Akili kubwa huongelea maendeleo.Bibi mbona kwenye imagination zangu wewe ni kibonge unamashavu dodo mguu wa bia imekuaje Tena???π€
Usinambie na wewe ni modo kimbaumbau π
Ubaya ni kwamba haya maradhi yanaua taratibu. Wahenga walisema asiyesikia la mkuu huvunjia guu. Naomba serikali ipitishe tozo haraka ili kuwakomesha hawa wapuuzi wanaoukula ovyo halafu wanakuja kuilaumu serikali kutoboresha huduma za afya. Wapuuzi kweli.Naamini 95% hawatakuelewa kwa ujinga wao na watajifanya wanaelewa sana na wataleta hoja za kijinga mradi wakupinge na kujifanya wao wanajuwa kumbe hawajuwi.
Niliwahi kuandika hivi kuhusu Watanzania:
Tanzania tuna Adui mmoja tu, Ujinga, nyingine zote ni porojo za ujinga wetu tu
Hili la adui ujinga nimeliandika mara nyingi hapa JF kwenye posts tofauti. Kwa miaka mingi sasa huwa nauliza na kujiuliza "hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?" Kuuliza kwangu siyo kwa kukisia au kwa kebehi au kejeli, ni swali la ukweli kabisa. Kilichonisukuma kuandika haya, ni yote...www.jamiiforums.com
Chini ya ccm hakika watanzania tunapigikaHayo maisha yanavyopiga ni zaidi ya vyakula vya mafuta utapata msongo tu!
Ni mtu mjinga tu atakaye mdharau mtu anayekula mboga za majaniMhhh cha kwanza huo uwezo wa kula mayai na kuku kila siku unao???
We endelea kula matembele kwa kisingizio cha kumsikiliza prof [emoji23] [emoji23]
Urithi wa uzima wa milele. Maana yake unakufa kwanza ndio baada ya kufufuka unaurithi huo uzima ukiwa umekidhi viwango.Kumbe Biblia ilivyosema kwamba sisi ni writhing wa UZIMA WA MILELE ilikuwa sahihi kabisa, ila shetani anatufanya tuwe walafi ili tufe Mungu aonekane mwongo!!!
Mwamposa ndiye mungu wenu? Watanzania wengi ni wajinga sana. Yaani uende ukauziwe udongo na maji kisa unakula asivyopenda Janabi?Kweli kabisa mkuu. Wakati mwingine hawa wapendakula wana mapepo ya ulafi. Wanapaswa waende kwa mtume Mwamposa awaombee mapepo ya ulafi yawatoke.
Na unakuta simu ikichafuka anafutia kwenye kitambi. Mtu akiwa na kitambi halafu akachomekea shati na kukifanya kitambi kichomoze zaidi anajiona mjanja sana kumbe ni ujinga plus ujinga!Huku mitaani mtu akinenepa anasifiwa kwamba Amependeza !
Ujinga ni kumsikiliza huyo Janabi.Kila mtu aishi maisha yake,siku ikifika utaondoka hakuna namna.Kinachopatikana katika mazingira Yako na unakimudu kuleni tu.Mambo mengine ni ya kupuuza.Naamini 95% hawatakuelewa kwa ujinga wao na watajifanya wanaelewa sana na wataleta hoja za kijinga mradi wakupinge na kujifanya wao wanajuwa kumbe hawajuwi.
Niliwahi kuandika hivi kuhusu Watanzania:
Tanzania tuna Adui mmoja tu, Ujinga, nyingine zote ni porojo za ujinga wetu tu
Hili la adui ujinga nimeliandika mara nyingi hapa JF kwenye posts tofauti. Kwa miaka mingi sasa huwa nauliza na kujiuliza "hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?" Kuuliza kwangu siyo kwa kukisia au kwa kebehi au kejeli, ni swali la ukweli kabisa. Kilichonisukuma kuandika haya, ni yote...www.jamiiforums.com
Wangekufa wengi ,huyu prof hajui jinsi sikukuu tunavyofanyaga
Wewe endelea kupuuza. Unachokitafuta utakipata. Na tozo kwa wanene inakuja. Mtapigwa tozo hadi akili ziwakae sawa.Ujinga ni kumsikiliza huyo Janabi.Kila mtu aishi maisha yake,siku ikifika utaondoka hakuna namna.Kinachopatikana katika mazingira Yako na unakimudu kuleni tu.Mambo mengine ni ya kupuuza.
Ziba masikio na usimsome.Ujinga ni kumsikiliza huyo Janabi.Kila mtu aishi maisha yake,siku ikifika utaondoka hakuna namna.Kinachopatikana katika mazingira Yako na unakimudu kuleni tu.Mambo mengine ni ya kupuuza.
Issue siyo kula vizuri bali kula sana kuliko uhitaji wa mwili.Hata uepuke kiasi gani au umfuatilie kiasi gani Peo Janabi katika kula UTAKUFA tu. Utaogopa kufa kwa hizo Non Communicable Disease lakini utakufa kwa maradhi yatikanayo na lishe duni!!
Kwani kwa akili yako unavyomuona Prof Janabi unadhani ni mzima? Muangalie alivyonyauka, kakondeana mgonjwa wa utopia mlo, uso mweusi kama ngozi ya goti. Huyu Janabi akienda coco Beach hawezi kuachwa na ule upepo wa bahari.
Haya maisha mafupi, unatafuta hela bado huwezi kula vizuri kisa unaogopa kupata hypertension au diabetes, kwani unataka kuishi miaka mingapi? Maana nayo kuishi miaka mingi kama akina Musuguri au Charles Njonjo (RIP) nayo ni changamoto kubwa.
Sasa kama mtu ana mapepo ya ulaji yatatokaje bila kuombewa? Huwezi kujua hili ikiwa nawe una mapepo kichwani.Mwamposa ndiye mungu wenu? Watanzania wengi ni wajinga sana. Yaani uende ukauziwe udongo na maji kisa unakula asivyopenda Janabi?
Kinachotakiwa sio kuacha kula bali ni kula kistaarabu. Kama unashindwa kula kistaarabu, unachokitafuta utakipata. Subiri serikali ianzishe tozo kwa wanene, huo uzito uliopindukia utaupunguza mwenyewe bila shuruti.Ujinga ni kumsikiliza huyo Janabi.Kila mtu aishi maisha yake,siku ikifika utaondoka hakuna namna.Kinachopatikana katika mazingira Yako na unakimudu kuleni tu.Mambo mengine ni ya kupuuza.