Wazungu na wachina ni wajinga sn ndio maana kuna msemo unasema AKILI NYINGI HUONDOA MAARIFA nilitaka kushangaa ugongwa utoke china adi africa huku wakisema hausambai kwa njia hewa kisa kirusi cha korono ni kikubwa kwa mocro meter kadhaa sasa basi
kwa mujibu wa ripoti hii iweke sheria kila mtu avae barakoa na gloves kilazima ili km ana vidudu ivyo akikohoa vibaki kwenye barakoa zaidi ya ayo tujiandae kwa majanga makubwa kwa sababu ni vigumu kuona ayo matone yanayoelea na ni vigumu mtu kujizuia asikohoe.asipige chafya au aongee bila kutoa mate au asijishike uso pua na mdomo ni vigumu mno mbaya zaidi uku dar tushazoea supu za mama ntilie kwann tusige chafya vyumba tunavyoishi ni vichafu. vyoo vichafu.
mabasi machafu dah
AFRICA tuna tabu