Utafiti: Ndoa nyingi zimeshakufa ingawa watu bado wanaishi kama mke na Mume

Utafiti: Ndoa nyingi zimeshakufa ingawa watu bado wanaishi kama mke na Mume

Umeolewa?
Hili halihusiani na hii mada
Mimi nilishaachanaga na hiz habar zenu. Nilishaachaga kuongea ongea so ni yeye tu, akijisikia kupika sawa, asipojisikia sawa. Akijisikia kufua sawa asipojisikia okay, akijisikia kuamka saa 5 asbh weekend sawa au akiishia kulala siku nzuma ni yeye tu, akijisikua kutoka out ni yeye, yan nilishaachaga kuzozana vitu vya kijinga wakat naweza kuji take care mwenyewe binafsi, so yf mimi yupo tu kama mpangaji mwenzangu home. She is free to wharever she wants, tunaweza kaa the whole weekend kimya tuuu bila kuzungumza kila mtu na biznez zake. Nitasafir kwenda mkoa kikaz (napenda kusafir usiku) ,nitafika nakokwenda na kurudi home no contact no nothing.

Kitu cha msingi sana kwa mwanaume, saana, just make u have money most of time if not always ili uweze kwenda popote na kufanya chochote muda wowote. Vinginevyo, mwanamje anaweza akakuua kwa msongo wa mawazo.
Dooh ndoa zenyewe ndio hizi ambazo watu wasipokuwa nazo mnawasema, sasa hiyo nayo ni ndoa au drama, bro hata mimi mwenyewe pamoja na misimamo yangu ila siwezi kuwa kama mkeo..pole sana!!
Hawez olewa mtu kama huyu
Lakini cha ajabu kuna wanawake wana misimamo mikali kuliko hii yangu ila wameolewa, ndipo mnaponifurahishaga hapo ninyi wanaume wa kiafrika mikwara miiingi, oo hatuoi wanawake wa hivi tunaoa wa vile tu ila kila siku ndoa zinafungwa na wanaolewa mpaka makahaba wastaafu
Mwandiko wake Unaonesha hajaolewa Ila Ana mtoto/watoto

Ameumizwa ,ameachwa na aliyemtegemea so she hate gunuine love but she love sex to satisfied her body
Dooh nilikuwaga nakuona angalau zimo kumbe nawe ndio wale wale tu, hizi kauli zenu za kujifariji tumeshazizoea humu, yani kila mwanamke anayewakosoa basi amezalishwa ameachwa..pathetic!!
Sikupingi mkuu
Nyie endeleeni kujifariji tu ila spana ziko pale pale, kuna watu wananifahamu vizuri nje ya jf na wakisoma hizi kauli zenu za kujifariji wataishia kushangaa au kucheka, ukweli tutawaambia tu hata kama hamtaki kuusikia
Kabisa mkuu umelenga mulemule
Yani unajibu kwa kujiamini kabisa kama unanijua vile, hii ndio jf asee, anyway hii huwa ni ishara ya kushindwa hoja tu
 
Hili ni tatizo la wabongo wangi, wanadhani kila mtu ni mkristo au muislam. Dunia yenye watu bilioni saba na ushee dini hizo mbili hazifiki hata nusu ya watu duniani .
Si wanajitoa ufahamu tu na mbaya zaidi bora hata hayo maandiko yenyewe wangekuwa wanayafuata basi, huwa wanachagua yale yanayowafavour tu ndio wanayatilia mkazo hasa wanaume, wanataka wanawake wafuate maandiko yote ila wao wanachagua yanayowafavour
 
Dooh ndoa zenyewe ndio hizi ambazo watu wasipokuwa nazo mnawasema, sasa hiyo nayo ni ndoa au drama, bro hata mimi mwenyewe pamoja na misimamo yangu ila siwezi kuwa kama mkeo
Kuishi na mke kama nilie nae inahitaji kipaji tena kipaji cha kuzaliwa. Na hiz sio drama ni tabia zake parsee sema nilikawia sana kuzijua.

Mkiona wanaume wanawakashifu hapa jukwaan ni kwasbabu ya mengi sana. Mnazingua sana most of u girls
 
Hili halihusiani na hii mada

Dooh ndoa zenyewe ndio hizi ambazo watu wasipokuwa nazo mnawasema, sasa hiyo nayo ni ndoa au drama, bro hata mimi mwenyewe pamoja na misimamo yangu ila siwezi kuwa kama mkeo..pole sana!!

Lakini cha ajabu kuna wanawake wana misimamo mikali kuliko hii yangu ila wameolewa, ndipo mnaponifurahishaga hapo ninyi wanaume wa kiafrika mikwara miiingi, oo hatuoi wanawake wa hivi tunaoa wa vile tu ila kila siku ndoa zinafungwa na wanaolewa mpaka makahaba wastaafu

Dooh nilikuwaga nakuona angalau zimo kumbe nawe ndio wale wale tu, hizi kauli zenu za kujifariji tumeshazizoea humu, yani kila mwanamke anayewakosoa basi amezalishwa ameachwa..pathetic!!

Nyie endeleeni kujifariji tu ila spana ziko pale pale, kuna watu wananifahamu vizuri nje ya jf na wakisoma hizi kauli zenu za kujifariji wataishia kushangaa au kucheka, ukweli tutawaambia tu hata kama hamtaki kuusikia

Yani unajibu kwa kujiamini kabisa kama unanijua vile, hii ndio jf asee, anyway hii huwa ni ishara ya kushindwa hoja tu
😁😁😁 mbona unatushambulia mkuu tena serious aha a!!!
 
Mbona mnawatia hofu vijana? Kila kitu kinawezekana...
Kanuni ya ndoa ni kujishusha...unyenyekevu... na kila mtu akae kwenye position yake
Hivi mbona rahisi tuu?? Ukikosa omba msamaha....na ww usamehe.....
Labda kama hauna reason ya kukufanya umpende mwenzio ndo useme..maana hata mtu akikuudhi vipi tafuta jambo lake zuri moja ambalo alilifanya likakupa furaha..ishi nalo..
 
Kuishi na mke kama nilie nae inahitaji kipaji tena kipaji cha kuzaliwa. Na hiz sio drama ni tabia zake parsee sema nilikawia sana kuzijua.

Mkiona wanaume wanawakashifu hapa jukwaan ni kwasbabu ya mengi sana. Mnazingua sana most of u girls
Hata sisi mkiona tunawasema wanaume humu ndani muelewe kuwa mna ujinga wenu mwingi sana, sema ni vile tu mnajiona innocent na kwamba maovu yenu mnayofanya eti yanasababishwa na wanawake, na kingine mnachoudhi ni generalisation yani kusema wanawake wote wako hivi au vile sisi hatuwezi kukubali hilo
 
Hata sisi mkiona tunawasema wanaume humu ndani muelewe kuwa mna ujinga wenu mwingi sana, sema ni vile tu mnajiona innocent na kwamba maovu yenu mnayofanya eti yanasababishwa na wanawake, na kingine mnachoudhi ni generalisation yani kusema wanawake wote wako hivi au vile sisi hatuwezi kukubali hilo
Basi ndio hivyo acha tuendelee kupopoana tu hakuna namna
 
😁😁😁 mbona unatushambulia mkuu tena serious aha a!!!
Kati ya mimi na ninyi nani kamshambulia mwenzie, mimi nashangaa quotes nyiiingi nafungua najua nitakutana na hoja za maana zilizoshiba, nashangaa nakutana na upuuzi tu mara "umeolewa" mara sijui "huyu hawezi kuolewa atakuwa amezalishwa tu ameachwa"..wanaume wazima mmeacha kujadili hoja mkabaki mnanijadili mimi!!
 
Kati ya mimi na ninyi nani kamshambulia mwenzie, mimi nashangaa quotes nyiiingi nafungua najua nitakutana na hoja za maana zilizoshiba, nashangaa nakutana na upuuzi tu mara "umeolewa" mara sijui "huyu hawezi kuolewa atakuwa amezalishwa tu ameachwa"..wanaume wazima mmeacha kujadili hoja mkabaki mnanijadili mimi!!


Pole sana mkuu Ila usichukie kuwa cool Mimi nakukubali Sana unatoa challenge so wewe ni mpinzani sio adui.

Unatujenga na tunajengana Ila tusifike hatua ya personal attacks
 
Basi ndio hivyo acha tuendelee kupopoana tu hakuna namna
Ndio muache sasa hizo ad hominem attacks zenu za kishamba kana kwamba mnatujua nje ya jf yani ninyi kila mwanamke anayewakosoa, basi lazima amezalishwa na ameachwa tu na wakati mnajua fika kabisa kuwa si lazima iwe hivyo ila huwa mnajifariji tu baada ya kushindwa hoja, mbona sisi mkitukosoa huwa hatuwaletei personal attacks za kipuuzi kama hizo
 
Pole sana mkuu Ila usichukie kuwa cool Mimi nakukubali Sana unatoa challenge so wewe ni mpinzani sio adui.

Unatujenga na tunajengana Ila tusifike hatua ya personal attacks
Hilo waambie wanaume wenzio mkuu ndio mabingwa wa personal attacks, mimi huwa najadili hoja zinazohusiana na mada husika tu hutaona namletea mtu personal attacks wakati simfahamu, yani from nowhere mtu anaanza kupiga ramli kuhusu maisha yako wakati hakujui na mbaya zaidi anayoandika ni uongo kisa tu mmepishana mitazamo
 
Ndio muache sasa hizo ad hominem attacks zenu za kishamba kana kwamba mnatufahamu nje ya jf, yani ninyi kila mwanamke anayewakosoa basi lazima amezalishwa na ameachwa tu, mbona sisi mkitukosoa huwa hatuwaletei personal attacks za kipuuzi kama hizo
Sasa hizo si ni personal weaknes za watu binafsi Jadda.
 
Hilo waambie wanaume wenzio mkuu ndio mabingwa wa personal attacks, mimi huwa najadili hoja zinazohusiana na mada husika tu hutaona namletea mtu personal attacks wakati simfahamu, yani from nowhere mtu anaanza kupiga ramli kuhusu maisha yako wakati hakujui na mbaya zaidi anayoandika ni uongo kisa tu mmepishana mitazamo
Sasa mtu akikuandikabuongo wewe unaumia nini?
 
Hilo waambie wanaume wenzio mkuu ndio mabingwa wa personal attacks, mimi huwa najadili hoja zinazohusiana na mada husika tu hutaona namletea mtu personal attacks wakati simfahamu, yani from nowhere mtu anaanza kupiga ramli kuhusu maisha yako wakati hakujui na mbaya zaidi anayoandika ni uongo kisa tu mmepishana mitazamo


Wewe tatizo lako haupo neutral upo judgmental

Ukishakuwa judgmental unapoteza credibility and efficiency

Huwezi Kutetea the dumper women ukawa safe lazima utakosea tu
 
Back
Top Bottom