Utafiti: Ndoa nyingi zimeshakufa ingawa watu bado wanaishi kama mke na Mume

Sasa hizo si ni personal weaknes za watu binafsi Jadda.
Hapana mimi kama mzoefu wa kujadiliana na wanaume, kwenye mada za aina hii humu jf, nachelea kusema hizi ni tabia za wanaume karibu wote wa humu

Yani akikuta comment yako imewakosoa wanaume utasikia kauli kama "wewe unaonekana umezalishwa kisha umeachwa", au "nampa pole mumeo kwa kuoa malaya kama wewe", ila wakikuta comment imewasifia utasikia kauli kama "hongera mkuu wewe unaonekana ni mke mwema", au "hongera mumeo ana bahati au kama hujaolewa basi naomba nikuoe mimi", na kauli nyingine za kufanana na hizo yani kwa kifupi huwa hawachezi mbali na hapo utafikiri wanaambizanaga yani

Lakini binafsi kauli kama hizo hasa hizo negative, huwa nazichukulia kama defensive mechanism baada ya kuona wameshindwa hoja, hivyo wanaamua kutafuta faraja kupitia njia hiyo ili ujione huna cha maana ulichoandika mimi nilishawashtukia
 
Ndoa ili iwe tamu ni kumuoa mpenzi wako ambae umekua nae kwa muda mrefu na mmesha zoeana kwa kila kitu. Sio unatafuta mke mwezi mmoja tu au miwili unaoa, matokeo yake ndo unajikuta umeoa mtu usietegemea
 
Wewe tatizo lako haupo neutral upo judgmental

Ukishakuwa judgmental unapoteza credibility and efficiency

Huwezi Kutetea the dumper women ukawa safe lazima utakosea tu
Hapana mimi huwa nakosoa wote wanaume na wanawake ila wanaume hawataki uwakosoe wanataka uwakosoe wanawake ila wao uwasifie tu, ni wanaume wachache sana wanaokubali kukosolewa madhaifu yao ila wengi ni either wanajiona wako innocent au wanadhani labda madhaifu ya wanaume ni madogo sana na wanawake wanapaswa kuyavumilia, by the way nikiwa nawakosoa wanawake watu wengi wanajifanya kama hawaoni vile ila nikiwakosoa wanaume tu utasikia wewe dada unachukia sana wanaume mara sijui wewe ni feminist
 
Yeah unachukulia poa tu maana like u said no one knows u outside here, so what do u care?
Hapana mbona nimesema pale juu kwamba kuna watu ambao nafahamiana nao nje ya jf, lakini vipi kwa wale wasionifahamu halafu wakaona kauli kama hizo si watajua ni kweli, maana unakuta mtu kaandika kwa kujiamini kabisa kana kwamba anakujua hivyo mtu asiyekujua anaweza kudhani ni ukweli
 


Je madam

Unapokuwa unatoa criticize huwa unazingatia haya mambo.

@ Destructive criticism
@ constructive criticism

?
 
Wanao andika hivyo usikute ndio hao hao wanaokujua nje ya JF sema wamejivika kanzu nyingine wanakuchana live, what donu think ? 😂
 
Dr. Matola wa simba, nachukua madini endeleeni kumwaga nondo.
Naokopa sana hili jambo kunitokea kwenye ndoa since hua natabia ya kuoenda kitu kimoja. Sijui itakuaje nikifika huko
 
Je madam

Unapokuwa unatoa criticize huwa unazingatia haya mambo.

@ Destructive criticism
@ constructive criticism

?
Mkuu siyo kila wakati mtu atasikia kile kinachomfurahisha tu, kuna wakati unaweza kuwa umecriticize katika namna ya kawaida tu bila kutumia lugha yoyote kali, ila mtu akaamua kukuattack kisa tu umeandika ukweli ambao yeye hataki kuusikia
 
Wanao andika hivyo usikute ndio hao hao wanaokujua nje ya JF sema wamejivika kanzu nyingine wanakuchana live, what donu think ? 😂
Hapana wanaonijua nje ya jf hawawezi kuandika hayo kwa sababu hayana ukweli, kwahiyo nikiona mtu kaandika hayo kunihusu najua tu ni mtu ambaye hanijui na kaandika hivyo kwa sababu tu tumetofautiana mitazamo, na kama ni mtu anayenifahamu ndio ameamua kunifanyia hivyo basi atakuwa ana lengo lake binafsi tu
 
Mhhh hapo hakuna mapenzi katikati yenu.
 
Kwenye Ndoa ili mambo yaende sawa lazima mmoja ajifanye mjinga.
Mtu ambaye siyo mjinga hawezi kujifanya mjinga.

Mjinga ni mjinga tu, huwezi kusema unajifanya mjinga kwa maisha yako yote hapa duniani basi utakuwa chizi.
 
Mimi sikujui, lakini by nature kama kwenu ni first born basi huwa inatokea mara nyingi, wanawake ambao ni uzao wa kwanza kwenye familia zao ni watata.

Kuna siri kubwa kwenye uzao wa kwanza ndio lango.
 
Mimi sikujui, lakini by nature kama kwenu ni first born basi huwa inatokea mara nyingi, wanawake ambao ni uzao wa kwanza kwenye familia zao ni watata.

Kuna siri kubwa kwenye uzao wa kwanza ndio lango.
Mimi kwetu si first born ila yawezekana hilo lina ukweli mkuu, ningependa kujua kwanini huwa inakuwa hivyo maana wewe si wa kwanza kusema hilo, wengine husema first borns karibu wote tu naturally huwa ni wakali na watata bila kujali jinsia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…