UTAFITI: Sinza inaongoza kwa wanawake wazuri dar nzima

Hujakosea.. Sasa kwa mfano mtu akienda Mbagala na Tandika anakutana na Wandengereko, Wamatumbi na Wangindo wenye shepu ngumu..
 
Unatangaza biashara siyo? Ukahaba ni laana fanya kazi halali
 
Siwezi anzisha ukaribu wa kimapenzi na pisi inayoishi sinza abadani.
Kuna siku nipo kwenye daladala natoka pale mwenge tra, Kuna mdada ali kuwa pisi fulani hivi iko soft.

tukawa tuna piga story, aka omba simu Kuna kitu ali kuwa ana hakikisha.
baadae akawa ame enda sehemu ya phone no, aka andika namba Kisha aka smile.

tuna fika sinza hospital ana niambia ana kaa maeneo hayo, nili futa namba 😂🤣
 
ko makamu wetu wa kataa ndoa, kumbe upo nasi ki nadharia tu😂🤣
 
Tanzania hamna pisi 😹njoo Kenya Nairobi dadek
Acha kudanganya watu, Nairobi hakuna pisi, EA nzima Kenya inaongoza kua na mademu wabovu, nimekula kadhaa wa zile viwanja high class, students, na hata hapa niko hapa Black Samurai, baadae niende Quiver hapo,

lakini nakushauri mtanzania jivunie totoz za huko, si utani Dar kuna totoz za kwenda, huku uzuri ni kiingereza midemu ya hovyo hovyo tu, haivutii

Samahani kwa kusema ukweli
 
Asante
 
Napinga hilo, nairobi pisi zipo za kutosja mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…