Utafiti: Mwanaume anao uwezo wa kukaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi

Utafiti: Mwanaume anao uwezo wa kukaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi

Mwanaume anao uwezo wa kukaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi, jambo ambalo ni ngumu kwa mwanamke.

Mwanamke akiishi zaidi ya miezi mwili, ataanza kuongea mambo yasiyo eleweka (Pumba) na kucheka cheka mara kwa mara.

Aidha upo uwezekano mkubwa wa kupata madhara ya kiakili.
Hivi kujichuwa pia ni kufanya mapenzi?
 
AMvyhk.jpg
 
Maneno yako yana Ukweli, Mkuu. Mimi nimebakisha miezi miwili kufikisha Miaka Mitatu toka Wife afariki kwa ajali na kuniachia Wato Wstatu 29, 27, 24 na 21.
Kwa muda wote huo hata mara moja sijakaa katikati ya mapaja ya mwanamke na kukukuruka!
Na ninajisikiwa fresh tu.
Na katika muda huo pia nimeota na kuchafua shuka mara tatu nne tu...na Tatu ama Nne Kwa Wiki ninamkaa Bendera ipo Full Mlingoti na Maisha yanasonga.
Nimefahamu kuwa Watu huwa ni Kujiendekeza tu!
Ukiamua Unaweza Bila Matatizo yoyote.
Hizo 2X ni miaka ya hao hivyo vijeba sio
 
Mimi mbona kijan rijali na sasa Nina mwaka na miez 2 sijatombana.. Yaan hii kitu inawezekana kabisa na sins matatizo yoyote.. Ngono si sehemu yangu ya maisha
 
niliwahi kukaa miezi mi3 bila ngono ,ikafikia hatua cku niko kwenye daladala na mdada mmoja mwenye mzigo alisimama mbele yangu.....yakatokea yakutokea basi nkashuka kunawa kidume
Uka cum kwa nguo duh, ila wanaume nyie ni dhaifu sana bana😂 sasa hapo ni 3 months tu vipi ingekua mwaka si unakua chizi kabisa🙌
 
Umri ni muhimu katika hili. Mwanaume wa 60 and above inawezekana hasa akiwa frustrated na chini kunakatika
Sawa ila na mmama wa 54 ni kama hata mambo ya mbususu kunyooshwa yanapungua? Mi huo umri naona ni mtu mzima ambaye hawezi kuyumbishwa na hisia ama nakosea. Ni muda wa kulea wajukuu huo na kutulia na mume
 
Sawa ila na mmama wa 54 ni kama hata mambo ya mbususu kunyooshwa yanapungua? Mi huo umri naona ni mtu mzima ambaye hawezi kuyumbishwa na hisia ama nakosea. Ni muda wa kulea wajukuu huo na kutulia na mume
Inategemea maana wengine mpaka 60 bado wanaenda MP, unategemea nini wakati akiwa katika ovulation? Tumeona mengi
 
60 yrs Menopause mtu anaingiaje MP?[emoji3][emoji3][emoji3]labda nikapitie vitabu vya gynaecology huenda nmesahau.
Wewe ungejua, naomba nikufahamishe wengi wa wanaotumia hata 60 ni Wachagga. Uliza uambiwe wewe. Mimi nina mifano hai
 
Mwanaume huyu huyu wa sayari hii ya Earth ambaye anaweza kusimamisha mkuyenge kwa sababu tu kaona chura tena aliyepo kwenye nguo? Sidhani
Tafiti inapingwa kwa tafiti mkuu. Ila madhara ya kuotesex yanawaathiri zaidi wadada. Mdada ambaye hajasex kwa muda mrefu hawi Sawa. Kujichekesha sana, kuwa na hasira na visirani, n.k
 
Duh sijaiskia hii ya 60 mkuu , nimeelewa sasa
Kama una rafiki anayetokea uchaggani muulize. Watoto ambao mama zao wamewazaa wakiwa above 56 wapo na kwa bahati mzuri kuna church records zinaonesha huyo mama alizaliwa lini. Si wengine wanaokadria tu. Ni kawaida ya akinamama hao ambao wanapata menopause baada ya 50s kufika miaka hadi 110 au zaidi. Wale wanaofika below 40 huwa ni nadra sana kufika miaka 90.
 
Nina miaka miwili sijakutana na mwanamke yoyote, na maisha yanaenda.
Nimegundua ukipata vitu vya kukufanya uwe busy ngono utaona ni kitu cha kawaida sana.
Sasa bado kidogo nafikisha mwaka wa 3[emoji120]
Ni kweli,ukiwa busy raha sana

Tena ata kuwa kwenye mahusiano unaona kama yatakupotezea muda,
 
Mwanaume huyu huyu wa sayari hii ya Earth ambaye anaweza kusimamisha mkuyenge kwa sababu tu kaona chura tena aliyepo kwenye nguo? Sidhani
ebu punguza basikidogo chura zingine zina laana ikipiga jicho ivi unaona kama inakuuliza utawezaaaa?😅😅
 
Back
Top Bottom