Utafiti: Mwanaume anao uwezo wa kukaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi

Utafiti: Mwanaume anao uwezo wa kukaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi

Maneno yako yana Ukweli, Mkuu. Mimi nimebakisha miezi miwili kufikisha Miaka Mitatu toka Wife afariki kwa ajali na kuniachia Wato Wstatu 29, 27, 24 na 21.
Kwa muda wote huo hata mara moja sijakaa katikati ya mapaja ya mwanamke na kukukuruka!
Na ninajisikiwa fresh tu.
Na katika muda huo pia nimeota na kuchafua shuka mara tatu nne tu...na Tatu ama Nne Kwa Wiki ninamkaa Bendera ipo Full Mlingoti na Maisha yanasonga.
Nimefahamu kuwa Watu huwa ni Kujiendekeza tu!
Ukiamua Unaweza Bila Matatizo yoyote.
Nakuunga mkono kabisa mkuu, hii kitu ni ukweli kabisa yaani sema kuna watu watapinga tu lkn ukweli ndo huu..., Watu wamezoea na kujiendekeza tu na kukosa mambo ya kukuweka bize.
 
Nililjkaa jela miaka 3 bila qutyumb nilivyotoka sasa kwa wiki napumzika siku ya ibada tu hata nikiumwa ni moto ku pause mpak nifungwe tena [emoji13][emoji12]

Sent from my VFD 200 using JamiiForums mobile app
 
Nakuunga mkono kabisa mkuu, hii kitu ni ukweli kabisa yaani sema kuna watu watapinga tu lkn ukweli ndo huu..., Watu wamezoea na kujiendekeza tu na kukosa mambo ya kukuweka bize.
Right now nina ten months bila kupiga push up katikati ya miguu ya Ke! What I do Mimi ni mwanamazoezi haswaa na mambo mengine yanaenda powa tu
 
Back
Top Bottom