Utafiti: Ndoa nyingi zimeshakufa ingawa watu bado wanaishi kama mke na Mume

Ni kweli, huu mtaa ninaoishi hakuna ndoa hata moja iko salama mpaka najiuliza why watu wanajiita wanandoa na mipete ili hali ndoa zilishajifia.
 
Hatuhudumii mademu
Lakini hao hao mademu mnataka wawaheshimu na wakiwa kwenu wafanye majukumu yote kama wake wa ndoa
Sio mimi aliyeanzisha ndoa ndio anataka hivyo
Sawa sasa siyo kila mtu anamuamini huyo unayemuamini wewe, kikubwa we deal na wanawake wenye mtazamo kama wako tu, wenye mitazamo tofauti waachie wengine wanaofanana na wanaoelewana
Kwenye familia ni sawa
Sasa basi ndio mhudumie wake zenu bila kutaka wawasaidie majukumu yenu
 
Hujaeleweka, andika hizo faida za ndoa unazosema.
 
wanaume wangapi kila siku wanalalamika kwamba wanawake ni wavivu hawataki kutafuta pesa wanasubiri kuhudumiwa kama walemavu
Mke mwema anayetajwa kwenye maandiko METHALI 31 hakutajwa ni mvivuna mbinafsi

METHALI 31:14
14. Huleta chakula chake kutoka mbali.

METHALI 31:27
27. Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake; Wala hali chakula cha uvivu.




Mungu anataka mke awe wa aina hii ndiyo maana hasa ya msaidizi
 
kila mtu anaamini unachoamini wewe na siyo kila mtu anayaona mambo kama unavyoamini wewe, wewe kama unaona ndoa lazima iwe na kiongozi ni sawa ila tu tafuta mwanamke ambaye atakuwa na mtazamo kama huo wako
Sio mtazamo wangu

1 Wakorintho 11:3

Neno: Bibilia Takatifu

3 Lakini napenda muelewe kwamba Kristo ni kichwa cha kila mwanamume, kama vile mume alivyo kichwa cha mkewe, na Mungu ni kichwa cha Kristo
 
Mwanamke atoke kazini saa 12 aingie jikoni kupika bado muda wa kulala akate viuno hii ni ngumu
Mimi nilishaachanaga na hiz habar zenu. Nilishaachaga kuongea ongea so ni yeye tu, akijisikia kupika sawa, asipojisikia sawa. Akijisikia kufua sawa asipojisikia okay, akijisikia kuamka saa 5 asbh weekend sawa au akiishia kulala siku nzuma ni yeye tu, akijisikua kutoka out ni yeye, yan nilishaachaga kuzozana vitu vya kijinga wakat naweza kuji take care mwenyewe binafsi, so yf mimi yupo tu kama mpangaji mwenzangu home. She is free to wharever she wants, tunaweza kaa the whole weekend kimya tuuu bila kuzungumza kila mtu na biznez zake. Nitasafir kwenda mkoa kikaz (napenda kusafir usiku) ,nitafika nakokwenda na kurudi home no contact no nothing.

Kitu cha msingi sana kwa mwanaume, saana, just make u have money most of time if not always ili uweze kwenda popote na kufanya chochote muda wowote. Vinginevyo, mwanamje anaweza akakuua kwa msongo wa mawazo.
 
Ni kweli, huu mtaa ninaoishi hakuna ndoa hata moja iko salama mpaka najiuliza why watu wanajiita wanandoa na mipete ili hali ndoa zilishajifia.
Mi sijawah kuvaa pete ya ndoa my whole life licha kuoa over 10 years sasa.

Yf alivaa vaa kama 3 years hiv naye akapoteza sijui akazigawa hata i dont know na sikuwah kumuuliza, ilanpete yangu mimi tulivyofunga tu ndoa nikamkabidhi kwamba have it, cant wear it
 
Umeua vibaya sana,congrats
 

Sio mtazamo wangu

1 Wakorintho 11:3​

Neno: Bibilia Takatifu​

3 Lakini napenda muelewe kwamba Kristo ni kichwa cha kila mwanamume, kama vile mume alivyo kichwa cha mkewe, na Mungu ni kichwa cha Kristo
Hapana hayo siyo maagizo ya mungu bali yalikuwa mawazo ya mfalme suleiman kama ambavyo watu wanasema kwamba mwanaume kuoa mke mmoja siyo maagizo ya mungu bali yalikuwa mawazo ya mtume paulo, kingine ambacho narudia kusisitiza ni kwamba siyo kila mtu ana dini kama yako hivyo usipenda kujadili mada za jumla kwa kutumia vitabu vya dini yako, duniani dini kubwa zenye wafuasi wengi ziko zaidi ya 10 na kila moja ina miungu yake na maandiko yake achilia mbali zile dini ndogo zenye wafuasi wachache ambazo ni zaidi ya 5000
 
Hili ni tatizo la wabongo wangi, wanadhani kila mtu ni mkristo au muislam. Dunia yenye watu bilioni saba na ushee dini hizo mbili hazifiki hata nusu ya watu duniani .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…