FRESHMAN , binafsi siwezi kukubali kwamba wanawake wanachangia kuvunja ndoa.
Ndoa zinavunjwa na wanaume wenyewe. Niongeze,wasiojielewa.
Sasa hivi,unajua mwanamke unaemtaka, ni chuma chakavu. Atakuheshimu kwa lipi? Kwa kipi asichokijua toka kwa wengine? Kwa kipi hajapewa! Unakuta aliwahi nunuliwa Toyota Fortuner, wewe unakuja na ki Vitz au IST! Kila aina ya pombe alikunywa, wewe unaleta sijui Redds na King Fisher.
Wanaume walishatambulishwa ukweni kama kumbikumbi,wewe una nini?! Kubwa anaijua,ndefu anaijua,nene anaijua,nyembamba anaijua, mimba alitoa kama zote,bado tu kizazi; Af sasa,wanataka wale akipita tu,watu wote wageuke kwamba fulani ana demu mkali.
My friendo!!! Wale wameumbiwa kutumiwa kwa starehe tuuuu. Si yo wa kuoa. Sasa,wa kuoa,wanaonekana washamba,hawajielewi,hawana hela,hawana mvuto. Unakuta lijitu lina mikucha kama ya kenge,unategemea msaada gani?! Wewe hapo hata ukiugua,litakuacha ndani umuite mama yako akusaidie.
Zamani,wanaume walikua wanaoa wanawake wanaostahili kuolewa. Siku hizi,zama zimebadilika, wanaokota tu. Mtu hata kwao hupajui, hujui ndugu yake hata mmoja,kisa ana makalio makubwa,eti unaoa! Acha yawakute.
Unakuta lijitu limesomeshwa kwa mikopo na wazazi,kuliko liwajengee hata chumba na sebule visafi,linanunua gari la kuhonga.
Mreta mada, acha waachwe tu. Wanataka wenyewe