Utafiti: Wanaume wachepukaji ni wale wenye IQ ndogo

Na baadaye ata evolve kutiwa yeye.

Swala si evolutionary ways?
 
Wanaume wenye akili kubwa wakati mwingine hawanaga wanawake kabisa. Mfano wanasayansi wakubwa na wagunduzi.

Kama akili kubwa inaambatana na uhaba wa sex basi na iwe hivyo tu, hakuna namna zaidi ya kuwa na akili ndogo. Binadamu hatuwezi kufanana.
 
Mwanaume mwenye akili kubwa anatafuta partner sahihi mwenye sifa anazozitaka na kutuliza nae. Mwanaume mwenye akili ndogo anaoa sura kisha anachepuka kufuata rangi, anachepukia tena msambwanda, cowbell, umaarufu, mafanikio n.k.

Kuchepuka ni inevitable mama, haijalishi akili gani anayo mwanaume...iwe ndogo au kubwa, lazima kuna siku tu atachepuka, uzuri ni kuwa anamkumbuka mamsap na kurudi nyumbani...hatuna tabia ya kutekeleza familia, that's the good thing about men!!
 
Tafiti wanafanyiwa wa ulaya, Marekani na Asia halafu mnataka zije kutumiwa na huku ngoja kwanza niisome hiyo inglish nikimaliza nitachangia
 
Suleimani mwana wa Daudi naye alikuwa na IQ ndogo au hii inatumiwa kwa karne ya 21 tu
 
Mwanaume mwenye akili kubwa anatafuta partner sahihi mwenye sifa anazozitaka na kutuliza nae. Mwanaume mwenye akili ndogo anaoa sura kisha anachepuka kufuata rangi, anachepukia tena msambwanda, cowbell, umaarufu, mafanikio n.k.
Eto cowbell hahahaha wee nae una misemo. Ila cowbell muhimu sana kwa mwanamke kuwa nayo🤣🤣🤣🤣
 
Kuchepuka ni inevitable mama, haijalishi akili gani anayo mwanaume...iwe ndogo au kubwa, lazima kuna siku tu atachepuka, uzuri ni kuwa anamkumbuka mamsap na kurudi nyumbani...hatuna tabia ya kutekeleza familia, that's the good thing about men!!

Ndivyo ilivyoandikwa hata kwenye Maandiko Matakatifu.

Mithali 6:32
"Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake."

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cowbell ni majaliwa jamani sio kila mtu ana hizo size
Msitufanye tukafanye surgery za kuongeza tufe buree🤣🤣😃
Uzuri duniani kila mtu na taste yake. Wakina mzabzab tunapenda cowbell tuminyininye kama juicy juicy mangoes wakati wengine wanapenda tuu mosquitoe bites🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mithali 6:32
"Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake."

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Na mwanamke inakuwaje? Hamna andiko la mwanamke anayezini?
 
Mithali 6:32
"Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake."

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ibrahim baba wa imani hana akili kabisa, je mimi nisiye na imani nitakuwaje! Maisha mafupi haya jamani!!
 
Suleimani mwana wa Daudi naye alikuwa na IQ ndogo au hii inatumiwa kwa karne ya 21 tu

Ungekua unayajua ya baba yake Suleiman kwa uzuri, ukajua vita alizopigana, ukajua kwanini Suleiman alichaguliwa kwenye nafasi ile na nini alitakiwa kukamilisha wala usingehangaika kumlingani wala kumtumia kwenye hili bandiko

Ukweli ni ule ule kwamba "Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake." - Mithali 6:32
 
Mwanaume mwenye akili kubwa anatafuta partner sahihi mwenye sifa anazozitaka na kutuliza nae. Mwanaume mwenye akili ndogo anaoa sura kisha anachepuka kufuata rangi, anachepukia tena msambwanda, cowbell, umaarufu, mafanikio n.k.
Kwani Clinton (aliyekuwa rais wa Marekani) anasemaje kuhusu hili..🤔
 
Na mwanamke inakuwaje? Hamna andiko la mwanamke anayezini?

Muishi nao kwa akili ili wasizini😂😂😂

1 Petro 3:7
Kadhalika ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili; na kumpa mke heshima, kama chombo kisicho na nguvu; na kama warithi pamoja wa neema ya uzima, kusudi kuomba kwenu kusizuiliwe

Waefeso 5: 25 - 29
Enyi waume, wapendeni wake zenu, kama Kristo naye alivyolipenda Kanisa, akajitoa kwa ajili yake; ili makusudi alitakase na kulisafisha kwa maji katika neno; apate kujiletea Kanisa tukufu, lisilo na ila wala kunyanzi wala lo lote kama hayo; bali liwe takatifu lisilo na mawaa.
Vivyo hivyo imewapasa waume nao kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Ampendaye mkewe hujipenda mwenyewe.
Maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake po pote; bali huulisha na kuutunza, kama Kristo naye anavyolitendea Kanisa.
 
Tatizo lako wewe ni ubishi halafu huwezagi kujibu kwa hoja
 
Tatizo lako wewe ni ubishi halafu huwezagi kujibu kwa hoja

Sasa nimebisha wapi!?
Tunapolinganisha vitu huwa tunalinganisha vitu vinavyofanana. Ndio maana huijawahi tokea habari ya kumlinganisha mbio za simba na kobe
 
Ah haya tunayajua. Mie nataka consequence ya mwanamke kuzini maana mwanaume inasemakana ni mjinga. Je mwanake akizini nae ni mjinga au ni zaidi ya mjinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…