Utafiti: Wanaume wachepukaji ni wale wenye IQ ndogo

Utafiti: Wanaume wachepukaji ni wale wenye IQ ndogo

Uzuri duniani kila mtu na taste yake. Wakina mzabzab tunapenda cowbell tuminyininye kama juicy juicy mangoes wakati wengine wanapenda tuu mosquitoe bites[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ha ha ....
Eti mosquito bite[emoji1]
 
Ah haya tunayajua. Mie nataka consequence ya mwanamke kuzini maana mwanaume inasemakana ni mjinga. Je mwanake akizini nae ni mjinga au ni zaidi ya mjinga?

Kumbe hujanielwa
Maandiko yanasema mwanaume aishi na mwanamke kwa akili na aziniye na mwanamke hana akili kabisa sababu anajiangamiza.

Ukweli wa maandiko haya ni kuthibisha ulele ukweli kwamba mwanaume ndio kichwa na kiongozi wa mwanamke. Na Mungu alimpa mwanaume akili za kumtunza, kumlinda na kumuongoza huyu mwanamke.

Kwa maana hiyo mwanaume akiishi kwa akili akatafuta mwanamke kwa akili hizo za moyoni alizojaliwa na Mungu kuna mengi yatakayokaa sawa kwenye jamii kuhusu Mwanamke ikiwa ni pamoja na hili la uzinzi

Unafikiri Mwanaume akiacha zinaa, mwanaume akaisimamia familia kiimani na taratibu tutazini na nani zaidi ya kuacha tuu
 
Ibrahim baba wa imani hana akili kabisa, je mimi nisiye na imani nitakuwaje! Maisha mafupi haya jamani!!
Kuna watu wanapingana na baba wa imani, ibrahimu

Mbona hamsemi maumivu aliyoyapata Ibrahimu alipozini? Hamsemi mabaya ya ile zinaa ila mnashangilia zinaa
Imagine Ibrahimu amechepuka sababu hukuwa na mtoto na huko kwenye uchepukaji wake ulipopata mtoto tuu, Mungu nae akampa mke wako mtoto na akaja na amri kwamba huyo mtoto wa mchepuko hatorithi chochote pamoja na mtoto wa mke wake.

Mwanzo 21: 10 "Kwa hiyo Mungu akamwambia Ibrahimu, Mfukuze mjakazi huyu na mwanawe, maana mwana wa mjakazi hatarithi pamoja na mwanangu, Isaka."

Sembuse sisi tunachepuka kujifurahisha miili yetu tutapona kweli😅😅😅😅

Tuombe tuu rehema za Mungu kwenye hili na ndio maana tuliambiwa "Kesheni mwombe, msije mkaingia majaribuni, roho i radhi ila mwili ni dhaifu." Marko 14:38
 
Mbona hamsemi maumivu aliyoyapata Ibrahimu alipozini? Hamsemi mabaya ya ile zinaa ila mnashangilia zinaa
Imagine Ibrahimu amechepuka sababu hukuwa na mtoto na huko kwenye uchepukaji wake ulipopata mtoto tuu, Mungu nae akampa mke wako mtoto na akaja na amri kwamba huyo mtoto wa mchepuko hatorithi chochote pamoja na mtoto wa mke wake.

Mwanzo 21: 10 "Kwa hiyo Mungu akamwambia Ibrahimu, Mfukuze mjakazi huyu na mwanawe, maana mwana wa mjakazi hatarithi pamoja na mwanangu, Isaka."

Sembuse sisi tunachepuka kujifurahisha miili yetu tutapona kweli[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Tuombe tuu rehema za Mungu kwenye hili na ndio maana tuliambiwa "Kesheni mwombe, msije mkaingia majaribuni, roho i radhi ila mwili ni dhaifu." Marko 14:38
Wewe kama wewe utakubali mumeo achepuke au akuletee mke mwenza
 
Wewe kama wewe utakubali mumeo achepuke au akuletee mke mwenza
Siwezi kukubali maana makubaliano yetu Toka awali yalilikataa hilo.
Hata Sara alilikataa hilo mke mwenza na Mungu akamwambia Ibrahim mke wake Yuko sahihi

MLANGO 21:5-12​


Naye Ibrahimu alikuwa mtu wa miaka mia, alipozaliwa mwana wake Isaka.
Sara akasema, Mungu amenifanyia kicheko; kila asikiaye atacheka pamoja nami.
Akasema, N'nani angemwambia Ibrahimu, Sara atanyonyesha wana? Maana nimemzalia mwana katika uzee wake.
Mtoto akakua, akaachishwa kunyonya; Ibrahimu akafanya karamu kuu siku ile Isaka alipoachishwa kunyonya.
Sara akamwona yule mwana wa Hajiri Mmisri, ambaye alimzalia Ibrahimu, anafanya dhihaka.
Kwa hiyo akamwambia Ibrahimu, Mfukuze mjakazi huyu na mwanawe, maana mwana wa mjakazi hatarithi pamoja na mwanangu, Isaka.
Na neno hilo lilikuwa baya sana machoni pa Ibrahimu, kwa ajili ya mwanawe.
Mungu akamwambia Ibrahimu, Neno hili lisiwe baya machoni pako, kwa ajili ya huyo mwana, na huyo mjakazi wako. Kila akuambialo Sara, sikiza sauti yake, kwa maana katika Isaka uzao wako utaitwa
 
Siwezi kukubali maana makubaliano yetu Toka awali yalilikataa hilo.
Hata Sara alilikataa hilo mke mwenza na Mungu akamwambia Ibrahim mke wake Yuko sahihi

MLANGO 21:5-12​


Naye Ibrahimu alikuwa mtu wa miaka mia, alipozaliwa mwana wake Isaka.
Sara akasema, Mungu amenifanyia kicheko; kila asikiaye atacheka pamoja nami.
Akasema, N'nani angemwambia Ibrahimu, Sara atanyonyesha wana? Maana nimemzalia mwana katika uzee wake.
Mtoto akakua, akaachishwa kunyonya; Ibrahimu akafanya karamu kuu siku ile Isaka alipoachishwa kunyonya.
Sara akamwona yule mwana wa Hajiri Mmisri, ambaye alimzalia Ibrahimu, anafanya dhihaka.
Kwa hiyo akamwambia Ibrahimu, Mfukuze mjakazi huyu na mwanawe, maana mwana wa mjakazi hatarithi pamoja na mwanangu, Isaka.
Na neno hilo lilikuwa baya sana machoni pa Ibrahimu, kwa ajili ya mwanawe.
Mungu akamwambia Ibrahimu, Neno hili lisiwe baya machoni pako, kwa ajili ya huyo mwana, na huyo mjakazi wako. Kila akuambialo Sara, sikiza sauti yake, kwa maana katika Isaka uzao wako utaitwa
Njoo tushirikiane tufungue kanisa basi kwenye sadaka ww utakula 55% mimi nitakula 45% eneo ninalo
 
Njoo tushirikiane tufungue kanisa basi kwenye sadaka ww utakula 55% mimi nitakula 45% eneo ninalo

Kanisa ni huduma kwa wenye mahitaji ya kiroho na ya kimwili na karama ya kutoa huduma hiyo pamoja sadaka ndio engine ya kanisa.
Sasa Kama wewe unapanga kuanzisha kanisa ili ule sadaka kwa 50% na 45% ni mfu kiroho
 
Kuchepuka halafu ukamatwi. Unajua ni akili kubwa kiasi gani?
 
Back
Top Bottom