Hivi kujichuwa pia ni kufanya mapenzi?Mwanaume anao uwezo wa kukaa mwaka mzima bila kufanya mapenzi, jambo ambalo ni ngumu kwa mwanamke.
Mwanamke akiishi zaidi ya miezi mwili, ataanza kuongea mambo yasiyo eleweka (Pumba) na kucheka cheka mara kwa mara.
Aidha upo uwezekano mkubwa wa kupata madhara ya kiakili.
Umri ni muhimu katika hili. Mwanaume wa 60 and above inawezekana hasa akiwa frustrated na chini kunakatikaMwanaume huyu huyu wa sayari hii ya Earth ambaye anaweza kusimamisha mkuyenge kwa sababu tu kaona chura tena aliyepo kwenye nguo? Sidhani
Hizo 2X ni miaka ya hao hivyo vijeba sioManeno yako yana Ukweli, Mkuu. Mimi nimebakisha miezi miwili kufikisha Miaka Mitatu toka Wife afariki kwa ajali na kuniachia Wato Wstatu 29, 27, 24 na 21.
Kwa muda wote huo hata mara moja sijakaa katikati ya mapaja ya mwanamke na kukukuruka!
Na ninajisikiwa fresh tu.
Na katika muda huo pia nimeota na kuchafua shuka mara tatu nne tu...na Tatu ama Nne Kwa Wiki ninamkaa Bendera ipo Full Mlingoti na Maisha yanasonga.
Nimefahamu kuwa Watu huwa ni Kujiendekeza tu!
Ukiamua Unaweza Bila Matatizo yoyote.
niliwahi kukaa miezi mi3 bila ngono ,ikafikia hatua cku niko kwenye daladala na mdada mmoja mwenye mzigo alisimama mbele yangu.....yakatokea yakutokea basi nkashuka kunawa kidumeNiweze wapi! Week tu shida ndiyo iwe mwaka[emoji23]
Uka cum kwa nguo duh, ila wanaume nyie ni dhaifu sana bana😂 sasa hapo ni 3 months tu vipi ingekua mwaka si unakua chizi kabisa🙌niliwahi kukaa miezi mi3 bila ngono ,ikafikia hatua cku niko kwenye daladala na mdada mmoja mwenye mzigo alisimama mbele yangu.....yakatokea yakutokea basi nkashuka kunawa kidume
Sawa ila na mmama wa 54 ni kama hata mambo ya mbususu kunyooshwa yanapungua? Mi huo umri naona ni mtu mzima ambaye hawezi kuyumbishwa na hisia ama nakosea. Ni muda wa kulea wajukuu huo na kutulia na mumeUmri ni muhimu katika hili. Mwanaume wa 60 and above inawezekana hasa akiwa frustrated na chini kunakatika
Inategemea maana wengine mpaka 60 bado wanaenda MP, unategemea nini wakati akiwa katika ovulation? Tumeona mengiSawa ila na mmama wa 54 ni kama hata mambo ya mbususu kunyooshwa yanapungua? Mi huo umri naona ni mtu mzima ambaye hawezi kuyumbishwa na hisia ama nakosea. Ni muda wa kulea wajukuu huo na kutulia na mume
Mmh menstrual period at 60 of age? Aisee si huwa inakoma 45 , basi sawaInategemea maana wengine mpaka 60 bado wanaenda MP, unategemea nini wakati akiwa katika ovulation? Tumeona mengi
Huwa ni 49 ila wengine ni hata kabla ya 40 na wengine zaidi ya 60. Mifano ninayo haiMmh menstrual period at 60 of age? Aisee si huwa inakoma 45 , basi sawa
Duh sijaiskia hii ya 60 mkuu , nimeelewa sasaHuwa ni 49 ila wengine ni hata kabla ya 40 na wengine zaidi ya 60. Mifano ninayo hai
Wewe ungejua, naomba nikufahamishe wengi wa wanaotumia hata 60 ni Wachagga. Uliza uambiwe wewe. Mimi nina mifano hai60 yrs Menopause mtu anaingiaje MP?[emoji3][emoji3][emoji3]labda nikapitie vitabu vya gynaecology huenda nmesahau.
Tafiti inapingwa kwa tafiti mkuu. Ila madhara ya kuotesex yanawaathiri zaidi wadada. Mdada ambaye hajasex kwa muda mrefu hawi Sawa. Kujichekesha sana, kuwa na hasira na visirani, n.kMwanaume huyu huyu wa sayari hii ya Earth ambaye anaweza kusimamisha mkuyenge kwa sababu tu kaona chura tena aliyepo kwenye nguo? Sidhani
Kama una rafiki anayetokea uchaggani muulize. Watoto ambao mama zao wamewazaa wakiwa above 56 wapo na kwa bahati mzuri kuna church records zinaonesha huyo mama alizaliwa lini. Si wengine wanaokadria tu. Ni kawaida ya akinamama hao ambao wanapata menopause baada ya 50s kufika miaka hadi 110 au zaidi. Wale wanaofika below 40 huwa ni nadra sana kufika miaka 90.Duh sijaiskia hii ya 60 mkuu , nimeelewa sasa
Ni kweli,ukiwa busy raha sanaNina miaka miwili sijakutana na mwanamke yoyote, na maisha yanaenda.
Nimegundua ukipata vitu vya kukufanya uwe busy ngono utaona ni kitu cha kawaida sana.
Sasa bado kidogo nafikisha mwaka wa 3[emoji120]
ebu punguza basikidogo chura zingine zina laana ikipiga jicho ivi unaona kama inakuuliza utawezaaaa?😅😅Mwanaume huyu huyu wa sayari hii ya Earth ambaye anaweza kusimamisha mkuyenge kwa sababu tu kaona chura tena aliyepo kwenye nguo? Sidhani
Zinapatikana mbona mi nilikaa pale gereza la tunduru tulikuwa tukitolewa nje kufanya usafi au kulima na kukata kuni ,au kwenda kwenye Makota kufanya usafi huwezi kosa locationWanavyodai jela ni kubaya hata hizo hisia zilipatikana kweli?[emoji848]
MP after menopause ni pathological jua ivo tuu.Wewe ungejua, naomba nikufahamishe wengi wa wanaotumia hata 60 ni Wachagga. Uliza uambiwe wewe. Mimi nina mifano hai