa Torati, na sheria ya Musa, na aliwafundisha wafuasi zake wafanye hivyo hivyo. Katika Mathayo 5:17-18, Yesu ameeleza: "Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua Torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kuitimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie." Kwa bahati mbaya, kiasi cha miaka mitano baada ya kuisha kwa uchungaji wa Yesu, Rabbi kijana kwa jina la Sauli wa Tarsus, aliyedai kuwa amemuona Yesu katika maono, alianza kubadilisha njia ya Yesu. Paulo (jina lake kwa Kirumi) alikuwa na heshima kubwa kwa falsafa ya Kirumi na alizungumza kwa ufahari kwa kuwa na uraia wa Roman. Imani yake ilikuwa ni kuwa wasio-Wayahudi walioingia Ukristo wasibebeshwe mzigo wa Torati kwa hali yoyote ile. Mtunzi wa Matendo 13:39 anamnukuu Paulo akisema, "Na kwa yeye kila amwaminiye huhesabiwa haki katika mambo yale yote asiyoweza kuhesabiwa haki kwa Torati ya Musa." Kimsingi ilikuwa ni kwa kupitia juhudi za Paulo ndipo kanisa lilipoanza kufuata mkondo wa tabia za wasio-Wayahudi. Paulo[57] ameandika barua (nyaraka), nyingi za Agano Jipya zinazokubaliwa na kanisa zikiwa ni kama mafundisho rasmi ya kiitikadi na Kitabu kilichofunuliwa. Nyaraka hizo hazikuilinda Injili ya Yesu wala hata kuiwakilisha;[58] badala yake amegeuza mafundisho ya Kristo kuwa ya falsafa ya Kihelleniki (Graeco-Roman). Ifuatayo ni baadhi ya mifano ya mafundisho aliyoyafuata nabii Yesu na kuyafundisha, lakini baadaye yaliachwa na Kanisa. Hata hivyo, mengi miongoni mwa mafundisho hayo yalifufuliwa katika ujumbe wa mwisho wa Uislamu ulioletwa na Mtume Muhammad (SAW) na yakaendea kubakia kuwa ni sehemu ya msingi katika matendo ya dini ya Kiislamu hadi leo hii. [h=3]Kutahiri[/h] Yesu alitahiriwa. Kwa mujibu wa Agano la Kale, mapokeo haya yalianzia na Mtume Ibrahimu, ambaye yeye mwenyewe hakuwa Myahudi wala Mkristo. Katika Mwanzo 17:10-13, imeandikwa, "Hili ndilo agano langu utakalolishika, kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, Kila mwanamume wa kwenu atatahiriwa. Mtatahiriwa nyama ya magovi yenu, na jambo hilo litakuwa ishara ya agano kati ya mimi na nyinyi. Mtoto wa siku nane atatahiriwa kwenu, kila mwanamume katika vizazi vyenu, mzaliwa nyumbani, na mnunuliwa kwa fedha, kila mgeni asiyekuwa wa uzao wako. Mzaliwa nyumbani mwako, na mnunuliwa na fedha yako, lazima atahiriwe; na agano langu litakuwa katika mwili wenu, kuwa agano la milele." Katika Injili kwa mujibu wa Luka 2:21: "Hata zilipotimia siku nane za kumtahiri, aliitwa jina lake Yesu; kama alivyoitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba." Kwa hiyo, kutahiriwa ilikuwa ni sehemu ya njia ya Yesu. Hata hivyo, leo hii Wakristo wengi hawajatahiriwa, kwa sababu ya mantiki iliyoletwa na Paulo. Yeye alidai kuwa kutahiriwa kulikuwa ni kutahiriwa kwa moyo. Katika waraka wake kwa Warumi 2:29, ameandika: "Bali yeye ni Myahudi aliye Myahudi kwa ndani; na tohara ni ya moyo, katika roho, si katika andiko;..." Na katika waraka wake kwa Wagalatia 5:2, ameandika "Tazama, mimi Paulo nawaambia ninyi ya kwamba, mkitahiriwa, Kristo hatawafaidia neno."[59] Hii ni tafsiri isiyo ya kweli ya Paulo. Kwa upande mwingine, Yesu hakutahiriwa moyoni wala hajasema lolote juu ya kutahiriwa moyoni; yeye aliliendeleza "agano la milele" na alitahiriwa katika nyama. Kwa hiyo, sehemu muhimu ya kufuata njia ya Yesu ni kutahiriwa. Mtume Muhammad (SAW) amenukuliwa akisema: "Mambo matano ni katika maumbile,[60] kutahiri, kunyoa nywele za sehemu za siri, kunyoa nywele za kwapani, kukata kucha, na kupunguza masharubu." Imepokewa na Bukharin na Muslim." [61] [h=3]Nguruwe[/h] Yesu hajakula nguruwe. Alifuata sheria za Musa na hakula nguruwe. Katika Walawi 11:7-8, "Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi, kwenu, msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu."[62] Yesu alishughulika na nguruwe pale tu, alipowaruhusu pepo wabaya waliomwingia mtu wawaingie nguruwe. Na walipoliingia kundi la nguruwe, hao nguruwe walikimbilia kwenye maji na kuzama. Hata hivyo, watu wengi wanaojiita Wakristo leo hii sio tu wanakula nguruwe, lakini pia wanampenda sana kiasi cha kumfanya nguruwe kuwa mada ya wimbo wa chekechea [mfano wimbo: Huyu Nguruwe Mdogo alienda sokoni…] na hadithi za watoto [mfano: Nguruwe Wadogo Watatu]. Nguruwe na Nyama ya nguruwe ni wahusika mashuhuri wa katuni, na hivi karibuni hadithi ya sinema ndefu imetayarishwa kuhusu nguruwe aitwaye "Babe". Kwa hiyo, inawezekana kusema kuwa wale wanaojiita ni wafuasi wa Kristo kwa hakika hawafuati njia ya Kristo. Katika sheria ya Kiislamu, kuharamishwa kwa nguruwe na mazao yake kumetekelezwa kwa nguvu tangu wakati wa Mtume Muhammad (SAW) hadi leo hii. Katika Quran, Sura ya Al-Baqarah 2:173, Mungu anasema: "إِنَّمَا حَرَّمَ عَلَيْكُمُ الْمَيْتَةَ وَالدَّمَ وَلَحْمَ الْخِنزِيرِ وَمَا أُهِلَّ بِهِ لِغَيْرِ اللّهِ فَمَنِ اضْطُرَّ غَيْرَ بَاغٍ وَلاَ عَادٍ فَلا إِثْمَ عَلَيْهِ إِنَّ اللّهَ غَفُورٌ رَّحِيمٌ" "Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilichotajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiyekuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliyefikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu." Al-Baqarah 2:173 [63] [h=3]Damu [/h] Pia, Yesu hakula kitu chochote cha damu, wala hajakula damu. Mungu amenukuliwa akimfundisha Mtume Musa katika Torati, Kumbukumbu la Torati 12:16, "Lakini msiile damu; imwageni juu ya nchi kama maji.". Na katika Lawi 19:26, "Msile kitu cho chote pamoja na damu yake; wala msifanye kuloga, wala kutumia utambuzi." Katazo hili limelindwa hadi leo hii katika ufunuo wa mwisho katika Sura Al-Anaam 6:145 "قُل لاَّ أَجِدُ فِي مَا أُوْحِيَ إِلَيَّ مُحَرَّمًا عَلَى طَاعِمٍ يَطْعَمُهُ إِلاَّ أَن يَكُونَ مَيْتَةً أَوْ دَمًا مَّسْفُوحًا أَوْ لَحْمَ خِنزِيرٍ فَإِنَّهُ رِجْسٌ..." "Sema: Sioni katika yale niliyofunuliwa mimi kitu kilichoharimishwa kwa mlaji kukila isipokuwa kiwe ni nyamafu, au damu inayomwagika, au nyama ya nguruwe, kwani hiyo ni uchafu;…" Al-Anaam 6:145 Hivyo, ibada maalum ya kuchinja ilifanywa iwe sheria na Mungu kwa mataifa yote yaliyopelekewa mitume, ili kuhakikisha kuwa damu nyingi inaondoshwa kwa ufanisi kutoka kwa mnyama aliyechinjwa na kumkumbusha mwanadamu fadhila za Mungu. Quran inataja mafundisho haya katika sura ya Al-Hajji 22:34 kama ifuatavyo: "وَلِكُلِّ أُمَّةٍ جَعَلْنَا مَنسَكًا لِيَذْكُرُوا اسْمَ اللَّهِ عَلَى مَا رَزَقَهُم مِّن بَهِيمَةِ الْأَنْعَامِ..." "Na kila umma tumewafanyia mahala pa kuchinjia mihanga ya ibada ili walitaje jina la Mwenyezi Mungu juu ya vile walivyoruzukiwa katika wanyama wa mifugo…" Al-Hajji 22:34 Yesu na wafuasi wake wa kwanza waliuona mfumo mkamilifu wa kuchinja kwa kutaja jina la Mungu na kukata mishipa ya shingo ya mnyama akiwa hai ili kuuruhusu moyo usukume nje damu. Hata hivyo, Wakristo wa leo hii hawaambatanishi sana umuhimu wa mfumo wa kuchinja kikamilifu, kama ulivyofanywa sheria na Mungu. [h=3]Kilevi (pombe)[/h] Yesu aliitoa nafsi yake kwa ajili ya Mungu na kwa hiyo alijizui na vinjwaji vya kulevya kwa mujibu wa mafundisho yaliyorekodiwa katika Hesabu 6:1-4 "Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia, Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Mtu mume au mke atakapoweka nadhiri kubwa, nadhiri ya Mnadhiri, ili ajiweke wakfu kwa BWANA; atajitenga na divai na vileo; hatakunywa siki ya divai, wala siki ya kileo, wala asinywe maji yoyote ya zabibu, wala asile zabibu mbichi wala zilizokauka. Siku zote za kujitenga kwake asile kitu cho chote kilichoandaliwa kwa mzabibu, tangu kokwa hata maganda." ".[64] Katika Quran, Sura Al-Maaidah 5:90, Allah anaharamisha kileo bila kubadilika. "يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالأَنصَابُ وَالأَزْلاَمُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ" "Enyi mlio amini! Bila ya shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa." Al-Maaidah 5:90 Na ule muujiza wa 'kugeuza maji yawe pombe',[65] unaopatika katika Injili ya Yohana tu, na ambao mtiririko wake unapingana na Injili nyingine. Kama ilivyotajwa mwanzoni, Injili ya Yohana ilipingwa ikiwa kama uasi katika kanisa la kwanza,[66] huku Injili tatu zilizobakia zimetajwa kama ni muhtasari wa Injili kwa sababu maandiko yaliyomo ni sawa na matendo ya maisha ya Yesu.[67] Hivyo, wasomi wa Agano Jipya wameonyesha shaka juu ya uhalisia wa utunzi wa tukio hili. [h=3]Udhu kabla ya Kusali[/h] Kabla ya kusali kikawaida, Yesu aliosha viungo vyake kwa mujibu wa mafundisho ya Torati. Musa na Haruna wamenukuliwa wakifanya hayo hayo katika Kutoka 40:30-31, "Akaliweka birika kati ya hema ya kukutania na madhabahu, akatia maji ndani yake ya kuoshea. Musa na Haruni, na wanawe wakanawa mikono yao na miguu yao ndani yak." Katika Quran, Sura Al-Maaidah, 5:6, udhu kwa ajili ya sala umefanywa kuwa ni sheria na lazima kama ifuatavyo: "يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ إِذَا قُمْتُمْ إِلَى الصَّلاةِ فاغْسِلُواْ وُجُوهَكُمْ وَأَيْدِيَكُمْ إِلَى الْمَرَافِقِ وَامْسَحُواْ بِرُؤُوسِكُمْ وَأَرْجُلَكُمْ إِلَى الْكَعْبَينِ..." "Enyi mlioamini! Mnaposimama kwa ajili ya Sala basi osheni nyuso zenu, na mikono yenu mpaka vifundoni, na mpake vichwa vyenu, na osheni miguu yenu mpaka vifundoni…" Al-Maaidah, 5:6 [h=3]Kusujudi katika Sala[/h] Yesu ameelezwa katika Injili kuwa amesujudi alipokuwa akisali. Katika Mathayo 26:39, mtunzi anaeleza tukio lililotokea pale Yesu alipoenda na wanafunzi wake hadi Gethsemane: "Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akasema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utavyo wewe." Wakristo wa leo hii wanapiga magoti, wanakutanisha viganja vyao, katika mkao ambao hauwezi kuwa ndio sheria ya Yesu. Mfumo wa kusujudu katika sala uliofuatwa na Yesu haukuwa wa kujifanyia mwenyewe. Ulikuwa ndio mtindo wa sala wa manabii wa kabla yake. Katika Agano la Kale, Mwanzo 17:3, Nabii Ibrahimu anarekodiwa kuwa alianguka juu ya uso wake katika sala; katika Hesabu 16:22 na 20:6, wote wawili Musa na haruna wamerekodiwa kuwa wameanguka juu ya nyuso zao katika kuabudu; katika Yoshua 5:14 na 7:6, Yoshua alianguka juu ya uso wake ardhini na aliabudu; katika 1 Wafalme 18:42, Eliya alisujudu ardhini na kuweka uso wake kati ya magoti yake. Hii ilikuwa njia ya mitume ambayo kupitia kwao Mungu amechagua kufikisha neno Lake duniani; na kwa njia hii tu, wale wote wanaodai kumfuata Yesu watapata uwokovu aliouhubiri katika Injili. Sura ya Al-Insaan 76:25-6, ni mfano mmoja tu katika mifano mingi ya Quran juu ya mafundisho ya Mungu kwa waumini wasujudu wanapomuabudu. "وَاذْكُرِ اسْمَ رَبِّكَ بُكْرَةً وَأَصِيلًا، وَمِنَ اللَّيْلِ فَاسْجُدْ لَهُ وَسَبِّحْهُ لَيْلًا طَوِيلًا" "Na likumbuke jina la Mola wako Mlezi asubuhi na jioni; Na usiku msujudie Yeye, na umtakase usiku, wakati mrefu." Al-Insaan 76:25-6 [h=3]Hijabu[/h] Wanawake waliomzunguka Yesu walivaa hijabu kulingana na matendo ya wanawake waliokuwa karibu na mitume ya mwanzo. Nguo zao zilikuwa ni pana na za kufunika mwili wao wote, na walivaa ushungi unaofunika nywele zao. Katika Mwanzo 24:64-5: "Rebeka akainua macho, naye alipomwona Isaka, alishuku juu ya ngamia. Akamwambia mtumishi, Ni nani mtu huyu ajaye kondeni kutulaki? Mtumishi akasema, Huyu ndiye bwana wangu. Basi akatwa shela yake akajifumika." Paulo ameandika katika waraka wake kwa 1 Wakorinto 11:5-6, "Bali kila mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunikwa kichwa, yuaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa. Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe." Kuna wanaoweza kupinga na kudai kuwa hilo lilikuwa ni mila ya wakati huo kujifunika mwili mzima. Hata hivyo, hiyo sio hoja. Katika sehemu zote Roma na Ugiriki, ambao utamaduni wao ndio ulikuwa ukiongoza eneo hilo, vazi la wengi lilikuwa ni fupi hasa na kuonyesha mikono, miguu, na kifua. Ni wanawake wa Kipalestna wanaofuata dini tu, wakifuata mapokeo ya Kiyahudi, ndio waliojifunika kwa kujistiri. Kwa mujibu wa Rabbi Dr. Menachem M. Brayer (Profesa wa Biblical Literature wa Chuo Kikuu cha Yeshiva), Ilikuwa ni mila kuwa wanawake wa Kiyahudi kutoka nje kwenye watu wengi wakiwa wamefunika vichwa, na wakati mwingine wanafunika uso mzima, na kuacha jicho moja tu.[68] Ameendelea kueleza zaidi kuwa "katika kipindi cha Tannaitic, mwanamke wa Kiyahudi atakayeshindwa kufunika kichwa chake alichukuliwa kuwa anafedhehesha utu wake. Na kichwa chake kinapokuwa kimefunuka anapaswa apigwe faini ya zumzim mia kwa kosa hilo.[69] Mwanatiolojia mashuhuri wa Kikristo wa mwanzo, Mtakatifu Tertullian (d. 220 CE), katika pendekezo lake maarufu, 'Juu ya Hijabu ya Mabikira' ameandika, "Wasichana, vaeni hijabu zenu nje huko mitaani, pia mzivae kanisani; mzivae mnapokuwa na wageni, kisha zivaeni mkiwa na kaka zenu…" Miongoni mwa sheria za kanisa la Katoliki hadi leo hii, kuna sheria inayowataka wanawake wafunike vichwa vyao wakiwa kanisani.[70] Madhehebu ya Kikristo, kama vile Waamish na Wamenonites, wanawake wao waneendelea kuvaa hijabu hadi leo. Katika Quran, Sura An-Nuur 24:31, waumini wanawake wanaagizwa wafunike mapambo yao na wavae hijabu kichwani na vifuani mwao. "وَقُل لِّلْمُؤْمِنَاتِ يَغْضُضْنَ مِنْ أَبْصَارِهِنَّ وَيَحْفَظْنَ فُرُوجَهُنَّ وَلَا يُبْدِينَ زِينَتَهُنَّ إِلَّا مَا ظَهَرَ مِنْهَا وَلْيَضْرِبْنَ بِخُمُرِهِنَّ عَلَى جُيُوبِهِنَّ..." "Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao, na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipokuwa unaodhihirika. Na waangushe shungi zao juu ya vifua vyao, …" An-Nuur 24:31 Katika Sura ya Al-Ahzaabu 33:59, lengo la kuvaa hijabu limetolewa. Allah anaeleza kuwa hijabu inawafanya waumini wanawake wajulikane katika jamii na kupata kinga dhidi ya uwezekano wa kudhuriwa na jamii. [h=3]Salamu[/h] Yesu aliwasalimia wafuasi zake kwa kusema, "Amani iwe kwenu". Katika Sura 20:19, mtunzi asiyejulikana wa Injili ya Yohana ameandika yafuatayo kuhusu Yesu baada ya dai la kusulubiwa: "Akaja Yesu, akasimama katikati akawaambia, Amani iwe kwenu." Salamu hii ilikuwa ni kama zile za manabii, kama ilivyotajwa katika vitabu vya Agano la Kale. Kwa mfano, katika 1 Samweli 25:6, Nabii Daudi amewaaagiza wajumbe aliowapeleka kwa Nabal: "Na hivi ndivyo mtakavyomwambia huyu aishiye salama, Amani iwe kwenu". Quran inawaagiza wale wote wanaoingia katika majumba watoe salamu ya amani;[71] na wale watakaoingia Peponi watasalimiwa hivyo hivyo na malaika.[72] Katika Sura Al-Anaam 6:54, Mungu anawaagiza waumini wasalimiane wao kwa wao kwa amani:
"وَإِذَا جَاءكَ الَّذِينَ يُؤْمِنُونَ بِآيَاتِنَا فَقُلْ سَلاَمٌ عَلَيْكُمْ..."​
"Na wanapokujia wanaoziamini Ishara zetu waambie: Assalamu alaikum! Amani iwe juu yenu!..." Al-Anaam 6:54 [h=3]Zaka [/h] Yesu aliimarisha taasisi ya zaka za lazima, ijulikanayo kama "moja ya kumi", iliyokuwa inachukuliwa kutoka katika mavuno ya kila mwaka na kurejeshwa kwa Mungu kwa sherehe. Katika Kumbukumbu la Torati 14:22: "Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka." Katika Sura ya sita, Al-Anaam, aya ya 141, Mungu anawakumbusha waumini walipe zaka wakati wa mavuno: "وَهُوَ الَّذِي أَنشَأَ جَنَّاتٍ مَّعْرُوشَاتٍ وَغَيْرَ مَعْرُوشَاتٍ وَالنَّخْلَ وَالزَّرْعَ مُخْتَلِفًا أُكُلُهُ وَالزَّيْتُونَ وَالرُّمَّانَ مُتَشَابِهًا وَغَيْرَ مُتَشَابِهٍ كُلُواْ مِن ثَمَرِهِ إِذَا أَثْمَرَ وَآتُواْ حَقَّهُ يَوْمَ حَصَادِهِ وَلاَ تُسْرِفُواْ إِنَّهُ لاَ يُحِبُّ الْمُسْرِفِينَ" "Na Yeye ndiye aliyeziumba bustani zenye kutambaa juu ya chanja, na zisizotambaa, na mitende, na mimea yenye matunda mbalimbali, na mizaituni na mikomamanga inayofanana na isiyofanana. Kuleni matunda yake inapozaa, na toeni haki yake siku ya kuvunwa kwake. Wala msitumie kwa fujo. Hakika Yeye hawapendi watumiayo kwa fujo." Al-Anaam 6:141[73] Mfumo wa zaka (kwa Kiarabu, zakaah) umepangwa vizuri, kwa viwango tofauti tofauti kwa pesa na vito vya thamani na vile vya mazao ya kilimo na mifugo. Pia, wote wanaofaa kuipokea wametambulishwa kwa uwazi katika Quran, Sura ya At-Tawbah 9:60. kimsingi inagawanywa miongoni mwa makundi mbalimbali ya maskini na haitumiki katika kuwapa maisha ya anasa viongozi wa kidini. [h=3]Kfunga[/h] Kwa mujibu wa Injili, Yesu alifunga kwa siku arobaini. Mathayo 4:2 "Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho akaona njaa.".[74] Hili lilikuwa linalingana na matendo ya manabii wa mwanzo. Pia Musa amerekodiwa katika Kutoka 34:28, kuwa alifunga: "Naye alikuwa huko pamoja na BWANA siku arobaini na masiku yake; hakula chakula, wala hakunywa maji. Naye akaandika katika hizo mbao, hayo maneno ya maagano, hizo amri kumi." Katika Quran, Sura Al-Baqarah 2:183, waumini wameagizwa watekeleze funga.
"يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ كُتِبَ عَلَيْكُمُ الصِّيَامُ كَمَا كُتِبَ عَلَى الَّذِينَ مِن قَبْلِكُمْ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ"​
"Enyi mlioamini! Mmeandikiwa Saumu, kama waliyoandikiwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kumcha mungu." Al-Baqarah 2:183 Lengo la kufunga limefafanuliwa kwa uwazi nalo ni kendeleza uchamungu. Ni Mungu pekee ajuaye ni nani afungaye kweli na nani hafungi. Hivyo, mfungaji anajizuia na kula, kunywa kwa kutegemea Mungu yu macho. Funga inanyanyua mwamko unaopelekea kupenda sana mema. Waumini wanapaswa wafunge kuanzia alfajiri hadi kuzama kwa jua katika mwezi mzima wa Ramadhani (mwezi wa tisa wa kalenda ya Kiislmamu ya miezi miandamo). Mtume Muhammad (SAW) pia amesema, "Hakika ya funga bora ni funga ya Daudi, alikuwa akifunga siku moja na kufungulia inayofuata." [75] [h=3]Riba[/h] Kwa kukamata sheria, Nabii Yesu pia alipinga kutoa au kupokea riba kwa sababu maandiko ya Torati yanakataza vikali riba. Imenukuliwa katika kumbukumbu la torati 23:19 kuwa, "Usimkopeshe ndugu yako kwa riba; riba ya fedha, riba ya vyakula,[76] riba ya kitu cho chote kikopeshwacho kwa riba;"[77] Pia riba imekatazwa vikali katika sura Al-Baqarah 2:278 ya Quran: "يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ اتَّقُواْ اللّهَ وَذَرُواْ مَا بَقِيَ مِنَ الرِّبَا إِن كُنتُم مُّؤْمِنِينَ" "Enyi mlioamini! Mcheni Mwenyezi Mungu, na acheni riba zilizobakia, ikiwa nyinyi ni Waumini." Al-Baqarah 2:278 Ili kukamilisha takwa hili la Mwenyezi Mungu, Waislamu wamendeleza mfumo mbadala wa Benki, kwa kawaida unajulikana kama 'Benki ya Kiislamu', isiyo na riba. [h=3]Mitala (wake wengi)[/h] Hakuna rekodi zinazoonyesha kuwa Nabii Yesu anapinga mitala. Na kama alifanya hivyo, ingeonyesha kuwa analaani matendo ya manabii waliotangulia kabla yake. Kuna mifano mingi ya ndoa za mitala miongoni mwa manabii iliyorekodiwa katika Torati. Nabii Ibrahimu alikuwa na wake wawili, kwa mujibu wa Mwanzo 16:3: "Sarai mkewe Abramu akamtwaa Hajiri Mmisri mjakazi wake, baada ya kukaa Abramu katika nchi ya Kanaani miaka kumi, akampa Abramu mumewe, awe mkewe." Pia Nabii Daudi, kwa mujibu wa kitabu cha kwanza cha Samweli 27:3, "Daudi akakaa huko Gathi pamoja na Akishi, yeye na watu wake, kila mtu na watu wa nyumbani mwake; Daudi naye alikuwa na wakeze wawili, Ahinoamu wa Yezreeli, na Abigaili wa Karmeli, aliyekuwa mkewe Nabali." Katika 1 Wafalme 11:3, Suleimani inasemwa kuwa alikuwa na "…wake mia saba binti za kifalme, na masuria mia tatu; nao wakeze wakamgeuza moyo." Mototo wa Suleimani, Rehobo'am, pia alikuwa na idadi kubwa ya wake, kwa mujibu wa 2 Nyakati 11:21, "Rehoboamu akampenda Maaka binti Absalomu kuliko wakeze wote na masuria yake; (maana alioa wake kumi na wanane, na masuria sitini, akazaa wana ishirini na wanane na binti sitini)." Kwa hakika, Torati inafafanua sheria ya kugawa mirathi katika hali za mitala. Katika Kumbukumbu la Torati 21:15-16, sheria inasema: "Ikiwa mtu yuna wake wawili, mmoja ampenda, mmoja hampendi, nao wamemzalia watoto, ampendaye na asiyempenda wote wawili; na yule mzaliwa wa kwanza akiwa ni wa mke asiyependwa; ndipo itakapokuwa ya kwamba siku atakayowarithisha wanawe alivyo navyo, asimweke mwana wa ampendaye kuwa mzaliwa wa kwanza mbele ya mwana wa asiyempenda, naye ndiye mzaliwa wa kwanza huyu;" Kikwazo pekee cha mitala kilikuwa ni kukataza kuoa dada ya mkeo awe mke mwenza katika walawi 18:18, "Wala usitwae mwanamke pamoja na nduguye, awe mtesi wake, na kufunua utupu wake, huyo wa pili atakapokuwa yu hai." Kitabu cha Talmudi kinashauri kuoa mwisho wake wanne kama ilivyokuwa ikitendwa na Nabii Yakobo.[78] Kwa mujibu wa Padri Eugene Hillman, "Katika Agano Jipya hakuna sehemu yoyote yenye amri iliyowazi ya kuwa ndoa iwe ya mke mmoja au amri yoyote iliyowazi inayokataza mitala."[79] Akaendelea kutilia mkazo ukweli kuwa, kanisa huko Roma lilikataza mitala ili kuafikiana na utamaduni wa Graeco-Roman unaoweka sheria ya mke mmoja tu huku ikisamehe vimada na ukahaba.[80] Uislamu umeweka mipaka ya mitala kuwa mwisho kuoa wake wanne kwa wakati mmoja na Uislamu umetangaza kuwatendea wake kwa uadilifu kuwa ndio sharti la msingi la mitala. Katika Sura An-Nisaa 4:3, Mungu anaeleza: "...فَانكِحُواْ مَا طَابَ لَكُم مِّنَ النِّسَاء مَثْنَى وَثُلاَثَ وَرُبَاعَ فَإِنْ خِفْتُمْ أَلاَّ تَعْدِلُواْ فَوَاحِدَةً..." "…Oeni mnaowapenda katika wanawake, wawili au watatu au wanne. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu…" An-Nisaa 4:3
[h=3]Hitimisho[/h] Kuna Mungu mmoja tu aliyeumba jamii moja ya wanadamu, na akawafikishia ujumbe mmoja: nao ni kutii matakwa ya Mungu – kunakuojulikana kwa Kiarabu kama Uislamu. Ujumbe huo ulipelekwa kwa watu wa kwanza duniani, na kuthibitishwa na manabii wote wa Mungu waliokuja baada yao, zama zote zilizopita. Kiini cha ujumbe wa Uislamu ni kuwa binadamu lazima wamwabudu Mungu mmoja tu kwa kutii Amri zake, na kuacha kuabudu viumbe wa Mungu vikiwa kama njia, umbo au mfumo wowote ule. Yesu Kristo, amezaliwa na Bikira Maria, amefanya miujiza na kuwaita Waisraeli katika ujumbe ule ule wa kutii (Uislamu), kama walivyofanya manabii wote waliomtangulia. Yesu hakuwa Mungu, wala hakuwa 'Mwana wa Mungu', lakini alikuwa ni Masihi, Mtume wa Mungu mwenye heshima kubwa. Yesu hajawaita watu wamwabudu yeye; kinyume chake, aliwaita wamwabudu Mungu, na yeye mwenyewe pia alimwabudu Mungu. Aliithibitisha sheria za Torati alizozifundisha Nabii Musa; aliishi nazo na kuwaagiza wanafunzi wake wazifuate kwa maelezo mazuri sana. Kabla ya kuondoka kwake, aliwafahamisha wafuasi wake juu ya Nabii wa mwisho, Muhammad wa Arabuni (SAW), atakayekuja baada yake, na kuwaagiza watii mafundisho yake. Katika vizazi vya baada ya kuondoka kwa Yesu kutoka katika dunia hii, mafundisho yake yaliharibiwa naye akakuzwa na kufikishwa kuwa Mungu. Karne sita baadaye, baada ya kuja kwa Mtume Muhammad (SAW), hatimaye ukweli juu ya Yesu Kristo ukaelezwa upya na kuhifadhiwa milele katika kitabu cha ufunuo wa Mungu cha mwisho, Quran. Zaidi, sheria za Musa, alizozifuata Yesu, zilifunuliwa upya katika mfumo safi na nadhifu, na kutekelezwa katika njia ya maisha iliyowekwa iwe sheria na Mungu ijulikanayo kama Uislamu. Hivyo, ukweli wa manabii, ujumbe wao wa aina moja, na njia ya maisha waliyoifuata, vinapatikana vikiwa vimehifadhiwa katika dini ya Kiislamu, dini ya pekee iliyoletwa na Mungu kwa ajili ya wanadamu. Na zaidi, leo hii ni Waislamu pekee wanaomfuata kikweli kweli Yesu na mafundisho yake ya kweli. Njia yao ya maisha inaendana sana na njia ya maisha ya Yesu kuliko "Mkristo" yeyote wa siku hizi. Mapenzi na heshima kwa Yesu Kristo ni kipengele cha imani katika Uislamu. Allah amesisitiza umuhimu wa kumwamini Yesu katika sehemu nyingi katika Quran. Kwa mfano, katika Sura An-Nisaai 4:159, Amesema: "وَإِن مِّنْ أَهْلِ الْكِتَابِ إِلاَّ لَيُؤْمِنَنَّ بِهِ قَبْلَ مَوْتِهِ وَيَوْمَ الْقِيَامَةِ يَكُونُ عَلَيْهِمْ شَهِيدًا" "Na hawi katika Watu wa Kitabu ila hakika atamuamini yeye kabla ya kufa kwake. Naye Siku ya Kiyama atakuwa shahidi juu yao." An-Nisaai 4:159 [h=3]Kurudi kwa Yesu[/h] Ingawa kuna matarajio ya kurudi kwa Yesu, wanayoyasubiri Wakristo, pia hiyo ni sehemu ya imani ya Kiislamu. Hata hivyo, hatorudi kuhukumu dunia kama wanavyoamini Wakristo wa kisasa, kwa sababu hukumu inamilikiwa na Mungu peke yake. Quran inafundisha kuwa Yesu hakuuliwa na Wayahudi, lakini badala yake alinyanyuliwa na Mungu akiwa hai kwenda mbinguni. An-Nisaai 4:157-158: "وَقَوْلِهِمْ إِنَّا قَتَلْنَا الْمَسِيحَ عِيسَى ابْنَ مَرْيَمَ رَسُولَ اللّهِ وَمَا قَتَلُوهُ وَمَا صَلَبُوهُ وَلَـكِن شُبِّهَ لَهُمْ وَإِنَّ الَّذِينَ اخْتَلَفُواْ فِيهِ لَفِي شَكٍّ مِّنْهُ مَا لَهُم بِهِ مِنْ عِلْمٍ إِلاَّ اتِّبَاعَ الظَّنِّ وَمَا قَتَلُوهُ يَقِينًا، بَل رَّفَعَهُ اللّهُ إِلَيْهِ وَكَانَ اللّهُ عَزِيزًا حَكِيمًا " "Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu – nao hawakumuuwa wala hawakumsulubu, bali walifananishiwa tu. Na hakika waliokhitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini. Bali Mwenyezi Mungu alimnyanyua kwake, na hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima." An-Nisaai 4:157-158 Miongoni mwa vitu vilivyoripotiwa kuwa Mtume Muhammad (SAW) amevisema kuhusiana na kurudi kwa Nabii Yesu ni vifuatavyo, "Hakutakuwa na Nabii katika yangu na Isa (Yesu), naye atarejea. Na atakaporeja mtamjua. Atakuwa mtu mwenye umbo zuri na ngozi nyekundu na atashuka akiwa amevaa vipande viwili vya shuka. Nywele zake zitaonekana zimelowa, ingawa hazijaguswa na maji. Atapambana na watu ili kuuimarisha Uislamu, atavunja msalaba, ataua nguruwe na kubatilisha kodi ya jizya.[81] Katika wakati wake, Allah ataziangamiza dini zote ispokuwa Uislamu, pia, Masihi Dajjali atauliwa. Isa atakaa duniani kwa miaka arobaini, na atakapokufa, Waislamu watamsalia sala ya maiti." [82] Kurejea kwa Yesu kutakuwa ni moja ya alama za kufika Siku ya Kiama.
[h=3]Bibliografia[/h] Arberry, Arthur J., The Koran Interpreted, London: George Allen & Unwin, 1980. Barr, James, "Abba Isn't 'Daddy'," in Journal of Theological Studies, vol. 39, 1988. -----------, "Abba, Father", in Theology, vol. 91, no. 741, 1988. Brayer, Menachem M., The Jewish Woman in Rabbinic Literature: A Psychosocial Perspective, Hoboken, N.J: Ktav Publishing House, 1986. Burton, John, An Introduction to the Hadith, UK: Edingurgh University Press, 1994. -----------, The Collection of the Qur'an, Cambridge: Cambridge University Press, 1997. Cragg, Kenneth, The Mind of the Qur'an, London, George Allen & Unwin, 1973. Deedat, Ahmed, Christ in Islam, Durban, South Africa: The Islamic Propagation Centre, n.d. Dunn, James, Christology in the Making, London: SCM Press, and Philadelphia: Westminister Press, 1980. Eriedman, Richard, Who Wrote the Bible?, U.S.A.: Summit Books, 1987. Funk, Robert W., Roy W. Hoover and The Jesus Seminar, The Five Gospels, New York: Polebridge Press, Macmillan Publishing Co., 1993. Graham, William, Beyond the Written Word, Uk: Cambridge University Press, 1993. Hamidullah, Mohammed, Muhammad Rasullullah, Lahore, Pakistan: Idara-e-islamiat, n.d. Hasan, Ahmad, Sunna Abu Dawud, (English Trans.), Lahore: Sh. Muhammad Ashraf Publishers, 1[SUP]st[/SUP] ed., 1987. Hastings, J., Dictionary of the Bible, New York: Chas. Scribner's Sons, revised ed., 1963. Hebblethwai, Brian, The Incarnation, England: Cambridge University Press, 1987. Hick John, ed., The Myth of God Incarnate, London: SCM Press Ltd, 1977. ----------, The Metaphor of God Incarnate, London: SCM Press Ltd, 1993. Hillman, Eugene, Polygamy Reconsidered: Africans Plural Marriage and the Christian Churches, New York: Orbis Books, 1975. Hornyby, A.S., The Oxford Advanced Learner's Dictionary, England: Oxford University Press, 4[SUP]th[/SUP] ed., 1989. Khan, Muhammad Muhsin, Sahih Al-Bukhari, (Arabic-English), Lahore: Kazi Publications, 6[SUP]th[/SUP] ed., 1986. Gibb, H.A.R. and J.H. Kramers, shorter Encyclopaedia of Islam, Ithaca, New York: Cornell University Press, 1953. Maccoby, Hyam, The Myth-maker: Paul and the Invention of Christianity, New York: Harper & Row, 1987. Mayfield, Joseph H., Beacon Bible Commentary, Kansas City: Beacon Hill Press, 1965. Moule, C.F.D., The Origin of Christology, U.K.: Cambridge University Press, 1977. Mufassir, Sulayman Shahid, Biblical Studies from a Muslim Pespective, Washington: The Islamic Center, 1973. ----------, Jesus, A Prophet of Islam, Indianapolis: American Trust Publications, 1980. Nicholson, Reynold A., Literary History of the Arabs, Cambridge: Cambridge University Press. Philips, Abu Ameenah Bilal, The Purpose of Creation, Sharjah, U.A.E.: Dar Al Fatah, 1995. Ramsey, Michael, Jesus and the Living Past, UK: Oxford University Press, 1980. Ruether, Rosemary R., ed., Religion and Sexism: Images of Woman in the Jewish and Christian Traditions, New York: Simon and Schuster, 1974. Spray, Lisa, Jesus, Tucson, AZ: Renaissance Productions, 1987. Siddiq, Abdul Hamid, Sahih Muslim, (English Trans.) Lahore: Sh. Muhammad Ashraf Publishers, 1987. The New Encyclopaedia Britannica, Chicago: Encyclopaedia Britannica, Inc., 15[SUP]th[/SUP] Edition, 1991. The World Book Encyclopaedia, Chicago: World Book, Inc., 1987. p.31 and unauthorized copies were destroyed. p.34 to the level of the Bible are easily explained. For ex- p.38 authority for tracing the origin and early develop- p.46 The Biblical story of Jesus turning water into wine (John 2:1-10) is con- p.50 "When your Lord gathered all of aadam's descendants [before creation] and made them bear witness for themselves, saying: 'Am I not your Lord?' They all replied: Yes indeed, we bear wit- p.53 of these speeches is that they accurately reflect the original belief and termi- p. 74 "surely, I have sent to every nation a messe- p.77 was officially struck off the list of saints by papal de- p.80 portraying God in human from eventually won out. p.91 nor did he eat blood. God is recorded as having in- p.92 eaten by one who wishes to eat, except for ani- Consequently, particular rites of slaughter were pre- p.95 little farther be fell on his face and prayed, 'My Father, if it be possible, let this cup pass from me; never- p.98 Clara M Henning, "Canon Law and the Battle of the Sexes," in Relig-

[1] Yesu ananukuu Zaburi 82:6 "Mimi nimesema, Ndinyi miungu, Na wana wa Aliye juu, nyote pia."
[2] Pia tazama Yohana 17:11.​
[3] Pia tazama, Mathayo 2:8.
[4] Pia tazama Mathayo 28:9, "Na tazama, Yesu akakutana nao, akasema, Salamu! Wakakaribia wakamshika miguu, wakamsujudia."
[5] Tazama, kwa mfano, 1 Samweli 25:23, "Ndipo hapo Abigaili alipomwona Daudi, alifanya haraka kushuka juu ya punda wake, akamwangukia Daudi kifulifuli, akainama mpaka nchi."
[6] Gospel Light, (1936 ed.) p. 353, quoted in Jesus, p.21.
[7] Injili ya Yohana kimsingi inatofautiana na Injili nyingine tatu (Injili za muhtasari) kiasi cha kutilia shaka uhakika wake. Kwa mfano: [TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="width: 284"]
Injili za Ufupisho​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Injili ya Yohana​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 284"]
Mahubiri ya Yesu kwa umma yalikuwa ni mwaka mmoja​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Mahubiri ya Yesu kwa umma yalikuwa ni miaka mitatu​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 284"]
Yesu aliongea kwa ufupi kiasi cha mstari mmoja hivi, na kwa mafumbo​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Yesu aliongea kwa urefu na kwa mijadala ya kifalsafa.​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 284"]
Yesu amesema kidogo mno kujihusu yeye mwenyewe​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Yesu aliakisi kwa upana zaidi juu ya kazi yake na haiba yake.​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 284"]
Kumtoa mbadilisha pesa nje ya hekalu ndio tukio lake la mwisho katika kazi yake duniani​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Kumtoa mbadilisha pesa nje ya hekalu ndio tukio lake la kwanza katika kazi yake​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 284"]
Yesu alitetea maskini na wakandamizwaji​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Yesu alikuwa na jukumu dogo au hakuwa na jukumu lolote kwa maskini na wakandamizwaji​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 284"]
Yesu ni mtoa pepo​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Yesu hajatoa pepo​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 284"]
Yesu alisulubiwa mnamo 15 Nisan​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Yesu alisulubiwa mnamo 15 Nisan, siku ya Pasaka ya muhanga wa Wayahudi.​
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[8] The Five Gospels, p. 10.​
[9] Wingi wake ni logoi nalo pia linamaanisha "hoja" au "mpango".
[10] Dhana inayotambulishwa na neno logos pia linapatikana kwa wanafalsafa wahindu, Wamisri, na Wairani na mifumo ya kitiolojia. (The New Encyclopaedia Britannica, vol. 7, p. 440)
[11] Stoics walikuwa ni wanafalsafa waliofuata mafundisho ya mtambuzi Zeno wa Citicum (karne ya 4-3 BC).
[12] Wao wanaliita logos majaaliwa ya Mungu, maumbile, mungu, na roho wa ulimwenguni.
[13] Kwa mujibu wa Philo na wanafalsafa wa The Middle Platonists, waliofasiri kwa istilahi za kidini mafundisho ya karne ya nne BC ya mwalimu wa falsafa wa Kigiriki Plato, logos alizaliwa duniani kama ni msingi na wakati huo huo akili ya kiungu ya hali ya juu. (The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 7, p. 44o)
[14] The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 9, p. 386.
[15] Ibid, vol. 7, p. 440.
[16] Kristo katika Uislamu, pp. 40 – 1.
[17] Hili ni kwa mujibu wa King James Version na the Authorized Version. Katika Revised Standard Version, tafsiri ya mstari huu ni rejesho, "Na Bwana alimwambia Musa, ‘Tazama, Ninakufanya uwe Mungu kwa Farao; na Aroni nduguyo atakuwa mtume wako."
[18] - The Myth-maker, p. 172.
[19]Miaka sabini baadaye Kanisa la Kikristo lilijengwa upya huko Jerusalem, baada ya huo mji kuharibiwa na Warumi kwa mara ya pili na kujengwa upya ukiwa ni mji wa Mataifa usio wa Wayahudi ukiitwa Aelia Caitolina. Hili kanisa Jipya la Kikristo halikuendeleza ‘Kanisa la Jerusalem' lile la kwanza lililongozwa na James. Wafuasi wake walikuwa ni watu wa Mataifa, kama anavyothibitisha Eusebius, na imani yake ilikuwa ni ile ya Ukristo wa Kipauline. (Eusebius, Ecclesiastical History, III. V. 2-3, iliyonukuliwa katika The Myth-maker, p. 174)
[20] The Myth-maker, p. 175.
[21] The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 4, p. 344.
[22] Ibid., vol 4, p. 344.
[23] Pia ilijulikana kwa jina la Dynamic au Adoptionst Monarchianism.
[24] The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 8, p. 244.
[25] The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 9, p. 208.​
[26] Ibid., vol. 1, pp. 556-7.​
[27] The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 1, p. 549-50.​
[28] The Myth of God Incarnate, p. ix.​
[29] The Metaphor of God Incarnate, pp. 27-8.​
[30] Jesus and the Living Past, p. 39.​
[31] The Origin of Christology, p. 136.​
[32] Christology in the Making, p. 60.​
[33] The Incarnation, p. 74.​
[34] The Economist, April 1, 1989, vol. 311, no. 7596, p. 19.​
[35] King James Version and The Authorised Version.​
[36] The Purpose of Creation, pp. 42-3.​
[37] Kifasihi "sisi", inajulikana kama "sisi ya kujitukuza" au "utukufu wetu", ikimkusudia Allah.​
[38] Akiitwa Mtakatifu Maria, amekuwa ni kitu cha heshima katika Kanisa la Wakristo tangu zama za wanafunzi wa Yesu. Alipewa jina la theotokos, likimaanisha "mzaa-Mungu" au "mama wa Mungu" katika karne ya tatu au nne. Ibada ya wengi ya kumwabudu Maria – katika mfumo wa sikukuu, huduma za ibada, na rozari – zimecheza duru muhimu mno katika maisha ya Waroman Katoliki na Waoksodoksi. (The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 7, pp. 897-8 na vol. 16, pp. 278-9).
[39] Malaika, Michael, Gabriel na Raphael walifanywa watakatifu na sherehe za kidini zijulikanazo kama Michaelmas (inaitwa "sikukuu ya Mtakatifu Michael na Watakatifu wote" na Waanglikana) aliwekwa kwa ajili yao tarehe 29 Septemba na makanisa ya Kimagharibi, na tarehe 8 Novemba na Kanisa la Kioksodoksi la Mashariki. Ibada ya mtakatifu Michael ilianza katika kanisa la Mashariki katika karne ya nne CE. Kwa sababu ya nafasi ya kimapokeo ya mtakatifu Michael akiwa kama kiongozi wa majeshi ya mbinguni, hatimaye heshima ya malaika wote iliingizwa katika ibada yake. (The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 8, p. 95.). Akawa mlinzi mtakatifu wa majeshi.
[40] The world Book Encyclopedia, vol. 1, p. 509.
[41] The world Book Encyclopedia, vol. 11, p. 146.
[42] Ibid., vol. 3, p. 417.
[43] -Sunan Abu Dawud, vol. p. 387, no. 1474.​
[44] Mapambano ya uasi yalikuwa juu ya kutumia sanamu za kidini (alama) katika himaya ya Byzantine kipindi cha karne ya nane na tisa. Waasi (wote waliopinga masanamu) wa suala la alama za kuabudiwa kwa sababu kadhaa, ikiwemo katazo la Agano la Kale dhidi ya masanamu katika Amri Kumi (Kutoka 20:4) na uwezekano wa kuabudu sanamu. Watetezi wa alama za ibada wameng`ang`ania tabia ya kuwa masanamu ni alama na ni kwa heshima kitu kilichoundwa. Katika kanisa la kwanza, utengezaji na kuheshimiwa kwa picha ya Kristo na watakatifu ulipingwa kwa mfululizo. Matumizi ya alama hizo, licha ya, kasi ya umashuhuri iliyoipata, hasa hasa katika majimbo ya mashariki ya himaya ya Warumi. Katika kipindi cha mwishoni mwa karne ya sita CE na katika karne ya saba, alama za ibada zikawa ibada rasmi ya kutia moyo, mara nyingi inaashiria imani ya kishirikina katika harakati zao. Upinzani wa matendo hayo ukawa mkali mno huko Asia Ndogo. Mwaka 726, mtawala wa byzantine Leo III alikuwa upande wa watu wengi kupinga alama za ibada na kufikia 730 matumizi yake yakakatazwa rasmi. Hilo lilipelekea kuteswa kwa waabudu alama za ibada mateso yaliyofikia ubaya katika kipindi cha mafanikio ya utawala wa Leo, Constantine V (741-775 CE). Mwaka 787, hata hivyo, mtawala Irene aliitisha baraza la saba la dunia la Nicaea, katika baraza hilo kuvunja masanamu ya kidini kulilaaniwa na matumizi ya masanamu yaliyanzishwa upya. Waabudu sanamu walipata nguvu upya mnamo mwaka 814 baada ya kujiunga kwa Leo V, na matumizi ya alama za ibada yalikatazwa tena katika baraza la mwaka (815 CE). Kipindi cha pili cha waabudu sanamu kiliisha kwa kifo cha mfalme Theophilus mwaka 842. Mwaka 843, hatimaye, mjane wake aliwarejesha upya heshima ya alama za ibada, tukio linaloendelea kusherehekewa mpaka leo katika Kanisa la Kioksodoksi la Mashariki likiwa kama Sikukuu ya Kioksodoksi. (The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 6, p.237)
[45] "Ahmad" kama "Muhammad" limetokana na mzizi wa Kiarabu hamd yaani "shukurani, sifa njema". Mtume Muhammad (SAW) pia alikuwa akijulikana kwa jina la Ahmad.
[46] Neno la Kigiriki paraclete limetafsiriwa kama "Mfariji" katika King James Version, na "Wakili" na "Msaidizi" katika tafsiri nyingine. Parakletos inamaanisha mtu anayewaombea wengine, mtu anayewashauri au kuwanasihi wengine kwa kutilia umuhimu sana mambo ya wengine. (Beacon Bible Commentary, vol. 7, p. 168).
[47] Tazama Yohana 14:26, "Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote…" Hata hivyo, katika 1 Yohana 4:1, neno "Roho" limetumika kuonyesha nabii, "Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani"
[48] Kwa Kingereza, "onother" linaweza kumaanisha "mwingine zaidi ya yule wa kwanza" au "mwingine wa aina tofauti." Andiko la Kigiriki la Agano Jipya neno linalotumika ni allon, ambalo ni la kiume kwa hali ya kutendwa ya mzizi allos: "mwingine wa aina hiyo hiyo". Neno la Kigiriki kwa "mwingine wa aina tofauti". Ni heteros, lakini Agano Jipya halikulitumia neno hili katika Yohana 14:16. (Yesu, a Prophet of Islam, pp. 15-6).
[49] - Yohana Mbatizaji alijazwa Roho Mtakatifu akiwa tumboni mwa mama yake (Luka 1:15); Elizabeth alijazwa Roho Mtakatifu (Luka 1:67).
[50] Roho Mtakatifu alikuwa kwa Simeon (Luka 2:26) naye alitua kwa Yesu katika umbo la njiwa (Luka 3:22).
[51] - Jesus, A Prophet of Islam, p. 13.
[52] Ndugu wa Wayahudi – ambao ni kizazi cha mtoto wa Ibrahimu Isaka – ni Warabu, kizazi cha ndugu wa Isaka , Ismaili.
[53] Quran kifasihi inamaanisha "msomaji-mkaririji". Mtume Muhammad (SAW) alifundisha kuwa Quran ni maneno ya Mungu. Ufafanuzi na mafundisho yake mwenyewe yanajulikana kama ni hadithi.
[54] Sura zote 114 za Quran zinaanza na dua: "Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema Mwenye kurehemu." Ispokuwa sura moja tu, sura ya 9.
[55] Kizazi cha Ismaili kilijulikana kwa jina la Warabu, neno ambalo kwa Kiebrania, linamaanisha wale wanaoishi katika 'arabah au jangwani (Dictionary of the Bible, p. 47). Aliyetajwa sana miongoni mwa wana kumi na mbili wa Ismaili ni Qaydar (Kedar kwa Kiebrania). Katika baadhi ya mistari ya Biblia Qaydar ni kisawe cha Warabu kiujumla (Yeremia 2:10; Ezekieli 27:21; Isaya 60:7; Wimbo wa Selemani 1:5).
[56] Sahihi Al-Bukhari, vol. 3, p. 535, no. 861, na Sahihi Muslim, vol. 3, p. 931, no. 4266.​
[57] Alikatwa kichwa huko Roma miaka 34 baada ya kuisha kwa kazi ya uchungaji wa Yesu.
[58] Biblical Studies From a Muslim Perspective, p. 18.​
[59] Pia tazama Wagalatia 6:15.​
[60] Neno la Kiarabu lililotumika ni fitrah, linalomaanisha 'maumbile'.​
[61] Sahih Al-Bukhari, vol. 7, p. 515, no. 777 na sahihi Muslim, vol. 1, p. 159, no. 495.​
[62] Pia tazama, Kumbukumbu la Taroti 14:8.​
[63] Pia tazama Sura Al-Maaidah, 5:3.​
[64] Huyo ni mtu aliyetengana au mtu aliyejitenga, tunza, weka wakfu.​
[65] Yohana 2:1-11.​
[66] The Five gospels, p. 20.​
[67] The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 5, p. 379.​
[68] The Jewish Woman in Rabbinic Literature, p.230.​
[69] Ibid., p. 139.​
[70] Clara M. Henning, "Canon Law and the Battle of thae Sexes," in Religion and Sexism, p.272.​
[71] Sura An-Nuur 24:27.​
[72] Sura Al-Araaf, 7:46.​
[73] Moja ya kumi ikiwa shamba limenyeshewa na mvua na moja ya ishirini kama limemwagiliwa.​
[74] Pia tazama Mathayo 6:16 na 17:21.​
[75] Sahih Al-Bukhari, vol. 3, pp. 113-4, no. 200 n1 Sahih Muslim, vol. 2, p. 565, no. 2595.​
[76] Chakula au utoaji.​
[77] Hata hivyo, katika mstari uliofuatia huu, Wayahudi wamefanya kumkopesha kwa riba mtu asiye Myahudi kuwa ni ruhusa: "Mgeni waweza kumkopesha kwa riba, ila usimkopeshe ndugu yako kwa riba; …" (Kumbukumbu la Torati 23:20).
[78] Women in Judaism, p. 148.​
[79] Polygamy Reconsidered, p. 140.​
[80] Ibid., p. 17.​
[81] Kodi ichukuliwayo kutoka kwa Wakristo na Wayahudi wanaoishi chini ya utawala wa Kiislamu badala ya zaka (sadaka ya wajibu) na kuhudumia jeshi.
[82] Sunan Abu Dawud, vol. 3, p. 1203, no. 4310 na imesahihishwa katika Saheeh Sunan Abee Dawood, vol. 3, p. 815-6, no. 3635.
 
Wale wanaodaikuwaYesu alikuwa Mungu, wanashikilia kuwa yeye hakuwa Mungu aliyetengeka, bali ni mmoja na ni Mungu yule yule mwenye mwili. Wao wanaunga mkono imani hii kutokana na mstari wa 30 wa Injili kwa mujibu wa Yohana, sura 10, ambayo ndani yake Yesu anaripotiwa kuwa amesema, “Mimi na Baba ni kitu kimoja.” Nje ya muktadha, mstari huu unaashiria uungu wa Yesu. Hata hivyo, pale Wayahudi walipomtuhumu kwa kudai uungu, kwa kutegemea sentesi hiyo, Yohana 10:34 “Yesu akawajibu, Je, haikuandikwa katika Torati yenu ya kwamba, Mimi nimesema, Ndinyi miungu? Ikiwa aliwaita miungu wale waliojiliwa na neno la Mungu;"[1] Amewabainishia, kwa mfano wa maandiko unaojulikana sana kwao, kuwa yeye alikuwa anatumia lugha ya kistiari ya manabii ambayo haipaswi kufasiriwa kwa kujipachika uungu yeye mwenyewe au kwa mtu mwingine yoyote. Ushahidi zaidi unachukuliwa kutoka katika mstari wa kumi na wa kumi na moja wa Injili kwa mujibu wa Yohana, sura ya 14, pale watu walipomtaka Yesu awaonyeshe Baba, naye inaaminiwa alisema: "Husadiki ya kwambi mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake. Mnisadiki ya kwambi mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; la! Hamsadiki hivyo, sadikini kwa sababu ya kazi zenyewe.” Ibara hizi zingeashiria uungu wa Yesu, kama sehemu iliyobakia ya Injili hiyo hiyo inapuuzwa. Hata hivyo, aya tisa baadaye, katika Yohana 14:20, pia Yesu anarekodiwa akiwaambia wanafunzi wake, "Siku ile mtatambua ya kuwa mimi ni ndani ya Baba yangu, nanyi ndani yangu, nami ndani yenu.” Kwa hiyo, kama maelezo ya Yesu "Mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; yanamaanisha kuwa yeye ni Mungu, basi vivyo hivyo iwe kwa wanafunzi wa Yesu. Hii sentensi ya kiishara inamaanisha umoja wa lengo na sio umoja wa asili. Tafsiri ya kiishara inasisitizwa zaidi katika Yohana 17:20-21, pale Yesu aliposema, "Wala si hao tu ninaowaombea; lakini na wale watakaoniamini kwa sababu ya neno lao. Wote wawe na umoja; kama wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, nami ndani yako; hao nao wawe ndani yetu; ili ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma.”[2] [h=3]5. Amekubali kusujudiwa[/h] Inadaiwa kuwa Yesu tangu aliporipotiwa kuwa amekubali kusujudiwa na baadhi ya wafuasi zake, lazima atakuwa ni Mungu. Hata hivyo, uchunguzi makini kuhusu andiko hilo unaashiria mambo mawili; tafsiri wasiwasi, na tafsiri potofu. Istilahi “kusujudu” inaweza kupatikana katika King Jemes Version na The Revised Standard Version yakielezea watu watatu wenye busara waliokuja kutokea mashariki. Wameripotiwa katika Mathayo 2:2, wakisema, "Yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tuliiona nyota yake mashariki, nasi tumekuja kumsujudia[3] Hata hivyo, katika Biblia ya The New American Bible (Catholic Press, 1970), hilo andiko linasomeka: "Yu wapi mfalme wa Wayahudi aliyezaliwa sasa? Tumeona nyota yake ikichomoza na tumekuja kutoa heshima kwake Katika The Revised Standard Version, Yohana 9:37-38, "Yesu akawaambia, Umemwona, naye anayesema nawe ndiye. Akasema, Naamini, Bwana. Akamsujudia. [4] Hata hivyo, katika The American Biblke, wafasiri wasomi wameongeza tanbibihi inayosomeka: 9:38. Mstari huu, imefutwa kwa umuhimu wa MSS [miswada], unaweza kuwa ni nyongeza kwa liturujia ya ubatizo. Mistari hii haipatikani katika miswada muhimu ya kale yenye Injili hii. Huenda ni nyongeza ya baadaye iliyowekwa na waandishi wa kanisa ili yatumike katika huduma ya ubatizo. Zaidi, kama alivyofafanua, mwenye mamlaka makuu na adhima katika Biblia na lugha zake za asili, George M. Lamsa, “Neno la Kiarama sagad, sujudu, pia lina maana ya kuinama au kupiga goti kwa watu wa mashariki wakati wa kusalimiana kwa kawaida ya kuinamisha kichwa au kuinama chini.[5] “Alimsujudia” haiashirii kuwa yeye alimwabudu Yesu kama vile mtu alivyomwabudu Mungu. Tendo kama hilo lilitakiwa lichukuliwe ni la kukufuru na la uvunjaji wa Amri ya kwanza mbele ya macho ya Wayahudi, na huyo mtu angepigwa mawe. Lakini yeye alipiga magoti mbele yake kwa kutoa heshima na shukurani.”[6] Kitabu cha mwisho, Quran, kinaeleza tukio la kuabudiwa au kutoabudiwa kwa Yesu, kwa kunukuu mazungumzo yatakayotokea baina ya Yesu na Mungu siku ya Kiama. Allah anaeleza katika Sura Al-Maa`idah, 5:116-117 "وَإِذْ قَالَ اللّهُ يَا عِيسَى ابْنَ مَرْيَمَ أَأَنتَ قُلتَ لِلنَّاسِ اتَّخِذُونِي وَأُمِّيَ إِلَـهَيْنِ مِن دُونِ اللّهِ...، مَا قُلْتُ لَهُمْ إِلاَّ مَا أَمَرْتَنِي بِهِ أَنِ اعْبُدُواْ اللّهَ رَبِّي وَرَبَّكُمْ..." "Na pale Mwenyezi Mungu atakaposema: Ewe Isa bin Maryamu! Ati wewe uliwaambia watu: Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu?..., (Na Isa) atasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hainifalii mimi kusema ambayo si haki yangu…, Sikuwaambia lolote ila uliyoniamrisha, nayo ni: Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi…" Al-Maa`idah, 5:116-117 [h=3]6. "Hapo mwanzo kulikuwa na Neno"[/h] Huenda ‘ushahidi’ wa uungu wa Yesu ulionukuliwa sana ni Yohana 1:1 na 14, “Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, na Neno alikuwa Mungu… Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.” Hata hivyo, maelezo haya hayakutolewa na Yesu Kristo, wala hayakuhusishwa naye na mtunzi wa Injili kwa mujibu wa Yohana. Hivyo, mistari hii haiundi ushahidi wa uungu wa Yesu, hasa hasa kuzingatia shaka inayoshikiliwa na wasomi wa Kikristo juu ya Injili ya Nne. Wasomi wa Biblia waliotunga Injili tano: “Picha mbili zilizochorwa na Yohana na muhtasari wa injili (yaani Injili ya Mathayo, Marko na Luka) zote mbili haziwezi kuwa ubainifu wa kihistoria.[7] Neno lilohusishwa na Yesu katika Injili ya Nne limeundwa na wainjilisti kwa sehemu kubwa, na linaakisi mwendelezo wa lugha ya jamii ya Wakristo wa Kiyohana.[8] Neno la Kigiriki lilotumiwa na mtunzi wa Injili ya Nne asiyejulikana kwa “neno” ni logos.[9] Kwa kufanya hivyo, huyo mtunzi anamtambulisha Yesu kwa logos la wanafalsa wapagani wa Kigiriki, neno ambalo lilikuwa na lengo takatifu na thabiti lililojitokeza ulimwenguni, huyo mtunzi akalipangilia neno hilo na kulipa mfumo na maana.[10] Wazo la logos katika fikra za Kigiriki huenda linarejea nyuma, kwa uchache hadi kwa mwanafalsafa wa karne ya sita BC, Heracleitus, aliyependekeza kuwa, kulikuwa na logos ulimwenguni anayetenda kwa mwanadamu kulingana na nguvu ya hoja. Baadaye, Stoics[11] analitambulisha logos kuwa ni tendo, mantiki, na kanuni ya kiroho inayosambaa katika ukweli wote.[12] Mwanafalsafa wa Kiyahudi anayeongea Kigiriki, Judaeus Philo wa Alexandria (15 BC -45 CE), amefundisha kuwa logos alikuwa ni mpatanishi baina ya Mungu na ulimwengu, kwa kuwa na sifa mbili za uwakala wa Mungu na ulimwengu, na kuwa na sifa mbili za uwakala wa viumbe na wakala wa ambaye kupitia kwake akili ya mwanadamu inaweza kumfahamu Mungu.[13] Maandiko ya Philo yalihifadhiwa na kutunzwa na kanisa, na kueneza ufunuo kwa mafundisho ya kistaarabu ya tiolojia ya kifalsafa ya Kikristo. Aliacha mafundisho ya fikra za Kipilato wakichukulia logos (Neno) na kuliita “mtoto wa kwanza wa kuzaliwa na Mungu.”[14] Utambulisho wa Yesu kwa logos, uliendelezwa katika kanisa la kwanza ikiwa ni tokeo la majaribio yaliyofanywa na wanatiolojia wa kwanza wa Kikristo pamoja na watetezi kuielezea imani ya Kikristo kwa istilahi ambayo ingekuwa wazi kwa ulimwengu wa Wayunani. Zaidi ya hayo, ilikuwa ni kuwavutia wasikilizaji wao na mtazamo wao kuwa Ukristo ulikuwa unashinda, au mrithi wa wale wote waliokuwa wanafalsafa bora wa kipagani. Kwa hiyo, katika kazi zao za utetezi na ubishani, Mapadri wa Kikristo wa kwanza wameeleza kuwa Yesu alikuwa ni logos aliyekuwepo hapo kabla.[15] Neno la Kigiriki lililotumika kwa maana ya ‘Mungu’ katika hiyo ibara ni “na Neno lilikuwa kwa Mungu,” lipo katika mtindo wa “definite form- yaani mtindo uliowazi, au unaofahamika” batheos, Linalomaanisha “Huyo Mungu, au Mungu maalum”. Hata hivyo, katika ibara ya pili “na Neno alikuwa Mungu”, neno la Kigiriki lililotumika kwa maana ya ‘Mungu’ katika ibaralipo katika mtindo wa “indefinite form- yaani mtindo usiowazi, au usiofahamika” tontheos, Linalomaanisha ‘mungu yoyote, yaani mungu asiyejulikana, au mungu yoyote asiye maalumu’.[16] Kwa hiyo, Yohana 1:1, kwa uwazi zaidi ilipaswa itafsiriwe, “Hapo Mwanzo kulikuwa na Neno, na hilo Neno lilikuwa kwa Mungu, na hilo Neno lilikuwa mungu mwingine.” Kwa hiyo, kama hilo neno lilikuwa mungu mwingine kwa ufahamu wa kifasihi, itamaanisha kuwa kulikuwa na miungu miwili na sio mmoja. Hata hivyo, katika lugha ya Kibiblia, neno ‘mungu – asiyefahamika’ linatumika kwa maana ya istiari ili kuashiria nguvu. Kwa mfano, Paulo alimtaja shetani kuwa ni ‘mungu – asiyefahamika’ katika 2 Wakorintho 4:4, "ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu." Pia, Musa alitajwa kama ni ‘mungu – asiyefahamika’ katika Kutoka 7:1, "BWANA akamwambia Musa, Angalia, nimekufanya wewe kuwa Mungu kwa Farao; na huyo ndugu yako Haruna atakuwa nabii wako.[17] [h=3]Mawazo ya kale[/h] Kulikuwa na mgogoro mkubwa kati ya tafsiri ya Pauline na ya Jerusalem kuhusu Yesu na ujumbe wake. Mgogoro huo, baada ya kutokea pole pole kwa miaka mingi, hatimaye ulipelekea mpasuko kabisa, katika mpasuko huo, ulipelekea kuundwa Kanisa la Wakristo wa Pauline, kwa athari hiyo, dini mpya iliyojitenga kutoka Uyahudi. Kwa upande mwingine, Wanazareti wa Jerusalem hawakukata uhusiano wao na Uyahudi, bali walijizingatia kuwa wao ndio kiini cha kuutekeleza Uyahudi, watiifu wa Torati, pia walimwamini Yesu, umbo la Masihi mwanadamu.[18] Wakati uasi wa Kiyahudi ulipopondwa pondwa na Warumi na mahekalu yao kuharibiwa mwaka 70 CE, Wakristo wa Kiyahudi walitawanyika, nguvu yao na mvuto wao wa kuwa wao ndio Kanisa Mama na kituo cha vuguvugu la Yesu zilifikia kikomo.[19] Vuguvugu la Wakristo wa Kipauline, vuguvugu ambalo mpaka mwaka 66 CE. Lilikuwa linapigania liendelee kuishi, dhidi ya kutokubaliwa huko Jerusalem, sasa lilianza kusonga mbele. Kanisa la Jerusalem, chini ya uongozi wa James, kiasili lilijulikana kuwa ni la Wanazareti, baadaye likajulikana kwa jina la kupanga na la kuaibisha la Ebionites (Kwa kiyahudi evyonium, “watu maskini”), jina ambalo baadhi ya Wanazareti walilitwaa kwa ufahari wakilichukulia kuwa ni kikumbusho cha maneno ya Yesu yasemayo, “Wabarikiwe maskini.” Baada ya Kanisa la Graeco-Roman kushika hatamu, Wanazareti wakawa wanadharauliwa na kuonwa kuwa ni waasi, kwa sababu ya kukataa kwao mafundisho ya Paulo.[20] Kwa mujibu wa historia ya kanisa la wahenga, Irenaeus (c. 185 CE,) hao watu maskini walimwamini Mungu mmoja, Muumba, aliyefundisha kuwa Yesu alikuwa ni masihi, kwa mujibu wa Mathayo, walitumia Injili tu, na kumpinga Paulo kwa kumwona kuwa ni muasi aliyeasi Sheria ya Kiyahudi.[21] Hao watu maskini walijulikana kuwa waliishi mpaka katika karne ya nne. Baadhi yao walihama Palestina na wakaishi huko Transjordan na Syria na baadaye sehemu hiyo ikajulikana kuwa ni Asia ndogo, Misri na Roma [22]. Kwa mfumo wa kifalme,[23] vuguvugu la Wakristo wa Mataifa lilioendelezwa kipindi cha karne ya pili na ya tatu liliendelea kuwakilisha mtazamo wa kuamini Mungu mmoja uliokithiri na ule wa Waibionia ‘watu maskini’. Mtazamo huo ulishikilia kuwa Kristo alikuwa ni mtu, mimba yake ni ya kimuujiza, lakini alikuwa ni “mwana wa Mungu” wa pekee kwa kuwa amejazwa busara takatifu na nguvu. Mtazamo huu ulifundishwa huko Roma takriban mwishoni mwa karne ya pili na Theodotus, aliyetengwa na Papa Victor, na ulifundishwa sehemu Fulani hapo baadaye na Artemon, aliyetengwa na Papa Zephyrinus. Takriban mwaka 260 CE mtazamo huo ulifundishwa tena na Paulo wa Samosata,[24] Askofu mkuu wa Antokia huko Syria, ambaye alihubiri kiwazi wazi kuwa Yesu alikuwa ni mtu na kupitia kwake Mungu ameongea maneno yake (Logos), naye kwa nguvu kabisa amethibitisha upweke wa Mungu. Kati ya mwaka 263 na 268 kwa uchache vikao vitatu vya baraza la kanisa viliitishwa huko Antokia ili kujadili usahihi wa Paulo. Kikao cha tatu kililaani mafundisho yake na kumvua madaraka. Hata hivyo, Paulo alifaidika na ulinzi wa Zenobia, malkia wa Palmyra, ambaye kwake yeye, Antokia ilikuwa ndio mada, na haikuwa ila mpaka mwaka 272 pale mfalme Aurelian alipomshinda Zenobia kwa kiwango ambacho madaraka halisi yakanyakuliwa.[25] Mwishoni mwa karne ya tatu na mwanzoni mwa karne ya nne, Arius (b.c 250, Libya – 336 CE), kasisi wa Alexandria, Misri, pia amefundisha maumbile yenye mipaka ya Kristo upweke kabisa wa Mungu, jambo lililowavutia idadi kubwa ya wafuasi, mpaka alipotangazwa kuwa ni mzandiki na baraza la Nicaea mnamo Mei mwaka 325 CE. Wakati wa baraza hilo, alipinga kutia saini mfumo wa imani unaoeleza kuwa Kristo alikuwa na tabia ile ile kama Mungu. Hata hivyo, akiwa ameshawishiwa na wenzake wa Asia ndogo na kutoka Constantia, binti wa mfalme Constantine, alifanikiwa kushawishi kurejea kwa Arius kutoka uhamishoni na kurudi kanisani.[26] Vuguvugu alilodhaniwa kuwa amelianzisha, lakini kwa hakika lilikuwa ni kupanua imani ya Wakristo wa kiyahudi Wanazareti wa Jerusalem, Vuguvugu hilo lilijulikana kama Arianism na kuunda tisho kubwa ndani ya imani ya itikadi ya Wakristo wa Kipauline juu ya uungu wa Yesu. Kutoka mwaka 337 hadi 350 CE, mfalme wa Magharibi, Constans, alionyesha huruma kwa Wakristo waoksodoksi, na Constantius wa pili, aliyekuwa mfalme wa Mashariki, aliwahurumia Waarians. Ushawaishi wa Arian ulikuwa mkubwa mno kiasi ambacho katika baraza la kanisa lililofanyika Antokia (341 CE), uthibitisho wa imani ulikuwa ndio jambo lililoondoa kifungu cha kuwa Yesu alikuwa na maumbile yale yale ya uungu kama Mungu”. Mwaka 350 CE Constantius wa pili akawa mtawala wa pekee wa himaya yote, na chini ya uongozi wake sehemu ya Nicene (Wakristo Waoksodoksi) waliangamizwa kwa kiasi kikubwa. Baada ya kifo cha Constantius wa pili mwaka 361 CE, Wakristo Waoksodoksi walio na wingi mkubwa huko Magharibi waliimarisha nafasi yao. Hata hivyo, utetezi wa kuwa na Mungu mpweke kabisa, na kukandamizwa kwa Wakristo Waoksodoksi, imani ya utatu iliendelea huko Mashariki chini ya mfalme Arian Valens (364-383 CE). Haikuwa ila mpaka pale Mfalme Theodosius wa kwanza (379-395 CE) alipotwaa ulinzi wa imani ya Arius, hata hivyo, imani hiyo iliendelea miongoni mwa makabila ya Kijerumani hadi mwishoni mwa karne ya saba.[27] [h=3]Mawazo ya kisasa[/h] Leo hii, kuna wasomi wengi katika Ukristo wanaoshikilia kuwa Yesu Kristo hakuwa Mungu. Mwaka 1977, kikundi cha wasomi saba wa Biblia, akiwemo mwanatiolojia kiongozi wa Kianglikana na wasomi wengine wa Agano Jipya, walichapisha kitabu kiitwacho The Myth of God Icarnate, (Kisa cha kubuni cha Mungu mwenye mwili) kilichosababisha fujo kubwa kwa makutano makuu ya Kanisa la Uingereza. Katika utangulizi, mwandishi, John Hick, ameandika yafuatayo: “Waandishi wa kitabu hiki wamekinaishwa kuwa mwendelezo mkubwa wa kitiolojia uitishwe katika muda huu wa karne ya ishirini. Dai linaibuka kutokana na kukuwa kwa maarifa ya asili ya Ukristo, na kuhusisha kutambua kuwa Yesu alikuwa ni (kama alivyowasilishwa katika matendo 2:21) ‘mtu aliyethibitishwa na Mungu’ kwa kazi maalum kwa lengo la kiungu, na kuwa dhana ya baadaye juu kumhusu yeye kama ni Mungu mwenye mwili, Nafsi ya Pili ya Utatu Mtakatifu inayoishi katika maisha ya kibinadamu, ni ngano ya kubuni au njia ya kishairi ya kuelezea umuhimu wake kwetu.”[28] Kuna makubaliano makubwa miongoni mwa wasomi wa Agano Jipya kuwa, kihistoria Yesu hajadai uungu ambao fikra ya Kikristo ilimfanyia; yeye hajajielewa kuwa yeye ni Mungu, wala Mungu Mwana, mwenye mwili [katika mwili].[29] Askofu mkuu wa hivi mwishoni Michael Ramsy, ambaye alikuwa ni msomi wa Agano Jipya, ameandika kuwa “Yesu hajadai uungu.”[30] Mwenzake wa zama moja, msomi wa Agano Jipya C.F.D. Moule. Amesema kuwa, “Kwa hali yeyote ile ya Elimu ya Ukristo ya hali ya juu inayotegemea usahihi wa madai ya Yesu mwenyewe, hasa hasa katika Injili ya Nne, kwa hakika atakuwa hatarini.”[31] Katika utafiti mkubwa juu ya asili ya imani ya kuwa na mwili, James Dunn, anayethibitisha Elimu ya Ukristo wa Kioksodoksi, anahitimisha kuwa “hakuna ushahidi wa hakika katika mapokeo ya mwanzo ya Yesu kwa kile ambacho kwa uadilifu, kitaitwa ufahamu wa uungu.”[32] Tena, Brian Hebblethwaite, mtetezi kwa nguvu wa Elimu ya Ukristo ya mapokeo ya Nicene-Calcedonian, anakiri kuwa “haiwezekani tena kutetea uungu wa Yesu kwa kurejea katika madai ya Yesu.”[33] Hebblethwaite na Dunn, na wasomi wengine kama wao wanaoendelea kuamini uungu wa Yesu, wanadai kuwa licha ya kuwa Yesu hakujijua kuwa Yeye alikuwa Mungu mwenye mwili. Haya yalijulikana baada ya kufufuka kwake tu. Wengine wengi miongoni mwa Maaskofu wakuu mashuhuri wa Kanisa la Uingereza, wanoshuku uungu wa Yesu, ni Kasisi asemaye wazi wazi Profesa David Jenkins, Askofu mkuu wa Durham Uingereza, ambaye anaeleza kwa uwazi kuwa Yesu hakuwa Mungu.[34] Makala ifuatayo, ilitokoea katika The Daily News miaka iliyopita, kwa uwazi kabisa inaonyesha kiasi gani cha shaka miongoni mwa wakuu wa kidini kuhusu uungu wa Yesu. [TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="width: 540"]
Uchunguzi wa kushtusha wa Maaskofu wa Kianglikana
LONDON: Zaidi ya nusu ya Maaskofu Waingereza wa Kianglikana wanasema kuwa: “Wakristo hawalazimiki kuamini kuwa Yesu Kristo ni Mungu, kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa leo.​
Kura za maoni za Maaskofu Waingereza 31, miongoni mwa Maaskofu 39, zinaonesha kuwa, wengi wao wanaona kuwa, Miujiza ya Kristo, kuzaliwa na bikira na kufufuka huenda hayo hayajatokea kama ilivyoelezwa katika Biblia. Ni Maaskofu 11 tu, ndio waliosisitiza kuwa "Wakristo lazima wamchukulie Yesu Kristo kuwa ni Mungu mtu, huku 19 wakisema kuwa inatosha kumchukulia Yesu kama ni "Mwakilishi mkuu wa Mungu". Na mmoja alijizuia kutoa maoni yake. Hiyo kura ya maoni iliendeshwa na London Weekend Television's weekly religion show, Credo. "DAILY NEWS" 25/6/84 [/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[h=3] [/h]
[h=3]Sura ya Tatu: Ujumbe[/h] Suala la pili ni, ‘Ujumbe wa Yesu’, huenda ni nukta muhimu zaidi kuizingatia. Kwa kuwa, kama Yesu hakuwa Mungu mwenye mwili, ila ni nabii wa Mungu, ujumbe aliouleta kutoka kwa Mungu ni kiini cha kazi yake. [h=3]Utiifu [/h] Msingi wa ujumbe wa Yesu ulikuwa ni utiifu wa kutii matakwa ya Mungu, kwa kuwa huo ndio msingi wa dini uliofanywa sheria na Mwenyezi Mungu kwa mwanadamu tangu mwanzo. Mungu anasema katika Sura ya Al-Imraan, sura ya tatu ya Quran, aya 19:
"إِنَّ الدِّينَ عِندَ اللّهِ الإِسْلاَمُ ..."​
"Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu…" Kwa kiarabu kutii matakwa ya Mungu kunaelezwa na neno ‘Uislamu’. Katika Injili kwa mujibu wa Mathayo 7:21, Yesu ananukuliwa akisema: “Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.” Katika maelezo haya, Yesu anaweka mkazo juu ya “matakwa ya Baba”, utiifu wa matakwa ya mwanadamu kwa matakwa ya Mungu. Katika Yohana 5:30, imesimuliwa kuwa Yesu vilevile amesema: “Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka [h=3]Taurati (Torati)[/h] “Matakwa ya Mungu” yamejumuishwa katika sheria za ufunuo mtakatifu ziliofundishwa na manabii kwa wafuasi wao. Kwa hiyo, utiifu kwa sheria ya Mungu ni msingi wa kuabudu. Quran inathibitisha haja ya utiifu kwa sheria ya ufunuo mtakatifu katika sura ya Al-Maaidah, aya 44. "إِنَّا أَنزَلْنَا التَّوْرَاةَ فِيهَا هُدًى وَنُورٌ يَحْكُمُ بِهَا النَّبِيُّونَ الَّذِينَ أَسْلَمُواْ...، وَمَن لَّمْ يَحْكُم بِمَا أَنزَلَ اللّهُ فَأُوْلَـئِكَ هُمُ الْكَافِرُونَ" "Hakika Sisi tuliteremsha Taurati yenye uwongofu na nuru, ambayo kwayo Manabii walionyenyekea Kiislamu…, Na wasiohukumu kwa aliyoteremsha Mwenyezi Mungu, basi hao ndio makafiri." Al-Maaidah, aya 44. Pia, Yesu ameripoti katika Injili kwa mujibu wa Mathayo 19:16-17, kuwa alifanya utiifu kwa sheria ya ufunuo mtakatifu ambayo ndio ufunguo wa Peponi: “Na tazama, mtu mmoja akamwendea akawaambia, Mwalimu, nitende jambo gani jema, ili nipate uzima wa milele?Akamwambia, Kwani kuniuliza habari ya wema? Aliye mwema ni mmoja. Lakini ukitaka kuingia katika uzima, zishike amri.[35] Pia katika Mathayo 5:19, Yesu Kristo ameripotiwa kuwa amesisitiza utiifu mkali wa kuzitii amri kwa kusema, “Basi mtu ye yote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atakayezitenda na kuzifundisha, huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbingubi.” Sheria ya Mungu inawakilisha mwongozo kwa wanadamu katika pande zote za maisha. Inafafanua zuri na baya kwa wanadamu na kuwapa wanadamu mfumo kamili unaosimamia mambo yao yote. Muumba pekee ndiye ajuaye vizuri kipi kina manufaa kwa viumbe wake na kipi hakina. Kwa hiyo, sheria ya Mungu inaamuru na kukataza matendo na vitu mbali mbali ili kuikinga roho ya mwanadamu, mwili wa mwanadamu, na jamii ya wanadamu isidhurike. Ili wanadamu watimize uwezo wa kuishi kwa wema, wanahitaji kumwabudu Mungu kwa kutii amri Zake.[36] Hii ndio iliyokuwa dini iliyoletwa katika ujumbe wa Yesu; kutii matakwa ya Mungu mmoja wa kweli kwa kutii amri zake. Yesu aliwasisitizia wafuasi zake kuwa kazi yake haikuwa kutangua Sheria (Taurati) iliyopokelewa na Nabii Musa. Akiwa kama Mitume iliyokuja baada ya Musa iliyoimarisha sheria, Yesu alifanya hivyo hivyo. Sura ya al-Maaidah, aya ya 46 ya Quran inaashiria kuwa Yesu ameimarisha Sheria ya Taurati katika ujumbe wake. "وَقَفَّيْنَا عَلَى آثَارِهِم بِعَيسَى ابْنِ مَرْيَمَ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ التَّوْرَاةِ وَآتَيْنَاهُ الإِنجِيلَ فِيهِ هُدًى وَنُورٌ وَمُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ التَّوْرَاةِ..." "Na tukawafuatishia hao Isa bin Maryamu kuyahakikisha yaliyokuwa kabla yake katika Taurati, na tukampa Injili iliyomo ndani yake uwongofu, na nuru na inayosadikisha yaliyokuwa kabla yake katika Taurati…" Al-Maaidah, aya 44. Katika Mathayo 5:17-18, Yesu ameeleza: “Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua Torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie.” Hata hivyo, Paulo, aliyedai kuwa ni mwanafunzi wa Yesu, kimsingi ametangua sheria. Katika waraka wake kwa Warumi, sura 7:6, ameeleza, “Bali sasa tumefunguliwa katika Torati, tumeifia hali ile iliyotupinga, ili sisi tupate kutumika katika hali mpya ya roho, si katika hali ya zamani ya andiko.” [h=3]Upwekesahaji[/h] Yesu amekuja akiwa ni Nabii, akiwaita watu wamwabudu Mungu peke yake. Kama walivyofanya manabii wa kabla yake. Mungu anasema katika sura An-Nahli 16:36 ya Quran: "وَلَقَدْ بَعَثْنَا فِي كُلِّ أُمَّةٍ رَّسُولاً أَنِ اعْبُدُواْ اللّهَ وَاجْتَنِبُواْ الطَّاغُوتَ..." "Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani…" An-Nahli 16:36[37] Katika Luka 4:8, Shetani anamtaka Yesu amwabudu yeye, kwa kumuahidi mamlaka na utukufu wa ufalme wa dunia nzima, “Yesu akajibu akamwambia, Imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake Kwa hiyo kiini cha ujumbe wa Yesu kilikuwa ni kuwa Mungu pekee ndiye anayestahiki kuabudiwa na kuwa kumwabudu yeyote au chochote kandoni au pamoja na Mungu ni kosa. Yesu sio tu, amewaita watu katika ujumbe wake lakini pia uliutekeleza na kuuonesha kwao kwa kusujudu katika sala na kumwabudu Mungu mwenyewe. Katika Marko 14:32, inaeleza: “Kisha wakaja mpaka bustani iitwayo Gethsemane; akawaambia wanafunzi wake, Ketini hapa muda niombapo.” Na katika Luka 5:16, “Lakini yeye alikuwa akijiepua, akaenda mahali pasipokuwa na watu, akaomba.” Yesu aliwaita wamwabudu Mungu mmoja wa kweli ambaye ni wa kipekee katika sifa zake. Mungu hana sifa za viumbe zake, na hakuna kiumbe yeyote anayeshirikiana naye kwa sifa yoyote ile. Katika Mathayo 19:16-17, pale mtu mmoja alipomwita Nabii Yesu ‘mwema’, akisema “Na tazama, mtu mmoja akamwendea akawaambia, Mwalimu, nitende jambo gani jema, ili nipate uzima wa milele? Akawaambia, Kwani kuniuliza habari ya wema? Aliye mwema ni mmoja…" Yesu alikana sifa ya ‘uungu wenye mipaka’ au ‘wema kamilifu’ kwa nafsi yake, na kuthibitisha kuwa sifa hii inamilikiwa na Allah peke yake. Idadi kubwa mno ya Wakristo duniani leo hii wanamwabudu Yesu, wakidai kuwa yeye ni Mungu. Wanafalsafa miongoni mwao wanadai kuwa wao hawamwabudu Yesu mtu, ila Mungu aliyejidhihirisha kwa Yesu mtu. Hii vilevile ndio akili ya wapagani wanaosujudia masanamu. Mwanafalsafa wa kipagani alipoulizwa kwa nini anaabudu sanamu lililotengenezwa na mikono ya mwanadamu, alijibu kuwa kwa hakika yeye haabudu sanamu. Zaidi, anaweza kudai kuwa sanamu ni nukta ya kuunganisha kwa kuwepo kwa Mungu, na kwa hiyo ni kudai kuwa anamwabudu Mungu anayejidhihirisha kwa sanamu, na wala sio umbo la sanamu lenyewe. Kuna tofauti ndogo au hakuna tofauti kati ya ufafanuzi na jibu lililotolewa na Wakristo kwa kumwabudu Yesu. Asili ya kupotoka huku ipo katika imani ya uongo ya kuwa Mungu yupo katika Viumbe vyake. Imani kama hiyo inahalalisha kuabudu viumbe wa Mungu. Ujumbe wa Yesu, unaowataka wanadamu wamwabudu Mungu mmoja peke yake, uliharibiwa baada ya kuondoka kwake. Baadaye, wafuasi wakianzia na Paulo, waliubadilisha ujumbe mtakatifu na mwepesi na kuwa falsafa ya utatu yenye utata inayohalalisha kumwabudu Yesu, kisha kumwabudu Mama yake Yesu, Mariamu,[38] na kuabudu malaika[39] na watakatifu wengine. Wakatoliki wana orodha ndefu ya wale wanaowaendea wakati wa shida. Kama kitu kimepotea, Mtakatifu Anthony wa Thebes anaombwa ili asaidie kipatikane.[40] Mtakatifu Jude Thaddaeus ni mlinzi mtakatifu wa yasiyowezekana na anaabudiwa kwa maombezi ya magonjwa yasioponyeka, kinyume na ndoa au kitu kama hicho.[41] Mlinzi mtakatifu wa wasafiri alikuwa ni Mtakatifu Christopher, ambaye aliabudiwa na wasafiri ili awape ulinzi hadi mwaka 1969, pale alipofutwa rasmi na kuwa nje ya orodha ya watakatifu kwa mujibu wa amri ya kipapa, baada ya kuthibitishwa kwamba alikuwa ni[42] wa uongo. Ingawa alifutwa rasmi na kuwa nje ya orodha ya watakatifu, kuna Wakatoliki wengi duniani leo hii wanaomwabudu Mtakatifu Christopher. Kuwaabudu ‘watakatifu’ kunapingana na kufisidi kumwabudu Mungu Mmoja; na ni kazi bure, kwa sababu si aliye hai wala mfu awezaye kujibu maombi ya wanadamu. Kumwabudu Mungu hakutakiwi kuwe na kumshirikisha na viumbe vyake kwa njia, umbo au mfumo wowote ule, kwa mazingatio haya, Allah amesema yafuatayo katika Sura Al-Aaraaf 7:194:
"إِنَّ الَّذِينَ تَدْعُونَ مِن دُونِ اللّهِ عِبَادٌ أَمْثَالُكُمْ..."​
"Hakika hao mnaowaomba kinyume na Mwenyezi Mungu ni waja mfano wenu nyinyi..." Al-Aaraaf 7:194 Huu ndio uliokuwa ujumbe wa Yesu Kristo na mitume yote wa kabla yake. Vilevile ulikuwa ndio ujumbe wa mtume wa mwisho, Muhammad - Rehema na amani ziwe juu yao wote. Kwa hiyo, kama Mwislamu au mtu anayejiita Mwislamu atamwabudu mtakatifu, atakuwa ashatoka nje ya mipaka ya Uislamu. Uislamu si imani tu, ambapo mtu anatakiwa aeleze kuwa yeye anaamini kuwa hakuna Mola anayestahiki kuabudiwa ispokuwa Allah, na Muhammad alikuwa ni mtume wa mwisho, ili kuingia peponi. Hili tangazo la imani linamruhusu mtu anayelitangaza kuingia mlango wa Uislamu, lakini kuna matendo yanayoweza kupingana na tangazo hilo na kumwondosha mtendaji kutoka katika Uislamu punde tu anapolitenda. Tendo hatari mno miongoni mwa hayo ni kuabudu kitu kingine zaidi ya Mungu. [h=3]Mwislamu sio “Mmuhammadi”[/h] Kwa kuwa dini ya Yesu, na hivyo hivyo kwa mitume yote ya mwanzo, ilikuwa ni dini ya kumtii Mungu, ijulikanayo kwa Kiarabu kama Uislamu, wafuasi wake wa kweli wanapaswa waitwe watiifu wa Mungu, wakijulikana kwa Kiarabu kama Waislamu. Katika Uislamu, sala-dua inazingatiwa kuwa ni tendo la kuabudu. Mtume Muhammad (SAW) ameripotiwa akisema, “Dua ni ibada”.[43] Kwa hiyo, Waislamu hawakubali kuitwa Wamuhammadi, kama ilivyo kwa wafuasi wa Kristo wanavyoitwa Wakristo na wafuasi wa Budha wanaitwa Mabudha. Wakristo wanamwabudu Kristo na Mabudha wanamwabudu Budha. Neno Wamuhammadi linaashiria kuwa Waislamu wanamwabudu Muhammadi, kitu sicho kabisa. Katika Quran, Mungu amelichagua jina Mwislamu kwa kila anayemfuta mtume kikweli kweli. Jina Mwislamu kwa Kiarabu linamaanisha “anayetii matakwa ya Mungu.”
"... هُوَ سَمَّاكُمُ الْمُسْلِمينَ مِن قَبْلُ وَفِي هَذَا..."​
"Yeye (Mwenyezi Mungu) alikuiteni Waislamu tangu zamani, na katika hii (Qur'ani) pia." Al-Hajj 22:78.
Kwa hiyo, kiini cha ujumbe wa Yesu kilikuwa hivi, mtu anatakiwa amwabudu Mungu peke yake. Hapaswi kuabudiwa kwa kupitia viumbe wake kwa njia yoyote ile. Hivyo, picha yake isichapishwe, isichongwe wala kuchorwa. Yeye yupo nje ya ufahamu wa binadamu. [h=3]Masanamu[/h] Yesu hakufumbia macho matendo ya wapagani ya kujiundia masanamu ya Mungu. Yeye alisisitiza katazo lililotajwa katika Torati, Kutoka 20 mstari wa 4: “Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia." Hivyo, matumizi ya masanamu ya kidini, alama za kuombwa,[44] yalipingwa vikali na kizazi cha kwanza cha wasomi Wakristo. Hata hivyo, katika kipindi cha, tamaduni za Kigiriki na Kirumi za kuunda sanamu na picha za Mungu kwa mfumo wa mwanadamu, hatimaye ulishinda. Katazo ni la kuzuia hatima ya kuzorota kumwabudu Mungu na kuwaabudu viumbe vyake. Mwanadamu akiweka picha ya Mungu akilini mwake, huyo mtu, kwa hakika, anajaribu kumfanya Mungu awe kama viumbe wake, kwa sababu akili ya mwanadamu inaweza kuvuta taswira vitu ilivyoviona, na Mungu haonekani katika maisha haya. Wakristo wakiwa na utamaduni wa kuabudu kwa kupitia masanamu mara nyingi wanauliza vipi Mungu aweze kuabudiwa bila ya kumuona. Mungu anapaswa kuabudiwa kwa kuegemea elimu ya kujua sifa zake alizozifunua katika vitabu sahihi. Kwa mfano, Allah anajieleza yeye mwenyewe katika Quran kuwa yeye ni Mwenye rehema, kwa hiyo, Wanaomwabudu wanatakiwa waonyeshe rehema nyingi za Mungu na kumshukuru Mungu kwa rehema hizo. Pia wanapaswa kutafakari juu ya tabia ya rehema zake kwao na kuonyesha rehema kwa watu wengine. Hivyo hivyo, Mungu anajitambulisha kuwa yeye ni Msamehevu, kwa hiyo wanaomwabudu wanatakiwa wamgeukie na kutubu na wasikate tamaa wanapofanya madhambi. Pia wanatakiwa waheshimu msamaha wa Mungu kwa kuwa wasamehevu kwa watu wengine. [h=3]Utabiri [/h] Sehemu mojawapo ya ujumbe wa Nabii Yesu ilikuwa ni kuwafahamisha wafuasi wake juu ya nabii atakayekuja baada yake. Kama vile Yohana Mbatizaji alipobashiri ujio wa Yesu Kristo, naye Yesu alitabiri kuja kwa nabii wa mwisho wa Mungu, Muhammad. Katika Quran, Sura ya As-Swaff 61:6, Mungu ananukuu utabiri wa Yesu juu ya Muhammad (SAW). "وَإِذْ قَالَ عِيسَى ابْنُ مَرْيَمَ يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ إِنِّي رَسُولُ اللَّهِ إِلَيْكُم مُّصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيَّ مِنَ التَّوْرَاةِ وَمُبَشِّرًا بِرَسُولٍ يَأْتِي مِن بَعْدِي اسْمُهُ أَحْمَدُ..." "Na Isa bin Mariamu aliposema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, ninayethibitisha yaliyokuwa kabla yangu katika Taurati, na mwenye kubashiria kuja Mtume atakayekuja baada yangu; jina lake ni Ahmad…" As-Swaff 61:6[45] Pia kuna baadhi ya marejeo katika Injili yanayoonekana kuwa yanaonyesha kuja kwa Mtume Muhammad – Rehema na amani ziwe kwa mitume wote. Katika Injili, kwa mujibu wa Yohana 14:16, Yesu ananukuliwa akisema, “Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele.”.[46] Walei wa Kikristo kikawaida wanamfasiri "Msaidizi" aliyetajwa katika Yohana 14:16 kuwa ni Roho Mtakatifu.[47] Hata hivyo, ibara "Msaidizi mwingine" inadokeza kuwa huyo atakuwa ni mtu mwingine aliye kama Yesu na sio Roho Mtakatifu, [48] hasa hasa ukizingatia Yohana 16:7, pale Yesu anaporipotiwa kuwa amesema, “Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke; kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda zangu, nitampeleka kwenu.” Neno "Msaidizi" haliwezi kumwonyesha Roho Mtakatifu kwa hapa, kwa sababu – kwa mujibu wa Injili - Roho Mtakatifu tayari ameshakuwepo duniani kabla ya Kuzaliwa Yesu,[49] pia wakati wa unabii wake.[50] Mstari huu unaashiria kuwa "Msaidizi" bado hajaja. Tangazo la Yesu ni kuwa mtume "Msaidizi" atakuwa nanyi milele" lingepaswa kutafsiriwa na kumaanisha kuwa kutakuwa hakuna haja ya mitume ya ziada ili kumfanya afanikiwe huyo Msaidizi. Naye atakuwa Mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu, na ujumbe wake utalindwa mpaka mwisho wa Dunia.[51] Utabiri wa Yesu kwa ujio wa Muhammad – Mungu awarehemu wote wawili – unauthibitisha utabiri wa Muhammad (SAW) katika Torati. Katika Kumbukumbu la Torati 18:18 na 19, imeandikwa kuwa Bwana alimwambia Musa, “Mimi nitawaondokeshea nabii miongoni mwa ndugu zao[52] mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake,[53] naye atawaambia yote nitakayomwamuru. Hata itakuwa, mtu asiyesikiliza maneno yangu atakayosema yule kwa jina langu,[54] nitalitaka kwake.” Katika Isaya 42:1, Isaya anatabiri juu ya mteule "Mtumishi wa Bwana" ambaye kazi yake ya utume itakuwa kwa watu wote, kinyume na manabii wa Kiisraeli ambao kazi zao zilifungika kwa waisraeli tu. “Tazama mtumishi wangu nimtegemezaye; mteule wangu, ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake; naye atawatolea mataifa hukumu… Hatazimia, wala hatakata tama, hata atakapoweka hukumu duniani; na visiwa vitaingojea sheria yake… Jangwa na miji yake na ipaze sauti zao, Vijiji vinavyokaliwa na Kedari…” Huyu mtumishi wa kipekee wa Bwana ni yule aliyetambulishwa kuwa ni Kedar,[55] yaani Warabu.
[h=3]Sura ya Nne: Njia[/h] Kipengele kingine cha ujumbe wa Nabii Yesu kilikuwa ni mwaliko wake wa kuwaalika watu wafuate njia yake. Mitume ilileta sheria au kuendeleza zile zilizoletwa na mitume iliyopita, na kuwaalika watu wamwabudu Mungu kwa kutii sheria takatifu zilizofunuliwa. Wao, pia wanafafanua kimatendo kwa wafuasi wao vipi mtu ataishi kisheria. Hivyo, hao mitume, vilevile wanawaalika wale wote wanaowamini wao wafuate njia zao zikiwa ndio njia sahihi za kumkaribia Mungu. Msingi huu umewekwa katika Injili kwa mujibu wa Yohana 14:6: “Yesu akawaambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.” Ingawa wale wanaomwabudu Yesu kwa kawaida wananukuu mstari huu ukiwa ni sehemu ya ushahidi ya uungu wake, lakini Yesu hajawaita watu wamwabudu yeye badala ya Mungu, au kama Mungu. Kama maneno haya kwa ukweli kabisa yametamkwa na Yesu, yanamaanisha kuwa mtu haruhusiwi kumwabudu Mungu ispokuwa kwa kutumia njia iliyofafanuliwa na manabii wa Mungu. Yesu ametia mkazo kwa wanafunzi wake kuwa wanatakiwa wamwabudu Mungu kwa njia ile aliyowafundisha. Katika Quran, Sura Al-Imran 3:31, Mungu anamwelekeza Mtume Muhammad (SAW) awafundishe wanadamu wamfuate kama kweli wanampenda Mungu:
"قُلْ إِن كُنتُمْ تُحِبُّونَ اللّهَ فَاتَّبِعُونِي يُحْبِبْكُمُ اللّهُ وَيَغْفِرْ لَكُمْ ذُنُوبَكُمْ وَاللّهُ غَفُورٌ رَّحِيمٌ"​
"Sema: Ikiwa nyinyi mnampenda Mwenyezi Mungu basi nifuateni mimi, Mwenyezi Mungu atakupendeni na atakufutieni madhambi yenu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kufuta madhambi na Mwenye kurehemu." Al-Imran 3:31 Njia ya manabii ni njia ya pekee kuelekea kwa Mungu, kwa sababu Mungu Mwenyewe ameifanya iwe sheria, na lengo la mitume lilikuwa ni kufikisha mafundisho ya Allah kwa wanadamu. Bila ya manabii, watu wasingejua namna ya kumwabudu Allah. Hivyo, mitume yote iliwafahamisha wafuasi zao namna ya kumwabudu Mungu. Kinyume chake, kuongeza chochote katika dini iliyoletwa na mitume ni makosa. Badiliko lolote litakalofanywa katika dini baada ya kipindi cha mitume litamaanisha kupotoka kulikofunuliwa na Shetani. Kwa mazingatio haya, Mtume Muhammad (SAW) ameripotiwa akisema: "Atakayezusha kitu katika dini yetu, kitu ambacho sio katika dini yetu, basi kitu hicho kinarudishwa." Imepokewa na Bukharin na Muslim."[56] Zaidi, mtu yeyote anayemwabudu Allah kinyume na mafundisho ya Yesu, atakuwa anaabudu bure. [h=3]Njia ya Yesu[/h] Kwanza na kabla ya yote, lazima itambulike kuwa Yesu Kristo, mwana wa Mariamu, alikuwa ni wa mwisho katika orodha ya manabii wa Kiisraeli. Aliishi kwa mujibu wa Torati, na sheria ya Musa, na aliwafundisha wafuasi zake wafanye hivyo hivyo. Katika Mathayo 5:17-18, Yesu ameeleza: “Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua Torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kuitimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie.” Kwa bahati mbaya, kiasi cha miaka mitano baada ya kuisha kwa uchungaji wa Yesu, Rabbi kijana kwa jina la Sauli wa Tarsus, aliyedai kuwa amemuona Yesu katika maono, alianza kubadilisha njia ya Yesu. Paulo (jina lake kwa Kirumi) alikuwa na heshima kubwa kwa falsafa ya Kirumi na alizungumza kwa ufahari kwa kuwa na uraia wa Roman. Imani yake ilikuwa ni kuwa wasio-Wayahudi walioingia Ukristo wasibebeshwe mzigo wa Torati kwa hali yoyote ile. Mtunzi wa Matendo 13:39 anamnukuu Paulo akisema, “Na kwa yeye kila amwaminiye huhesabiwa haki katika mambo yale yote asiyoweza kuhesabiwa haki kwa Torati ya Musa.” Kimsingi ilikuwa ni kwa kupitia juhudi za Paulo ndipo kanisa lilipoanza kufuata mkondo wa tabia za wasio-Wayahudi. Paulo[57] ameandika barua (nyaraka), nyingi za Agano Jipya zinazokubaliwa na kanisa zikiwa ni kama mafundisho rasmi ya kiitikadi na Kitabu kilichofunuliwa. Nyaraka hizo hazikuilinda Injili ya Yesu wala hata kuiwakilisha;[58] badala yake amegeuza mafundisho ya Kristo kuwa ya falsafa ya Kihelleniki (Graeco-Roman). Ifuatayo ni baadhi ya mifano ya mafundisho aliyoyafuata nabii Yesu na kuyafundisha, lakini baadaye yaliachwa na Kanisa. Hata hivyo, mengi miongoni mwa mafundisho hayo yalifufuliwa katika ujumbe wa mwisho wa Uislamu ulioletwa na Mtume Muhammad (SAW) na yakaendea kubakia kuwa ni sehemu ya msingi katika matendo ya dini ya Kiislamu hadi leo hii. [h=3]Kutahiri[/h] Yesu alitahiriwa. Kwa mujibu wa Agano la Kale, mapokeo haya yalianzia na Mtume Ibrahimu, ambaye yeye mwenyewe hakuwa Myahudi wala Mkristo. Katika Mwanzo 17:10-13, imeandikwa, “Hili ndilo agano langu utakalolishika, kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, Kila mwanamume wa kwenu atatahiriwa. Mtatahiriwa nyama ya magovi yenu, na jambo hilo litakuwa ishara ya agano kati ya mimi na nyinyi. Mtoto wa siku nane atatahiriwa kwenu, kila mwanamume katika vizazi vyenu, mzaliwa nyumbani, na mnunuliwa kwa fedha, kila mgeni asiyekuwa wa uzao wako. Mzaliwa nyumbani mwako, na mnunuliwa na fedha yako, lazima atahiriwe; na agano langu litakuwa katika mwili wenu, kuwa agano la milele.” Katika Injili kwa mujibu wa Luka 2:21: “Hata zilipotimia siku nane za kumtahiri, aliitwa jina lake Yesu; kama alivyoitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.” Kwa hiyo, kutahiriwa ilikuwa ni sehemu ya njia ya Yesu. Hata hivyo, leo hii Wakristo wengi hawajatahiriwa, kwa sababu ya mantiki iliyoletwa na Paulo. Yeye alidai kuwa kutahiriwa kulikuwa ni kutahiriwa kwa moyo. Katika waraka wake kwa Warumi 2:29, ameandika: “Bali yeye ni Myahudi aliye Myahudi kwa ndani; na tohara ni ya moyo, katika roho, si katika andiko;..." Na katika waraka wake kwa Wagalatia 5:2, ameandika “Tazama, mimi Paulo nawaambia ninyi ya kwamba, mkitahiriwa, Kristo hatawafaidia neno[59] Hii ni tafsiri isiyo ya kweli ya Paulo. Kwa upande mwingine, Yesu hakutahiriwa moyoni wala hajasema lolote juu ya kutahiriwa moyoni; yeye aliliendeleza "agano la milele" na alitahiriwa katika nyama. Kwa hiyo, sehemu muhimu ya kufuata njia ya Yesu ni kutahiriwa. Mtume Muhammad (SAW) amenukuliwa akisema: "Mambo matano ni katika maumbile,[60] kutahiri, kunyoa nywele za sehemu za siri, kunyoa nywele za kwapani, kukata kucha, na kupunguza masharubu." Imepokewa na Bukharin na Muslim." [61] [h=3]Nguruwe[/h] Yesu hajakula nguruwe. Alifuata sheria za Musa na hakula nguruwe. Katika Walawi 11:7-8, “Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi, kwenu, msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.”[62] Yesu alishughulika na nguruwe pale tu, alipowaruhusu pepo wabaya waliomwingia mtu wawaingie nguruwe. Na walipoliingia kundi la nguruwe, hao nguruwe walikimbilia kwenye maji na kuzama. Hata hivyo, watu wengi wanaojiita Wakristo leo hii sio tu wanakula nguruwe, lakini pia wanampenda sana kiasi cha kumfanya nguruwe kuwa mada ya wimbo wa chekechea [mfano wimbo: Huyu Nguruwe Mdogo alienda sokoni…] na hadithi za watoto [mfano: Nguruwe Wadogo Watatu]. Nguruwe na Nyama ya nguruwe ni wahusika mashuhuri wa katuni, na hivi karibuni hadithi ya sinema ndefu imetayarishwa kuhusu nguruwe aitwaye "Babe". Kwa hiyo, inawezekana kusema kuwa wale wanaojiita ni wafuasi wa Kristo kwa hakika hawafuati njia ya Kristo. Katika sheria ya Kiislamu, kuharamishwa kwa nguruwe na mazao yake kumetekelezwa kwa nguvu tangu wakati wa Mtume Muhammad (SAW) hadi leo hii. Katika Quran, Sura ya Al-Baqarah 2:173, Mungu anasema: "إِنَّمَا حَرَّمَ عَلَيْكُمُ الْمَيْتَةَ وَالدَّمَ وَلَحْمَ الْخِنزِيرِ وَمَا أُهِلَّ بِهِ لِغَيْرِ اللّهِ فَمَنِ اضْطُرَّ غَيْرَ بَاغٍ وَلاَ عَادٍ فَلا إِثْمَ عَلَيْهِ إِنَّ اللّهَ غَفُورٌ رَّحِيمٌ" "Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilichotajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiyekuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliyefikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu." Al-Baqarah 2:173 [63] [h=3]Damu [/h] Pia, Yesu hakula kitu chochote cha damu, wala hajakula damu. Mungu amenukuliwa akimfundisha Mtume Musa katika Torati, Kumbukumbu la Torati 12:16, “Lakini msiile damu; imwageni juu ya nchi kama maji.”. Na katika Lawi 19:26, “Msile kitu cho chote pamoja na damu yake; wala msifanye kuloga, wala kutumia utambuzi.” Katazo hili limelindwa hadi leo hii katika ufunuo wa mwisho katika Sura Al-Anaam 6:145 "قُل لاَّ أَجِدُ فِي مَا أُوْحِيَ إِلَيَّ مُحَرَّمًا عَلَى طَاعِمٍ يَطْعَمُهُ إِلاَّ أَن يَكُونَ مَيْتَةً أَوْ دَمًا مَّسْفُوحًا أَوْ لَحْمَ خِنزِيرٍ فَإِنَّهُ رِجْسٌ..." "Sema: Sioni katika yale niliyofunuliwa mimi kitu kilichoharimishwa kwa mlaji kukila isipokuwa kiwe ni nyamafu, au damu inayomwagika, au nyama ya nguruwe, kwani hiyo ni uchafu;…" Al-Anaam 6:145 Hivyo, ibada maalum ya kuchinja ilifanywa iwe sheria na Mungu kwa mataifa yote yaliyopelekewa mitume, ili kuhakikisha kuwa damu nyingi inaondoshwa kwa ufanisi kutoka kwa mnyama aliyechinjwa na kumkumbusha mwanadamu fadhila za Mungu. Quran inataja mafundisho haya katika sura ya Al-Hajji 22:34 kama ifuatavyo: "وَلِكُلِّ أُمَّةٍ جَعَلْنَا مَنسَكًا لِيَذْكُرُوا اسْمَ اللَّهِ عَلَى مَا رَزَقَهُم مِّن بَهِيمَةِ الْأَنْعَامِ..." "Na kila umma tumewafanyia mahala pa kuchinjia mihanga ya ibada ili walitaje jina la Mwenyezi Mungu juu ya vile walivyoruzukiwa katika wanyama wa mifugo…" Al-Hajji 22:34 Yesu na wafuasi wake wa kwanza waliuona mfumo mkamilifu wa kuchinja kwa kutaja jina la Mungu na kukata mishipa ya shingo ya mnyama akiwa hai ili kuuruhusu moyo usukume nje damu. Hata hivyo, Wakristo wa leo hii hawaambatanishi sana umuhimu wa mfumo wa kuchinja kikamilifu, kama ulivyofanywa sheria na Mungu. [h=3]Kilevi (pombe)[/h] Yesu aliitoa nafsi yake kwa ajili ya Mungu na kwa hiyo alijizui na vinjwaji vya kulevya kwa mujibu wa mafundisho yaliyorekodiwa katika Hesabu 6:1-4 “Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia, Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Mtu mume au mke atakapoweka nadhiri kubwa, nadhiri ya Mnadhiri, ili ajiweke wakfu kwa BWANA; atajitenga na divai na vileo; hatakunywa siki ya divai, wala siki ya kileo, wala asinywe maji yoyote ya zabibu, wala asile zabibu mbichi wala zilizokauka. Siku zote za kujitenga kwake asile kitu cho chote kilichoandaliwa kwa mzabibu, tangu kokwa hata maganda." ”.[64] Katika Quran, Sura Al-Maaidah 5:90, Allah anaharamisha kileo bila kubadilika. "يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالأَنصَابُ وَالأَزْلاَمُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ" "Enyi mlio amini! Bila ya shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa." Al-Maaidah 5:90 Na ule muujiza wa 'kugeuza maji yawe pombe',[65] unaopatika katika Injili ya Yohana tu, na ambao mtiririko wake unapingana na Injili nyingine. Kama ilivyotajwa mwanzoni, Injili ya Yohana ilipingwa ikiwa kama uasi katika kanisa la kwanza,[66] huku Injili tatu zilizobakia zimetajwa kama ni muhtasari wa Injili kwa sababu maandiko yaliyomo ni sawa na matendo ya maisha ya Yesu.[67] Hivyo, wasomi wa Agano Jipya wameonyesha shaka juu ya uhalisia wa utunzi wa tukio hili. [h=3]Udhu kabla ya Kusali[/h] Kabla ya kusali kikawaida, Yesu aliosha viungo vyake kwa mujibu wa mafundisho ya Torati. Musa na Haruna wamenukuliwa wakifanya hayo hayo katika Kutoka 40:30-31, “Akaliweka birika kati ya hema ya kukutania na madhabahu, akatia maji ndani yake ya kuoshea. Musa na Haruni, na wanawe wakanawa mikono yao na miguu yao ndani yak.” Katika Quran, Sura Al-Maaidah, 5:6, udhu kwa ajili ya sala umefanywa kuwa ni sheria na lazima kama ifuatavyo: "يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ إِذَا قُمْتُمْ إِلَى الصَّلاةِ فاغْسِلُواْ وُجُوهَكُمْ وَأَيْدِيَكُمْ إِلَى الْمَرَافِقِ وَامْسَحُواْ بِرُؤُوسِكُمْ وَأَرْجُلَكُمْ إِلَى الْكَعْبَينِ..." "Enyi mlioamini! Mnaposimama kwa ajili ya Sala basi osheni nyuso zenu, na mikono yenu mpaka vifundoni, na mpake vichwa vyenu, na osheni miguu yenu mpaka vifundoni…" Al-Maaidah, 5:6 [h=3]Kusujudi katika Sala[/h] Yesu ameelezwa katika Injili kuwa amesujudi alipokuwa akisali. Katika Mathayo 26:39, mtunzi anaeleza tukio lililotokea pale Yesu alipoenda na wanafunzi wake hadi Gethsemane: “Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akasema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utavyo wewe.” Wakristo wa leo hii wanapiga magoti, wanakutanisha viganja vyao, katika mkao ambao hauwezi kuwa ndio sheria ya Yesu. Mfumo wa kusujudu katika sala uliofuatwa na Yesu haukuwa wa kujifanyia mwenyewe. Ulikuwa ndio mtindo wa sala wa manabii wa kabla yake. Katika Agano la Kale, Mwanzo 17:3, Nabii Ibrahimu anarekodiwa kuwa alianguka juu ya uso wake katika sala; katika Hesabu 16:22 na 20:6, wote wawili Musa na haruna wamerekodiwa kuwa wameanguka juu ya nyuso zao katika kuabudu; katika Yoshua 5:14 na 7:6, Yoshua alianguka juu ya uso wake ardhini na aliabudu; katika 1 Wafalme 18:42, Eliya alisujudu ardhini na kuweka uso wake kati ya magoti yake. Hii ilikuwa njia ya mitume ambayo kupitia kwao Mungu amechagua kufikisha neno Lake duniani; na kwa njia hii tu, wale wote wanaodai kumfuata Yesu watapata uwokovu aliouhubiri katika Injili. Sura ya Al-Insaan 76:25-6, ni mfano mmoja tu katika mifano mingi ya Quran juu ya mafundisho ya Mungu kwa waumini wasujudu wanapomuabudu. "وَاذْكُرِ اسْمَ رَبِّكَ بُكْرَةً وَأَصِيلًا، وَمِنَ اللَّيْلِ فَاسْجُدْ لَهُ وَسَبِّحْهُ لَيْلًا طَوِيلًا" "Na likumbuke jina la Mola wako Mlezi asubuhi na jioni; Na usiku msujudie Yeye, na umtakase usiku, wakati mrefu." Al-Insaan 76:25-6 [h=3]Hijabu[/h] Wanawake waliomzunguka Yesu walivaa hijabu kulingana na matendo ya wanawake waliokuwa karibu na mitume ya mwanzo. Nguo zao zilikuwa ni pana na za kufunika mwili wao wote, na walivaa ushungi unaofunika nywele zao. Katika Mwanzo 24:64-5: “Rebeka akainua macho, naye alipomwona Isaka, alishuku juu ya ngamia. Akamwambia mtumishi, Ni nani mtu huyu ajaye kondeni kutulaki? Mtumishi akasema, Huyu ndiye bwana wangu. Basi akatwa shela yake akajifumika Paulo ameandika katika waraka wake kwa 1 Wakorinto 11:5-6, “Bali kila mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunikwa kichwa, yuaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa. Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.” Kuna wanaoweza kupinga na kudai kuwa hilo lilikuwa ni mila ya wakati huo kujifunika mwili mzima. Hata hivyo, hiyo sio hoja. Katika sehemu zote Roma na Ugiriki, ambao utamaduni wao ndio ulikuwa ukiongoza eneo hilo, vazi la wengi lilikuwa ni fupi hasa na kuonyesha mikono, miguu, na kifua. Ni wanawake wa Kipalestna wanaofuata dini tu, wakifuata mapokeo ya Kiyahudi, ndio waliojifunika kwa kujistiri. Kwa mujibu wa Rabbi Dr. Menachem M. Brayer (Profesa wa Biblical Literature wa Chuo Kikuu cha Yeshiva), Ilikuwa ni mila kuwa wanawake wa Kiyahudi kutoka nje kwenye watu wengi wakiwa wamefunika vichwa, na wakati mwingine wanafunika uso mzima, na kuacha jicho moja tu.[68] Ameendelea kueleza zaidi kuwa "katika kipindi cha Tannaitic, mwanamke wa Kiyahudi atakayeshindwa kufunika kichwa chake alichukuliwa kuwa anafedhehesha utu wake. Na kichwa chake kinapokuwa kimefunuka anapaswa apigwe faini ya zumzim mia kwa kosa hilo.[69] Mwanatiolojia mashuhuri wa Kikristo wa mwanzo, Mtakatifu Tertullian (d. 220 CE), katika pendekezo lake maarufu, 'Juu ya Hijabu ya Mabikira' ameandika, "Wasichana, vaeni hijabu zenu nje huko mitaani, pia mzivae kanisani; mzivae mnapokuwa na wageni, kisha zivaeni mkiwa na kaka zenu…" Miongoni mwa sheria za kanisa la Katoliki hadi leo hii, kuna sheria inayowataka wanawake wafunike vichwa vyao wakiwa kanisani.[70] Madhehebu ya Kikristo, kama vile Waamish na Wamenonites, wanawake wao waneendelea kuvaa hijabu hadi leo. Katika Quran, Sura An-Nuur 24:31, waumini wanawake wanaagizwa wafunike mapambo yao na wavae hijabu kichwani na vifuani mwao. "وَقُل لِّلْمُؤْمِنَاتِ يَغْضُضْنَ مِنْ أَبْصَارِهِنَّ وَيَحْفَظْنَ فُرُوجَهُنَّ وَلَا يُبْدِينَ زِينَتَهُنَّ إِلَّا مَا ظَهَرَ مِنْهَا وَلْيَضْرِبْنَ بِخُمُرِهِنَّ عَلَى جُيُوبِهِنَّ..." "Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao, na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipokuwa unaodhihirika. Na waangushe shungi zao juu ya vifua vyao, …" An-Nuur 24:31 Katika Sura ya Al-Ahzaabu 33:59, lengo la kuvaa hijabu limetolewa. Allah anaeleza kuwa hijabu inawafanya waumini wanawake wajulikane katika jamii na kupata kinga dhidi ya uwezekano wa kudhuriwa na jamii. [h=3]Salamu[/h] Yesu aliwasalimia wafuasi zake kwa kusema, "Amani iwe kwenu". Katika Sura 20:19, mtunzi asiyejulikana wa Injili ya Yohana ameandika yafuatayo kuhusu Yesu baada ya dai la kusulubiwa: “Akaja Yesu, akasimama katikati akawaambia, Amani iwe kwenu Salamu hii ilikuwa ni kama zile za manabii, kama ilivyotajwa katika vitabu vya Agano la Kale. Kwa mfano, katika 1 Samweli 25:6, Nabii Daudi amewaaagiza wajumbe aliowapeleka kwa Nabal: “Na hivi ndivyo mtakavyomwambia huyu aishiye salama, Amani iwe kwenu”. Quran inawaagiza wale wote wanaoingia katika majumba watoe salamu ya amani;[71] na wale watakaoingia Peponi watasalimiwa hivyo hivyo na malaika.[72] Katika Sura Al-Anaam 6:54, Mungu anawaagiza waumini wasalimiane wao kwa wao kwa amani:
"وَإِذَا جَاءكَ الَّذِينَ يُؤْمِنُونَ بِآيَاتِنَا فَقُلْ سَلاَمٌ عَلَيْكُمْ..."​
"Na wanapokujia wanaoziamini Ishara zetu waambie: Assalamu alaikum! Amani iwe juu yenu!..." Al-Anaam 6:54 [h=3]Zaka [/h] Yesu aliimarisha taasisi ya zaka za lazima, ijulikanayo kama "moja ya kumi", iliyokuwa inachukuliwa kutoka katika mavuno ya kila mwaka na kurejeshwa kwa Mungu kwa sherehe. Katika Kumbukumbu la Torati 14:22: “Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka.” Katika Sura ya sita, Al-Anaam, aya ya 141, Mungu anawakumbusha waumini walipe zaka wakati wa mavuno: "وَهُوَ الَّذِي أَنشَأَ جَنَّاتٍ مَّعْرُوشَاتٍ وَغَيْرَ مَعْرُوشَاتٍ وَالنَّخْلَ وَالزَّرْعَ مُخْتَلِفًا أُكُلُهُ وَالزَّيْتُونَ وَالرُّمَّانَ مُتَشَابِهًا وَغَيْرَ مُتَشَابِهٍ كُلُواْ مِن ثَمَرِهِ إِذَا أَثْمَرَ وَآتُواْ حَقَّهُ يَوْمَ حَصَادِهِ وَلاَ تُسْرِفُواْ إِنَّهُ لاَ يُحِبُّ الْمُسْرِفِينَ" "Na Yeye ndiye aliyeziumba bustani zenye kutambaa juu ya chanja, na zisizotambaa, na mitende, na mimea yenye matunda mbalimbali, na mizaituni na mikomamanga inayofanana na isiyofanana. Kuleni matunda yake inapozaa, na toeni haki yake siku ya kuvunwa kwake. Wala msitumie kwa fujo. Hakika Yeye hawapendi watumiayo kwa fujo." Al-Anaam 6:141[73] Mfumo wa zaka (kwa Kiarabu, zakaah) umepangwa vizuri, kwa viwango tofauti tofauti kwa pesa na vito vya thamani na vile vya mazao ya kilimo na mifugo. Pia, wote wanaofaa kuipokea wametambulishwa kwa uwazi katika Quran, Sura ya At-Tawbah 9:60. kimsingi inagawanywa miongoni mwa makundi mbalimbali ya maskini na haitumiki katika kuwapa maisha ya anasa viongozi wa kidini. [h=3]Kfunga[/h] Kwa mujibu wa Injili, Yesu alifunga kwa siku arobaini. Mathayo 4:2 “Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho akaona njaa.”.[74] Hili lilikuwa linalingana na matendo ya manabii wa mwanzo. Pia Musa amerekodiwa katika Kutoka 34:28, kuwa alifunga: “Naye alikuwa huko pamoja na BWANA siku arobaini na masiku yake; hakula chakula, wala hakunywa maji. Naye akaandika katika hizo mbao, hayo maneno ya maagano, hizo amri kumi.” Katika Quran, Sura Al-Baqarah 2:183, waumini wameagizwa watekeleze funga.
"يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ كُتِبَ عَلَيْكُمُ الصِّيَامُ كَمَا كُتِبَ عَلَى الَّذِينَ مِن قَبْلِكُمْ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ"​
"Enyi mlioamini! Mmeandikiwa Saumu, kama waliyoandikiwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kumcha mungu." Al-Baqarah 2:183 Lengo la kufunga limefafanuliwa kwa uwazi nalo ni kendeleza uchamungu. Ni Mungu pekee ajuaye ni nani afungaye kweli na nani hafungi. Hivyo, mfungaji anajizuia na kula, kunywa kwa kutegemea Mungu yu macho. Funga inanyanyua mwamko unaopelekea kupenda sana mema. Waumini wanapaswa wafunge kuanzia alfajiri hadi kuzama kwa jua katika mwezi mzima wa Ramadhani (mwezi wa tisa wa kalenda ya Kiislmamu ya miezi miandamo). Mtume Muhammad (SAW) pia amesema, "Hakika ya funga bora ni funga ya Daudi, alikuwa akifunga siku moja na kufungulia inayofuata." [75] [h=3]Riba[/h] Kwa kukamata sheria, Nabii Yesu pia alipinga kutoa au kupokea riba kwa sababu maandiko ya Torati yanakataza vikali riba. Imenukuliwa katika kumbukumbu la torati 23:19 kuwa, “Usimkopeshe ndugu yako kwa riba; riba ya fedha, riba ya vyakula,[76] riba ya kitu cho chote kikopeshwacho kwa riba;"[77] Pia riba imekatazwa vikali katika sura Al-Baqarah 2:278 ya Quran: "يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ اتَّقُواْ اللّهَ وَذَرُواْ مَا بَقِيَ مِنَ الرِّبَا إِن كُنتُم مُّؤْمِنِينَ" "Enyi mlioamini! Mcheni Mwenyezi Mungu, na acheni riba zilizobakia, ikiwa nyinyi ni Waumini." Al-Baqarah 2:278 Ili kukamilisha takwa hili la Mwenyezi Mungu, Waislamu wamendeleza mfumo mbadala wa Benki, kwa kawaida unajulikana kama 'Benki ya Kiislamu', isiyo na riba. [h=3]Mitala (wake wengi)[/h] Hakuna rekodi zinazoonyesha kuwa Nabii Yesu anapinga mitala. Na kama alifanya hivyo, ingeonyesha kuwa analaani matendo ya manabii waliotangulia kabla yake. Kuna mifano mingi ya ndoa za mitala miongoni mwa manabii iliyorekodiwa katika Torati. Nabii Ibrahimu alikuwa na wake wawili, kwa mujibu wa Mwanzo 16:3: “Sarai mkewe Abramu akamtwaa Hajiri Mmisri mjakazi wake, baada ya kukaa Abramu katika nchi ya Kanaani miaka kumi, akampa Abramu mumewe, awe mkewe.” Pia Nabii Daudi, kwa mujibu wa kitabu cha kwanza cha Samweli 27:3, “Daudi akakaa huko Gathi pamoja na Akishi, yeye na watu wake, kila mtu na watu wa nyumbani mwake; Daudi naye alikuwa na wakeze wawili, Ahinoamu wa Yezreeli, na Abigaili wa Karmeli, aliyekuwa mkewe Nabali.” Katika 1 Wafalme 11:3, Suleimani inasemwa kuwa alikuwa na “…wake mia saba binti za kifalme, na masuria mia tatu; nao wakeze wakamgeuza moyo.” Mototo wa Suleimani, Rehobo'am, pia alikuwa na idadi kubwa ya wake, kwa mujibu wa 2 Nyakati 11:21, “Rehoboamu akampenda Maaka binti Absalomu kuliko wakeze wote na masuria yake; (maana alioa wake kumi na wanane, na masuria sitini, akazaa wana ishirini na wanane na binti sitini).” Kwa hakika, Torati inafafanua sheria ya kugawa mirathi katika hali za mitala. Katika Kumbukumbu la Torati 21:15-16, sheria inasema: “Ikiwa mtu yuna wake wawili, mmoja ampenda, mmoja hampendi, nao wamemzalia watoto, ampendaye na asiyempenda wote wawili; na yule mzaliwa wa kwanza akiwa ni wa mke asiyependwa; ndipo itakapokuwa ya kwamba siku atakayowarithisha wanawe alivyo navyo, asimweke mwana wa ampendaye kuwa mzaliwa wa kwanza mbele ya mwana wa asiyempenda, naye ndiye mzaliwa wa kwanza huyu;” Kikwazo pekee cha mitala kilikuwa ni kukataza kuoa dada ya mkeo awe mke mwenza katika walawi 18:18, “Wala usitwae mwanamke pamoja na nduguye, awe mtesi wake, na kufunua utupu wake, huyo wa pili atakapokuwa yu hai.” Kitabu cha Talmudi kinashauri kuoa mwisho wake wanne kama ilivyokuwa ikitendwa na Nabii Yakobo.[78] Kwa mujibu wa Padri Eugene Hillman, "Katika Agano Jipya hakuna sehemu yoyote yenye amri iliyowazi ya kuwa ndoa iwe ya mke mmoja au amri yoyote iliyowazi inayokataza mitala."[79] Akaendelea kutilia mkazo ukweli kuwa, kanisa huko Roma lilikataza mitala ili kuafikiana na utamaduni wa Graeco-Roman unaoweka sheria ya mke mmoja tu huku ikisamehe vimada na ukahaba.[80] Uislamu umeweka mipaka ya mitala kuwa mwisho kuoa wake wanne kwa wakati mmoja na Uislamu umetangaza kuwatendea wake kwa uadilifu kuwa ndio sharti la msingi la mitala. Katika Sura An-Nisaa 4:3, Mungu anaeleza: "...فَانكِحُواْ مَا طَابَ لَكُم مِّنَ النِّسَاء مَثْنَى وَثُلاَثَ وَرُبَاعَ فَإِنْ خِفْتُمْ أَلاَّ تَعْدِلُواْ فَوَاحِدَةً..." "…Oeni mnaowapenda katika wanawake, wawili au watatu au wanne. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu…" An-Nisaa 4:3
[h=3]Hitimisho[/h] Kuna Mungu mmoja tu aliyeumba jamii moja ya wanadamu, na akawafikishia ujumbe mmoja: nao ni kutii matakwa ya Mungu – kunakuojulikana kwa Kiarabu kama Uislamu. Ujumbe huo ulipelekwa kwa watu wa kwanza duniani, na kuthibitishwa na manabii wote wa Mungu waliokuja baada yao, zama zote zilizopita. Kiini cha ujumbe wa Uislamu ni kuwa binadamu lazima wamwabudu Mungu mmoja tu kwa kutii Amri zake, na kuacha kuabudu viumbe wa Mungu vikiwa kama njia, umbo au mfumo wowote ule. Yesu Kristo, amezaliwa na Bikira Maria, amefanya miujiza na kuwaita Waisraeli katika ujumbe ule ule wa kutii (Uislamu), kama walivyofanya manabii wote waliomtangulia. Yesu hakuwa Mungu, wala hakuwa 'Mwana wa Mungu', lakini alikuwa ni Masihi, Mtume wa Mungu mwenye heshima kubwa. Yesu hajawaita watu wamwabudu yeye; kinyume chake, aliwaita wamwabudu Mungu, na yeye mwenyewe pia alimwabudu Mungu. Aliithibitisha sheria za Torati alizozifundisha Nabii Musa; aliishi nazo na kuwaagiza wanafunzi wake wazifuate kwa maelezo mazuri sana. Kabla ya kuondoka kwake, aliwafahamisha wafuasi wake juu ya Nabii wa mwisho, Muhammad wa Arabuni (SAW), atakayekuja baada yake, na kuwaagiza watii mafundisho yake. Katika vizazi vya baada ya kuondoka kwa Yesu kutoka katika dunia hii, mafundisho yake yaliharibiwa naye akakuzwa na kufikishwa kuwa Mungu. Karne sita baadaye, baada ya kuja kwa Mtume Muhammad (SAW), hatimaye ukweli juu ya Yesu Kristo ukaelezwa upya na kuhifadhiwa milele katika kitabu cha ufunuo wa Mungu cha mwisho, Quran. Zaidi, sheria za Musa, alizozifuata Yesu, zilifunuliwa upya katika mfumo safi na nadhifu, na kutekelezwa katika njia ya maisha iliyowekwa iwe sheria na Mungu ijulikanayo kama Uislamu. Hivyo, ukweli wa manabii, ujumbe wao wa aina moja, na njia ya maisha waliyoifuata, vinapatikana vikiwa vimehifadhiwa katika dini ya Kiislamu, dini ya pekee iliyoletwa na Mungu kwa ajili ya wanadamu. Na zaidi, leo hii ni Waislamu pekee wanaomfuata kikweli kweli Yesu na mafundisho yake ya kweli. Njia yao ya maisha inaendana sana na njia ya maisha ya Yesu kuliko "Mkristo" yeyote wa siku hizi. Mapenzi na heshima kwa Yesu Kristo ni kipengele cha imani katika Uislamu. Allah amesisitiza umuhimu wa kumwamini Yesu katika sehemu nyingi katika Quran. Kwa mfano, katika Sura An-Nisaai 4:159, Amesema: "وَإِن مِّنْ أَهْلِ الْكِتَابِ إِلاَّ لَيُؤْمِنَنَّ بِهِ قَبْلَ مَوْتِهِ وَيَوْمَ الْقِيَامَةِ يَكُونُ عَلَيْهِمْ شَهِيدًا" "Na hawi katika Watu wa Kitabu ila hakika atamuamini yeye kabla ya kufa kwake. Naye Siku ya Kiyama atakuwa shahidi juu yao." An-Nisaai 4:159 [h=3]Kurudi kwa Yesu[/h] Ingawa kuna matarajio ya kurudi kwa Yesu, wanayoyasubiri Wakristo, pia hiyo ni sehemu ya imani ya Kiislamu. Hata hivyo, hatorudi kuhukumu dunia kama wanavyoamini Wakristo wa kisasa, kwa sababu hukumu inamilikiwa na Mungu peke yake. Quran inafundisha kuwa Yesu hakuuliwa na Wayahudi, lakini badala yake alinyanyuliwa na Mungu akiwa hai kwenda mbinguni. An-Nisaai 4:157-158: "وَقَوْلِهِمْ إِنَّا قَتَلْنَا الْمَسِيحَ عِيسَى ابْنَ مَرْيَمَ رَسُولَ اللّهِ وَمَا قَتَلُوهُ وَمَا صَلَبُوهُ وَلَـكِن شُبِّهَ لَهُمْ وَإِنَّ الَّذِينَ اخْتَلَفُواْ فِيهِ لَفِي شَكٍّ مِّنْهُ مَا لَهُم بِهِ مِنْ عِلْمٍ إِلاَّ اتِّبَاعَ الظَّنِّ وَمَا قَتَلُوهُ يَقِينًا، بَل رَّفَعَهُ اللّهُ إِلَيْهِ وَكَانَ اللّهُ عَزِيزًا حَكِيمًا " "Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu – nao hawakumuuwa wala hawakumsulubu, bali walifananishiwa tu. Na hakika waliokhitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini. Bali Mwenyezi Mungu alimnyanyua kwake, na hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima." An-Nisaai 4:157-158 Miongoni mwa vitu vilivyoripotiwa kuwa Mtume Muhammad (SAW) amevisema kuhusiana na kurudi kwa Nabii Yesu ni vifuatavyo, "Hakutakuwa na Nabii katika yangu na Isa (Yesu), naye atarejea. Na atakaporeja mtamjua. Atakuwa mtu mwenye umbo zuri na ngozi nyekundu na atashuka akiwa amevaa vipande viwili vya shuka. Nywele zake zitaonekana zimelowa, ingawa hazijaguswa na maji. Atapambana na watu ili kuuimarisha Uislamu, atavunja msalaba, ataua nguruwe na kubatilisha kodi ya jizya.[81] Katika wakati wake, Allah ataziangamiza dini zote ispokuwa Uislamu, pia, Masihi Dajjali atauliwa. Isa atakaa duniani kwa miaka arobaini, na atakapokufa, Waislamu watamsalia sala ya maiti." [82] Kurejea kwa Yesu kutakuwa ni moja ya alama za kufika Siku ya Kiama.
[h=3]Bibliografia[/h] Arberry, Arthur J., The Koran Interpreted, London: George Allen & Unwin, 1980. Barr, James, "Abba Isn't 'Daddy'," in Journal of Theological Studies, vol. 39, 1988. -----------, "Abba, Father", in Theology, vol. 91, no. 741, 1988. Brayer, Menachem M., The Jewish Woman in Rabbinic Literature: A Psychosocial Perspective, Hoboken, N.J: Ktav Publishing House, 1986. Burton, John, An Introduction to the Hadith, UK: Edingurgh University Press, 1994. -----------, The Collection of the Qur'an, Cambridge: Cambridge University Press, 1997. Cragg, Kenneth, The Mind of the Qur'an, London, George Allen & Unwin, 1973. Deedat, Ahmed, Christ in Islam, Durban, South Africa: The Islamic Propagation Centre, n.d. Dunn, James, Christology in the Making, London: SCM Press, and Philadelphia: Westminister Press, 1980. Eriedman, Richard, Who Wrote the Bible?, U.S.A.: Summit Books, 1987. Funk, Robert W., Roy W. Hoover and The Jesus Seminar, The Five Gospels, New York: Polebridge Press, Macmillan Publishing Co., 1993. Graham, William, Beyond the Written Word, Uk: Cambridge University Press, 1993. Hamidullah, Mohammed, Muhammad Rasullullah, Lahore, Pakistan: Idara-e-islamiat, n.d. Hasan, Ahmad, Sunna Abu Dawud, (English Trans.), Lahore: Sh. Muhammad Ashraf Publishers, 1[SUP]st[/SUP] ed., 1987. Hastings, J., Dictionary of the Bible, New York: Chas. Scribner's Sons, revised ed., 1963. Hebblethwai, Brian, The Incarnation, England: Cambridge University Press, 1987. Hick John, ed., The Myth of God Incarnate, London: SCM Press Ltd, 1977. ----------, The Metaphor of God Incarnate, London: SCM Press Ltd, 1993. Hillman, Eugene, Polygamy Reconsidered: Africans Plural Marriage and the Christian Churches, New York: Orbis Books, 1975. Hornyby, A.S., The Oxford Advanced Learner's Dictionary, England: Oxford University Press, 4[SUP]th[/SUP] ed., 1989. Khan, Muhammad Muhsin, Sahih Al-Bukhari, (Arabic-English), Lahore: Kazi Publications, 6[SUP]th[/SUP] ed., 1986. Gibb, H.A.R. and J.H. Kramers, shorter Encyclopaedia of Islam, Ithaca, New York: Cornell University Press, 1953. Maccoby, Hyam, The Myth-maker: Paul and the Invention of Christianity, New York: Harper & Row, 1987. Mayfield, Joseph H., Beacon Bible Commentary, Kansas City: Beacon Hill Press, 1965. Moule, C.F.D., The Origin of Christology, U.K.: Cambridge University Press, 1977. Mufassir, Sulayman Shahid, Biblical Studies from a Muslim Pespective, Washington: The Islamic Center, 1973. ----------, Jesus, A Prophet of Islam, Indianapolis: American Trust Publications, 1980. Nicholson, Reynold A., Literary History of the Arabs, Cambridge: Cambridge University Press. Philips, Abu Ameenah Bilal, The Purpose of Creation, Sharjah, U.A.E.: Dar Al Fatah, 1995. Ramsey, Michael, Jesus and the Living Past, UK: Oxford University Press, 1980. Ruether, Rosemary R., ed., Religion and Sexism: Images of Woman in the Jewish and Christian Traditions, New York: Simon and Schuster, 1974. Spray, Lisa, Jesus, Tucson, AZ: Renaissance Productions, 1987. Siddiq, Abdul Hamid, Sahih Muslim, (English Trans.) Lahore: Sh. Muhammad Ashraf Publishers, 1987. The New Encyclopaedia Britannica, Chicago: Encyclopaedia Britannica, Inc., 15[SUP]th[/SUP] Edition, 1991. The World Book Encyclopaedia, Chicago: World Book, Inc., 1987. p.31 and unauthorized copies were destroyed. p.34 to the level of the Bible are easily explained. For ex- p.38 authority for tracing the origin and early develop- p.46 The Biblical story of Jesus turning water into wine (John 2:1-10) is con- p.50 "When your Lord gathered all of aadam's descendants [before creation] and made them bear witness for themselves, saying: 'Am I not your Lord?' They all replied: Yes indeed, we bear wit- p.53 of these speeches is that they accurately reflect the original belief and termi- p. 74 "surely, I have sent to every nation a messe- p.77 was officially struck off the list of saints by papal de- p.80 portraying God in human from eventually won out. p.91 nor did he eat blood. God is recorded as having in- p.92 eaten by one who wishes to eat, except for ani- Consequently, particular rites of slaughter were pre- p.95 little farther be fell on his face and prayed, 'My Father, if it be possible, let this cup pass from me; never- p.98 Clara M Henning, "Canon Law and the Battle of the Sexes," in Relig-

[1] Yesu ananukuu Zaburi 82:6 “Mimi nimesema, Ndinyi miungu, Na wana wa Aliye juu, nyote pia.”
[2] Pia tazama Yohana 17:11.​
[3] Pia tazama, Mathayo 2:8.
[4] Pia tazama Mathayo 28:9, "Na tazama, Yesu akakutana nao, akasema, Salamu! Wakakaribia wakamshika miguu, wakamsujudia."
[5] Tazama, kwa mfano, 1 Samweli 25:23, "Ndipo hapo Abigaili alipomwona Daudi, alifanya haraka kushuka juu ya punda wake, akamwangukia Daudi kifulifuli, akainama mpaka nchi."
[6] Gospel Light, (1936 ed.) p. 353, quoted in Jesus, p.21.
[7] Injili ya Yohana kimsingi inatofautiana na Injili nyingine tatu (Injili za muhtasari) kiasi cha kutilia shaka uhakika wake. Kwa mfano: [TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD="width: 284"]
Injili za Ufupisho​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Injili ya Yohana​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 284"]
Mahubiri ya Yesu kwa umma yalikuwa ni mwaka mmoja​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Mahubiri ya Yesu kwa umma yalikuwa ni miaka mitatu​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 284"]
Yesu aliongea kwa ufupi kiasi cha mstari mmoja hivi, na kwa mafumbo​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Yesu aliongea kwa urefu na kwa mijadala ya kifalsafa.​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 284"]
Yesu amesema kidogo mno kujihusu yeye mwenyewe​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Yesu aliakisi kwa upana zaidi juu ya kazi yake na haiba yake.​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 284"]
Kumtoa mbadilisha pesa nje ya hekalu ndio tukio lake la mwisho katika kazi yake duniani​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Kumtoa mbadilisha pesa nje ya hekalu ndio tukio lake la kwanza katika kazi yake​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 284"]
Yesu alitetea maskini na wakandamizwaji​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Yesu alikuwa na jukumu dogo au hakuwa na jukumu lolote kwa maskini na wakandamizwaji​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 284"]
Yesu ni mtoa pepo​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Yesu hajatoa pepo​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 284"]
Yesu alisulubiwa mnamo 15 Nisan​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Yesu alisulubiwa mnamo 15 Nisan, siku ya Pasaka ya muhanga wa Wayahudi.​
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[8] The Five Gospels, p. 10.​
[9] Wingi wake ni logoi nalo pia linamaanisha “hoja” au “mpango”.
[10] Dhana inayotambulishwa na neno logos pia linapatikana kwa wanafalsafa wahindu, Wamisri, na Wairani na mifumo ya kitiolojia. (The New Encyclopaedia Britannica, vol. 7, p. 440)
[11] Stoics walikuwa ni wanafalsafa waliofuata mafundisho ya mtambuzi Zeno wa Citicum (karne ya 4-3 BC).
[12] Wao wanaliita logos majaaliwa ya Mungu, maumbile, mungu, na roho wa ulimwenguni.
[13] Kwa mujibu wa Philo na wanafalsafa wa The Middle Platonists, waliofasiri kwa istilahi za kidini mafundisho ya karne ya nne BC ya mwalimu wa falsafa wa Kigiriki Plato, logos alizaliwa duniani kama ni msingi na wakati huo huo akili ya kiungu ya hali ya juu. (The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 7, p. 44o)
[14] The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 9, p. 386.
[15] Ibid, vol. 7, p. 440.
[16] Kristo katika Uislamu, pp. 40 – 1.
[17] Hili ni kwa mujibu wa King James Version na the Authorized Version. Katika Revised Standard Version, tafsiri ya mstari huu ni rejesho, “Na Bwana alimwambia Musa, ‘Tazama, Ninakufanya uwe Mungu kwa Farao; na Aroni nduguyo atakuwa mtume wako.”
[18] - The Myth-maker, p. 172.
[19]Miaka sabini baadaye Kanisa la Kikristo lilijengwa upya huko Jerusalem, baada ya huo mji kuharibiwa na Warumi kwa mara ya pili na kujengwa upya ukiwa ni mji wa Mataifa usio wa Wayahudi ukiitwa Aelia Caitolina. Hili kanisa Jipya la Kikristo halikuendeleza ‘Kanisa la Jerusalem’ lile la kwanza lililongozwa na James. Wafuasi wake walikuwa ni watu wa Mataifa, kama anavyothibitisha Eusebius, na imani yake ilikuwa ni ile ya Ukristo wa Kipauline. (Eusebius, Ecclesiastical History, III. V. 2-3, iliyonukuliwa katika The Myth-maker, p. 174)
[20] The Myth-maker, p. 175.
[21] The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 4, p. 344.
[22] Ibid., vol 4, p. 344.
[23] Pia ilijulikana kwa jina la Dynamic au Adoptionst Monarchianism.
[24] The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 8, p. 244.
[25] The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 9, p. 208.​
[26] Ibid., vol. 1, pp. 556-7.​
[27] The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 1, p. 549-50.​
[28] The Myth of God Incarnate, p. ix.​
[29] The Metaphor of God Incarnate, pp. 27-8.​
[30] Jesus and the Living Past, p. 39.​
[31] The Origin of Christology, p. 136.​
[32] Christology in the Making, p. 60.​
[33] The Incarnation, p. 74.​
[34] The Economist, April 1, 1989, vol. 311, no. 7596, p. 19.​
[35] King James Version and The Authorised Version.​
[36] The Purpose of Creation, pp. 42-3.​
[37] Kifasihi “sisi”, inajulikana kama “sisi ya kujitukuza” au “utukufu wetu”, ikimkusudia Allah.​
[38] Akiitwa Mtakatifu Maria, amekuwa ni kitu cha heshima katika Kanisa la Wakristo tangu zama za wanafunzi wa Yesu. Alipewa jina la theotokos, likimaanisha “mzaa-Mungu” au “mama wa Mungu” katika karne ya tatu au nne. Ibada ya wengi ya kumwabudu Maria – katika mfumo wa sikukuu, huduma za ibada, na rozari – zimecheza duru muhimu mno katika maisha ya Waroman Katoliki na Waoksodoksi. (The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 7, pp. 897-8 na vol. 16, pp. 278-9).
[39] Malaika, Michael, Gabriel na Raphael walifanywa watakatifu na sherehe za kidini zijulikanazo kama Michaelmas (inaitwa “sikukuu ya Mtakatifu Michael na Watakatifu wote” na Waanglikana) aliwekwa kwa ajili yao tarehe 29 Septemba na makanisa ya Kimagharibi, na tarehe 8 Novemba na Kanisa la Kioksodoksi la Mashariki. Ibada ya mtakatifu Michael ilianza katika kanisa la Mashariki katika karne ya nne CE. Kwa sababu ya nafasi ya kimapokeo ya mtakatifu Michael akiwa kama kiongozi wa majeshi ya mbinguni, hatimaye heshima ya malaika wote iliingizwa katika ibada yake. (The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 8, p. 95.). Akawa mlinzi mtakatifu wa majeshi.
[40] The world Book Encyclopedia, vol. 1, p. 509.
[41] The world Book Encyclopedia, vol. 11, p. 146.
[42] Ibid., vol. 3, p. 417.
[43] -Sunan Abu Dawud, vol. p. 387, no. 1474.​
[44] Mapambano ya uasi yalikuwa juu ya kutumia sanamu za kidini (alama) katika himaya ya Byzantine kipindi cha karne ya nane na tisa. Waasi (wote waliopinga masanamu) wa suala la alama za kuabudiwa kwa sababu kadhaa, ikiwemo katazo la Agano la Kale dhidi ya masanamu katika Amri Kumi (Kutoka 20:4) na uwezekano wa kuabudu sanamu. Watetezi wa alama za ibada wameng`ang`ania tabia ya kuwa masanamu ni alama na ni kwa heshima kitu kilichoundwa. Katika kanisa la kwanza, utengezaji na kuheshimiwa kwa picha ya Kristo na watakatifu ulipingwa kwa mfululizo. Matumizi ya alama hizo, licha ya, kasi ya umashuhuri iliyoipata, hasa hasa katika majimbo ya mashariki ya himaya ya Warumi. Katika kipindi cha mwishoni mwa karne ya sita CE na katika karne ya saba, alama za ibada zikawa ibada rasmi ya kutia moyo, mara nyingi inaashiria imani ya kishirikina katika harakati zao. Upinzani wa matendo hayo ukawa mkali mno huko Asia Ndogo. Mwaka 726, mtawala wa byzantine Leo III alikuwa upande wa watu wengi kupinga alama za ibada na kufikia 730 matumizi yake yakakatazwa rasmi. Hilo lilipelekea kuteswa kwa waabudu alama za ibada mateso yaliyofikia ubaya katika kipindi cha mafanikio ya utawala wa Leo, Constantine V (741-775 CE). Mwaka 787, hata hivyo, mtawala Irene aliitisha baraza la saba la dunia la Nicaea, katika baraza hilo kuvunja masanamu ya kidini kulilaaniwa na matumizi ya masanamu yaliyanzishwa upya. Waabudu sanamu walipata nguvu upya mnamo mwaka 814 baada ya kujiunga kwa Leo V, na matumizi ya alama za ibada yalikatazwa tena katika baraza la mwaka (815 CE). Kipindi cha pili cha waabudu sanamu kiliisha kwa kifo cha mfalme Theophilus mwaka 842. Mwaka 843, hatimaye, mjane wake aliwarejesha upya heshima ya alama za ibada, tukio linaloendelea kusherehekewa mpaka leo katika Kanisa la Kioksodoksi la Mashariki likiwa kama Sikukuu ya Kioksodoksi. (The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 6, p.237)
[45] "Ahmad" kama "Muhammad" limetokana na mzizi wa Kiarabu hamd yaani "shukurani, sifa njema". Mtume Muhammad (SAW) pia alikuwa akijulikana kwa jina la Ahmad.
[46] Neno la Kigiriki paraclete limetafsiriwa kama "Mfariji" katika King James Version, na "Wakili" na "Msaidizi" katika tafsiri nyingine. Parakletos inamaanisha mtu anayewaombea wengine, mtu anayewashauri au kuwanasihi wengine kwa kutilia umuhimu sana mambo ya wengine. (Beacon Bible Commentary, vol. 7, p. 168).
[47] Tazama Yohana 14:26, "Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote…" Hata hivyo, katika 1 Yohana 4:1, neno "Roho" limetumika kuonyesha nabii, "Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani"
[48] Kwa Kingereza, "onother" linaweza kumaanisha "mwingine zaidi ya yule wa kwanza" au "mwingine wa aina tofauti." Andiko la Kigiriki la Agano Jipya neno linalotumika ni allon, ambalo ni la kiume kwa hali ya kutendwa ya mzizi allos: "mwingine wa aina hiyo hiyo". Neno la Kigiriki kwa "mwingine wa aina tofauti". Ni heteros, lakini Agano Jipya halikulitumia neno hili katika Yohana 14:16. (Yesu, a Prophet of Islam, pp. 15-6).
[49] - Yohana Mbatizaji alijazwa Roho Mtakatifu akiwa tumboni mwa mama yake (Luka 1:15); Elizabeth alijazwa Roho Mtakatifu (Luka 1:67).
[50] Roho Mtakatifu alikuwa kwa Simeon (Luka 2:26) naye alitua kwa Yesu katika umbo la njiwa (Luka 3:22).
[51] - Jesus, A Prophet of Islam, p. 13.
[52] Ndugu wa Wayahudi – ambao ni kizazi cha mtoto wa Ibrahimu Isaka – ni Warabu, kizazi cha ndugu wa Isaka , Ismaili.
[53] Quran kifasihi inamaanisha "msomaji-mkaririji". Mtume Muhammad (SAW) alifundisha kuwa Quran ni maneno ya Mungu. Ufafanuzi na mafundisho yake mwenyewe yanajulikana kama ni hadithi.
[54] Sura zote 114 za Quran zinaanza na dua: "Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema Mwenye kurehemu." Ispokuwa sura moja tu, sura ya 9.
[55] Kizazi cha Ismaili kilijulikana kwa jina la Warabu, neno ambalo kwa Kiebrania, linamaanisha wale wanaoishi katika 'arabah au jangwani (Dictionary of the Bible, p. 47). Aliyetajwa sana miongoni mwa wana kumi na mbili wa Ismaili ni Qaydar (Kedar kwa Kiebrania). Katika baadhi ya mistari ya Biblia Qaydar ni kisawe cha Warabu kiujumla (Yeremia 2:10; Ezekieli 27:21; Isaya 60:7; Wimbo wa Selemani 1:5).
[56] Sahihi Al-Bukhari, vol. 3, p. 535, no. 861, na Sahihi Muslim, vol. 3, p. 931, no. 4266.​
[57] Alikatwa kichwa huko Roma miaka 34 baada ya kuisha kwa kazi ya uchungaji wa Yesu.
[58] Biblical Studies From a Muslim Perspective, p. 18.​
[59] Pia tazama Wagalatia 6:15.​
[60] Neno la Kiarabu lililotumika ni fitrah, linalomaanisha 'maumbile'.​
[61] Sahih Al-Bukhari, vol. 7, p. 515, no. 777 na sahihi Muslim, vol. 1, p. 159, no. 495.​
[62] Pia tazama, Kumbukumbu la Taroti 14:8.​
[63] Pia tazama Sura Al-Maaidah, 5:3.​
[64] Huyo ni mtu aliyetengana au mtu aliyejitenga, tunza, weka wakfu.​
[65] Yohana 2:1-11.​
[66] The Five gospels, p. 20.​
[67] The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 5, p. 379.​
[68] The Jewish Woman in Rabbinic Literature, p.230.​
[69] Ibid., p. 139.​
[70] Clara M. Henning, "Canon Law and the Battle of thae Sexes," in Religion and Sexism, p.272.​
[71] Sura An-Nuur 24:27.​
[72] Sura Al-Araaf, 7:46.​
[73] Moja ya kumi ikiwa shamba limenyeshewa na mvua na moja ya ishirini kama limemwagiliwa.​
[74] Pia tazama Mathayo 6:16 na 17:21.​
[75] Sahih Al-Bukhari, vol. 3, pp. 113-4, no. 200 n1 Sahih Muslim, vol. 2, p. 565, no. 2595.​
[76] Chakula au utoaji.​
[77] Hata hivyo, katika mstari uliofuatia huu, Wayahudi wamefanya kumkopesha kwa riba mtu asiye Myahudi kuwa ni ruhusa: "Mgeni waweza kumkopesha kwa riba, ila usimkopeshe ndugu yako kwa riba; …" (Kumbukumbu la Torati 23:20).
[78] Women in Judaism, p. 148.​
[79] Polygamy Reconsidered, p. 140.​
[80] Ibid., p. 17.​
[81] Kodi ichukuliwayo kutoka kwa Wakristo na Wayahudi wanaoishi chini ya utawala wa Kiislamu badala ya zaka (sadaka ya wajibu) na kuhudumia jeshi.
[82] Sunan Abu Dawud, vol. 3, p. 1203, no. 4310 na imesahihishwa katika Saheeh Sunan Abee Dawood, vol. 3, p. 815-6, no. 3635.
 
Nani kasema ni wamoja..haja Allah si Yehovah.....tatizo la uislam una struggle sana ku accomodate christian theology kwe vile si dini yenye wana kondoo wa Zizi Letu.MOhamed si mchungaji wa kondoo wa bwana ndio maana hutapanya...Islam destroy life and property..Christianity is Life na wachuma mali..


Hizo ndizo tofauti.....waislam ni wanyang`anyi, ni wauaji (wazee wa vita) ni giza ktk wanaotafuta tumaini..Ukristu ni life, wakristu wanajenga shule, n amahospitali ambayo nayo wanayapiga vita..wanahubiri upendo....Yesu alifufua, aliponya, alihusumia , na kusamehe...muhamad alipigana vita na kuoa wanawake ..kwa kiasi cha kupewa sifa kuwa alikuwa na uwezo wa wanaume 30 ktk ngono..sound like porn star.

Adamu aifinyangwa hakuzaliwa yaani aliumbwa..Yesu alizaliwa...ktk mwili na roho n asi ktk udongo na roho.

Wale wanaodaikuwaYesu alikuwa Mungu, wanashikilia kuwa yeye hakuwa Mungu aliyetengeka, bali ni mmoja na ni Mungu yule yule mwenye mwili. Wao wanaunga mkono imani hii kutokana na mstari wa 30 wa Injili kwa mujibu wa Yohana, sura 10, ambayo ndani yake Yesu anaripotiwa kuwa amesema, “Mimi na Baba ni kitu kimoja.” Nje ya muktadha, mstari huu unaashiria uungu wa Yesu. Hata hivyo, pale Wayahudi walipomtuhumu kwa kudai uungu, kwa kutegemea sentesi hiyo, Yohana 10:34 “Yesu akawajibu, Je, haikuandikwa katika Torati yenu ya kwamba, Mimi nimesema, Ndinyi miungu? Ikiwa aliwaita miungu wale waliojiliwa na neno la Mungu;"[1] Amewabainishia, kwa mfano wa maandiko unaojulikana sana kwao, kuwa yeye alikuwa anatumia lugha ya kistiari ya manabii ambayo haipaswi kufasiriwa kwa kujipachika uungu yeye mwenyewe au kwa mtu mwingine yoyote. Ushahidi zaidi unachukuliwa kutoka katika mstari wa kumi na wa kumi na moja wa Injili kwa mujibu wa Yohana, sura ya 14, pale watu walipomtaka Yesu awaonyeshe Baba, naye inaaminiwa alisema: "Husadiki ya kwambi mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; Hayo maneno niwaambiayo mimi siyasemi kwa shauri langu; lakini Baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake. Mnisadiki ya kwambi mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; la! Hamsadiki hivyo, sadikini kwa sababu ya kazi zenyewe.” Ibara hizi zingeashiria uungu wa Yesu, kama sehemu iliyobakia ya Injili hiyo hiyo inapuuzwa. Hata hivyo, aya tisa baadaye, katika Yohana 14:20, pia Yesu anarekodiwa akiwaambia wanafunzi wake, "Siku ile mtatambua ya kuwa mimi ni ndani ya Baba yangu, nanyi ndani yangu, nami ndani yenu.” Kwa hiyo, kama maelezo ya Yesu "Mimi ni ndani ya Baba, na Baba yu ndani yangu; yanamaanisha kuwa yeye ni Mungu, basi vivyo hivyo iwe kwa wanafunzi wa Yesu. Hii sentensi ya kiishara inamaanisha umoja wa lengo na sio umoja wa asili. Tafsiri ya kiishara inasisitizwa zaidi katika Yohana 17:20-21, pale Yesu aliposema, "Wala si hao tu ninaowaombea; lakini na wale watakaoniamini kwa sababu ya neno lao. Wote wawe na umoja; kama wewe, Baba, ulivyo ndani yangu, nami ndani yako; hao nao wawe ndani yetu; ili ulimwengu upate kusadiki ya kwamba wewe ndiwe uliyenituma.”[2] 5. Amekubali kusujudiwa

Inadaiwa kuwa Yesu tangu aliporipotiwa kuwa amekubali kusujudiwa na baadhi ya wafuasi zake, lazima atakuwa ni Mungu. Hata hivyo, uchunguzi makini kuhusu andiko hilo unaashiria mambo mawili; tafsiri wasiwasi, na tafsiri potofu. Istilahi “kusujudu” inaweza kupatikana katika King Jemes Version na The Revised Standard Version yakielezea watu watatu wenye busara waliokuja kutokea mashariki. Wameripotiwa katika Mathayo 2:2, wakisema, "Yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tuliiona nyota yake mashariki, nasi tumekuja kumsujudia[3] Hata hivyo, katika Biblia ya The New American Bible (Catholic Press, 1970), hilo andiko linasomeka: "Yu wapi mfalme wa Wayahudi aliyezaliwa sasa? Tumeona nyota yake ikichomoza na tumekuja kutoa heshima kwake Katika The Revised Standard Version, Yohana 9:37-38, "Yesu akawaambia, Umemwona, naye anayesema nawe ndiye. Akasema, Naamini, Bwana. Akamsujudia. [4] Hata hivyo, katika The American Biblke, wafasiri wasomi wameongeza tanbibihi inayosomeka: 9:38. Mstari huu, imefutwa kwa umuhimu wa MSS [miswada], unaweza kuwa ni nyongeza kwa liturujia ya ubatizo. Mistari hii haipatikani katika miswada muhimu ya kale yenye Injili hii. Huenda ni nyongeza ya baadaye iliyowekwa na waandishi wa kanisa ili yatumike katika huduma ya ubatizo. Zaidi, kama alivyofafanua, mwenye mamlaka makuu na adhima katika Biblia na lugha zake za asili, George M. Lamsa, “Neno la Kiarama sagad, sujudu, pia lina maana ya kuinama au kupiga goti kwa watu wa mashariki wakati wa kusalimiana kwa kawaida ya kuinamisha kichwa au kuinama chini.[5] “Alimsujudia” haiashirii kuwa yeye alimwabudu Yesu kama vile mtu alivyomwabudu Mungu. Tendo kama hilo lilitakiwa lichukuliwe ni la kukufuru na la uvunjaji wa Amri ya kwanza mbele ya macho ya Wayahudi, na huyo mtu angepigwa mawe. Lakini yeye alipiga magoti mbele yake kwa kutoa heshima na shukurani.”[6] Kitabu cha mwisho, Quran, kinaeleza tukio la kuabudiwa au kutoabudiwa kwa Yesu, kwa kunukuu mazungumzo yatakayotokea baina ya Yesu na Mungu siku ya Kiama. Allah anaeleza katika Sura Al-Maa`idah, 5:116-117 "وَإِذْ قَالَ اللّهُ يَا عِيسَى ابْنَ مَرْيَمَ أَأَنتَ قُلتَ لِلنَّاسِ اتَّخِذُونِي وَأُمِّيَ إِلَـهَيْنِ مِن دُونِ اللّهِ...، مَا قُلْتُ لَهُمْ إِلاَّ مَا أَمَرْتَنِي بِهِ أَنِ اعْبُدُواْ اللّهَ رَبِّي وَرَبَّكُمْ..." "Na pale Mwenyezi Mungu atakaposema: Ewe Isa bin Maryamu! Ati wewe uliwaambia watu: Nifanyeni mimi na mama yangu kuwa ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu?..., (Na Isa) atasema: Subhanaka, Wewe umetakasika! Hainifalii mimi kusema ambayo si haki yangu…, Sikuwaambia lolote ila uliyoniamrisha, nayo ni: Muabuduni Mwenyezi Mungu, Mola wangu Mlezi na Mola wenu Mlezi…" Al-Maa`idah, 5:116-117 6. "Hapo mwanzo kulikuwa na Neno"

Huenda ‘ushahidi’ wa uungu wa Yesu ulionukuliwa sana ni Yohana 1:1 na 14, “Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, na Neno alikuwa Mungu… Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.” Hata hivyo, maelezo haya hayakutolewa na Yesu Kristo, wala hayakuhusishwa naye na mtunzi wa Injili kwa mujibu wa Yohana. Hivyo, mistari hii haiundi ushahidi wa uungu wa Yesu, hasa hasa kuzingatia shaka inayoshikiliwa na wasomi wa Kikristo juu ya Injili ya Nne. Wasomi wa Biblia waliotunga Injili tano: “Picha mbili zilizochorwa na Yohana na muhtasari wa injili (yaani Injili ya Mathayo, Marko na Luka) zote mbili haziwezi kuwa ubainifu wa kihistoria.[7] Neno lilohusishwa na Yesu katika Injili ya Nne limeundwa na wainjilisti kwa sehemu kubwa, na linaakisi mwendelezo wa lugha ya jamii ya Wakristo wa Kiyohana.[8] Neno la Kigiriki lilotumiwa na mtunzi wa Injili ya Nne asiyejulikana kwa “neno” ni logos.[9] Kwa kufanya hivyo, huyo mtunzi anamtambulisha Yesu kwa logos la wanafalsa wapagani wa Kigiriki, neno ambalo lilikuwa na lengo takatifu na thabiti lililojitokeza ulimwenguni, huyo mtunzi akalipangilia neno hilo na kulipa mfumo na maana.[10] Wazo la logos katika fikra za Kigiriki huenda linarejea nyuma, kwa uchache hadi kwa mwanafalsafa wa karne ya sita BC, Heracleitus, aliyependekeza kuwa, kulikuwa na logos ulimwenguni anayetenda kwa mwanadamu kulingana na nguvu ya hoja. Baadaye, Stoics[11] analitambulisha logos kuwa ni tendo, mantiki, na kanuni ya kiroho inayosambaa katika ukweli wote.[12] Mwanafalsafa wa Kiyahudi anayeongea Kigiriki, Judaeus Philo wa Alexandria (15 BC -45 CE), amefundisha kuwa logos alikuwa ni mpatanishi baina ya Mungu na ulimwengu, kwa kuwa na sifa mbili za uwakala wa Mungu na ulimwengu, na kuwa na sifa mbili za uwakala wa viumbe na wakala wa ambaye kupitia kwake akili ya mwanadamu inaweza kumfahamu Mungu.[13] Maandiko ya Philo yalihifadhiwa na kutunzwa na kanisa, na kueneza ufunuo kwa mafundisho ya kistaarabu ya tiolojia ya kifalsafa ya Kikristo. Aliacha mafundisho ya fikra za Kipilato wakichukulia logos (Neno) na kuliita “mtoto wa kwanza wa kuzaliwa na Mungu.”[14] Utambulisho wa Yesu kwa logos, uliendelezwa katika kanisa la kwanza ikiwa ni tokeo la majaribio yaliyofanywa na wanatiolojia wa kwanza wa Kikristo pamoja na watetezi kuielezea imani ya Kikristo kwa istilahi ambayo ingekuwa wazi kwa ulimwengu wa Wayunani. Zaidi ya hayo, ilikuwa ni kuwavutia wasikilizaji wao na mtazamo wao kuwa Ukristo ulikuwa unashinda, au mrithi wa wale wote waliokuwa wanafalsafa bora wa kipagani. Kwa hiyo, katika kazi zao za utetezi na ubishani, Mapadri wa Kikristo wa kwanza wameeleza kuwa Yesu alikuwa ni logos aliyekuwepo hapo kabla.[15] Neno la Kigiriki lililotumika kwa maana ya ‘Mungu’ katika hiyo ibara ni “na Neno lilikuwa kwa Mungu,” lipo katika mtindo wa “definite form- yaani mtindo uliowazi, au unaofahamika” batheos, Linalomaanisha “Huyo Mungu, au Mungu maalum”. Hata hivyo, katika ibara ya pili “na Neno alikuwa Mungu”, neno la Kigiriki lililotumika kwa maana ya ‘Mungu’ katika ibaralipo katika mtindo wa “indefinite form- yaani mtindo usiowazi, au usiofahamika” tontheos, Linalomaanisha ‘mungu yoyote, yaani mungu asiyejulikana, au mungu yoyote asiye maalumu’.[16] Kwa hiyo, Yohana 1:1, kwa uwazi zaidi ilipaswa itafsiriwe, “Hapo Mwanzo kulikuwa na Neno, na hilo Neno lilikuwa kwa Mungu, na hilo Neno lilikuwa mungu mwingine.” Kwa hiyo, kama hilo neno lilikuwa mungu mwingine kwa ufahamu wa kifasihi, itamaanisha kuwa kulikuwa na miungu miwili na sio mmoja. Hata hivyo, katika lugha ya Kibiblia, neno ‘mungu – asiyefahamika’ linatumika kwa maana ya istiari ili kuashiria nguvu. Kwa mfano, Paulo alimtaja shetani kuwa ni ‘mungu – asiyefahamika’ katika 2 Wakorintho 4:4, "ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu." Pia, Musa alitajwa kama ni ‘mungu – asiyefahamika’ katika Kutoka 7:1, "BWANA akamwambia Musa, Angalia, nimekufanya wewe kuwa Mungu kwa Farao; na huyo ndugu yako Haruna atakuwa nabii wako.[17] Mawazo ya kale

Kulikuwa na mgogoro mkubwa kati ya tafsiri ya Pauline na ya Jerusalem kuhusu Yesu na ujumbe wake. Mgogoro huo, baada ya kutokea pole pole kwa miaka mingi, hatimaye ulipelekea mpasuko kabisa, katika mpasuko huo, ulipelekea kuundwa Kanisa la Wakristo wa Pauline, kwa athari hiyo, dini mpya iliyojitenga kutoka Uyahudi. Kwa upande mwingine, Wanazareti wa Jerusalem hawakukata uhusiano wao na Uyahudi, bali walijizingatia kuwa wao ndio kiini cha kuutekeleza Uyahudi, watiifu wa Torati, pia walimwamini Yesu, umbo la Masihi mwanadamu.[18] Wakati uasi wa Kiyahudi ulipopondwa pondwa na Warumi na mahekalu yao kuharibiwa mwaka 70 CE, Wakristo wa Kiyahudi walitawanyika, nguvu yao na mvuto wao wa kuwa wao ndio Kanisa Mama na kituo cha vuguvugu la Yesu zilifikia kikomo.[19] Vuguvugu la Wakristo wa Kipauline, vuguvugu ambalo mpaka mwaka 66 CE. Lilikuwa linapigania liendelee kuishi, dhidi ya kutokubaliwa huko Jerusalem, sasa lilianza kusonga mbele. Kanisa la Jerusalem, chini ya uongozi wa James, kiasili lilijulikana kuwa ni la Wanazareti, baadaye likajulikana kwa jina la kupanga na la kuaibisha la Ebionites (Kwa kiyahudi evyonium, “watu maskini”), jina ambalo baadhi ya Wanazareti walilitwaa kwa ufahari wakilichukulia kuwa ni kikumbusho cha maneno ya Yesu yasemayo, “Wabarikiwe maskini.” Baada ya Kanisa la Graeco-Roman kushika hatamu, Wanazareti wakawa wanadharauliwa na kuonwa kuwa ni waasi, kwa sababu ya kukataa kwao mafundisho ya Paulo.[20] Kwa mujibu wa historia ya kanisa la wahenga, Irenaeus (c. 185 CE,) hao watu maskini walimwamini Mungu mmoja, Muumba, aliyefundisha kuwa Yesu alikuwa ni masihi, kwa mujibu wa Mathayo, walitumia Injili tu, na kumpinga Paulo kwa kumwona kuwa ni muasi aliyeasi Sheria ya Kiyahudi.[21] Hao watu maskini walijulikana kuwa waliishi mpaka katika karne ya nne. Baadhi yao walihama Palestina na wakaishi huko Transjordan na Syria na baadaye sehemu hiyo ikajulikana kuwa ni Asia ndogo, Misri na Roma [22]. Kwa mfumo wa kifalme,[23] vuguvugu la Wakristo wa Mataifa lilioendelezwa kipindi cha karne ya pili na ya tatu liliendelea kuwakilisha mtazamo wa kuamini Mungu mmoja uliokithiri na ule wa Waibionia ‘watu maskini’. Mtazamo huo ulishikilia kuwa Kristo alikuwa ni mtu, mimba yake ni ya kimuujiza, lakini alikuwa ni “mwana wa Mungu” wa pekee kwa kuwa amejazwa busara takatifu na nguvu. Mtazamo huu ulifundishwa huko Roma takriban mwishoni mwa karne ya pili na Theodotus, aliyetengwa na Papa Victor, na ulifundishwa sehemu Fulani hapo baadaye na Artemon, aliyetengwa na Papa Zephyrinus. Takriban mwaka 260 CE mtazamo huo ulifundishwa tena na Paulo wa Samosata,[24] Askofu mkuu wa Antokia huko Syria, ambaye alihubiri kiwazi wazi kuwa Yesu alikuwa ni mtu na kupitia kwake Mungu ameongea maneno yake (Logos), naye kwa nguvu kabisa amethibitisha upweke wa Mungu. Kati ya mwaka 263 na 268 kwa uchache vikao vitatu vya baraza la kanisa viliitishwa huko Antokia ili kujadili usahihi wa Paulo. Kikao cha tatu kililaani mafundisho yake na kumvua madaraka. Hata hivyo, Paulo alifaidika na ulinzi wa Zenobia, malkia wa Palmyra, ambaye kwake yeye, Antokia ilikuwa ndio mada, na haikuwa ila mpaka mwaka 272 pale mfalme Aurelian alipomshinda Zenobia kwa kiwango ambacho madaraka halisi yakanyakuliwa.[25] Mwishoni mwa karne ya tatu na mwanzoni mwa karne ya nne, Arius (b.c 250, Libya – 336 CE), kasisi wa Alexandria, Misri, pia amefundisha maumbile yenye mipaka ya Kristo upweke kabisa wa Mungu, jambo lililowavutia idadi kubwa ya wafuasi, mpaka alipotangazwa kuwa ni mzandiki na baraza la Nicaea mnamo Mei mwaka 325 CE. Wakati wa baraza hilo, alipinga kutia saini mfumo wa imani unaoeleza kuwa Kristo alikuwa na tabia ile ile kama Mungu. Hata hivyo, akiwa ameshawishiwa na wenzake wa Asia ndogo na kutoka Constantia, binti wa mfalme Constantine, alifanikiwa kushawishi kurejea kwa Arius kutoka uhamishoni na kurudi kanisani.[26] Vuguvugu alilodhaniwa kuwa amelianzisha, lakini kwa hakika lilikuwa ni kupanua imani ya Wakristo wa kiyahudi Wanazareti wa Jerusalem, Vuguvugu hilo lilijulikana kama Arianism na kuunda tisho kubwa ndani ya imani ya itikadi ya Wakristo wa Kipauline juu ya uungu wa Yesu. Kutoka mwaka 337 hadi 350 CE, mfalme wa Magharibi, Constans, alionyesha huruma kwa Wakristo waoksodoksi, na Constantius wa pili, aliyekuwa mfalme wa Mashariki, aliwahurumia Waarians. Ushawaishi wa Arian ulikuwa mkubwa mno kiasi ambacho katika baraza la kanisa lililofanyika Antokia (341 CE), uthibitisho wa imani ulikuwa ndio jambo lililoondoa kifungu cha kuwa Yesu alikuwa na maumbile yale yale ya uungu kama Mungu”. Mwaka 350 CE Constantius wa pili akawa mtawala wa pekee wa himaya yote, na chini ya uongozi wake sehemu ya Nicene (Wakristo Waoksodoksi) waliangamizwa kwa kiasi kikubwa. Baada ya kifo cha Constantius wa pili mwaka 361 CE, Wakristo Waoksodoksi walio na wingi mkubwa huko Magharibi waliimarisha nafasi yao. Hata hivyo, utetezi wa kuwa na Mungu mpweke kabisa, na kukandamizwa kwa Wakristo Waoksodoksi, imani ya utatu iliendelea huko Mashariki chini ya mfalme Arian Valens (364-383 CE). Haikuwa ila mpaka pale Mfalme Theodosius wa kwanza (379-395 CE) alipotwaa ulinzi wa imani ya Arius, hata hivyo, imani hiyo iliendelea miongoni mwa makabila ya Kijerumani hadi mwishoni mwa karne ya saba.[27] Mawazo ya kisasa

Leo hii, kuna wasomi wengi katika Ukristo wanaoshikilia kuwa Yesu Kristo hakuwa Mungu. Mwaka 1977, kikundi cha wasomi saba wa Biblia, akiwemo mwanatiolojia kiongozi wa Kianglikana na wasomi wengine wa Agano Jipya, walichapisha kitabu kiitwacho The Myth of God Icarnate, (Kisa cha kubuni cha Mungu mwenye mwili) kilichosababisha fujo kubwa kwa makutano makuu ya Kanisa la Uingereza. Katika utangulizi, mwandishi, John Hick, ameandika yafuatayo: “Waandishi wa kitabu hiki wamekinaishwa kuwa mwendelezo mkubwa wa kitiolojia uitishwe katika muda huu wa karne ya ishirini. Dai linaibuka kutokana na kukuwa kwa maarifa ya asili ya Ukristo, na kuhusisha kutambua kuwa Yesu alikuwa ni (kama alivyowasilishwa katika matendo 2:21) ‘mtu aliyethibitishwa na Mungu’ kwa kazi maalum kwa lengo la kiungu, na kuwa dhana ya baadaye juu kumhusu yeye kama ni Mungu mwenye mwili, Nafsi ya Pili ya Utatu Mtakatifu inayoishi katika maisha ya kibinadamu, ni ngano ya kubuni au njia ya kishairi ya kuelezea umuhimu wake kwetu.”[28] Kuna makubaliano makubwa miongoni mwa wasomi wa Agano Jipya kuwa, kihistoria Yesu hajadai uungu ambao fikra ya Kikristo ilimfanyia; yeye hajajielewa kuwa yeye ni Mungu, wala Mungu Mwana, mwenye mwili [katika mwili].[29] Askofu mkuu wa hivi mwishoni Michael Ramsy, ambaye alikuwa ni msomi wa Agano Jipya, ameandika kuwa “Yesu hajadai uungu.”[30] Mwenzake wa zama moja, msomi wa Agano Jipya C.F.D. Moule. Amesema kuwa, “Kwa hali yeyote ile ya Elimu ya Ukristo ya hali ya juu inayotegemea usahihi wa madai ya Yesu mwenyewe, hasa hasa katika Injili ya Nne, kwa hakika atakuwa hatarini.”[31] Katika utafiti mkubwa juu ya asili ya imani ya kuwa na mwili, James Dunn, anayethibitisha Elimu ya Ukristo wa Kioksodoksi, anahitimisha kuwa “hakuna ushahidi wa hakika katika mapokeo ya mwanzo ya Yesu kwa kile ambacho kwa uadilifu, kitaitwa ufahamu wa uungu.”[32] Tena, Brian Hebblethwaite, mtetezi kwa nguvu wa Elimu ya Ukristo ya mapokeo ya Nicene-Calcedonian, anakiri kuwa “haiwezekani tena kutetea uungu wa Yesu kwa kurejea katika madai ya Yesu.”[33] Hebblethwaite na Dunn, na wasomi wengine kama wao wanaoendelea kuamini uungu wa Yesu, wanadai kuwa licha ya kuwa Yesu hakujijua kuwa Yeye alikuwa Mungu mwenye mwili. Haya yalijulikana baada ya kufufuka kwake tu. Wengine wengi miongoni mwa Maaskofu wakuu mashuhuri wa Kanisa la Uingereza, wanoshuku uungu wa Yesu, ni Kasisi asemaye wazi wazi Profesa David Jenkins, Askofu mkuu wa Durham Uingereza, ambaye anaeleza kwa uwazi kuwa Yesu hakuwa Mungu.[34] Makala ifuatayo, ilitokoea katika The Daily News miaka iliyopita, kwa uwazi kabisa inaonyesha kiasi gani cha shaka miongoni mwa wakuu wa kidini kuhusu uungu wa Yesu. [TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]
Uchunguzi wa kushtusha wa Maaskofu wa Kianglikana
LONDON: Zaidi ya nusu ya Maaskofu Waingereza wa Kianglikana wanasema kuwa: “Wakristo hawalazimiki kuamini kuwa Yesu Kristo ni Mungu, kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa leo.​
Kura za maoni za Maaskofu Waingereza 31, miongoni mwa Maaskofu 39, zinaonesha kuwa, wengi wao wanaona kuwa, Miujiza ya Kristo, kuzaliwa na bikira na kufufuka huenda hayo hayajatokea kama ilivyoelezwa katika Biblia. Ni Maaskofu 11 tu, ndio waliosisitiza kuwa "Wakristo lazima wamchukulie Yesu Kristo kuwa ni Mungu mtu, huku 19 wakisema kuwa inatosha kumchukulia Yesu kama ni "Mwakilishi mkuu wa Mungu". Na mmoja alijizuia kutoa maoni yake. Hiyo kura ya maoni iliendeshwa na London Weekend Television's weekly religion show, Credo. "DAILY NEWS" 25/6/84[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Sura ya Tatu: Ujumbe

Suala la pili ni, ‘Ujumbe wa Yesu’, huenda ni nukta muhimu zaidi kuizingatia. Kwa kuwa, kama Yesu hakuwa Mungu mwenye mwili, ila ni nabii wa Mungu, ujumbe aliouleta kutoka kwa Mungu ni kiini cha kazi yake. Utiifu

Msingi wa ujumbe wa Yesu ulikuwa ni utiifu wa kutii matakwa ya Mungu, kwa kuwa huo ndio msingi wa dini uliofanywa sheria na Mwenyezi Mungu kwa mwanadamu tangu mwanzo. Mungu anasema katika Sura ya Al-Imraan, sura ya tatu ya Quran, aya 19:
"إِنَّ الدِّينَ عِندَ اللّهِ الإِسْلاَمُ ..."​
"Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu…" Kwa kiarabu kutii matakwa ya Mungu kunaelezwa na neno ‘Uislamu’. Katika Injili kwa mujibu wa Mathayo 7:21, Yesu ananukuliwa akisema: “Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.” Katika maelezo haya, Yesu anaweka mkazo juu ya “matakwa ya Baba”, utiifu wa matakwa ya mwanadamu kwa matakwa ya Mungu. Katika Yohana 5:30, imesimuliwa kuwa Yesu vilevile amesema: “Mimi siwezi kufanya neno mwenyewe; kama nisikiavyo ndivyo nihukumuvyo; na hukumu yangu ni ya haki, kwa sababu siyatafuti mapenzi yangu mimi, bali mapenzi yake aliyenipeleka Taurati (Torati)

“Matakwa ya Mungu” yamejumuishwa katika sheria za ufunuo mtakatifu ziliofundishwa na manabii kwa wafuasi wao. Kwa hiyo, utiifu kwa sheria ya Mungu ni msingi wa kuabudu. Quran inathibitisha haja ya utiifu kwa sheria ya ufunuo mtakatifu katika sura ya Al-Maaidah, aya 44. "إِنَّا أَنزَلْنَا التَّوْرَاةَ فِيهَا هُدًى وَنُورٌ يَحْكُمُ بِهَا النَّبِيُّونَ الَّذِينَ أَسْلَمُواْ...، وَمَن لَّمْ يَحْكُم بِمَا أَنزَلَ اللّهُ فَأُوْلَـئِكَ هُمُ الْكَافِرُونَ" "Hakika Sisi tuliteremsha Taurati yenye uwongofu na nuru, ambayo kwayo Manabii walionyenyekea Kiislamu…, Na wasiohukumu kwa aliyoteremsha Mwenyezi Mungu, basi hao ndio makafiri." Al-Maaidah, aya 44. Pia, Yesu ameripoti katika Injili kwa mujibu wa Mathayo 19:16-17, kuwa alifanya utiifu kwa sheria ya ufunuo mtakatifu ambayo ndio ufunguo wa Peponi: “Na tazama, mtu mmoja akamwendea akawaambia, Mwalimu, nitende jambo gani jema, ili nipate uzima wa milele?Akamwambia, Kwani kuniuliza habari ya wema? Aliye mwema ni mmoja. Lakini ukitaka kuingia katika uzima, zishike amri.[35] Pia katika Mathayo 5:19, Yesu Kristo ameripotiwa kuwa amesisitiza utiifu mkali wa kuzitii amri kwa kusema, “Basi mtu ye yote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atakayezitenda na kuzifundisha, huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbingubi.” Sheria ya Mungu inawakilisha mwongozo kwa wanadamu katika pande zote za maisha. Inafafanua zuri na baya kwa wanadamu na kuwapa wanadamu mfumo kamili unaosimamia mambo yao yote. Muumba pekee ndiye ajuaye vizuri kipi kina manufaa kwa viumbe wake na kipi hakina. Kwa hiyo, sheria ya Mungu inaamuru na kukataza matendo na vitu mbali mbali ili kuikinga roho ya mwanadamu, mwili wa mwanadamu, na jamii ya wanadamu isidhurike. Ili wanadamu watimize uwezo wa kuishi kwa wema, wanahitaji kumwabudu Mungu kwa kutii amri Zake.[36] Hii ndio iliyokuwa dini iliyoletwa katika ujumbe wa Yesu; kutii matakwa ya Mungu mmoja wa kweli kwa kutii amri zake. Yesu aliwasisitizia wafuasi zake kuwa kazi yake haikuwa kutangua Sheria (Taurati) iliyopokelewa na Nabii Musa. Akiwa kama Mitume iliyokuja baada ya Musa iliyoimarisha sheria, Yesu alifanya hivyo hivyo. Sura ya al-Maaidah, aya ya 46 ya Quran inaashiria kuwa Yesu ameimarisha Sheria ya Taurati katika ujumbe wake. "وَقَفَّيْنَا عَلَى آثَارِهِم بِعَيسَى ابْنِ مَرْيَمَ مُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ التَّوْرَاةِ وَآتَيْنَاهُ الإِنجِيلَ فِيهِ هُدًى وَنُورٌ وَمُصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيْهِ مِنَ التَّوْرَاةِ..." "Na tukawafuatishia hao Isa bin Maryamu kuyahakikisha yaliyokuwa kabla yake katika Taurati, na tukampa Injili iliyomo ndani yake uwongofu, na nuru na inayosadikisha yaliyokuwa kabla yake katika Taurati…" Al-Maaidah, aya 44. Katika Mathayo 5:17-18, Yesu ameeleza: “Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua Torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie.” Hata hivyo, Paulo, aliyedai kuwa ni mwanafunzi wa Yesu, kimsingi ametangua sheria. Katika waraka wake kwa Warumi, sura 7:6, ameeleza, “Bali sasa tumefunguliwa katika Torati, tumeifia hali ile iliyotupinga, ili sisi tupate kutumika katika hali mpya ya roho, si katika hali ya zamani ya andiko.” Upwekesahaji

Yesu amekuja akiwa ni Nabii, akiwaita watu wamwabudu Mungu peke yake. Kama walivyofanya manabii wa kabla yake. Mungu anasema katika sura An-Nahli 16:36 ya Quran: "وَلَقَدْ بَعَثْنَا فِي كُلِّ أُمَّةٍ رَّسُولاً أَنِ اعْبُدُواْ اللّهَ وَاجْتَنِبُواْ الطَّاغُوتَ..." "Na kwa hakika kwa kila umma tuliutumia Mtume kwamba: Muabuduni Mwenyezi Mungu, na muepukeni Shetani…" An-Nahli 16:36[37] Katika Luka 4:8, Shetani anamtaka Yesu amwabudu yeye, kwa kumuahidi mamlaka na utukufu wa ufalme wa dunia nzima, “Yesu akajibu akamwambia, Imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu wako, umwabudu yeye peke yake Kwa hiyo kiini cha ujumbe wa Yesu kilikuwa ni kuwa Mungu pekee ndiye anayestahiki kuabudiwa na kuwa kumwabudu yeyote au chochote kandoni au pamoja na Mungu ni kosa. Yesu sio tu, amewaita watu katika ujumbe wake lakini pia uliutekeleza na kuuonesha kwao kwa kusujudu katika sala na kumwabudu Mungu mwenyewe. Katika Marko 14:32, inaeleza: “Kisha wakaja mpaka bustani iitwayo Gethsemane; akawaambia wanafunzi wake, Ketini hapa muda niombapo.” Na katika Luka 5:16, “Lakini yeye alikuwa akijiepua, akaenda mahali pasipokuwa na watu, akaomba.” Yesu aliwaita wamwabudu Mungu mmoja wa kweli ambaye ni wa kipekee katika sifa zake. Mungu hana sifa za viumbe zake, na hakuna kiumbe yeyote anayeshirikiana naye kwa sifa yoyote ile. Katika Mathayo 19:16-17, pale mtu mmoja alipomwita Nabii Yesu ‘mwema’, akisema “Na tazama, mtu mmoja akamwendea akawaambia, Mwalimu, nitende jambo gani jema, ili nipate uzima wa milele? Akawaambia, Kwani kuniuliza habari ya wema? Aliye mwema ni mmoja…" Yesu alikana sifa ya ‘uungu wenye mipaka’ au ‘wema kamilifu’ kwa nafsi yake, na kuthibitisha kuwa sifa hii inamilikiwa na Allah peke yake. Idadi kubwa mno ya Wakristo duniani leo hii wanamwabudu Yesu, wakidai kuwa yeye ni Mungu. Wanafalsafa miongoni mwao wanadai kuwa wao hawamwabudu Yesu mtu, ila Mungu aliyejidhihirisha kwa Yesu mtu. Hii vilevile ndio akili ya wapagani wanaosujudia masanamu. Mwanafalsafa wa kipagani alipoulizwa kwa nini anaabudu sanamu lililotengenezwa na mikono ya mwanadamu, alijibu kuwa kwa hakika yeye haabudu sanamu. Zaidi, anaweza kudai kuwa sanamu ni nukta ya kuunganisha kwa kuwepo kwa Mungu, na kwa hiyo ni kudai kuwa anamwabudu Mungu anayejidhihirisha kwa sanamu, na wala sio umbo la sanamu lenyewe. Kuna tofauti ndogo au hakuna tofauti kati ya ufafanuzi na jibu lililotolewa na Wakristo kwa kumwabudu Yesu. Asili ya kupotoka huku ipo katika imani ya uongo ya kuwa Mungu yupo katika Viumbe vyake. Imani kama hiyo inahalalisha kuabudu viumbe wa Mungu. Ujumbe wa Yesu, unaowataka wanadamu wamwabudu Mungu mmoja peke yake, uliharibiwa baada ya kuondoka kwake. Baadaye, wafuasi wakianzia na Paulo, waliubadilisha ujumbe mtakatifu na mwepesi na kuwa falsafa ya utatu yenye utata inayohalalisha kumwabudu Yesu, kisha kumwabudu Mama yake Yesu, Mariamu,[38] na kuabudu malaika[39] na watakatifu wengine. Wakatoliki wana orodha ndefu ya wale wanaowaendea wakati wa shida. Kama kitu kimepotea, Mtakatifu Anthony wa Thebes anaombwa ili asaidie kipatikane.[40] Mtakatifu Jude Thaddaeus ni mlinzi mtakatifu wa yasiyowezekana na anaabudiwa kwa maombezi ya magonjwa yasioponyeka, kinyume na ndoa au kitu kama hicho.[41] Mlinzi mtakatifu wa wasafiri alikuwa ni Mtakatifu Christopher, ambaye aliabudiwa na wasafiri ili awape ulinzi hadi mwaka 1969, pale alipofutwa rasmi na kuwa nje ya orodha ya watakatifu kwa mujibu wa amri ya kipapa, baada ya kuthibitishwa kwamba alikuwa ni[42] wa uongo. Ingawa alifutwa rasmi na kuwa nje ya orodha ya watakatifu, kuna Wakatoliki wengi duniani leo hii wanaomwabudu Mtakatifu Christopher. Kuwaabudu ‘watakatifu’ kunapingana na kufisidi kumwabudu Mungu Mmoja; na ni kazi bure, kwa sababu si aliye hai wala mfu awezaye kujibu maombi ya wanadamu. Kumwabudu Mungu hakutakiwi kuwe na kumshirikisha na viumbe vyake kwa njia, umbo au mfumo wowote ule, kwa mazingatio haya, Allah amesema yafuatayo katika Sura Al-Aaraaf 7:194:
"إِنَّ الَّذِينَ تَدْعُونَ مِن دُونِ اللّهِ عِبَادٌ أَمْثَالُكُمْ..."​
"Hakika hao mnaowaomba kinyume na Mwenyezi Mungu ni waja mfano wenu nyinyi..." Al-Aaraaf 7:194 Huu ndio uliokuwa ujumbe wa Yesu Kristo na mitume yote wa kabla yake. Vilevile ulikuwa ndio ujumbe wa mtume wa mwisho, Muhammad - Rehema na amani ziwe juu yao wote. Kwa hiyo, kama Mwislamu au mtu anayejiita Mwislamu atamwabudu mtakatifu, atakuwa ashatoka nje ya mipaka ya Uislamu. Uislamu si imani tu, ambapo mtu anatakiwa aeleze kuwa yeye anaamini kuwa hakuna Mola anayestahiki kuabudiwa ispokuwa Allah, na Muhammad alikuwa ni mtume wa mwisho, ili kuingia peponi. Hili tangazo la imani linamruhusu mtu anayelitangaza kuingia mlango wa Uislamu, lakini kuna matendo yanayoweza kupingana na tangazo hilo na kumwondosha mtendaji kutoka katika Uislamu punde tu anapolitenda. Tendo hatari mno miongoni mwa hayo ni kuabudu kitu kingine zaidi ya Mungu. Mwislamu sio “Mmuhammadi”

Kwa kuwa dini ya Yesu, na hivyo hivyo kwa mitume yote ya mwanzo, ilikuwa ni dini ya kumtii Mungu, ijulikanayo kwa Kiarabu kama Uislamu, wafuasi wake wa kweli wanapaswa waitwe watiifu wa Mungu, wakijulikana kwa Kiarabu kama Waislamu. Katika Uislamu, sala-dua inazingatiwa kuwa ni tendo la kuabudu. Mtume Muhammad (SAW) ameripotiwa akisema, “Dua ni ibada”.[43] Kwa hiyo, Waislamu hawakubali kuitwa Wamuhammadi, kama ilivyo kwa wafuasi wa Kristo wanavyoitwa Wakristo na wafuasi wa Budha wanaitwa Mabudha. Wakristo wanamwabudu Kristo na Mabudha wanamwabudu Budha. Neno Wamuhammadi linaashiria kuwa Waislamu wanamwabudu Muhammadi, kitu sicho kabisa. Katika Quran, Mungu amelichagua jina Mwislamu kwa kila anayemfuta mtume kikweli kweli. Jina Mwislamu kwa Kiarabu linamaanisha “anayetii matakwa ya Mungu.”
"... هُوَ سَمَّاكُمُ الْمُسْلِمينَ مِن قَبْلُ وَفِي هَذَا..."​
"Yeye (Mwenyezi Mungu) alikuiteni Waislamu tangu zamani, na katika hii (Qur'ani) pia." Al-Hajj 22:78.
Kwa hiyo, kiini cha ujumbe wa Yesu kilikuwa hivi, mtu anatakiwa amwabudu Mungu peke yake. Hapaswi kuabudiwa kwa kupitia viumbe wake kwa njia yoyote ile. Hivyo, picha yake isichapishwe, isichongwe wala kuchorwa. Yeye yupo nje ya ufahamu wa binadamu. Masanamu

Yesu hakufumbia macho matendo ya wapagani ya kujiundia masanamu ya Mungu. Yeye alisisitiza katazo lililotajwa katika Torati, Kutoka 20 mstari wa 4: “Usijifanyie sanamu ya kuchonga, wala mfano wa kitu cho chote kilicho juu mbinguni, wala kilicho chini duniani, wala kilicho majini chini ya dunia." Hivyo, matumizi ya masanamu ya kidini, alama za kuombwa,[44] yalipingwa vikali na kizazi cha kwanza cha wasomi Wakristo. Hata hivyo, katika kipindi cha, tamaduni za Kigiriki na Kirumi za kuunda sanamu na picha za Mungu kwa mfumo wa mwanadamu, hatimaye ulishinda. Katazo ni la kuzuia hatima ya kuzorota kumwabudu Mungu na kuwaabudu viumbe vyake. Mwanadamu akiweka picha ya Mungu akilini mwake, huyo mtu, kwa hakika, anajaribu kumfanya Mungu awe kama viumbe wake, kwa sababu akili ya mwanadamu inaweza kuvuta taswira vitu ilivyoviona, na Mungu haonekani katika maisha haya. Wakristo wakiwa na utamaduni wa kuabudu kwa kupitia masanamu mara nyingi wanauliza vipi Mungu aweze kuabudiwa bila ya kumuona. Mungu anapaswa kuabudiwa kwa kuegemea elimu ya kujua sifa zake alizozifunua katika vitabu sahihi. Kwa mfano, Allah anajieleza yeye mwenyewe katika Quran kuwa yeye ni Mwenye rehema, kwa hiyo, Wanaomwabudu wanatakiwa waonyeshe rehema nyingi za Mungu na kumshukuru Mungu kwa rehema hizo. Pia wanapaswa kutafakari juu ya tabia ya rehema zake kwao na kuonyesha rehema kwa watu wengine. Hivyo hivyo, Mungu anajitambulisha kuwa yeye ni Msamehevu, kwa hiyo wanaomwabudu wanatakiwa wamgeukie na kutubu na wasikate tamaa wanapofanya madhambi. Pia wanatakiwa waheshimu msamaha wa Mungu kwa kuwa wasamehevu kwa watu wengine. Utabiri

Sehemu mojawapo ya ujumbe wa Nabii Yesu ilikuwa ni kuwafahamisha wafuasi wake juu ya nabii atakayekuja baada yake. Kama vile Yohana Mbatizaji alipobashiri ujio wa Yesu Kristo, naye Yesu alitabiri kuja kwa nabii wa mwisho wa Mungu, Muhammad. Katika Quran, Sura ya As-Swaff 61:6, Mungu ananukuu utabiri wa Yesu juu ya Muhammad (SAW). "وَإِذْ قَالَ عِيسَى ابْنُ مَرْيَمَ يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ إِنِّي رَسُولُ اللَّهِ إِلَيْكُم مُّصَدِّقًا لِّمَا بَيْنَ يَدَيَّ مِنَ التَّوْرَاةِ وَمُبَشِّرًا بِرَسُولٍ يَأْتِي مِن بَعْدِي اسْمُهُ أَحْمَدُ..." "Na Isa bin Mariamu aliposema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume wa Mwenyezi Mungu kwenu, ninayethibitisha yaliyokuwa kabla yangu katika Taurati, na mwenye kubashiria kuja Mtume atakayekuja baada yangu; jina lake ni Ahmad…" As-Swaff 61:6[45] Pia kuna baadhi ya marejeo katika Injili yanayoonekana kuwa yanaonyesha kuja kwa Mtume Muhammad – Rehema na amani ziwe kwa mitume wote. Katika Injili, kwa mujibu wa Yohana 14:16, Yesu ananukuliwa akisema, “Nami nitamwomba Baba, naye atawapa Msaidizi mwingine, ili akae nanyi hata milele.”.[46] Walei wa Kikristo kikawaida wanamfasiri "Msaidizi" aliyetajwa katika Yohana 14:16 kuwa ni Roho Mtakatifu.[47] Hata hivyo, ibara "Msaidizi mwingine" inadokeza kuwa huyo atakuwa ni mtu mwingine aliye kama Yesu na sio Roho Mtakatifu, [48] hasa hasa ukizingatia Yohana 16:7, pale Yesu anaporipotiwa kuwa amesema, “Lakini mimi nawaambia iliyo kweli; yawafaa ninyi mimi niondoke; kwa maana mimi nisipoondoka, huyo Msaidizi hatakuja kwenu; bali mimi nikienda zangu, nitampeleka kwenu.” Neno "Msaidizi" haliwezi kumwonyesha Roho Mtakatifu kwa hapa, kwa sababu – kwa mujibu wa Injili - Roho Mtakatifu tayari ameshakuwepo duniani kabla ya Kuzaliwa Yesu,[49] pia wakati wa unabii wake.[50] Mstari huu unaashiria kuwa "Msaidizi" bado hajaja. Tangazo la Yesu ni kuwa mtume "Msaidizi" atakuwa nanyi milele" lingepaswa kutafsiriwa na kumaanisha kuwa kutakuwa hakuna haja ya mitume ya ziada ili kumfanya afanikiwe huyo Msaidizi. Naye atakuwa Mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu, na ujumbe wake utalindwa mpaka mwisho wa Dunia.[51] Utabiri wa Yesu kwa ujio wa Muhammad – Mungu awarehemu wote wawili – unauthibitisha utabiri wa Muhammad (SAW) katika Torati. Katika Kumbukumbu la Torati 18:18 na 19, imeandikwa kuwa Bwana alimwambia Musa, “Mimi nitawaondokeshea nabii miongoni mwa ndugu zao[52] mfano wako wewe, nami nitatia maneno yangu kinywani mwake,[53] naye atawaambia yote nitakayomwamuru. Hata itakuwa, mtu asiyesikiliza maneno yangu atakayosema yule kwa jina langu,[54] nitalitaka kwake.” Katika Isaya 42:1, Isaya anatabiri juu ya mteule "Mtumishi wa Bwana" ambaye kazi yake ya utume itakuwa kwa watu wote, kinyume na manabii wa Kiisraeli ambao kazi zao zilifungika kwa waisraeli tu. “Tazama mtumishi wangu nimtegemezaye; mteule wangu, ambaye nafsi yangu imependezwa naye; nimetia roho yangu juu yake; naye atawatolea mataifa hukumu… Hatazimia, wala hatakata tama, hata atakapoweka hukumu duniani; na visiwa vitaingojea sheria yake… Jangwa na miji yake na ipaze sauti zao, Vijiji vinavyokaliwa na Kedari…” Huyu mtumishi wa kipekee wa Bwana ni yule aliyetambulishwa kuwa ni Kedar,[55] yaani Warabu.
Sura ya Nne: Njia

Kipengele kingine cha ujumbe wa Nabii Yesu kilikuwa ni mwaliko wake wa kuwaalika watu wafuate njia yake. Mitume ilileta sheria au kuendeleza zile zilizoletwa na mitume iliyopita, na kuwaalika watu wamwabudu Mungu kwa kutii sheria takatifu zilizofunuliwa. Wao, pia wanafafanua kimatendo kwa wafuasi wao vipi mtu ataishi kisheria. Hivyo, hao mitume, vilevile wanawaalika wale wote wanaowamini wao wafuate njia zao zikiwa ndio njia sahihi za kumkaribia Mungu. Msingi huu umewekwa katika Injili kwa mujibu wa Yohana 14:6: “Yesu akawaambia, Mimi ndimi njia, na kweli, na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.” Ingawa wale wanaomwabudu Yesu kwa kawaida wananukuu mstari huu ukiwa ni sehemu ya ushahidi ya uungu wake, lakini Yesu hajawaita watu wamwabudu yeye badala ya Mungu, au kama Mungu. Kama maneno haya kwa ukweli kabisa yametamkwa na Yesu, yanamaanisha kuwa mtu haruhusiwi kumwabudu Mungu ispokuwa kwa kutumia njia iliyofafanuliwa na manabii wa Mungu. Yesu ametia mkazo kwa wanafunzi wake kuwa wanatakiwa wamwabudu Mungu kwa njia ile aliyowafundisha. Katika Quran, Sura Al-Imran 3:31, Mungu anamwelekeza Mtume Muhammad (SAW) awafundishe wanadamu wamfuate kama kweli wanampenda Mungu:
"قُلْ إِن كُنتُمْ تُحِبُّونَ اللّهَ فَاتَّبِعُونِي يُحْبِبْكُمُ اللّهُ وَيَغْفِرْ لَكُمْ ذُنُوبَكُمْ وَاللّهُ غَفُورٌ رَّحِيمٌ"​
"Sema: Ikiwa nyinyi mnampenda Mwenyezi Mungu basi nifuateni mimi, Mwenyezi Mungu atakupendeni na atakufutieni madhambi yenu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kufuta madhambi na Mwenye kurehemu." Al-Imran 3:31 Njia ya manabii ni njia ya pekee kuelekea kwa Mungu, kwa sababu Mungu Mwenyewe ameifanya iwe sheria, na lengo la mitume lilikuwa ni kufikisha mafundisho ya Allah kwa wanadamu. Bila ya manabii, watu wasingejua namna ya kumwabudu Allah. Hivyo, mitume yote iliwafahamisha wafuasi zao namna ya kumwabudu Mungu. Kinyume chake, kuongeza chochote katika dini iliyoletwa na mitume ni makosa. Badiliko lolote litakalofanywa katika dini baada ya kipindi cha mitume litamaanisha kupotoka kulikofunuliwa na Shetani. Kwa mazingatio haya, Mtume Muhammad (SAW) ameripotiwa akisema: "Atakayezusha kitu katika dini yetu, kitu ambacho sio katika dini yetu, basi kitu hicho kinarudishwa." Imepokewa na Bukharin na Muslim."[56] Zaidi, mtu yeyote anayemwabudu Allah kinyume na mafundisho ya Yesu, atakuwa anaabudu bure. Njia ya Yesu

Kwanza na kabla ya yote, lazima itambulike kuwa Yesu Kristo, mwana wa Mariamu, alikuwa ni wa mwisho katika orodha ya manabii wa Kiisraeli. Aliishi kwa mujibu wa Torati, na sheria ya Musa, na aliwafundisha wafuasi zake wafanye hivyo hivyo. Katika Mathayo 5:17-18, Yesu ameeleza: “Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua Torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kuitimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie.” Kwa bahati mbaya, kiasi cha miaka mitano baada ya kuisha kwa uchungaji wa Yesu, Rabbi kijana kwa jina la Sauli wa Tarsus, aliyedai kuwa amemuona Yesu katika maono, alianza kubadilisha njia ya Yesu. Paulo (jina lake kwa Kirumi) alikuwa na heshima kubwa kwa falsafa ya Kirumi na alizungumza kwa ufahari kwa kuwa na uraia wa Roman. Imani yake ilikuwa ni kuwa wasio-Wayahudi walioingia Ukristo wasibebeshwe mzigo wa Torati kwa hali yoyote ile. Mtunzi wa Matendo 13:39 anamnukuu Paulo akisema, “Na kwa yeye kila amwaminiye huhesabiwa haki katika mambo yale yote asiyoweza kuhesabiwa haki kwa Torati ya Musa.” Kimsingi ilikuwa ni kwa kupitia juhudi za Paulo ndipo kanisa lilipoanza kufuata mkondo wa tabia za wasio-Wayahudi. Paulo[57] ameandika barua (nyaraka), nyingi za Agano Jipya zinazokubaliwa na kanisa zikiwa ni kama mafundisho rasmi ya kiitikadi na Kitabu kilichofunuliwa. Nyaraka hizo hazikuilinda Injili ya Yesu wala hata kuiwakilisha;[58] badala yake amegeuza mafundisho ya Kristo kuwa ya falsafa ya Kihelleniki (Graeco-Roman). Ifuatayo ni baadhi ya mifano ya mafundisho aliyoyafuata nabii Yesu na kuyafundisha, lakini baadaye yaliachwa na Kanisa. Hata hivyo, mengi miongoni mwa mafundisho hayo yalifufuliwa katika ujumbe wa mwisho wa Uislamu ulioletwa na Mtume Muhammad (SAW) na yakaendea kubakia kuwa ni sehemu ya msingi katika matendo ya dini ya Kiislamu hadi leo hii. Kutahiri

Yesu alitahiriwa. Kwa mujibu wa Agano la Kale, mapokeo haya yalianzia na Mtume Ibrahimu, ambaye yeye mwenyewe hakuwa Myahudi wala Mkristo. Katika Mwanzo 17:10-13, imeandikwa, “Hili ndilo agano langu utakalolishika, kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, Kila mwanamume wa kwenu atatahiriwa. Mtatahiriwa nyama ya magovi yenu, na jambo hilo litakuwa ishara ya agano kati ya mimi na nyinyi. Mtoto wa siku nane atatahiriwa kwenu, kila mwanamume katika vizazi vyenu, mzaliwa nyumbani, na mnunuliwa kwa fedha, kila mgeni asiyekuwa wa uzao wako. Mzaliwa nyumbani mwako, na mnunuliwa na fedha yako, lazima atahiriwe; na agano langu litakuwa katika mwili wenu, kuwa agano la milele.” Katika Injili kwa mujibu wa Luka 2:21: “Hata zilipotimia siku nane za kumtahiri, aliitwa jina lake Yesu; kama alivyoitwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.” Kwa hiyo, kutahiriwa ilikuwa ni sehemu ya njia ya Yesu. Hata hivyo, leo hii Wakristo wengi hawajatahiriwa, kwa sababu ya mantiki iliyoletwa na Paulo. Yeye alidai kuwa kutahiriwa kulikuwa ni kutahiriwa kwa moyo. Katika waraka wake kwa Warumi 2:29, ameandika: “Bali yeye ni Myahudi aliye Myahudi kwa ndani; na tohara ni ya moyo, katika roho, si katika andiko;..." Na katika waraka wake kwa Wagalatia 5:2, ameandika “Tazama, mimi Paulo nawaambia ninyi ya kwamba, mkitahiriwa, Kristo hatawafaidia neno[59] Hii ni tafsiri isiyo ya kweli ya Paulo. Kwa upande mwingine, Yesu hakutahiriwa moyoni wala hajasema lolote juu ya kutahiriwa moyoni; yeye aliliendeleza "agano la milele" na alitahiriwa katika nyama. Kwa hiyo, sehemu muhimu ya kufuata njia ya Yesu ni kutahiriwa. Mtume Muhammad (SAW) amenukuliwa akisema: "Mambo matano ni katika maumbile,[60] kutahiri, kunyoa nywele za sehemu za siri, kunyoa nywele za kwapani, kukata kucha, na kupunguza masharubu." Imepokewa na Bukharin na Muslim." [61] Nguruwe

Yesu hajakula nguruwe. Alifuata sheria za Musa na hakula nguruwe. Katika Walawi 11:7-8, “Na nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi, kwenu, msiile nyama yao, wala msiiguse mizoga yao; hao ni najisi kwenu.”[62] Yesu alishughulika na nguruwe pale tu, alipowaruhusu pepo wabaya waliomwingia mtu wawaingie nguruwe. Na walipoliingia kundi la nguruwe, hao nguruwe walikimbilia kwenye maji na kuzama. Hata hivyo, watu wengi wanaojiita Wakristo leo hii sio tu wanakula nguruwe, lakini pia wanampenda sana kiasi cha kumfanya nguruwe kuwa mada ya wimbo wa chekechea [mfano wimbo: Huyu Nguruwe Mdogo alienda sokoni…] na hadithi za watoto [mfano: Nguruwe Wadogo Watatu]. Nguruwe na Nyama ya nguruwe ni wahusika mashuhuri wa katuni, na hivi karibuni hadithi ya sinema ndefu imetayarishwa kuhusu nguruwe aitwaye "Babe". Kwa hiyo, inawezekana kusema kuwa wale wanaojiita ni wafuasi wa Kristo kwa hakika hawafuati njia ya Kristo. Katika sheria ya Kiislamu, kuharamishwa kwa nguruwe na mazao yake kumetekelezwa kwa nguvu tangu wakati wa Mtume Muhammad (SAW) hadi leo hii. Katika Quran, Sura ya Al-Baqarah 2:173, Mungu anasema: "إِنَّمَا حَرَّمَ عَلَيْكُمُ الْمَيْتَةَ وَالدَّمَ وَلَحْمَ الْخِنزِيرِ وَمَا أُهِلَّ بِهِ لِغَيْرِ اللّهِ فَمَنِ اضْطُرَّ غَيْرَ بَاغٍ وَلاَ عَادٍ فَلا إِثْمَ عَلَيْهِ إِنَّ اللّهَ غَفُورٌ رَّحِيمٌ" "Yeye amekuharimishieni mzoga tu na damu na nyama ya nguruwe na kilichotajiwa, katika kuchinjwa kwake, jina la asiyekuwa Mwenyezi Mungu. Lakini aliyefikiwa na dharura bila ya kutamani wala kupita kiasi, yeye hana dhambi. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu." Al-Baqarah 2:173 [63] Damu

Pia, Yesu hakula kitu chochote cha damu, wala hajakula damu. Mungu amenukuliwa akimfundisha Mtume Musa katika Torati, Kumbukumbu la Torati 12:16, “Lakini msiile damu; imwageni juu ya nchi kama maji.”. Na katika Lawi 19:26, “Msile kitu cho chote pamoja na damu yake; wala msifanye kuloga, wala kutumia utambuzi.” Katazo hili limelindwa hadi leo hii katika ufunuo wa mwisho katika Sura Al-Anaam 6:145 "قُل لاَّ أَجِدُ فِي مَا أُوْحِيَ إِلَيَّ مُحَرَّمًا عَلَى طَاعِمٍ يَطْعَمُهُ إِلاَّ أَن يَكُونَ مَيْتَةً أَوْ دَمًا مَّسْفُوحًا أَوْ لَحْمَ خِنزِيرٍ فَإِنَّهُ رِجْسٌ..." "Sema: Sioni katika yale niliyofunuliwa mimi kitu kilichoharimishwa kwa mlaji kukila isipokuwa kiwe ni nyamafu, au damu inayomwagika, au nyama ya nguruwe, kwani hiyo ni uchafu;…" Al-Anaam 6:145 Hivyo, ibada maalum ya kuchinja ilifanywa iwe sheria na Mungu kwa mataifa yote yaliyopelekewa mitume, ili kuhakikisha kuwa damu nyingi inaondoshwa kwa ufanisi kutoka kwa mnyama aliyechinjwa na kumkumbusha mwanadamu fadhila za Mungu. Quran inataja mafundisho haya katika sura ya Al-Hajji 22:34 kama ifuatavyo: "وَلِكُلِّ أُمَّةٍ جَعَلْنَا مَنسَكًا لِيَذْكُرُوا اسْمَ اللَّهِ عَلَى مَا رَزَقَهُم مِّن بَهِيمَةِ الْأَنْعَامِ..." "Na kila umma tumewafanyia mahala pa kuchinjia mihanga ya ibada ili walitaje jina la Mwenyezi Mungu juu ya vile walivyoruzukiwa katika wanyama wa mifugo…" Al-Hajji 22:34 Yesu na wafuasi wake wa kwanza waliuona mfumo mkamilifu wa kuchinja kwa kutaja jina la Mungu na kukata mishipa ya shingo ya mnyama akiwa hai ili kuuruhusu moyo usukume nje damu. Hata hivyo, Wakristo wa leo hii hawaambatanishi sana umuhimu wa mfumo wa kuchinja kikamilifu, kama ulivyofanywa sheria na Mungu. Kilevi (pombe)

Yesu aliitoa nafsi yake kwa ajili ya Mungu na kwa hiyo alijizui na vinjwaji vya kulevya kwa mujibu wa mafundisho yaliyorekodiwa katika Hesabu 6:1-4 “Kisha BWANA akanena na Musa, na kumwambia, Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Mtu mume au mke atakapoweka nadhiri kubwa, nadhiri ya Mnadhiri, ili ajiweke wakfu kwa BWANA; atajitenga na divai na vileo; hatakunywa siki ya divai, wala siki ya kileo, wala asinywe maji yoyote ya zabibu, wala asile zabibu mbichi wala zilizokauka. Siku zote za kujitenga kwake asile kitu cho chote kilichoandaliwa kwa mzabibu, tangu kokwa hata maganda." ”.[64] Katika Quran, Sura Al-Maaidah 5:90, Allah anaharamisha kileo bila kubadilika. "يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ إِنَّمَا الْخَمْرُ وَالْمَيْسِرُ وَالأَنصَابُ وَالأَزْلاَمُ رِجْسٌ مِّنْ عَمَلِ الشَّيْطَانِ فَاجْتَنِبُوهُ لَعَلَّكُمْ تُفْلِحُونَ" "Enyi mlio amini! Bila ya shaka ulevi, na kamari, na kuabudu masanamu, na kupiga ramli, ni uchafu katika kazi ya Shet'ani. Basi jiepusheni navyo, ili mpate kufanikiwa." Al-Maaidah 5:90 Na ule muujiza wa 'kugeuza maji yawe pombe',[65] unaopatika katika Injili ya Yohana tu, na ambao mtiririko wake unapingana na Injili nyingine. Kama ilivyotajwa mwanzoni, Injili ya Yohana ilipingwa ikiwa kama uasi katika kanisa la kwanza,[66] huku Injili tatu zilizobakia zimetajwa kama ni muhtasari wa Injili kwa sababu maandiko yaliyomo ni sawa na matendo ya maisha ya Yesu.[67] Hivyo, wasomi wa Agano Jipya wameonyesha shaka juu ya uhalisia wa utunzi wa tukio hili. Udhu kabla ya Kusali

Kabla ya kusali kikawaida, Yesu aliosha viungo vyake kwa mujibu wa mafundisho ya Torati. Musa na Haruna wamenukuliwa wakifanya hayo hayo katika Kutoka 40:30-31, “Akaliweka birika kati ya hema ya kukutania na madhabahu, akatia maji ndani yake ya kuoshea. Musa na Haruni, na wanawe wakanawa mikono yao na miguu yao ndani yak.” Katika Quran, Sura Al-Maaidah, 5:6, udhu kwa ajili ya sala umefanywa kuwa ni sheria na lazima kama ifuatavyo: "يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ إِذَا قُمْتُمْ إِلَى الصَّلاةِ فاغْسِلُواْ وُجُوهَكُمْ وَأَيْدِيَكُمْ إِلَى الْمَرَافِقِ وَامْسَحُواْ بِرُؤُوسِكُمْ وَأَرْجُلَكُمْ إِلَى الْكَعْبَينِ..." "Enyi mlioamini! Mnaposimama kwa ajili ya Sala basi osheni nyuso zenu, na mikono yenu mpaka vifundoni, na mpake vichwa vyenu, na osheni miguu yenu mpaka vifundoni…" Al-Maaidah, 5:6 Kusujudi katika Sala

Yesu ameelezwa katika Injili kuwa amesujudi alipokuwa akisali. Katika Mathayo 26:39, mtunzi anaeleza tukio lililotokea pale Yesu alipoenda na wanafunzi wake hadi Gethsemane: “Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akasema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utavyo wewe.” Wakristo wa leo hii wanapiga magoti, wanakutanisha viganja vyao, katika mkao ambao hauwezi kuwa ndio sheria ya Yesu. Mfumo wa kusujudu katika sala uliofuatwa na Yesu haukuwa wa kujifanyia mwenyewe. Ulikuwa ndio mtindo wa sala wa manabii wa kabla yake. Katika Agano la Kale, Mwanzo 17:3, Nabii Ibrahimu anarekodiwa kuwa alianguka juu ya uso wake katika sala; katika Hesabu 16:22 na 20:6, wote wawili Musa na haruna wamerekodiwa kuwa wameanguka juu ya nyuso zao katika kuabudu; katika Yoshua 5:14 na 7:6, Yoshua alianguka juu ya uso wake ardhini na aliabudu; katika 1 Wafalme 18:42, Eliya alisujudu ardhini na kuweka uso wake kati ya magoti yake. Hii ilikuwa njia ya mitume ambayo kupitia kwao Mungu amechagua kufikisha neno Lake duniani; na kwa njia hii tu, wale wote wanaodai kumfuata Yesu watapata uwokovu aliouhubiri katika Injili. Sura ya Al-Insaan 76:25-6, ni mfano mmoja tu katika mifano mingi ya Quran juu ya mafundisho ya Mungu kwa waumini wasujudu wanapomuabudu. "وَاذْكُرِ اسْمَ رَبِّكَ بُكْرَةً وَأَصِيلًا، وَمِنَ اللَّيْلِ فَاسْجُدْ لَهُ وَسَبِّحْهُ لَيْلًا طَوِيلًا" "Na likumbuke jina la Mola wako Mlezi asubuhi na jioni; Na usiku msujudie Yeye, na umtakase usiku, wakati mrefu." Al-Insaan 76:25-6 Hijabu

Wanawake waliomzunguka Yesu walivaa hijabu kulingana na matendo ya wanawake waliokuwa karibu na mitume ya mwanzo. Nguo zao zilikuwa ni pana na za kufunika mwili wao wote, na walivaa ushungi unaofunika nywele zao. Katika Mwanzo 24:64-5: “Rebeka akainua macho, naye alipomwona Isaka, alishuku juu ya ngamia. Akamwambia mtumishi, Ni nani mtu huyu ajaye kondeni kutulaki? Mtumishi akasema, Huyu ndiye bwana wangu. Basi akatwa shela yake akajifumika Paulo ameandika katika waraka wake kwa 1 Wakorinto 11:5-6, “Bali kila mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunikwa kichwa, yuaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa. Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.” Kuna wanaoweza kupinga na kudai kuwa hilo lilikuwa ni mila ya wakati huo kujifunika mwili mzima. Hata hivyo, hiyo sio hoja. Katika sehemu zote Roma na Ugiriki, ambao utamaduni wao ndio ulikuwa ukiongoza eneo hilo, vazi la wengi lilikuwa ni fupi hasa na kuonyesha mikono, miguu, na kifua. Ni wanawake wa Kipalestna wanaofuata dini tu, wakifuata mapokeo ya Kiyahudi, ndio waliojifunika kwa kujistiri. Kwa mujibu wa Rabbi Dr. Menachem M. Brayer (Profesa wa Biblical Literature wa Chuo Kikuu cha Yeshiva), Ilikuwa ni mila kuwa wanawake wa Kiyahudi kutoka nje kwenye watu wengi wakiwa wamefunika vichwa, na wakati mwingine wanafunika uso mzima, na kuacha jicho moja tu.[68] Ameendelea kueleza zaidi kuwa "katika kipindi cha Tannaitic, mwanamke wa Kiyahudi atakayeshindwa kufunika kichwa chake alichukuliwa kuwa anafedhehesha utu wake. Na kichwa chake kinapokuwa kimefunuka anapaswa apigwe faini ya zumzim mia kwa kosa hilo.[69] Mwanatiolojia mashuhuri wa Kikristo wa mwanzo, Mtakatifu Tertullian (d. 220 CE), katika pendekezo lake maarufu, 'Juu ya Hijabu ya Mabikira' ameandika, "Wasichana, vaeni hijabu zenu nje huko mitaani, pia mzivae kanisani; mzivae mnapokuwa na wageni, kisha zivaeni mkiwa na kaka zenu…" Miongoni mwa sheria za kanisa la Katoliki hadi leo hii, kuna sheria inayowataka wanawake wafunike vichwa vyao wakiwa kanisani.[70] Madhehebu ya Kikristo, kama vile Waamish na Wamenonites, wanawake wao waneendelea kuvaa hijabu hadi leo. Katika Quran, Sura An-Nuur 24:31, waumini wanawake wanaagizwa wafunike mapambo yao na wavae hijabu kichwani na vifuani mwao. "وَقُل لِّلْمُؤْمِنَاتِ يَغْضُضْنَ مِنْ أَبْصَارِهِنَّ وَيَحْفَظْنَ فُرُوجَهُنَّ وَلَا يُبْدِينَ زِينَتَهُنَّ إِلَّا مَا ظَهَرَ مِنْهَا وَلْيَضْرِبْنَ بِخُمُرِهِنَّ عَلَى جُيُوبِهِنَّ..." "Na waambie Waumini wanawake wainamishe macho yao, na wazilinde tupu zao, wala wasionyeshe uzuri wao isipokuwa unaodhihirika. Na waangushe shungi zao juu ya vifua vyao, …" An-Nuur 24:31 Katika Sura ya Al-Ahzaabu 33:59, lengo la kuvaa hijabu limetolewa. Allah anaeleza kuwa hijabu inawafanya waumini wanawake wajulikane katika jamii na kupata kinga dhidi ya uwezekano wa kudhuriwa na jamii. Salamu

Yesu aliwasalimia wafuasi zake kwa kusema, "Amani iwe kwenu". Katika Sura 20:19, mtunzi asiyejulikana wa Injili ya Yohana ameandika yafuatayo kuhusu Yesu baada ya dai la kusulubiwa: “Akaja Yesu, akasimama katikati akawaambia, Amani iwe kwenu Salamu hii ilikuwa ni kama zile za manabii, kama ilivyotajwa katika vitabu vya Agano la Kale. Kwa mfano, katika 1 Samweli 25:6, Nabii Daudi amewaaagiza wajumbe aliowapeleka kwa Nabal: “Na hivi ndivyo mtakavyomwambia huyu aishiye salama, Amani iwe kwenu”. Quran inawaagiza wale wote wanaoingia katika majumba watoe salamu ya amani;[71] na wale watakaoingia Peponi watasalimiwa hivyo hivyo na malaika.[72] Katika Sura Al-Anaam 6:54, Mungu anawaagiza waumini wasalimiane wao kwa wao kwa amani:
"وَإِذَا جَاءكَ الَّذِينَ يُؤْمِنُونَ بِآيَاتِنَا فَقُلْ سَلاَمٌ عَلَيْكُمْ..."​
"Na wanapokujia wanaoziamini Ishara zetu waambie: Assalamu alaikum! Amani iwe juu yenu!..." Al-Anaam 6:54 Zaka

Yesu aliimarisha taasisi ya zaka za lazima, ijulikanayo kama "moja ya kumi", iliyokuwa inachukuliwa kutoka katika mavuno ya kila mwaka na kurejeshwa kwa Mungu kwa sherehe. Katika Kumbukumbu la Torati 14:22: “Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka.” Katika Sura ya sita, Al-Anaam, aya ya 141, Mungu anawakumbusha waumini walipe zaka wakati wa mavuno: "وَهُوَ الَّذِي أَنشَأَ جَنَّاتٍ مَّعْرُوشَاتٍ وَغَيْرَ مَعْرُوشَاتٍ وَالنَّخْلَ وَالزَّرْعَ مُخْتَلِفًا أُكُلُهُ وَالزَّيْتُونَ وَالرُّمَّانَ مُتَشَابِهًا وَغَيْرَ مُتَشَابِهٍ كُلُواْ مِن ثَمَرِهِ إِذَا أَثْمَرَ وَآتُواْ حَقَّهُ يَوْمَ حَصَادِهِ وَلاَ تُسْرِفُواْ إِنَّهُ لاَ يُحِبُّ الْمُسْرِفِينَ" "Na Yeye ndiye aliyeziumba bustani zenye kutambaa juu ya chanja, na zisizotambaa, na mitende, na mimea yenye matunda mbalimbali, na mizaituni na mikomamanga inayofanana na isiyofanana. Kuleni matunda yake inapozaa, na toeni haki yake siku ya kuvunwa kwake. Wala msitumie kwa fujo. Hakika Yeye hawapendi watumiayo kwa fujo." Al-Anaam 6:141[73] Mfumo wa zaka (kwa Kiarabu, zakaah) umepangwa vizuri, kwa viwango tofauti tofauti kwa pesa na vito vya thamani na vile vya mazao ya kilimo na mifugo. Pia, wote wanaofaa kuipokea wametambulishwa kwa uwazi katika Quran, Sura ya At-Tawbah 9:60. kimsingi inagawanywa miongoni mwa makundi mbalimbali ya maskini na haitumiki katika kuwapa maisha ya anasa viongozi wa kidini. Kfunga

Kwa mujibu wa Injili, Yesu alifunga kwa siku arobaini. Mathayo 4:2 “Akafunga siku arobaini mchana na usiku, mwisho akaona njaa.”.[74] Hili lilikuwa linalingana na matendo ya manabii wa mwanzo. Pia Musa amerekodiwa katika Kutoka 34:28, kuwa alifunga: “Naye alikuwa huko pamoja na BWANA siku arobaini na masiku yake; hakula chakula, wala hakunywa maji. Naye akaandika katika hizo mbao, hayo maneno ya maagano, hizo amri kumi.” Katika Quran, Sura Al-Baqarah 2:183, waumini wameagizwa watekeleze funga.
"يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ كُتِبَ عَلَيْكُمُ الصِّيَامُ كَمَا كُتِبَ عَلَى الَّذِينَ مِن قَبْلِكُمْ لَعَلَّكُمْ تَتَّقُونَ"​
"Enyi mlioamini! Mmeandikiwa Saumu, kama waliyoandikiwa walio kuwa kabla yenu ili mpate kumcha mungu." Al-Baqarah 2:183 Lengo la kufunga limefafanuliwa kwa uwazi nalo ni kendeleza uchamungu. Ni Mungu pekee ajuaye ni nani afungaye kweli na nani hafungi. Hivyo, mfungaji anajizuia na kula, kunywa kwa kutegemea Mungu yu macho. Funga inanyanyua mwamko unaopelekea kupenda sana mema. Waumini wanapaswa wafunge kuanzia alfajiri hadi kuzama kwa jua katika mwezi mzima wa Ramadhani (mwezi wa tisa wa kalenda ya Kiislmamu ya miezi miandamo). Mtume Muhammad (SAW) pia amesema, "Hakika ya funga bora ni funga ya Daudi, alikuwa akifunga siku moja na kufungulia inayofuata." [75] Riba

Kwa kukamata sheria, Nabii Yesu pia alipinga kutoa au kupokea riba kwa sababu maandiko ya Torati yanakataza vikali riba. Imenukuliwa katika kumbukumbu la torati 23:19 kuwa, “Usimkopeshe ndugu yako kwa riba; riba ya fedha, riba ya vyakula,[76] riba ya kitu cho chote kikopeshwacho kwa riba;"[77] Pia riba imekatazwa vikali katika sura Al-Baqarah 2:278 ya Quran: "يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُواْ اتَّقُواْ اللّهَ وَذَرُواْ مَا بَقِيَ مِنَ الرِّبَا إِن كُنتُم مُّؤْمِنِينَ" "Enyi mlioamini! Mcheni Mwenyezi Mungu, na acheni riba zilizobakia, ikiwa nyinyi ni Waumini." Al-Baqarah 2:278 Ili kukamilisha takwa hili la Mwenyezi Mungu, Waislamu wamendeleza mfumo mbadala wa Benki, kwa kawaida unajulikana kama 'Benki ya Kiislamu', isiyo na riba. Mitala (wake wengi)

Hakuna rekodi zinazoonyesha kuwa Nabii Yesu anapinga mitala. Na kama alifanya hivyo, ingeonyesha kuwa analaani matendo ya manabii waliotangulia kabla yake. Kuna mifano mingi ya ndoa za mitala miongoni mwa manabii iliyorekodiwa katika Torati. Nabii Ibrahimu alikuwa na wake wawili, kwa mujibu wa Mwanzo 16:3: “Sarai mkewe Abramu akamtwaa Hajiri Mmisri mjakazi wake, baada ya kukaa Abramu katika nchi ya Kanaani miaka kumi, akampa Abramu mumewe, awe mkewe.” Pia Nabii Daudi, kwa mujibu wa kitabu cha kwanza cha Samweli 27:3, “Daudi akakaa huko Gathi pamoja na Akishi, yeye na watu wake, kila mtu na watu wa nyumbani mwake; Daudi naye alikuwa na wakeze wawili, Ahinoamu wa Yezreeli, na Abigaili wa Karmeli, aliyekuwa mkewe Nabali.” Katika 1 Wafalme 11:3, Suleimani inasemwa kuwa alikuwa na “…wake mia saba binti za kifalme, na masuria mia tatu; nao wakeze wakamgeuza moyo.” Mototo wa Suleimani, Rehobo'am, pia alikuwa na idadi kubwa ya wake, kwa mujibu wa 2 Nyakati 11:21, “Rehoboamu akampenda Maaka binti Absalomu kuliko wakeze wote na masuria yake; (maana alioa wake kumi na wanane, na masuria sitini, akazaa wana ishirini na wanane na binti sitini).” Kwa hakika, Torati inafafanua sheria ya kugawa mirathi katika hali za mitala. Katika Kumbukumbu la Torati 21:15-16, sheria inasema: “Ikiwa mtu yuna wake wawili, mmoja ampenda, mmoja hampendi, nao wamemzalia watoto, ampendaye na asiyempenda wote wawili; na yule mzaliwa wa kwanza akiwa ni wa mke asiyependwa; ndipo itakapokuwa ya kwamba siku atakayowarithisha wanawe alivyo navyo, asimweke mwana wa ampendaye kuwa mzaliwa wa kwanza mbele ya mwana wa asiyempenda, naye ndiye mzaliwa wa kwanza huyu;” Kikwazo pekee cha mitala kilikuwa ni kukataza kuoa dada ya mkeo awe mke mwenza katika walawi 18:18, “Wala usitwae mwanamke pamoja na nduguye, awe mtesi wake, na kufunua utupu wake, huyo wa pili atakapokuwa yu hai.” Kitabu cha Talmudi kinashauri kuoa mwisho wake wanne kama ilivyokuwa ikitendwa na Nabii Yakobo.[78] Kwa mujibu wa Padri Eugene Hillman, "Katika Agano Jipya hakuna sehemu yoyote yenye amri iliyowazi ya kuwa ndoa iwe ya mke mmoja au amri yoyote iliyowazi inayokataza mitala."[79] Akaendelea kutilia mkazo ukweli kuwa, kanisa huko Roma lilikataza mitala ili kuafikiana na utamaduni wa Graeco-Roman unaoweka sheria ya mke mmoja tu huku ikisamehe vimada na ukahaba.[80] Uislamu umeweka mipaka ya mitala kuwa mwisho kuoa wake wanne kwa wakati mmoja na Uislamu umetangaza kuwatendea wake kwa uadilifu kuwa ndio sharti la msingi la mitala. Katika Sura An-Nisaa 4:3, Mungu anaeleza: "...فَانكِحُواْ مَا طَابَ لَكُم مِّنَ النِّسَاء مَثْنَى وَثُلاَثَ وَرُبَاعَ فَإِنْ خِفْتُمْ أَلاَّ تَعْدِلُواْ فَوَاحِدَةً..." "…Oeni mnaowapenda katika wanawake, wawili au watatu au wanne. na mkiogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi mmoja tu…" An-Nisaa 4:3
Hitimisho

Kuna Mungu mmoja tu aliyeumba jamii moja ya wanadamu, na akawafikishia ujumbe mmoja: nao ni kutii matakwa ya Mungu – kunakuojulikana kwa Kiarabu kama Uislamu. Ujumbe huo ulipelekwa kwa watu wa kwanza duniani, na kuthibitishwa na manabii wote wa Mungu waliokuja baada yao, zama zote zilizopita. Kiini cha ujumbe wa Uislamu ni kuwa binadamu lazima wamwabudu Mungu mmoja tu kwa kutii Amri zake, na kuacha kuabudu viumbe wa Mungu vikiwa kama njia, umbo au mfumo wowote ule. Yesu Kristo, amezaliwa na Bikira Maria, amefanya miujiza na kuwaita Waisraeli katika ujumbe ule ule wa kutii (Uislamu), kama walivyofanya manabii wote waliomtangulia. Yesu hakuwa Mungu, wala hakuwa 'Mwana wa Mungu', lakini alikuwa ni Masihi, Mtume wa Mungu mwenye heshima kubwa. Yesu hajawaita watu wamwabudu yeye; kinyume chake, aliwaita wamwabudu Mungu, na yeye mwenyewe pia alimwabudu Mungu. Aliithibitisha sheria za Torati alizozifundisha Nabii Musa; aliishi nazo na kuwaagiza wanafunzi wake wazifuate kwa maelezo mazuri sana. Kabla ya kuondoka kwake, aliwafahamisha wafuasi wake juu ya Nabii wa mwisho, Muhammad wa Arabuni (SAW), atakayekuja baada yake, na kuwaagiza watii mafundisho yake. Katika vizazi vya baada ya kuondoka kwa Yesu kutoka katika dunia hii, mafundisho yake yaliharibiwa naye akakuzwa na kufikishwa kuwa Mungu. Karne sita baadaye, baada ya kuja kwa Mtume Muhammad (SAW), hatimaye ukweli juu ya Yesu Kristo ukaelezwa upya na kuhifadhiwa milele katika kitabu cha ufunuo wa Mungu cha mwisho, Quran. Zaidi, sheria za Musa, alizozifuata Yesu, zilifunuliwa upya katika mfumo safi na nadhifu, na kutekelezwa katika njia ya maisha iliyowekwa iwe sheria na Mungu ijulikanayo kama Uislamu. Hivyo, ukweli wa manabii, ujumbe wao wa aina moja, na njia ya maisha waliyoifuata, vinapatikana vikiwa vimehifadhiwa katika dini ya Kiislamu, dini ya pekee iliyoletwa na Mungu kwa ajili ya wanadamu. Na zaidi, leo hii ni Waislamu pekee wanaomfuata kikweli kweli Yesu na mafundisho yake ya kweli. Njia yao ya maisha inaendana sana na njia ya maisha ya Yesu kuliko "Mkristo" yeyote wa siku hizi. Mapenzi na heshima kwa Yesu Kristo ni kipengele cha imani katika Uislamu. Allah amesisitiza umuhimu wa kumwamini Yesu katika sehemu nyingi katika Quran. Kwa mfano, katika Sura An-Nisaai 4:159, Amesema: "وَإِن مِّنْ أَهْلِ الْكِتَابِ إِلاَّ لَيُؤْمِنَنَّ بِهِ قَبْلَ مَوْتِهِ وَيَوْمَ الْقِيَامَةِ يَكُونُ عَلَيْهِمْ شَهِيدًا" "Na hawi katika Watu wa Kitabu ila hakika atamuamini yeye kabla ya kufa kwake. Naye Siku ya Kiyama atakuwa shahidi juu yao." An-Nisaai 4:159 Kurudi kwa Yesu

Ingawa kuna matarajio ya kurudi kwa Yesu, wanayoyasubiri Wakristo, pia hiyo ni sehemu ya imani ya Kiislamu. Hata hivyo, hatorudi kuhukumu dunia kama wanavyoamini Wakristo wa kisasa, kwa sababu hukumu inamilikiwa na Mungu peke yake. Quran inafundisha kuwa Yesu hakuuliwa na Wayahudi, lakini badala yake alinyanyuliwa na Mungu akiwa hai kwenda mbinguni. An-Nisaai 4:157-158: "وَقَوْلِهِمْ إِنَّا قَتَلْنَا الْمَسِيحَ عِيسَى ابْنَ مَرْيَمَ رَسُولَ اللّهِ وَمَا قَتَلُوهُ وَمَا صَلَبُوهُ وَلَـكِن شُبِّهَ لَهُمْ وَإِنَّ الَّذِينَ اخْتَلَفُواْ فِيهِ لَفِي شَكٍّ مِّنْهُ مَا لَهُم بِهِ مِنْ عِلْمٍ إِلاَّ اتِّبَاعَ الظَّنِّ وَمَا قَتَلُوهُ يَقِينًا، بَل رَّفَعَهُ اللّهُ إِلَيْهِ وَكَانَ اللّهُ عَزِيزًا حَكِيمًا " "Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu – nao hawakumuuwa wala hawakumsulubu, bali walifananishiwa tu. Na hakika waliokhitalifiana katika haya wamo katika shaka nayo. Wao hawana ujuzi nayo wowote, ila ni kufuata dhana tu. Wala hawakumuuwa kwa yakini. Bali Mwenyezi Mungu alimnyanyua kwake, na hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye hikima." An-Nisaai 4:157-158 Miongoni mwa vitu vilivyoripotiwa kuwa Mtume Muhammad (SAW) amevisema kuhusiana na kurudi kwa Nabii Yesu ni vifuatavyo, "Hakutakuwa na Nabii katika yangu na Isa (Yesu), naye atarejea. Na atakaporeja mtamjua. Atakuwa mtu mwenye umbo zuri na ngozi nyekundu na atashuka akiwa amevaa vipande viwili vya shuka. Nywele zake zitaonekana zimelowa, ingawa hazijaguswa na maji. Atapambana na watu ili kuuimarisha Uislamu, atavunja msalaba, ataua nguruwe na kubatilisha kodi ya jizya.[81] Katika wakati wake, Allah ataziangamiza dini zote ispokuwa Uislamu, pia, Masihi Dajjali atauliwa. Isa atakaa duniani kwa miaka arobaini, na atakapokufa, Waislamu watamsalia sala ya maiti." [82] Kurejea kwa Yesu kutakuwa ni moja ya alama za kufika Siku ya Kiama.
Bibliografia

Arberry, Arthur J., The Koran Interpreted, London: George Allen & Unwin, 1980. Barr, James, "Abba Isn't 'Daddy'," in Journal of Theological Studies, vol. 39, 1988. -----------, "Abba, Father", in Theology, vol. 91, no. 741, 1988. Brayer, Menachem M., The Jewish Woman in Rabbinic Literature: A Psychosocial Perspective, Hoboken, N.J: Ktav Publishing House, 1986. Burton, John, An Introduction to the Hadith, UK: Edingurgh University Press, 1994. -----------, The Collection of the Qur'an, Cambridge: Cambridge University Press, 1997. Cragg, Kenneth, The Mind of the Qur'an, London, George Allen & Unwin, 1973. Deedat, Ahmed, Christ in Islam, Durban, South Africa: The Islamic Propagation Centre, n.d. Dunn, James, Christology in the Making, London: SCM Press, and Philadelphia: Westminister Press, 1980. Eriedman, Richard, Who Wrote the Bible?, U.S.A.: Summit Books, 1987. Funk, Robert W., Roy W. Hoover and The Jesus Seminar, The Five Gospels, New York: Polebridge Press, Macmillan Publishing Co., 1993. Graham, William, Beyond the Written Word, Uk: Cambridge University Press, 1993. Hamidullah, Mohammed, Muhammad Rasullullah, Lahore, Pakistan: Idara-e-islamiat, n.d. Hasan, Ahmad, Sunna Abu Dawud, (English Trans.), Lahore: Sh. Muhammad Ashraf Publishers, 1[SUP]st[/SUP] ed., 1987. Hastings, J., Dictionary of the Bible, New York: Chas. Scribner's Sons, revised ed., 1963. Hebblethwai, Brian, The Incarnation, England: Cambridge University Press, 1987. Hick John, ed., The Myth of God Incarnate, London: SCM Press Ltd, 1977. ----------, The Metaphor of God Incarnate, London: SCM Press Ltd, 1993. Hillman, Eugene, Polygamy Reconsidered: Africans Plural Marriage and the Christian Churches, New York: Orbis Books, 1975. Hornyby, A.S., The Oxford Advanced Learner's Dictionary, England: Oxford University Press, 4[SUP]th[/SUP] ed., 1989. Khan, Muhammad Muhsin, Sahih Al-Bukhari, (Arabic-English), Lahore: Kazi Publications, 6[SUP]th[/SUP] ed., 1986. Gibb, H.A.R. and J.H. Kramers, shorter Encyclopaedia of Islam, Ithaca, New York: Cornell University Press, 1953. Maccoby, Hyam, The Myth-maker: Paul and the Invention of Christianity, New York: Harper & Row, 1987. Mayfield, Joseph H., Beacon Bible Commentary, Kansas City: Beacon Hill Press, 1965. Moule, C.F.D., The Origin of Christology, U.K.: Cambridge University Press, 1977. Mufassir, Sulayman Shahid, Biblical Studies from a Muslim Pespective, Washington: The Islamic Center, 1973. ----------, Jesus, A Prophet of Islam, Indianapolis: American Trust Publications, 1980. Nicholson, Reynold A., Literary History of the Arabs, Cambridge: Cambridge University Press. Philips, Abu Ameenah Bilal, The Purpose of Creation, Sharjah, U.A.E.: Dar Al Fatah, 1995. Ramsey, Michael, Jesus and the Living Past, UK: Oxford University Press, 1980. Ruether, Rosemary R., ed., Religion and Sexism: Images of Woman in the Jewish and Christian Traditions, New York: Simon and Schuster, 1974. Spray, Lisa, Jesus, Tucson, AZ: Renaissance Productions, 1987. Siddiq, Abdul Hamid, Sahih Muslim, (English Trans.) Lahore: Sh. Muhammad Ashraf Publishers, 1987. The New Encyclopaedia Britannica, Chicago: Encyclopaedia Britannica, Inc., 15[SUP]th[/SUP] Edition, 1991. The World Book Encyclopaedia, Chicago: World Book, Inc., 1987. p.31 and unauthorized copies were destroyed. p.34 to the level of the Bible are easily explained. For ex- p.38 authority for tracing the origin and early develop- p.46 The Biblical story of Jesus turning water into wine (John 2:1-10) is con- p.50 "When your Lord gathered all of aadam's descendants [before creation] and made them bear witness for themselves, saying: 'Am I not your Lord?' They all replied: Yes indeed, we bear wit- p.53 of these speeches is that they accurately reflect the original belief and termi- p. 74 "surely, I have sent to every nation a messe- p.77 was officially struck off the list of saints by papal de- p.80 portraying God in human from eventually won out. p.91 nor did he eat blood. God is recorded as having in- p.92 eaten by one who wishes to eat, except for ani- Consequently, particular rites of slaughter were pre- p.95 little farther be fell on his face and prayed, 'My Father, if it be possible, let this cup pass from me; never- p.98 Clara M Henning, "Canon Law and the Battle of the Sexes," in Relig-

[1] Yesu ananukuu Zaburi 82:6 “Mimi nimesema, Ndinyi miungu, Na wana wa Aliye juu, nyote pia.”
[2] Pia tazama Yohana 17:11.​
[3] Pia tazama, Mathayo 2:8.
[4] Pia tazama Mathayo 28:9, "Na tazama, Yesu akakutana nao, akasema, Salamu! Wakakaribia wakamshika miguu, wakamsujudia."
[5] Tazama, kwa mfano, 1 Samweli 25:23, "Ndipo hapo Abigaili alipomwona Daudi, alifanya haraka kushuka juu ya punda wake, akamwangukia Daudi kifulifuli, akainama mpaka nchi."
[6] Gospel Light, (1936 ed.) p. 353, quoted in Jesus, p.21.
[7] Injili ya Yohana kimsingi inatofautiana na Injili nyingine tatu (Injili za muhtasari) kiasi cha kutilia shaka uhakika wake. Kwa mfano: [TABLE="class: MsoNormalTable"]
[TR]
[TD]
Injili za Ufupisho​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Injili ya Yohana​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 284"]
Mahubiri ya Yesu kwa umma yalikuwa ni mwaka mmoja​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Mahubiri ya Yesu kwa umma yalikuwa ni miaka mitatu​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 284"]
Yesu aliongea kwa ufupi kiasi cha mstari mmoja hivi, na kwa mafumbo​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Yesu aliongea kwa urefu na kwa mijadala ya kifalsafa.​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 284"]
Yesu amesema kidogo mno kujihusu yeye mwenyewe​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Yesu aliakisi kwa upana zaidi juu ya kazi yake na haiba yake.​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 284"]
Kumtoa mbadilisha pesa nje ya hekalu ndio tukio lake la mwisho katika kazi yake duniani​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Kumtoa mbadilisha pesa nje ya hekalu ndio tukio lake la kwanza katika kazi yake​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 284"]
Yesu alitetea maskini na wakandamizwaji​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Yesu alikuwa na jukumu dogo au hakuwa na jukumu lolote kwa maskini na wakandamizwaji​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 284"]
Yesu ni mtoa pepo​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Yesu hajatoa pepo​
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 284"]
Yesu alisulubiwa mnamo 15 Nisan​
[/TD]
[TD="width: 284"]
Yesu alisulubiwa mnamo 15 Nisan, siku ya Pasaka ya muhanga wa Wayahudi.​
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[8] The Five Gospels, p. 10.​
[9] Wingi wake ni logoi nalo pia linamaanisha “hoja” au “mpango”.
[10] Dhana inayotambulishwa na neno logos pia linapatikana kwa wanafalsafa wahindu, Wamisri, na Wairani na mifumo ya kitiolojia. (The New Encyclopaedia Britannica, vol. 7, p. 440)
[11] Stoics walikuwa ni wanafalsafa waliofuata mafundisho ya mtambuzi Zeno wa Citicum (karne ya 4-3 BC).
[12] Wao wanaliita logos majaaliwa ya Mungu, maumbile, mungu, na roho wa ulimwenguni.
[13] Kwa mujibu wa Philo na wanafalsafa wa The Middle Platonists, waliofasiri kwa istilahi za kidini mafundisho ya karne ya nne BC ya mwalimu wa falsafa wa Kigiriki Plato, logos alizaliwa duniani kama ni msingi na wakati huo huo akili ya kiungu ya hali ya juu. (The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 7, p. 44o)
[14] The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 9, p. 386.
[15] Ibid, vol. 7, p. 440.
[16] Kristo katika Uislamu, pp. 40 – 1.
[17] Hili ni kwa mujibu wa King James Version na the Authorized Version. Katika Revised Standard Version, tafsiri ya mstari huu ni rejesho, “Na Bwana alimwambia Musa, ‘Tazama, Ninakufanya uwe Mungu kwa Farao; na Aroni nduguyo atakuwa mtume wako.”
[18] - The Myth-maker, p. 172.
[19]Miaka sabini baadaye Kanisa la Kikristo lilijengwa upya huko Jerusalem, baada ya huo mji kuharibiwa na Warumi kwa mara ya pili na kujengwa upya ukiwa ni mji wa Mataifa usio wa Wayahudi ukiitwa Aelia Caitolina. Hili kanisa Jipya la Kikristo halikuendeleza ‘Kanisa la Jerusalem’ lile la kwanza lililongozwa na James. Wafuasi wake walikuwa ni watu wa Mataifa, kama anavyothibitisha Eusebius, na imani yake ilikuwa ni ile ya Ukristo wa Kipauline. (Eusebius, Ecclesiastical History, III. V. 2-3, iliyonukuliwa katika The Myth-maker, p. 174)
[20] The Myth-maker, p. 175.
[21] The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 4, p. 344.
[22] Ibid., vol 4, p. 344.
[23] Pia ilijulikana kwa jina la Dynamic au Adoptionst Monarchianism.
[24] The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 8, p. 244.
[25] The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 9, p. 208.​
[26] Ibid., vol. 1, pp. 556-7.​
[27] The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 1, p. 549-50.​
[28] The Myth of God Incarnate, p. ix.​
[29] The Metaphor of God Incarnate, pp. 27-8.​
[30] Jesus and the Living Past, p. 39.​
[31] The Origin of Christology, p. 136.​
[32] Christology in the Making, p. 60.​
[33] The Incarnation, p. 74.​
[34] The Economist, April 1, 1989, vol. 311, no. 7596, p. 19.​
[35] King James Version and The Authorised Version.​
[36] The Purpose of Creation, pp. 42-3.​
[37] Kifasihi “sisi”, inajulikana kama “sisi ya kujitukuza” au “utukufu wetu”, ikimkusudia Allah.​
[38] Akiitwa Mtakatifu Maria, amekuwa ni kitu cha heshima katika Kanisa la Wakristo tangu zama za wanafunzi wa Yesu. Alipewa jina la theotokos, likimaanisha “mzaa-Mungu” au “mama wa Mungu” katika karne ya tatu au nne. Ibada ya wengi ya kumwabudu Maria – katika mfumo wa sikukuu, huduma za ibada, na rozari – zimecheza duru muhimu mno katika maisha ya Waroman Katoliki na Waoksodoksi. (The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 7, pp. 897-8 na vol. 16, pp. 278-9).
[39] Malaika, Michael, Gabriel na Raphael walifanywa watakatifu na sherehe za kidini zijulikanazo kama Michaelmas (inaitwa “sikukuu ya Mtakatifu Michael na Watakatifu wote” na Waanglikana) aliwekwa kwa ajili yao tarehe 29 Septemba na makanisa ya Kimagharibi, na tarehe 8 Novemba na Kanisa la Kioksodoksi la Mashariki. Ibada ya mtakatifu Michael ilianza katika kanisa la Mashariki katika karne ya nne CE. Kwa sababu ya nafasi ya kimapokeo ya mtakatifu Michael akiwa kama kiongozi wa majeshi ya mbinguni, hatimaye heshima ya malaika wote iliingizwa katika ibada yake. (The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 8, p. 95.). Akawa mlinzi mtakatifu wa majeshi.
[40] The world Book Encyclopedia, vol. 1, p. 509.
[41] The world Book Encyclopedia, vol. 11, p. 146.
[42] Ibid., vol. 3, p. 417.
[43] -Sunan Abu Dawud, vol. p. 387, no. 1474.​
[44] Mapambano ya uasi yalikuwa juu ya kutumia sanamu za kidini (alama) katika himaya ya Byzantine kipindi cha karne ya nane na tisa. Waasi (wote waliopinga masanamu) wa suala la alama za kuabudiwa kwa sababu kadhaa, ikiwemo katazo la Agano la Kale dhidi ya masanamu katika Amri Kumi (Kutoka 20:4) na uwezekano wa kuabudu sanamu. Watetezi wa alama za ibada wameng`ang`ania tabia ya kuwa masanamu ni alama na ni kwa heshima kitu kilichoundwa. Katika kanisa la kwanza, utengezaji na kuheshimiwa kwa picha ya Kristo na watakatifu ulipingwa kwa mfululizo. Matumizi ya alama hizo, licha ya, kasi ya umashuhuri iliyoipata, hasa hasa katika majimbo ya mashariki ya himaya ya Warumi. Katika kipindi cha mwishoni mwa karne ya sita CE na katika karne ya saba, alama za ibada zikawa ibada rasmi ya kutia moyo, mara nyingi inaashiria imani ya kishirikina katika harakati zao. Upinzani wa matendo hayo ukawa mkali mno huko Asia Ndogo. Mwaka 726, mtawala wa byzantine Leo III alikuwa upande wa watu wengi kupinga alama za ibada na kufikia 730 matumizi yake yakakatazwa rasmi. Hilo lilipelekea kuteswa kwa waabudu alama za ibada mateso yaliyofikia ubaya katika kipindi cha mafanikio ya utawala wa Leo, Constantine V (741-775 CE). Mwaka 787, hata hivyo, mtawala Irene aliitisha baraza la saba la dunia la Nicaea, katika baraza hilo kuvunja masanamu ya kidini kulilaaniwa na matumizi ya masanamu yaliyanzishwa upya. Waabudu sanamu walipata nguvu upya mnamo mwaka 814 baada ya kujiunga kwa Leo V, na matumizi ya alama za ibada yalikatazwa tena katika baraza la mwaka (815 CE). Kipindi cha pili cha waabudu sanamu kiliisha kwa kifo cha mfalme Theophilus mwaka 842. Mwaka 843, hatimaye, mjane wake aliwarejesha upya heshima ya alama za ibada, tukio linaloendelea kusherehekewa mpaka leo katika Kanisa la Kioksodoksi la Mashariki likiwa kama Sikukuu ya Kioksodoksi. (The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 6, p.237)
[45] "Ahmad" kama "Muhammad" limetokana na mzizi wa Kiarabu hamd yaani "shukurani, sifa njema". Mtume Muhammad (SAW) pia alikuwa akijulikana kwa jina la Ahmad.
[46] Neno la Kigiriki paraclete limetafsiriwa kama "Mfariji" katika King James Version, na "Wakili" na "Msaidizi" katika tafsiri nyingine. Parakletos inamaanisha mtu anayewaombea wengine, mtu anayewashauri au kuwanasihi wengine kwa kutilia umuhimu sana mambo ya wengine. (Beacon Bible Commentary, vol. 7, p. 168).
[47] Tazama Yohana 14:26, "Lakini huyo Msaidizi, huyo Roho Mtakatifu, ambaye Baba atampeleka kwa jina langu, atawafundisha yote…" Hata hivyo, katika 1 Yohana 4:1, neno "Roho" limetumika kuonyesha nabii, "Wapenzi, msiiamini kila roho, bali zijaribuni hizo roho, kwamba zimetokana na Mungu; kwa sababu manabii wa uongo wengi wametokea duniani"
[48] Kwa Kingereza, "onother" linaweza kumaanisha "mwingine zaidi ya yule wa kwanza" au "mwingine wa aina tofauti." Andiko la Kigiriki la Agano Jipya neno linalotumika ni allon, ambalo ni la kiume kwa hali ya kutendwa ya mzizi allos: "mwingine wa aina hiyo hiyo". Neno la Kigiriki kwa "mwingine wa aina tofauti". Ni heteros, lakini Agano Jipya halikulitumia neno hili katika Yohana 14:16. (Yesu, a Prophet of Islam, pp. 15-6).
[49] - Yohana Mbatizaji alijazwa Roho Mtakatifu akiwa tumboni mwa mama yake (Luka 1:15); Elizabeth alijazwa Roho Mtakatifu (Luka 1:67).
[50] Roho Mtakatifu alikuwa kwa Simeon (Luka 2:26) naye alitua kwa Yesu katika umbo la njiwa (Luka 3:22).
[51] - Jesus, A Prophet of Islam, p. 13.
[52] Ndugu wa Wayahudi – ambao ni kizazi cha mtoto wa Ibrahimu Isaka – ni Warabu, kizazi cha ndugu wa Isaka , Ismaili.
[53] Quran kifasihi inamaanisha "msomaji-mkaririji". Mtume Muhammad (SAW) alifundisha kuwa Quran ni maneno ya Mungu. Ufafanuzi na mafundisho yake mwenyewe yanajulikana kama ni hadithi.
[54] Sura zote 114 za Quran zinaanza na dua: "Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema Mwenye kurehemu." Ispokuwa sura moja tu, sura ya 9.
[55] Kizazi cha Ismaili kilijulikana kwa jina la Warabu, neno ambalo kwa Kiebrania, linamaanisha wale wanaoishi katika 'arabah au jangwani (Dictionary of the Bible, p. 47). Aliyetajwa sana miongoni mwa wana kumi na mbili wa Ismaili ni Qaydar (Kedar kwa Kiebrania). Katika baadhi ya mistari ya Biblia Qaydar ni kisawe cha Warabu kiujumla (Yeremia 2:10; Ezekieli 27:21; Isaya 60:7; Wimbo wa Selemani 1:5).
[56] Sahihi Al-Bukhari, vol. 3, p. 535, no. 861, na Sahihi Muslim, vol. 3, p. 931, no. 4266.​
[57] Alikatwa kichwa huko Roma miaka 34 baada ya kuisha kwa kazi ya uchungaji wa Yesu.
[58] Biblical Studies From a Muslim Perspective, p. 18.​
[59] Pia tazama Wagalatia 6:15.​
[60] Neno la Kiarabu lililotumika ni fitrah, linalomaanisha 'maumbile'.​
[61] Sahih Al-Bukhari, vol. 7, p. 515, no. 777 na sahihi Muslim, vol. 1, p. 159, no. 495.​
[62] Pia tazama, Kumbukumbu la Taroti 14:8.​
[63] Pia tazama Sura Al-Maaidah, 5:3.​
[64] Huyo ni mtu aliyetengana au mtu aliyejitenga, tunza, weka wakfu.​
[65] Yohana 2:1-11.​
[66] The Five gospels, p. 20.​
[67] The New Fncyclopaedia Britannica, vol. 5, p. 379.​
[68] The Jewish Woman in Rabbinic Literature, p.230.​
[69] Ibid., p. 139.​
[70] Clara M. Henning, "Canon Law and the Battle of thae Sexes," in Religion and Sexism, p.272.​
[71] Sura An-Nuur 24:27.​
[72] Sura Al-Araaf, 7:46.​
[73] Moja ya kumi ikiwa shamba limenyeshewa na mvua na moja ya ishirini kama limemwagiliwa.​
[74] Pia tazama Mathayo 6:16 na 17:21.​
[75] Sahih Al-Bukhari, vol. 3, pp. 113-4, no. 200 n1 Sahih Muslim, vol. 2, p. 565, no. 2595.​
[76] Chakula au utoaji.​
[77] Hata hivyo, katika mstari uliofuatia huu, Wayahudi wamefanya kumkopesha kwa riba mtu asiye Myahudi kuwa ni ruhusa: "Mgeni waweza kumkopesha kwa riba, ila usimkopeshe ndugu yako kwa riba; …" (Kumbukumbu la Torati 23:20).
[78] Women in Judaism, p. 148.​
[79] Polygamy Reconsidered, p. 140.​
[80] Ibid., p. 17.​
[81] Kodi ichukuliwayo kutoka kwa Wakristo na Wayahudi wanaoishi chini ya utawala wa Kiislamu badala ya zaka (sadaka ya wajibu) na kuhudumia jeshi.
[82] Sunan Abu Dawud, vol. 3, p. 1203, no. 4310 na imesahihishwa katika Saheeh Sunan Abee Dawood, vol. 3, p. 815-6, no. 3635.
 
Huwezi kuwa muislam bila kutimiza nguzo za uislam wewe kilaza:

--Yesu hakusema ..hakuna mungu ila allaha, na muhamad mtume wake..
--Yesu hakuangalia qibla akisali ,ila Juu mbinguni, wakati mitume wengine walibadili, kutokana na enzi, Musa aliangalia Milina ya Sinai, Wengine walingalia Hekalu la Jerusalem....

---Mitume wengie wa kiyahudi walifunga siku 40, au pungufu na si ramadhani.Hwakufanya kwa pamoja na kufuturu kila usiku ,kwa kula k ilafi hadi kuvimbiwa na kujamba hovyo...mfano..Yohana Mbatizaji alaifunga siku 40 jangwan akila asali na nzige kwa kiasi ch akumsaidia kupata nguvu kidogo aliyohitaji..Yesu naye alifunga ..kivyake..

----Hawakupigana jihad..
-- Na walito matoleo yao si kwa stili ya waislam ya Zakati...
Yesu aliletwa kwa wana wa Israel
29 Na kama vile Baba yangu alivyonikabidhi Ufalme,vivyo hivyo nami nitawakabidhi ninyi Ufalme
30 Mtakula na kunywa mezani pangu katika ufalme wangu,na mtaketi katika viti vya enzi kuyahukumu makabila kumi na mawili ya Israel.
YESU AWAANDAA KWA JIHAD
36 NAYE AKAWAAMBIA,"LAKINI SASA,YULE ALIYE NA MFUKO WA FEDHA AUCHUKUE:NA ALIYE NA MKOBA ,HALI KADHALIKA .NA YEYOTE ASIYE NA UPANGA,AUZE KOTI LAKE ANUNUE MMOJA
38 NAO WAKASEMA," BWANA TAZAMA ;HAPA KUNA PANGA MBILI "NAYE AKASEMA BASI
48 LAKINI YESU AKAMWAMBIA,"YUDA !JE ,UNAMSALITI MWANA WA MTU KWA KUMBUSU?
49 WALE WANAFUNZI WAKE WALIPOONA HAYO WAKASEMA ,"BWANA TUTUMIE PANGA ZETU?"
50 NA MMOJA WAO AKAMPIGA UPANGA MTUMISHI WA KUHANI MKUU,AKAMKATA SIKIO LAKE LA KULIA.
LUKA 22
MPAKA WANAKATANA MASIKIO,BADO TU SIO JIHAD,WATAKA JIHAD IPI TENA?
 
wewe yericko tutolee upumbavu wako kwanza ni muongo usitufanye sisi wapumbavu pili huna busara wala huna mamlaka ya kuleta hayo majadiliano yasiyokuwa na msingi ili ujipaatie umaarufu hii dhana ya waislamu au madai yao ni kazi ya serikali kufanya utafiti na kuchukua hatua kutokana na majibu ya utafiti wao iwe ni kweli au ni uongo sasa wewe unavyotaka kukurupuka mtu mmoja usiyekuwa na mbele wala nyuma ujifanye umefanya research hiyo research itakuwa kama maigizo ya ze komedi na usilete mada hapa za kutufanya watanzania tuingie kwenye malumbano wewe upate umaarufu. Sisi sote watanzania ns ni naamini wengi katika sisi tunapendana.

Mtanzania yeyote anaweza kufanya jambo lolote ambalo serikali inaweza kufanya,

Serikali ni watu, na watu ni mimi, wewe na yule!
 
Utamtendea haki mtoa hoja na wasomaji kama utatoa mawazo yako pale unapodhani amekosea. Vinginevyo tutaelewa ni ushabiki tu. Mwenzio katumia takwimu, leta za kwako tulinganishe.
Sijadharau kazi yake, ukisoma maoni yangu mwisho nilimpongeza. Naye alitambua makosa ndo maana akarekebisha na hujaona akilalamika. Tazama hiyo sehemu kwenye andishi halafu ulinganishe na tarakimu za awali utabaini ukweli.

Sehemu husika awali ilisomeka:
B. ELIMU
Mkoa wa Dar mwaka 2011 walihitimu wanafunzi wa kidato cha nne 120,032, kati yao 111,231 ni Waislamu, na 8801 ni Wakristu, hapa dini nyingine hazikuangaliwa!

Mkoa wa Mbeya mwaka 2011 walihitimu wanafunzi wa kidato cha nne 76,136, kati yao 25,621 ni Waislamu, na 8801 ni Wakristu, hapa dini nyingine hazikuangaliwa!

Kipande kilichorekebishwa sasa kinasomeka:
B. ELIMU
Mkoa wa Dar mwaka 2011 walihitimu wanafunzi wa kidato cha nne 120,032, kati yao 111,231 ni Waislamu, na 8,801 ni Wakristu, hapa dini nyingine hazikuangaliwa!

Mkoa wa Mbeya mwaka 2011 walihitimu wanafunzi wa kidato cha nne 76,136, kati yao 25,621 ni Waislamu, na 50,515 ni Wakristu, hapa dini nyingine hazikuangaliwa!!
 
Ukitaka ujue issue ya kufufuka na kupaa kwa yesu ni fake.
Mwandishi Luka24:51,anasema yesu alipaa mbinguni kutokea bethany siku hiyohiyo alipofufuka.
Matendo ya mitume 1:9-12,alipaa kutokea mlima olive,siku arobaini baada ya kufufuka.

Ukiambiwa ww na wenzako mna tabia ya kukurupuka mnaona mnadharauliwa soma luka 24 toka mwanzo utaelewa muendelezo wa matukio yote itakusaidia, mwana mfuga mapepo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom