Sasa shida za wanawake ninyi huwa mnazivumilia hebu tuongee tu ukweli ndugu yangu, ni wanaume wangapi wanaweza kuvumilia wanawake wasaliti, wavivu, wabishi na wajeuri nk, lakini wanawake wanalazimishwa kuwavumilia wanaume wenye tabia kama hizoNa wanawake je ama ninyi hamna shida
Sadactually,
ni dhamana za watoto na mali tu ndio zimeshikilia ndoa nyingi humu nchini 🐒
upendo uliisha kitambo sana, sijui ni athari za 50 kwa 50 hizi 🐒
My research wadada wa kazi ndio watakuja kutowa kizazi bora cha wife material maana wao ndio wanaohudumia waume za watu sasa hivi.Hapa sasa itakuwa ni kumpa mwanamke mzigo wa majukumu, mwisho wa siku yeye ndio atajikuta anafanya majukumu mengi zaidi kuliko kiongozi ilihali yeye ni msaidizi tu, yani mtu afanye kazi za nyumbani, azae, alee
Na bado akusaidie wewe kuhudumia familia ambalo ndilo jukumu lako pekee na bado aendelee kukutii na kukuheshimu sasa yeye majukumu yake anasaidiwa na nani, hao hao wazungu uliowatolea mfano ukae ukijua hawana tena mfumo dume wala mgawanyo wa majukumu, ukitoa yale majukumu ya kimaumbile ya mwanamke mengine yote wanasaidiana 50 50 tena kila siku
Na hakuna cha mke kumtii mume wala mume kumtawala mke kila mmoja anajitawala mwenyewe, na kila mmoja anatakiwa kumsikiliza na kumheshimu mwenzake ila wanaume wa kiafrika haya huwa hamyaongelei, mnaongelea pesa tu sasa ninyi mnafikiri ni upi msingi wa mwanaume kuhudumia mwanamke
ni kubaya sana...
Hapana sina hata wa kumuoaUna ndoa mkuu?
wawekezaji hao...My research wadada wa kazi ndio watakuja kutowa kizazi bora cha wife material maana wao ndio wanaohudumia waume za watu sasa hivi.
Ok ndo maishaHapana sina hata wa kumuoa
Yako imekufa unataka na sisi zetu zife?Nitandika Kwa kifupi najuwa mmu watu hawapendi magazeti.
Wazungu unafki huu hawaiwezi, kuishi na mtu eti kisa mna watoto lakini upendo umekufa.
Mi ni mtu wa society Kwa utafiti wangu wa miaka isiyopunguwa 10 nimegunduwa ndoa si kitu muhimu tena Kwa jamii ya Kitanzania, anayebisha hili shauri yake.
Ndoa za Watanzania wengi ni Sawa na Jehenamu kunyimana unyumba na tafrani zote.
Siku nilikuwa mediator ingawa sipendi kabisa kusuruhisha matatizo ya ndoa, findings zangu na ushauri wangu ni huu.
1. Kuoa au kuolewa siyo Jambo la lazima zingatia hili, Mimi nina ndoa lakini sikushauri kuingia kwenye ndoa kama hujui ndoa ni nini.
2. Kuna swala la ulevi Kwa ujumla, hili nimeona linaleta shida Sana kwenye ndoa, wote mmekutana kwenye pombe baadaye unamkataza mwenza wako asinywe pombe, jitafakari Sana hapo.
3. Hili ni tatizo, linawahusu wanawake wote, kumekuwa na tabia ya wanawake kutaka kuwarusha stage za ujuwaji waume zao, kumbe binadamu NI lazima apite hizo stage ili ajuwe mema na mabaya.
Kijana wa miaka 28 mpaka 40 unataka Aishi kama mtu wa miaka 50 kisa amekuwa wewe dada Hilo haiwezekani na likiwezekana elewa umetolewa na zezeta
Solution: Kwenye kupata wenzake , kila mtu ajitahidi kupata choice na quality zake, ukitaka mcha Mungu tegesha makanisani huko nako si kwamba Wana ucha Mungu wowote.
Point hapa vile umemkuta mwenzao wako bila kuangalia tako au uhandsome wake au pesa zake, elewa hivyo ndivyo alivyo usitalajie kwamba wewe utambadirisha, shida kubwa ya ndoa nyingi kuwa ICU ukichunguza Kwa makini utagunduwa tu kuna mwanandia mmoja anaamini yeye ndio mwenye akili mwenzake Hana akili.
Tutaendelea kwenye comment session.View attachment 2973331
Hili nalo neno.My research wadada wa kazi ndio watakuja kutowa kizazi bora cha wife material maana wao ndio wanaohudumia waume za watu sasa hivi.
Toka hapa......Vipi mbona povu Sana? hii ni mijadala ya kila siku hapa JF.
Kama umepewa kazi ya kumuogesha Junior Fanya hivyo usiniletee povu lako Mimi.
Umeona nini mkuuNdoa ni kitu kigumu sana pale mkiwa mmeokotana kwa zile sifa za nje nje za matamanio na fantasy za ajabu ajabu, Naogopa sana kwa haya nayoyaona. Mungu anisaidie
Haya sio maishaOk ndo maisha
Hahaaa.....kweliToka hapa......
Vitu mkiota kwenye ndoto na vidiscussion vyenu ya kwenye kahawa mnakuja kufungua nyuzi jamii forum eti research..... acheni blah blah, hao wazungu wanaishi kama wanyama mna kazi ya kusifia uongo uongo
🏃Aise hapo hatuvumiliiSasa shida za wanawake ninyi huwa mnazivumilia hebu tuongee tu ukweli ndugu yangu, ni wanaume wangapi wanaweza kuvumilia wanawake wasaliti, wavivu, wabishi na wajeuri nk, lakini wanawake wanalazimishwa kuwavumilia wanaume wenye tabia kama hizo
Lakini mi naona, treatment mke anayompa mume pindi mume akiwa hana pesa, itategemea na treatment mume aliyokuwa anampa mke pindi mume akiwa na pesaMimi naamini ni kutoelewa uhalisia tu, wanaume wanapata stroke wanapambana na Mengi.
Unavyoona tu ada zimelipwa usidhani ni issue ya kitoto watu wanakopa mpaka mikopo ya Riba za kikatili.
Sasa mtu kaitwa pub na washkaji zake apunguze stress na bia tatu karudi home Unaanza kubwatuka pesa unaimaliza kwenye pombe, no way, haiko hivyo.
Wanaume Wana Siri zao, mtu anaweza kukaa muda mrefu mambo yake hayaendi lakini kuna mtu Yuko nyuma yake anacover, nyinyi mnakula tu nyumbani hamjuwi hata pesa inatoka wapi.
Ni wakati sasa wa kubadili mindset zetu ili tuokowe hizi familia maana hali ni mbaya Sana.
Kuna mwanangu mwingine baada ajira kufika tamati mke wake akaanza kuzinguwa Yule Mwamba ameuza nyumba moja kimyakimya amesepa zake ughaibuni, sasa faida iko wapi hapo?
Vipi umeshamuogesha Junior au unapoteza muda JF?Toka hapa......
Vitu mkiota kwenye ndoto na vidiscussion vyenu ya kwenye kahawa mnakuja kufungua nyuzi jamii forum eti research..... acheni blah blah, hao wazungu wanaishi kama wanyama mna kazi ya kusifia uongo uongo
Kuna wanawake kwenye hela ni kama majini, wao wanaamini mwanaume kuna mti huwa anachuma pesa.. ukiangalia yeye amekaa tu.. ukimuuliza anasema sasa nipate wapi hela, nikaombe wanaume wengine.. anakutisha..Siyo ndoa za mikataba tu, Bali Kile kiapo kiandikwe upya.
Kiapo cha ndoa kinasema utamvumilia katika shida na Raha na maradhi, lakini jinsia ya Ke wengi wao kiapo hiki wamekariri kipengele cha wakati wa raha tu.
Kuna Jamaa yangu mmoja ilibidi Mimi niingilie Kati nimwambie mke wake ukweli Jamaa Hana pesa, kuna pesa anaidai kwangu ziko kwenye process ya kulipwa.
Imagine kuna mwanamke hataki kusikia lugha ya kumwambia wiki hii mipango yangu kipesa haiko Sawa kama Una akiba okowa jahazi nyumbani, sasa kuna haja gani ya kuwa na ndoa hapo? Ndoa ya upande mmoja?