Utafiti: Profesa Janabi yupo sahihi 100%; watu wanajiua wenyewe kwa upumbavu wao

Ubaya ni kwamba haya maradhi yanaua taratibu. Wahenga walisema asiyesikia la mkuu huvunjia guu. Naomba serikali ipitishe tozo haraka ili kuwakomesha hawa wapuuzi wanaoukula ovyo halafu wanakuja kuilaumu serikali kutoboresha huduma za afya. Wapuuzi kweli.

Pia naiunga mkono serikali kwa kutobresha huduma za afya. Unaboresha huduma ili kuwatibu wapumbavu magonjwa ya kujitakia? Waacheni wafe wazikane wenyewe. Hatutaki upumbavu.
 
Ujinga ni kumsikiliza huyo Janabi.Kila mtu aishi maisha yake,siku ikifika utaondoka hakuna namna.Kinachopatikana katika mazingira Yako na unakimudu kuleni tu.Mambo mengine ni ya kupuuza.
 
Kwa wale mnaopenda ulaji wa kiafya, zingatia viwango sahihi vya BMI. Ikiwa uzito wako umepitiliza, hakikisha unafanya jitihada za kuupunguza:
 
Ujinga ni kumsikiliza huyo Janabi.Kila mtu aishi maisha yake,siku ikifika utaondoka hakuna namna.Kinachopatikana katika mazingira Yako na unakimudu kuleni tu.Mambo mengine ni ya kupuuza.
Wewe endelea kupuuza. Unachokitafuta utakipata. Na tozo kwa wanene inakuja. Mtapigwa tozo hadi akili ziwakae sawa.
 
Ujinga ni kumsikiliza huyo Janabi.Kila mtu aishi maisha yake,siku ikifika utaondoka hakuna namna.Kinachopatikana katika mazingira Yako na unakimudu kuleni tu.Mambo mengine ni ya kupuuza.
Ziba masikio na usimsome.

Kama umeelewa kasema nini basi umemsikiliza, kwa hiyo na wewe umekiri upo kundi la wajinga. Simpo.
 
Issue siyo kula vizuri bali kula sana kuliko uhitaji wa mwili.
 
Mwamposa ndiye mungu wenu? Watanzania wengi ni wajinga sana. Yaani uende ukauziwe udongo na maji kisa unakula asivyopenda Janabi?
Sasa kama mtu ana mapepo ya ulaji yatatokaje bila kuombewa? Huwezi kujua hili ikiwa nawe una mapepo kichwani.
 
Huyu ni janabi mwenyewe kaja kuchamba JF kwani serikali pesa ya matibabu ya wananchi inatoa mfukoni si kodi za wananchi wenyewe...kinakuuma nini?
 
Shughuli pevu ni kujisaidia haja kubwa kubwa kutwa mara tatu, mzigo wenyewe unaoshushwa unahitaji maji ndoo kubwa ya lita 20. Kutwa watu wanakula kama fuko na mwisho wananenepeana kunakopelekea maradhi
 
Ujinga ni kumsikiliza huyo Janabi.Kila mtu aishi maisha yake,siku ikifika utaondoka hakuna namna.Kinachopatikana katika mazingira Yako na unakimudu kuleni tu.Mambo mengine ni ya kupuuza.
Kinachotakiwa sio kuacha kula bali ni kula kistaarabu. Kama unashindwa kula kistaarabu, unachokitafuta utakipata. Subiri serikali ianzishe tozo kwa wanene, huo uzito uliopindukia utaupunguza mwenyewe bila shuruti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…