uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Mamkwe wangu jau sana, si yeye tu hata Mumewe na watoto wake hovyo sana na hata Mke wangu ni wale wale Fakidemall.
Bado unaishi naye halafu, Fakidemall
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mamkwe wangu jau sana, si yeye tu hata Mumewe na watoto wake hovyo sana na hata Mke wangu ni wale wale Fakidemall.
Hiiiiiiiiiiiiii, dada mkubwa😂😂😂😂😂aiseeeeeKatika kipengele Cha wakwe,mumewangu ataenjoy sana kwetu hakuna ujinga ukizingua watu wanakuchana tu 😀 😀
Unakuta kpiga chini nishughuri nyingine😆😆Unasubiri nini sasa?
Ukitaka akukimbie zidisha kumpendatuna mtoto mmoja ana mwaka sasa. Hapa nawaza kibanda changu cha mbavu nikichukulie mkopo NMB harafu nitalala mbele nimwache na jeuri yake. ni mke wng wa ndoa kbs ya kiislam tumekaa sana vikao vya usuluhishi lkn mabadiliko hamna
😂😂Mdogowangu mpendwa hujamboHiiiiiiiiiiiiii, dada mkubwa😂😂😂😂😂aiseeeee
Mkuu naona uli regress na kupata significant predictors. Ungetuwekea tuone significance levels zake zilikua kwenye ngap, ikiwezekana na Confidence intervals.habari wadau
nilikuwa na utafiti binafsi wa mambo ya ndoa kwa ajili ya kukamilisha research thesis for academic reasons.
nilifika Kituo Jumuishi cha Masuala ya Familia Temeke na kufanikiwa kuomba nakala za hukumu mbali mbali za kesi za ndoa ili zinisaidie utafiti wangu.
katika kusoma kwangu hukumu za ndoa zaidi ya 200. nimegundua ndoa nyingi zinavunjika kwa sababu zinazofanana.
sababu kuu ni ya kwanza ni Pesa, yaani mapato na matumizii ya wanandoa, wanawake wengi wanaodai divorce wanalalamika wanaume zao kutotimiza jukumu lao la kipesa kutunza mke na familia nzima. na wanaume wengi wanalalamika kwamba wake zao wana matumizi mabovu ya pesa na wana demand za ajabu ajabu. kulazimisha familia iishi maisha fulani. na pia wake zao wamewaletea dharau za wazi wazi hasa pale mwanaume anapokosa pesa mfano anapokosa kazi na kuwa benchi. mke analeta dharau na kejeli ambazo zinafikia talaka
sababu nyingine ya kipesa ni wanandoa kuwa na Maoni yanayopingana kuhusu Pesa mfano mmoja anapenda kuinvest na mwingine anapenda kuspend kama kula bata. ndoa inaishia divorce.
MADENI pia yanavunja sana ndoa . ndoa yoyote ambayo ina wana ndoa wana madeni ya kipesa huwa inakuwa na migogoro mingi sana. madeni tu yaliyotokana na harusi tu huwa yanavunja ndoa nyingi sana
2. sababu ya pili extended family hasa mama wakwe. kwenye kesi nyingi za divorce nilizozisoma mama wakwe wametajwa. hasa mama wa mke kumfanyia maamuzi mwanae ya ndani ya ndoa yake. mke kaolewa ila bado anaongozwa kila kitu na mama yake mzazi. pia mama wa wanaume na wao wamelalamikiwa sana kwenye kesi nyingi.
3. sababu ya tatu ni Uzazi. mwanamke asiposhika mimba, wanaume wengi hasa wa kikristo wanazaaa nje ya ndoa huku hairuhusiwi hapo ndoa zinafikia divorce
NILICHOJIFUNZA KUCHEPUKA HAKUVUNJI NDOA. KAMA HIZO SABABU TATU NILIZOZITAJA HAZIWASUMBUI HAO WANANDOA. MWANAMKE HAVUNJI NDOA KWA SABABU MUMEWE KACHEPUKA KAMA MAMBO YA PESA KWENYE FAMILIA YAMENYOOKA, MAMA MKWE WAKE NI MTU POA KWAKE, UZAZI UPO POA KAZAAA WATOTO. HAPO NDOA HAIVUNJIKI HATA MUME AKICHEPUKA MARA MOJA MOJA SANA SANA ATAPAMBANA NA MCHEPUKO.
NIna hukumu za ndoa zaidi ya 300. bado naendelea kuzisoma hukumu zake. kwa wanandoa wapya hayo machache myafanyie kazi mkitaka ndoa zenu zidumu
Mimi nasemaga hapa kila sikuFRESHMAN , binafsi siwezi kukubali kwamba wanawake wanachangia kuvunja ndoa.
Ndoa zinavunjwa na wanaume wenyewe. Niongeze,wasiojielewa.
Sasa hivi,unajua mwanamke unaemtaka, ni chuma chakavu. Atakuheshimu kwa lipi? Kwa kipi asichokijua toka kwa wengine? Kwa kipi hajapewa! Unakuta aliwahi nunuliwa Toyota Fortuner, wewe unakuja na ki Vitz au IST! Kila aina ya pombe alikunywa, wewe unaleta sijui Redds na King Fisher.
Wanaume walishatambulishwa ukweni kama kumbikumbi,wewe una nini?! Kubwa anaijua,ndefu anaijua,nene anaijua,nyembamba anaijua, mimba alitoa kama zote,bado tu kizazi; Af sasa,wanataka wale akipita tu,watu wote wageuke kwamba fulani ana demu mkali.
My friendo!!! Wale wameumbiwa kutumiwa kwa starehe tuuuu. Si yo wa kuoa. Sasa,wa kuoa,wanaonekana washamba,hawajielewi,hawana hela,hawana mvuto. Unakuta lijitu lina mikucha kama ya kenge,unategemea msaada gani?! Wewe hapo hata ukiugua,litakuacha ndani umuite mama yako akusaidie.
Zamani,wanaume walikua wanaoa wanawake wanaostahili kuolewa. Siku hizi,zama zimebadilika, wanaokota tu. Mtu hata kwao hupajui, hujui ndugu yake hata mmoja,kisa ana makalio makubwa,eti unaoa! Acha yawakute.
Unakuta lijitu limesomeshwa kwa mikopo na wazazi,kuliko liwajengee hata chumba na sebule visafi,linanunua gari la kuhonga.
Mreta mada, acha waachwe tu. Wanataka wenyewe
Wanaoa sura hawaoi wanawake🤣🤣🤣🤣🤣Mimi nasemaga hapa kila siku
"Mnaoa pisi kali halafu mnaanza kuziogopa"
Anaoa dem mzuri kichizi mpaka jamaa anakosa kujuiamini, unyeyekevu unazidi mpaka dem anamuona huyu ni zoba sasa.
Hapana mkuu kuna wanawake wana busara. Kuna jamaa yangu kaoa mwanamke mwenye kipato kuliko yeye, wamejenga ila 70% ya pesa ni ya mwanamke kila mmoja ana ka usafiri ila usafiri wa mwanamke na mwanaume 100% nibpesa ya mwanamke. Ila hakuna kelele kabisa ni amani tu jamaa anaenjoy maisha, jamaa kaolewa kama anaumia ndani ya nyumba atajua mwenyewe, sisi huku nje tunaona shwari tuThis is very true......Wanaume wengi wameishia kuwa Kondoo tu na kuugulia Maumivu.
Pesa ya mwanamke hainaga maana kwenye maisha ya Mwanaume zaidi ya kuleta migogoro tu.
Yaani "kubwa, ndefu, nene"[emoji1]FRESHMAN , binafsi siwezi kukubali kwamba wanawake wanachangia kuvunja ndoa.
Ndoa zinavunjwa na wanaume wenyewe. Niongeze,wasiojielewa.
Sasa hivi,unajua mwanamke unaemtaka, ni chuma chakavu. Atakuheshimu kwa lipi? Kwa kipi asichokijua toka kwa wengine? Kwa kipi hajapewa! Unakuta aliwahi nunuliwa Toyota Fortuner, wewe unakuja na ki Vitz au IST! Kila aina ya pombe alikunywa, wewe unaleta sijui Redds na King Fisher.
Wanaume walishatambulishwa ukweni kama kumbikumbi,wewe una nini?! Kubwa anaijua,ndefu anaijua,nene anaijua,nyembamba anaijua, mimba alitoa kama zote,bado tu kizazi; Af sasa,wanataka wale akipita tu,watu wote wageuke kwamba fulani ana demu mkali.
My friendo!!! Wale wameumbiwa kutumiwa kwa starehe tuuuu. Si yo wa kuoa. Sasa,wa kuoa,wanaonekana washamba,hawajielewi,hawana hela,hawana mvuto. Unakuta lijitu lina mikucha kama ya kenge,unategemea msaada gani?! Wewe hapo hata ukiugua,litakuacha ndani umuite mama yako akusaidie.
Zamani,wanaume walikua wanaoa wanawake wanaostahili kuolewa. Siku hizi,zama zimebadilika, wanaokota tu. Mtu hata kwao hupajui, hujui ndugu yake hata mmoja,kisa ana makalio makubwa,eti unaoa! Acha yawakute.
Unakuta lijitu limesomeshwa kwa mikopo na wazazi,kuliko liwajengee hata chumba na sebule visafi,linanunua gari la kuhonga.
Mreta mada, acha waachwe tu. Wanataka wenyewe
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Imagine kataaa ndoa waliyajua haya kabla ya kusoma nakala yeyote
KATAA NDOA FC wanachukua point 3 za msingi.Mamkwe wangu jau sana, si yeye tu hata Mumewe na watoto wake hovyo sana na hata Mke wangu ni wale wale Fakidemall.
Wachache sana tutakuelewa, ila mchizi nakushauri sali sana.tuna mtoto mmoja ana mwaka sasa. Hapa nawaza kibanda changu cha mbavu nikichukulie mkopo NMB harafu nitalala mbele nimwache na jeuri yake. ni mke wng wa ndoa kbs ya kiislam tumekaa sana vikao vya usuluhishi lkn mabadiliko hamna
Dharau ndio inaongoza,inafuata michepuko hayo ya mama wakwe Sina uzoefu nayohabari wadau
nilikuwa na utafiti binafsi wa mambo ya ndoa kwa ajili ya kukamilisha research thesis for academic reasons.
nilifika Kituo Jumuishi cha Masuala ya Familia Temeke na kufanikiwa kuomba nakala za hukumu mbali mbali za kesi za ndoa ili zinisaidie utafiti wangu.
katika kusoma kwangu hukumu za ndoa zaidi ya 200. nimegundua ndoa nyingi zinavunjika kwa sababu zinazofanana.
sababu kuu ni ya kwanza ni Pesa, yaani mapato na matumizii ya wanandoa, wanawake wengi wanaodai divorce wanalalamika wanaume zao kutotimiza jukumu lao la kipesa kutunza mke na familia nzima. na wanaume wengi wanalalamika kwamba wake zao wana matumizi mabovu ya pesa na wana demand za ajabu ajabu. kulazimisha familia iishi maisha fulani. na pia wake zao wamewaletea dharau za wazi wazi hasa pale mwanaume anapokosa pesa mfano anapokosa kazi na kuwa benchi. mke analeta dharau na kejeli ambazo zinafikia talaka
sababu nyingine ya kipesa ni wanandoa kuwa na Maoni yanayopingana kuhusu Pesa mfano mmoja anapenda kuinvest na mwingine anapenda kuspend kama kula bata. ndoa inaishia divorce.
MADENI pia yanavunja sana ndoa . ndoa yoyote ambayo ina wana ndoa wana madeni ya kipesa huwa inakuwa na migogoro mingi sana. madeni tu yaliyotokana na harusi tu huwa yanavunja ndoa nyingi sana
2. sababu ya pili extended family hasa mama wakwe. kwenye kesi nyingi za divorce nilizozisoma mama wakwe wametajwa. hasa mama wa mke kumfanyia maamuzi mwanae ya ndani ya ndoa yake. mke kaolewa ila bado anaongozwa kila kitu na mama yake mzazi. pia mama wa wanaume na wao wamelalamikiwa sana kwenye kesi nyingi.
3. sababu ya tatu ni Uzazi. mwanamke asiposhika mimba, wanaume wengi hasa wa kikristo wanazaaa nje ya ndoa huku hairuhusiwi hapo ndoa zinafikia divorce
NILICHOJIFUNZA KUCHEPUKA HAKUVUNJI NDOA. KAMA HIZO SABABU TATU NILIZOZITAJA HAZIWASUMBUI HAO WANANDOA. MWANAMKE HAVUNJI NDOA KWA SABABU MUMEWE KACHEPUKA KAMA MAMBO YA PESA KWENYE FAMILIA YAMENYOOKA, MAMA MKWE WAKE NI MTU POA KWAKE, UZAZI UPO POA KAZAAA WATOTO. HAPO NDOA HAIVUNJIKI HATA MUME AKICHEPUKA MARA MOJA MOJA SANA SANA ATAPAMBANA NA MCHEPUKO.
NIna hukumu za ndoa zaidi ya 300. bado naendelea kuzisoma hukumu zake. kwa wanandoa wapya hayo machache myafanyie kazi mkitaka ndoa zenu zidumu
Ninywe Fanta kwani mimi mtoto Bobu ?Nunua Fanta kubwa nakuja kulipa
KAKA FRESHMAN, KWENYE NDOA KUNA MAMBO MENGI SANA.2. sababu ya pili extended family hasa mama wakwe. kwenye kesi nyingi za divorce nilizozisoma mama wakwe wametajwa. hasa mama wa mke kumfanyia maamuzi mwanae ya ndani ya ndoa yake. mke kaolewa ila bado anaongozwa kila kitu na mama yake mzazi. pia mama wa wanaume na wao wamelalamikiwa sana kwenye kesi nyingi.
NIna hukumu za ndoa zaidi ya 300. bado naendelea kuzisoma hukumu zake. kwa wanandoa wapya hayo machache myafanyie kazi mkitaka ndoa zenu zidumu
Kipindi cha Babu zetu utajiri ulikuwa ktk ng'ombe na mashamba.Brazaaaa, babu na bibi zetu walivumiliana,kwa sababu hakukuwa na chochote. Siku hizi,kitanda kikubwa,nyuma yenye vigae,magari,bia na makolokolo kibao. Enzi hizo kulikuwa na nini!!!
Miaka hiyo,unamuoa binti bikra. Unavuruga mwenyewe. Leo hii,unadumbukia kwenye handaki la urusi. Wewe una nini? Kama umechokwa,kubali umechokwa. Usitueleze kila kitu humu,lakini we mwenyewe ukweli unaujua.
Swali langu kabla ya ushauli wa mwisho: mlikutana wapi!? Katika mazingira gani!
Mkuu avatar yako inafanana na Ronaldo DelimaMengi yatasemwa ila chanzo cha kuvunjika kwa ndoa ni mambo makuu matatu.
1.Not choosing the right patner
2.Changamoto za kiuchumi
3.Kufifia kwa upendo baina ya wenza.
1.Right patner
Ni muhimu kuchagua mtu ambaye unaona itikadi zenu zinakwenda kwa asilimia nyingi zaidi hasa smartness. Kama wewe ni mchangamfu tafta mtu aliyechangamka ili muende sawa. Hobbies ziwe zinaendana kwa kiasi flani. Awe na tabia ambazo zinaendana na za kwenu kimalezi. Wengi tunachaguaga wanawake wenye shepu na sura tukijidanganya eti watatumia akili zetu ila unakuta adabu ni 0 shabash!!! Mbali na yote hakikisha mwanamke huyo anakupenda zaidi kuliko wewe unavyomhitaji.
2.Uchumi
Huu una play part kwenye sehemu kubwa kimaisha. Kabla hujaoa hakikisha una income streams za ku sustain maisha basic yale. Kula iwe kwa wepesi, kuvaa na kulipa kodi in case hujajenga. Hapa pakiwa hamna shida mwanamke anakuwa hasumbui. Tunachofeli sikuhizi wengi tunawaachia wanawake nao watoe fungu lao kusongesha gurudumu ila sio wote ni smart kichwani. Wale smart wanatambua kuwa sterling anaweza kuzidiwa sometimes ila wapuuzi wataanza kejeli na dharau just to demolish your manhood. Kama hukuoa right patner lazma akukaange hapo.
3. Upendo
Kitu hiki ni kama kamba inayoshikilia ndoa yenu. Regardless ya magumu mtakayopitia hii kamba ndio itawaunganisha na kujipa moyo kesho mtakuwa pazuri zaidi. Kufifia kwa upendo ni kama kuoza kwa kamba anytime inaweza kukatika na ikikatika maana hamko tena pamoja kila mtu anfanya analojua yeye. Upendo ndio huleta hali ya kuvumiliana na kuvumilia changamoto na hitilafu zote ndoani. Kama hujaoa mtu anayekupenda na kukuhitaji zaidi eti kisa ulimlaghai na pesa zako nikusihi tu kijana mwenzangu pambana sana changamoto zisikukute huko ndoani. Usifukuzwe kazi wala usiishiwe nguvu za kiume maana utateseka mno.😂 Huwezi kupat upendo kama ulichagua matako na shepu kisa una hela za wizi ofisini.