KAKA FRESHMAN, KWENYE NDOA KUNA MAMBO MENGI SANA.
SABABU YA PILI KUHUSU EXTENDED FAMILY INABIDI IWE YA KWANZA. MAMA WAKWE WENGI NI PASUA KICHWA TENA MAMA MKWE AWE SINGLE MAZA NI RISK ZAIDI!
SABABU NYINGINE AMBAYO HUENDA HUTOIONA KATIKA UCHUNGUZI WAKO NI UCHAWI/USHIRIKINA KUTOKA KWA EXTENDED FAMILY. KUNA FAMILIA ZINAWASHIKILIA WATOTO WAO BILA KUJALI LOLOTE, ESPECIALLY SINGLE MAZA AKIONA MTOTO WAKE WA KIKE KAOLEWA KIJICHO, HUSDA NA FARAKA HUTAWALA NDANI YA HIZO NDOA.
KILA LA HERI KATIKA UCHUNGUZI WAKO, UKILETA MREJESHO TAFADHALI NITAG 🙏🏿
Huyohuyo mwanamke ambaye hawezi kutoa walau laki moja ada ya watoto wake wa kuzaa ikipungua yuko radhi akope mamilioni ampatie kaka yake chapombe mtaji wa biashara,au baba yake mlevi mwenye ndoa za mitaala ,ila nyumbani kwake hata kiberiti anakupigia simu,SUCH A WASTE.Ni sahihi!
Nlicheka sana siku nliona jamaa kaanzisha uzi humu eti “nipate mwanamke wa kusaidiana nae maisha”
Nkacheeka nkasema ihiiiiiih(in Magufuli voice)
Seriously?
Mwanaume tafuta pesa
Kazi ya mkeo ni kutunza na kuviangalia vile unavyovimiliki
Na sio kukaa kizembe kumtegemea yeye
Nothing kitu mwanamke akafanya kikawa na matokeo mazuri kisilete mgogolo au namna yoyote ya dhihaka kwenye maisha yako(unless awe kakulia maisha ya kitajili
Ila hawa wa kajamba nani ni wabinafsi sana!
2 now kila kitu jamii imekigeuza kua normal
Mambo tuliona ajabu zamani now ni kawaida tu
Kuvunja ndoa sio kitu chakustaajabu tena
Matatizo ya leo sio hayatofautiani na yazamani
Ila kwanin hazikuvunjika kama leo? Ni kwakua uvumilivu hakuna
Watu wanaishi kwenda na wakati
Kuna mambo ya 50/50 nayo humohumo
Yaan kifupi a inaishia na z
Afu z inaishia na a
Usipoelewa soma tena
#nahapanmechokakuandika
Sheria haitambui uchawi.. hakimu hawezi weka kwenye hukumu imani za uchawi ama ushirikina
Mi nahisi labda huu utandawizi. Mashamba yapo,mifugo ipo,hii tu mtoto akitoka kwao kwenda shule anayokaa hulo,basi, biashara imeishia hapo. Akisogea Dar ndo kwa heli. Ikidokea karudi kusalimia, anawaacha wenzie kijijini wote amewaharibu kwa vistori vya mambo ya kihuni huni. Matokeo yake ndo haya.Kipindi cha Babu zetu utajiri ulikuwa ktk ng'ombe na mashamba.
Tena usikae kuitegemea au kuiwaziaThis is very true......Wanaume wengi wameishia kuwa Kondoo tu na kuugulia Maumivu.
Pesa ya mwanamke hainaga maana kwenye maisha ya Mwanaume zaidi ya kuleta migogoro tu.
Balaa ndugu yanguHuyohuyo mwanamke ambaye hawezi kutoa walau laki moja ada ya watoto wake wa kuzaa ikipungua yuko radhi akope mamilioni ampatie kaka yake chapombe mtaji wa biashara,au baba yake mlevi mwenye ndoa za mitaala ,ila nyumbani kwake hata kiberiti anakupigia simu,SUCH A WASTE.
Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
Pole kiongozi...Mamkwe wangu jau sana, si yeye tu hata Mumewe na watoto wake hovyo sana na hata Mke wangu ni wale wale Fakidemall.
Mke wng kuanzia kwa ndg zake Wote alishanitangazia ubaya.
Word....Marriage as an institution, needs Financial Management Skills applicable in any other institution. When it comes to finances, it's all about budgeting and brutal austerity, No debate!
Ukiona Mwanamke anayechukua hela yake akamlipia mtoto ada au akanunua mahitaji ya ndani ujue huyo ni Single MazaHuyohuyo mwanamke ambaye hawezi kutoa walau laki moja ada ya watoto wake wa kuzaa ikipungua yuko radhi akope mamilioni ampatie kaka yake chapombe mtaji wa biashara,au baba yake mlevi mwenye ndoa za mitaala ,ila nyumbani kwake hata kiberiti anakupigia simu,SUCH A WASTE.
Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
Halafu kiwe kina vaa moka soli ndefu kuongeza kimo. Wana mdomo sanaThen kwenye sababu ya kwanza na ya tatu wanawake wafupi wanenen wanaongoza kuvinja ndoa hahahahahaha. Kiwe kinajua Sheria aisee kinajiona kifaru kumbe ni simtank hahahahahah
Hahahaaa Eti MokaHalafu kiwe kina vaa moka soli ndefu kuongeza kimo. Wana mdomo sana
Sijambo kabisa, sijui hali yako!😂😂Mdogowangu mpendwa hujambo
FactFRESHMAN , binafsi siwezi kukubali kwamba wanawake wanachangia kuvunja ndoa.
Ndoa zinavunjwa na wanaume wenyewe. Niongeze,wasiojielewa.
Sasa hivi,unajua mwanamke unaemtaka, ni chuma chakavu. Atakuheshimu kwa lipi? Kwa kipi asichokijua toka kwa wengine? Kwa kipi hajapewa! Unakuta aliwahi nunuliwa Toyota Fortuner, wewe unakuja na ki Vitz au IST! Kila aina ya pombe alikunywa, wewe unaleta sijui Redds na King Fisher.
Wanaume walishatambulishwa ukweni kama kumbikumbi,wewe una nini?! Kubwa anaijua,ndefu anaijua,nene anaijua,nyembamba anaijua, mimba alitoa kama zote,bado tu kizazi; Af sasa,wanataka wale akipita tu,watu wote wageuke kwamba fulani ana demu mkali.
My friendo!!! Wale wameumbiwa kutumiwa kwa starehe tuuuu. Si yo wa kuoa. Sasa,wa kuoa,wanaonekana washamba,hawajielewi,hawana hela,hawana mvuto. Unakuta lijitu lina mikucha kama ya kenge,unategemea msaada gani?! Wewe hapo hata ukiugua,litakuacha ndani umuite mama yako akusaidie.
Zamani,wanaume walikua wanaoa wanawake wanaostahili kuolewa. Siku hizi,zama zimebadilika, wanaokota tu. Mtu hata kwao hupajui, hujui ndugu yake hata mmoja,kisa ana makalio makubwa,eti unaoa! Acha yawakute.
Unakuta lijitu limesomeshwa kwa mikopo na wazazi,kuliko liwajengee hata chumba na sebule visafi,linanunua gari la kuhonga.
Mreta mada, acha waachwe tu. Wanataka wenyewe
Mkuu umenichana liveFRESHMAN , binafsi siwezi kukubali kwamba wanawake wanachangia kuvunja ndoa.
Ndoa zinavunjwa na wanaume wenyewe. Niongeze,wasiojielewa.
Sasa hivi,unajua mwanamke unaemtaka, ni chuma chakavu. Atakuheshimu kwa lipi? Kwa kipi asichokijua toka kwa wengine? Kwa kipi hajapewa! Unakuta aliwahi nunuliwa Toyota Fortuner, wewe unakuja na ki Vitz au IST! Kila aina ya pombe alikunywa, wewe unaleta sijui Redds na King Fisher.
Wanaume walishatambulishwa ukweni kama kumbikumbi,wewe una nini?! Kubwa anaijua,ndefu anaijua,nene anaijua,nyembamba anaijua, mimba alitoa kama zote,bado tu kizazi; Af sasa,wanataka wale akipita tu,watu wote wageuke kwamba fulani ana demu mkali.
My friendo!!! Wale wameumbiwa kutumiwa kwa starehe tuuuu. Si yo wa kuoa. Sasa,wa kuoa,wanaonekana washamba,hawajielewi,hawana hela,hawana mvuto. Unakuta lijitu lina mikucha kama ya kenge,unategemea msaada gani?! Wewe hapo hata ukiugua,litakuacha ndani umuite mama yako akusaidie.
Zamani,wanaume walikua wanaoa wanawake wanaostahili kuolewa. Siku hizi,zama zimebadilika, wanaokota tu. Mtu hata kwao hupajui, hujui ndugu yake hata mmoja,kisa ana makalio makubwa,eti unaoa! Acha yawakute.
Unakuta lijitu limesomeshwa kwa mikopo na wazazi,kuliko liwajengee hata chumba na sebule visafi,linanunua gari la kuhonga.
Mreta mada, acha waachwe tu. Wanataka wenyewe
Interesting topic
Ukiona Mwanamke anayechukua hela yake akamlipia mtoto ada au akanunua mahitaji ya ndani ujue huyo ni Single Maza